Tuesday, 28 July 2015

Re: [wanabidii] UKAWA SUMU HAIONJWI HATA SIKU, UKIONJA UTAKUFA TU

Kwenye dunia ya leo jenda siyo hoja, tumekuja kuelewa na kuamin zaidi kuliko pale mwanzo kuwa binadamu ni sawa, kwa hiyo suala la kutoa nafasi sawa kwa wanawake na wanaume liko sahihi, ila tu nafasi kama hizo zisitolewe kwa lengo eti kuweka usawa, kuwe na nia njema ya kufanya hivyo, naamini kabisa hata kusudi lingelikuwa ni lazima kuwa na Spika mwanamke, kuna kinamama wengi tu makini hawakupewa hiyo nafasi na ninaamini wangelifanya kazi bora kuliko kuwa mtu mwenyenafasi nyetu kama hiyo kuwa msemaji wa chama. Je kwa nini binadam ni vigumu kunakili kwa watu wengini?
Sipingani sana na yule mtu anayesema mtu mmoja anaweza akawa chanzo cha kufumua mfumo uliopo, inawezekana kabisa, kwa mfano Rais akijitoa kupambana na walio chini yake wale watakaovunja miiko ya uongozi, anaweza. Anakataa kata kata kugeuzwa kuwa jiwe la chumvi at any cost. 
Siyo mtu kuanza uongozi kwa nguvu na kadiri muda unavyopita nguvu zinazidi kufifia na kuwa mtizamaji kama wengine wasiokuwa na mamlka hayo.



On Tuesday, 28 July 2015, 15:36, 'ananilea nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:


Hapana John,
Mfumo unafumuliwa kwa kuweka misingi, siyo mtu mmoja (Rais). Misingi ya kufumua mfumo  Katiba ya Wananchi CCM waliizika pale Dodoma. Tusijidanganye. Tulidanganywa Bunge likiongozwa na mwanamke litakuwa poa kwa wananchi-je ni kweli Bunge lililoongozwa na mwanamke limesaidia wananchi au limewaumiza zaidi?
Ananilea Nkya
 E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com

--------------------------------------------
On Tue, 7/28/15, 'john msinde' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] UKAWA SUMU HAIONJWI HATA SIKU, UKIONJA UTAKUFA TU
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tuesday, July 28, 2015, 12:39 PM

Muhingo
unasema...'Kama
ni mfumo CCM imeonekana kuufumua ndiyo maana ikamtema
Lowasa....' sidhani kama hii ni sahihi. Yaani kwa
kumtema Lowassa ndio imefumua mfumo. Sijui lini wameanza
kuufumua huo mfumo wa ufisadi -past
habits die hard. Kweli tunapoongolea siasa tunaongelea
uendeshaji wa nchi, sio kamari, lakini ni muhimu kuwa na
madiliko makubwa ya kimfumo katika huo uendeshaji. Maana ni
miaka zaidi ya hamsini tumekua na mfumo ambao umezidi
kutuletea umaskini. Kwa hiyo ni wakati sasa wa
kubadilisha. Tuko kwenye vita kwa hiyo si busara kuchagua
silaha kupigana na adui yako. Mimi mtazamo wangu uko zaidi
katika kuleta mabadiliko ya uendeshaji wa nchi. Lakini
kumbuka Lowasa alipokatwa hakuna mtu CCM aliyethubutu kusema
sababu ya kukatwa kwake, lakini pia sikatai anazo kashfa za
ufisadi kama walivyo wanasiasa wengine. Ni 'kashfa'.
Kama lowasa atahamia UKAWA na hao wengine uliowataja na
kama watapokelewa na UKAWA hatujalijua bado. Ila kwa sasa
tumjadili Lowasa kama ni mtu sahihi kwa UKAWA au la. Lakini
lowasa pamoja na kashfa zake bado ni mwanasiasa mwenye mvuto
kwa sasa (ana wafuasi wengi wanaoangalia mazuri yake), na
ndio maana UKAWA wamevutiwa nae wakijua mapungufu yake.
lakini pia tusisahau utendaji wake na uthubutu wake katika
kutenda, sitaki kueleza hapa mfano wa mazuri aliyoyatenda
wengi wanayafahamu. Tuzidi
kutafakari! John

 




    On Tuesday, July 28,
2015 12:48 PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com> wrote:

   

  John.
Unamuongelea Lowasa yupi aliyeutumikia mfumo
mbovu upi wa CCM?
Ninayemuongelea mimi ni
Lowasa aliyekuwa akikusanya pesa za watu akizitoa makanisani
na misikitini. mfumo sawa ulimruhusu. namuongelea Lowasa
ambaye katika kukusanya kura za maoni ameonekana kutoa pesa
kupindukia. namuongelea Lowasa ambaye wapambe wake ambao
lazima ataongozana nao UKAWA  ni Chenge, Lostam, Karamagi
na wengine. naongelea Lowasa ambaye kila aliyeona
anavyotumia pesa alizosema anapewa na marafikizake
alijiuliza atawalipaje watu hao ambao hawataendelea
kufuatilia malipo yao CCM bali watamfuata atakakokuwa. UKAWA
inajiandaaje kumsaidia Lowasa kuwatuliza watu hao?
naongelea hayo na mengine yanayofanana nayo na
ndugu John tunapoongelea siasa hatuzungumzii kamali au
mchezo wa mpira. Tunaongelea uendeshaji wa nchi kwa manufaa
ya watu wote.
Kumbuka watanzania walipokuwa
wanajenga imani yao juu ya vyama vya upinzani na UKAWA sasa
hawakuwa wanajenga imani yao juu ya bendera za vyama au
magwanda wanayovaa. Ni ahadi zilizokuwa zinaonyesha
kutambuliwa kwa matatizo yao. naongelea hayo yaliyosemwa na
UKAWA.
Kama ni mfumo CCM imeonekana kuufumua
ndiyo maana ikamtema Lowasa. Watanzania wanataka mabadiliko.
Wakiyakosa ndani ya CCM watayapata nje. S\asa CCM
imefanya kazi kubwa. Imefumua mfumo kwa kuanza kuwatema
akina Lowasa.
Nawaza kuwa huenda
wakayafurahia mabadiliko kwa sababu  hawana chuki na CCM
ila mfumo. Mfumo ilioanza kuufumua.
Nisaidie
John kunielewesha zaidi.

--------------------------------------------
On Tue, 7/28/15, 'john msinde' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:

  Subject: Re:
[wanabidii] UKAWA SUMU HAIONJWI HATA SIKU, UKIONJA UTAKUFA
TU
  To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Tuesday, July 28, 2015, 12:08 PM
 
  najaribu

kuchangia hoja ya comments za Muhingo na Mollel, kwa
mtazamo
  wangu hili halina shida kwenye
siasa. lazima tukubali kwenda
  na
mabadiliko. upepo wa siasa ndiko huko unakoelekea, lakini
  pia tujifunze na siasa za nchi nyingine.
wakati Kibaki
  alipohama KANU Alisingiziwa
ni fisadi lakini akashinda
  uraisi, na
tunaona siasa za kenya zilivyobadilika baada ya
  changamoto za upinzani. maendeleo pia
yamepatikana. Ugomvi
  wa ufisadi nchini sio
wa mtu, ni tatizo la kimfumo. watu
  wengi
hamtaki kelewa hili. Kwa hiyo tatizo sio Lowasa tatizo
  ni mfumo wa chama alichokuwapo kabla ya
kuingia UKAWA. kama
  alikua ni fisadi kwa
nini hadi leo hakuna hatua zozote

zilizochukuliwa dhidi yake? sasa basi kama lowasa
anahamia
  UKAWA ataendana na mfumo na sera
za UKAWA ambazo zinagiga
  vita ufisadi wa
kimfumo sio wa mtu mojamoja ili kuleta

ustawi kwa watanzania. lengo ni kuleta mabadiliko ya
siasa
  nchini kwa hiyo kama lengo la UKAWA
ni kushika dola njia
  iliyotumika ni sahihi.
The ends justify the means. Ndugu
  Muhingo
inabidi upanue fikra kuendena na hali halisi ya
  siasa na kuelewa hasa maana ya
mageuzi.wasalaamJohn
 


 
 
   
On Tuesday, July 28,
  2015 10:31 AM,
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii

<wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
 
   
 
  Molel nadhani una
  matatizo. Toka tumepata uhuru siasa za
Tanzania zinasema
  maadui wetu ni Ujinga,
Maradhi na umaskini. How comes you
  are
telling people that in Politics we dont have permanent
  enemies. It is America that dont have permnent
friends
  though you can not creat enemities
beterrn it and Israel.
  usyaly we dont have
enemity with people but their
  behaviours.
Hooligans cant change just because they have
  changed memberships of political parties

--------------------------------------------
  On Mon, 7/27/15, 'Lesian Mollel'
via
  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:
 
 
Subject: Re:
  [wanabidii] UKAWA SUMU
HAIONJWI HATA SIKU, UKIONJA UTAKUFA
  TU
  To: wanabidii@googlegroups.com
  Date: Monday, July 27, 2015, 2:16 AM
 
  Elisa muhingo,siasa
hujui
  na hutakaa ujue coz unalazimisha
ubongo wako
  kwenda
 
kusikotakiwa mzee,read here
  carefully'
in politics we
  dont have a
  permeernent enemy' elewa bro au niweke
kwa
  kiswahiki sanifu....kwenye siasa
hakunaga
  uadui wa kudumu
 
,,,,,,,
 
  Remeber slaa
katoka ccm'sasa
  lowasa
  kuingia chadema ni shida mzee,kwann asiingie
ilhali
  ni mtanzani na hana hatia yeyote
na ana mengi
  ambayo anayo
  sirini na kibaya zaidi anungwa
  na watu wengi ambao nyinyi
 
hamuwaoni
  kabisaaaaa,ila wao wanojua siasa
wanaona'stop
  your eneminity bropeace
and love...usije ufe
  na dhambi ya
  chuki
 

Lesian
 
  Hosea Ndaki
<hosea.ndaki@gmail.com>
  wrote:
 
  Tuwe
  na subira, ccm
wameshatangaza wa kwao,
 

tusubiri na wengine ukawa chadema cuf adc act, na tuone
  sera
  na ilani ya kila
mmoja, hatuwezi
  kufanya maamuzi kwa
mwali
  mmoja aliyechezwa

ngoma wakati wengine bado wako kwa
 
shangazi
  na kungwi.
 
  Hatujazijua
  sera za ccm na
ilani yao ya
  uchaguzi, hivyo
  hivyo kwa ukawa na wengine, kipenga
 
  kikishapulizwa na kila mmoja
akaanza kujinadi ndipo
  tutafanya maamuzi.
Tukizidisha makelele
  tutawachanganya
  wazee wetu, tutulie

kwanza.
 
  2015-07-26
22:51
  GMT+03:00
 
'jbifabusha' via
  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
  Mtalika.
  Una mapenzi
ya
  kupitiliza kwa CCM.
 
kwani ni lazima UKAWA
  kuweka mgombea?
Usituchoshe na
  ngonjera

zako.
  WSent from Samsung


  Mobile
 
 
 
  --------
Original message
  --------
  From: 'mpombe mtalika' via
  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 
  Date: 
 
  To: ELISA
 
MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 
  Subject: [wanabidii]
UKAWA
  SUMU HAIONJWI
  HATA
SIKU, UKIONJA UTAKUFA TU
 

 
 
 
 
 
 
  Sasa ni karibia wiki ya tatu hivi tangu
  chama
  tawala
  kutangaza
  mgombea wake wa
Urais, Mh. John Pombe Magufuli.
 
 
 
 
 
  Hapo nyuma
  UKAWA walisikika wakitamba kuwa wanamsubiri
 
  kwa
 
umakini mkubwa mgombea wa CCM, ili

wajipange
  kumsambaratisha. Baada ya
  uteuzi
  wa mgombea wa CCM,
UKAWA ni kama
  wameingia kizunguzungu na
  kigugumizi,
  maana
  mahesabu yao yamegota vibaya.
 
 
 
  Kinachoonejana dhahiri ni kwamba uhai wa
UKAWA
  unapewa
  uhalali tu
na makosa ya
  chama tawala. Chama tawala
kinapo weka mambo
  yao safi na kwa
  umakini, UKAWA
  wanaishiwa
hoja na uhalali wa kisiasa, kwa
  vile wao
wenyewe
  hawana unifying
  ideology, apart from being reactionary!
 
 
 
  Tunachoshudia hivi sasa katika UKAWA,
  kushindwa vibaya
 
kukubaliana juu ya
  mgombea wao urais ni
kiekelezo tosha kuwa
  UKAWA ni utapeli
  wa kisiasa kati ya
 
mambumbumbu wanao wania urais.
 
  Hawajui nni awawakilishe na

hawajui huko wanaenda kufanya
  nini.Hii
ni
  hatari kubwa!
 
  Watu
  wanaonadiwa na mamluki
wa kibiashara inaelekea
  watainunua UKAWA
wakati
 
  wowote ule na ni
kwa nia moja tu, kukamata dili zote za

dola
  ili wanufaike
 
  kiuchumi. Lakini wananchi makini
wanaendekea
  kugutuka.
 

 
 
 
Tunajua kuwa hata wapinzani ni watanzania

na huko kuna
  watu
 
makini
  kitaifa.
 
  Simpigii debe Dr
  Skaa
lakini haingii akilini Dr Slaa
 
  kumtangaza Lowassa kuwa
 
fisadi, halafu kula
  matapishi yake bila
maelezo na
  kumkaribisha

fisadi huyo
  huyo kukipigia debe chama
  chao.
 
 

 
 
 
Maendeleo ya Tanzania ni kuwa na upinzani

makini utakao
  sahihisha kama sio
  kupiku chama tawala.Kwa ujinga huu wa
  kukumbatia ufisadi
  ulio
temwa na chama
  tawala, UKAWA
unawakaribisha kina Rosta na
  Karamaga and
co.
  iliwagawane rasilmali
  za nchi hii.
 
 
 
 
Mungu
  bariki, mpaka hivi sasa ndani ya
UKAWA ni mtafaruku wa
  kukaribia
  kusambaratika kwani
  hawajui
wanaenda Ikulu kufanya nini na
  kwa
  madhumuni gani
  kwa
mwananchi wa kawaida.
 
 

 
  Sumu haionjwi
 
 
 
 
 
  --

 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 

  Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 
 
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
    Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
   
 

  Disclaimer:
 
 
  Everyone posting to this
Forum bears the sole
  responsibility
  for any legal consequences

of his or her postings, and hence
 
  statements and facts must be presented
responsibly. Your
  continued membership
signifies that you agree
  to this
  disclaimer and pledge to abide by
  our Rules and
 
Guidelines.
 
 
  ---
 


  You received this message because you are
subscribed to
  the
  Google
Groups "Wanabidii"
  group.
 
  To unsubscribe
  from this group and stop receiving emails
 
  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options,
visit

https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 
 
 
  --
 

  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 

  Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 
 
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
    Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
   
 

  Disclaimer:
 
 
  Everyone posting to this
Forum bears the sole
  responsibility
  for any legal consequences

of his or her postings, and hence
 
  statements and facts must be presented
responsibly. Your
  continued membership
signifies that you agree
  to this
  disclaimer and pledge to abide by
  our Rules and
 
Guidelines.
 
 
  ---
 


  You received this message because you are
subscribed to
  the
  Google
Groups "Wanabidii"
  group.
 
  To unsubscribe
  from this group and stop receiving emails
 
  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options,
visit

https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 
 
 
 
  --

 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 

  Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 
 
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya
 
kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
 
Disclaimer:
 
 
  Everyone posting to this Forum bears the
sole
  responsibility
  for
any legal consequences
  of his or her
postings, and hence
 

statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you
agree
  to this
  disclaimer
and pledge to abide by
  our Rules and
  Guidelines.
 
 
  ---
 

 
  You received this
message because you are subscribed to

the
  Google Groups
"Wanabidii"
  group.
 
  To unsubscribe
  from this group and stop receiving emails
 
  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options,
visit

https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 
 
  --
 
 
Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 

  Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 
 
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya
 
kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
 
Disclaimer:
 
 
  Everyone posting to this Forum bears the
sole
  responsibility
  for
any legal consequences
  of his or her
postings, and hence
 

statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you
agree
  to this
  disclaimer
and pledge to abide by
  our Rules and
  Guidelines.
 
 
  ---
 

 
  You received this
message because you are subscribed to

the
  Google Groups
"Wanabidii"
  group.
 
  To unsubscribe
  from this group and stop receiving emails
 
  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options,
visit

https://groups.google.com/d/optout.
 
 
  --
  Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
  Kujiondoa Tuma Email
kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  Disclaimer:

Everyone posting to
  this Forum bears the
sole responsibility for any legal

consequences of his or her postings, and hence statements
  and facts must be presented responsibly. Your
continued
  membership signifies that you
agree to this disclaimer and
  pledge to
abide by our Rules and Guidelines.
  ---
  You received this message

because you are subscribed to the Google Groups
  "Wanabidii" group.

To unsubscribe
  from this group and stop
receiving emails from it, send an
  email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  For more options, visit

https://groups.google.com/d/optout.
 
    
 
 
  --
 
  Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda


  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
  kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences
of his or her postings, and hence

statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
to this
  disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
  Guidelines.


  ---
 

You received this message because you are subscribed to
the
  Google Groups "Wanabidii"
group.
 
  To unsubscribe
from this group and stop receiving emails

from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
 

--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

   


--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment