Tuesday, 25 November 2014

[wanabidii] KONGAMANO LA 31 LA KISAYANSI LAENDELEA MJINI BAGAMOYO

<span style="color: #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0825.jpg"><img class="size-full wp-image-122593 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0825.jpg" alt="DSC_0825" width="640" height="427" /></a></strong></em></span>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Maximilian Mapunda kutoka shirika la Afya Duniani (WHO-Country Officer) akiwasilisha mada kwenye kongamano hilo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Na Andrew Chale, Bagamoyo</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Pichani ni baadhi ya picha za matukio ya siku ya pili, jana Novemba 25 kwenye kongamano la Kisayansi la 31, '31th Annual Scientific Conference and Annual General Meeting'.. lililoandaliwa na Tanzania Public Health Association (TPHA).</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Mkutano huo unafanyika mjini hapa Bagamoyo katika Ukumbi wa Stella Maris, Bagamoyo, Pwani Tanzania.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Kongamano hilo la kisayansi la 31, limeanza Novemba 24  linatarajia kuwa la siku tano na kutarajia kumalizika Novemba 28 ambapo wataalamu wa afya na wadau watajadilina mambo mbalimbali ya afya hapa nchini.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0830.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122594" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0830.jpg" alt="DSC_0830" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Katibu Mtendaji wa TPHA Taifa, Dk. Oberlin Kisanga akiwasilisha mada maalum kwenye kongamano hilo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0852.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122598" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0852.jpg" alt="DSC_0852" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Dk. Ali Mzige mshiriki wa Kongamano la Kisayansi la 31, akiwasilisha mada maalum.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0848.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122595" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0848.jpg" alt="DSC_0848" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwenyekiti wa TPHA Taifa, Dk.Elihuruma Nangawe  akitoa ufafanuzi kwenye mada zinazotolewa na wajumbe kwenye kongamano hilo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0856.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122596" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0856.jpg" alt="DSC_0856" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Wajumbe wa kongamano hilo wakichangia mada.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong><a style="color: #000080;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0857.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122597" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0857.jpg" alt="DSC_0857" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Katibu Mtendaji wa TPHA Taifa, Dk. Oberlin Kisanga (kushoto) akifuatilia kwa makini kongamano hlo.</strong></em></span></p>

KAWAIDA

DSC_0825

Maximilian Mapunda kutoka shirika la Afya Duniani (WHO-Country Officer) akiwasilisha mada kwenye kongamano hilo.

Na Andrew Chale, Bagamoyo

Pichani ni baadhi ya picha za matukio ya siku ya pili, jana Novemba 25 kwenye kongamano la Kisayansi la 31, '31th Annual Scientific Conference and Annual General Meeting'.. lililoandaliwa na Tanzania Public Health Association (TPHA).

Mkutano huo unafanyika mjini hapa Bagamoyo katika Ukumbi wa Stella Maris, Bagamoyo, Pwani Tanzania.

Kongamano hilo la kisayansi la 31, limeanza Novemba 24  linatarajia kuwa la siku tano na kutarajia kumalizika Novemba 28 ambapo wataalamu wa afya na wadau watajadilina mambo mbalimbali ya afya hapa nchini.

DSC_0830

Katibu Mtendaji wa TPHA Taifa, Dk. Oberlin Kisanga akiwasilisha mada maalum kwenye kongamano hilo.

DSC_0852

Dk. Ali Mzige mshiriki wa Kongamano la Kisayansi la 31, akiwasilisha mada maalum.

DSC_0848

Mwenyekiti wa TPHA Taifa, Dk.Elihuruma Nangawe  akitoa ufafanuzi kwenye mada zinazotolewa na wajumbe kwenye kongamano hilo.

DSC_0856

Wajumbe wa kongamano hilo wakichangia mada.

DSC_0857

Katibu Mtendaji wa TPHA Taifa, Dk. Oberlin Kisanga (kushoto) akifuatilia kwa makini kongamano hlo.


--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

No comments:

Post a Comment