Sunday, 3 August 2014

Re: [wanabidii] MDAHALO KUJADILI UMUHIMU WA KUZINGATIA MAMBO YA MSINGI KATIKA MCHAKATO WA KUPATA KATIBA MPYA, JUMATATU TAREHE 4 AGOSTI 2014

Hii imekaa sawa


2014-08-03 18:18 GMT+03:00 'EDGAR Atubonekisye' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
MDAHALO    MDAHALO   MDAHALO   MDAHALO
JUMATATU TAREHE 4 AGOSTI 2014, Blue Peal Hotel, Ubungo Plaza
kuanzia saa 9.00 mchana hadi 12.00 jioni


 
Taasisi ya Mwalimu Nyerere imeandaa mdahalo kujadili umuhimu  wa kuzingatia mambo ya msingi katika mchakato wa kupata Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 
Wazungumzaji katika mdahalo huu ni pamoja na waliokuwa Makamishna wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba: Jaji Joseph S. Warioba, Mwenyekiti wa Tume, Dr. Salim Ahmed Salim, Mzee Joseph W. Butiku, Bi Mwantumu Malale, Prof. Palamagamba Kabudi, Ndugu Awadh Ali  Saidi, na Ndugu Humphrey Polepole. 


Wananchi wa kawaida na viongozi kutoka taasisi na asasi mbalimbali. zinazowakilisha jamii ya Watanzania ambazo ni pamoja na asasi za kiraia (NGOs), vyama vya siasa, madhehebu ya dini, wasomi, vyombo vya habari, taasisi za kitaaluma, vyama vya ushirika vya wakulima na wafugaji, vyama vya wafanyakazi,  n.k nyote mnakaribishwa.


                                 Muda na Mahali: JUMATATU TAREHE 4 AGOSTI 2014, kuanzia saa 8.30 mchana hadi 12.00 jioni,                         
                                              Blue Peal Hotel, Ubungo Plaza.    
                                            
Mdahalo utarushwa moja kwa moja na television ya ITV.

NYOTE MNAKARIBISHWA.

Edgar Atubonekisye
Assistant Programmes Officer, The Mwalimu Nyerere Foundation
+255 754 988 946

 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

No comments:

Post a Comment