WE WANT YOUR CHILDREN
In a 1987 issue of Gay Community News we find this quote:
"We shall sodomize your sons.... We shall seduce them in your schools, in your dormitories, in your gymnasiums, in your locker rooms, in your sports arenas, in your seminaries, in your youth groups, in your movie theater bathrooms, in your army bunkhouses, in your truck stops, in your all-male clubs, in your houses of Congress, wherever men are with men together. Your Sons shall become our minions and do our bidding. They will be recast in our image. They will come to crave and adore us.... All laws banning homosexual activity will be revoked. Instead, legislation shall be passed which engenders love between men. All homosexuals must stand together as brothers; we must be united artistically, philosophically, socially, politically, and financially. We will triumph only when we present a common face to the vicious heterosexual enemy....We will unmask the powerful homosexuals who masquerade as heterosexuals. You will he shocked and frightened when you find that your presidents and their sons, your industrialists, your senators, your mayors, your generals, your athletes, your film stars, your television personalities, [are not--Ed.] your civic heterosexual figures you assumed them to be. We are everywhere; we have infiltrated your ranks. Be careful when you speak of homosexuals because we are always among you; we may be sitting across the desk from you; we may be sleeping in the same bed with you....We shall conquer the world because warriors inspired by and banded together by homosexual love and honor are invincible as were the ancient Greek soldiers. The family unit will be abolished.... Perfect boys will be conceived and grown in the genetic Laboratory.... All churches who condemn us will be closed. Our holy gods are handsome young men....We shall rewrite history, history filled and debased with your heterosexual lies and distortions. We shall portray the homosexuality of the great leaders and thinkers who have shaped the world. We will demonstrate that homosexuality and intelligence and imagination are inextricably linked....We shall be victorious because we are fueled with the ferocious bitterness of the oppressed who have been forced to play seemingly bit parts in our dumb, heterosexual shows throughout the ages. We too are capable of firing guns and manning barricades of the ultimate revolution."
Does this quotation sound like homosexuality is "in the genes" or does it sound like perversion as the Bible says it is? Romans declares:
"For this cause God gave them up unto vile affections: for even their women did change the natural use into that which is against nature: And likewise also the men, leaving the natural use of the woman, burned in their lust one toward another; men with men working that which is unseemly, and receiving in themselves that recompence of their error which was meet....Who knowing the judgment of God, that they which commit such things are worthy of death, not only do the same, but have pleasure in them that do them." Rom 1:26-27
On Monday, June 23, 2014 10:34 PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Hayuogopi ushoga wala hauna nafasi yoyote katika uchumi wala utamaduni wetu.
Woga wetu ni viongozi wetu wanaoweza kuogopa kuwaudhi wezi wanaotuibia utajili wetu na kutudanganya na wanavyoita misaada. Huo ndio woga wetu ndiyo maana tunajadili ili kuwapa msimamo
On Monday, June 23, 2014 5:31 PM, 'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Ryoba-Mimi ni kati ya wale wanaokataa kunyanyasa na kunyanyapaa mashoga na watu wa mapenzi ya same sex kwa sababu nimefanya utafiti wa kuenea kwa sodomy Tanzania, nimesaidia matibabu na kusaidia kisheria watoto ndani ya shule waliopata kunyanyaswa ktk masuala ya sex-sexual violence.
Nimeelimika katika sula hili na hawa mashoga wamenielimisha sana. Nina marafiki ambao huwasaidia kimawazo wabadilike na kuwaunganisha na misaada ya matibabu na kuwasaidia fedha za matibabu.
Ninaona huwa tunachukua mchecheto na kupanda mori kuhusu suala hili. Mimi nnaona USA inasema au kutuomba tusiwanyanyase, kuwabagua, kuwaua au kuwafunga. Sidhani kama USA inatutaka tukubali ushoga ndio issue kuu-Ni kunyanyasa na kuonea ndio inataka tuahe maana community au biological formation ndio inawatengeneza hawa. Hawa tunawatengeneza wenyewe pia kwa kulawiti vitoto au watu wenye mahitaji tunatumia sex kama weapon.
Malezi ya nyumbani-kulaza watoto wadogo wa kiume na wakubwa wanaonea sexually wadogo kisha wanazoea (80%). Mlinzi, dreva wa watoto, houseboy analawiti ukiwa hujui kisha umbague? Dreva humfungi maisha unamfukuza kazi unapokuja kufahamu mtoto kazoea. Humsaki aliyemfanya hivyo. Housegirl au dada anasaga vitoto au wadogozake.
Katika utafiti wangu wa sodomy na pia ule wa sexual violence na wakutembea na wazoa taka mchana na usiku dsm nilipata ufahamu kuwa siku hizi kupata employment hata ya kuzoa takataka dsm rushwa ni ngono sio tena hela na ni hiyo sodomy. Kwa changu doa ngono bila condom au ya sodomy ndio highly paying. Wafanyayo haya ni waume za watu, waheshimiwa, watu wa dini, wenye hela, makampuni, hoteli wana kipato. Boyfriend anamwambia ukinipa TIGo nitakuoa. Lakini ilionyesha-boyfriend hakuoa yule aliyeanza naye sodomy (100%). Msichana aliharibika pia kuzoea mchezo huo na kuzoesha wengine na shoga hata kukubali kumlipa mtu amshanyie hivyo. Wapo shoga ambao ni impotent, shoga double (anafanya mchezo na anafanywa hivyo), shoga shoga na kuna basha-apendao mashoga; basha jambazi-anayewarape mashoga; kuwavunja uume shoga double na kupiga mashoga. Mashoga wanasimulia wanavyolawitiwa wanapokamatwa na kuingizwa mahabusu TZ. Wanabaka na polisi kukomolewa na mahabusu wanaowaambia wawashughulikie si wanataka mchezo huo. hii sihaki ni uonevu mtu ambaye ana bwana mmoja
anabakwa na watu mbalimbali wenye maumbile wengine ya mateso makubwa-wanasimulia wenyewe.
Kama ikitokea Mungu awape uwezo mashoga waweze kusimama na kujionyesha na kuweza kutaja mabwana zao-hii nchi haitakalika, itaingia vitani watu kuchomeana nyumba na kupigana mawe mtu na jirani yake, mume wa mtu na bosi wa mkewe ay mwanae, kijana wake.
Tuombe hii isitokee kufahamu nani alimharibu mtoto wa nani, ni mtu wa category gani lakini amempangia shoga mtoto sana au shoga msomi na baba mtu mzima ni mwanaume hawara ya mwanaume mwingine. Tutafahamu mwanasheria gani huwa anatembea na mashoga ndio mchezo wake. Au kiongozi gani ni basha na kamsaidia madaraka shoga wake gani ambaye yupo katika madaraka ya chama gani.
Watoto walalao mitaani wanateswa sana na watu na akili zao kulawitiwa. Watoto in rural areas wanaotembea mwendo mrefu kwenda na kurudi shule wanateswa na mibaba mijitu mizima inawalawiti kwa kuwavizia na kuwatiska kama watasema. Pamoja na kuwa kuwa watoto wanaoonea wenzao, watu wazima ni waovu zaidi.
Hatusaidii wanawake na wanaume wenye kasoro za maumbile kwa homoni. Wapo wanawake na wanaume nje
Ninaona huwa tunachukua mchecheto na kupanda mori kuhusu suala hili. Mimi nnaona USA inasema au kutuomba tusiwanyanyase, kuwabagua, kuwaua au kuwafunga. Sidhani kama USA inatutaka tukubali ushoga ndio issue kuu-Ni kunyanyasa na kuonea ndio inataka tuahe maana community au biological formation ndio inawatengeneza hawa. Hawa tunawatengeneza wenyewe pia kwa kulawiti vitoto au watu wenye mahitaji tunatumia sex kama weapon.
Malezi ya nyumbani-kulaza watoto wadogo wa kiume na wakubwa wanaonea sexually wadogo kisha wanazoea (80%). Mlinzi, dreva wa watoto, houseboy analawiti ukiwa hujui kisha umbague? Dreva humfungi maisha unamfukuza kazi unapokuja kufahamu mtoto kazoea. Humsaki aliyemfanya hivyo. Housegirl au dada anasaga vitoto au wadogozake.
Katika utafiti wangu wa sodomy na pia ule wa sexual violence na wakutembea na wazoa taka mchana na usiku dsm nilipata ufahamu kuwa siku hizi kupata employment hata ya kuzoa takataka dsm rushwa ni ngono sio tena hela na ni hiyo sodomy. Kwa changu doa ngono bila condom au ya sodomy ndio highly paying. Wafanyayo haya ni waume za watu, waheshimiwa, watu wa dini, wenye hela, makampuni, hoteli wana kipato. Boyfriend anamwambia ukinipa TIGo nitakuoa. Lakini ilionyesha-boyfriend hakuoa yule aliyeanza naye sodomy (100%). Msichana aliharibika pia kuzoea mchezo huo na kuzoesha wengine na shoga hata kukubali kumlipa mtu amshanyie hivyo. Wapo shoga ambao ni impotent, shoga double (anafanya mchezo na anafanywa hivyo), shoga shoga na kuna basha-apendao mashoga; basha jambazi-anayewarape mashoga; kuwavunja uume shoga double na kupiga mashoga. Mashoga wanasimulia wanavyolawitiwa wanapokamatwa na kuingizwa mahabusu TZ. Wanabaka na polisi kukomolewa na mahabusu wanaowaambia wawashughulikie si wanataka mchezo huo. hii sihaki ni uonevu mtu ambaye ana bwana mmoja
anabakwa na watu mbalimbali wenye maumbile wengine ya mateso makubwa-wanasimulia wenyewe.
Kama ikitokea Mungu awape uwezo mashoga waweze kusimama na kujionyesha na kuweza kutaja mabwana zao-hii nchi haitakalika, itaingia vitani watu kuchomeana nyumba na kupigana mawe mtu na jirani yake, mume wa mtu na bosi wa mkewe ay mwanae, kijana wake.
Tuombe hii isitokee kufahamu nani alimharibu mtoto wa nani, ni mtu wa category gani lakini amempangia shoga mtoto sana au shoga msomi na baba mtu mzima ni mwanaume hawara ya mwanaume mwingine. Tutafahamu mwanasheria gani huwa anatembea na mashoga ndio mchezo wake. Au kiongozi gani ni basha na kamsaidia madaraka shoga wake gani ambaye yupo katika madaraka ya chama gani.
Watoto walalao mitaani wanateswa sana na watu na akili zao kulawitiwa. Watoto in rural areas wanaotembea mwendo mrefu kwenda na kurudi shule wanateswa na mibaba mijitu mizima inawalawiti kwa kuwavizia na kuwatiska kama watasema. Pamoja na kuwa kuwa watoto wanaoonea wenzao, watu wazima ni waovu zaidi.
Hatusaidii wanawake na wanaume wenye kasoro za maumbile kwa homoni. Wapo wanawake na wanaume nje
ndani homoni za jinsia tofauti zinawasumbua. Wapo wale ambao wana sex organs mbili. Huyu ana msaada gani kutoka kwetu? Wazee wa mila walikuwa wanawavunja lakini siku hizi tunawaficha hatuna tribal customs tunazozifuata na kuwasaidia. Hospitali gharama, privacy ndogo. Mbona wapo wanaume wenye mbili na wana matiti wameoa? Wake zao wanawafichia siri na wapo wanawake wenye 2 nao wamezaa na wanazalisha wanawake wenzao? Tena kundi hili na wanawake wenye 2 wanaonewa sana na wanaume ktk kunyanganyiana wanawake na kuwafanyia mipango ya kuwabaka ili kuwakomoa. Wapo wanaume wameoa wanafamilia lakini pamoja na hayo hisia kutokana na homoni walizonazo nyingi za estrogen zinawafanya wawe na partners wa kiume wenzao. Wapo mke anafahamu nyendo hizo na wale ambao mke hafahamu kabisa. Nilimgundua dada mwenye matatizo ya homoni nikaomba muuza genge aniunganishe. Alikuwa mkali kama mbogo kwanza alitaka nimfahamishe nimemgunduaje kama ana matatizo, matatizo gani nimueleze ndio akubali kuongea na nami. Nikamtumia ka sms na kumueleza nimemuonaje na kama anataka nimsaidie au laa hiyari yake. Kweli aliniita na tulikaa muda mrefu akanieleza alivyoteseka maishani kutoka baba na ndugu kumtenga na alivyo jisomesha mwenyewe hadi form 6 lakini anaosha magari. Alinieleza anavyoishi kwa tabu kiwarani. Huyu ana wasichana-girlfriends. Utalia akikusimulia maisha yake yalivyokuwa. Kwa nni tuwatese? Tuwasaidie medically and socially kwa kujiajiri. Cha kufurahisha, anakosha magari katika open space fulani ni employment na anakoga na wavulana waoshao magari bafu moja, anavaa nguo wapo, wamemkubali na wala hawambaki. Walimbagua mwanzoni lakini sasa ni kama mwanaume mwenzao pamoja kwamba ana maumbile yote ya kike nje.
Huyu dada, alinionyesha wengine kama yeye na wenye mbili pia ambao nilikuwa nikipishana nao nikiwatazama kwa mashaka kumbe sahihi.
Bisexual, transgender na gays-ni wengi hapa bongo kama walivyo sehemu nyingi duniani. Misaada ijayo kupitia taasisi na vyama fulani vilivyo mafichoni haiwafikii inaliwa na wachache bila kuwapa huduma ya hospitali, employment.
Ni upumbavu wa wanawake-pumba kabisa kama wakifumania gay na waume zao humpiga gay na kuharibu vifaa vya chumba chake badala ya kumpiga mume aliyeharibu katoto na aliyefumaniwa-eti analinda ndoa!! Unalinda ndoa gani kwa upumbavu wa kumlea basha? Mbona mabasha hawafungwi au kuonewa? TUSIWAONEE, TUWASAIDIE HATA KUGHARIMIA MABIBABU YA HOMONI, OPERESHENI, KUWAPA ELIMU WALIOTENGWA NA WAZAZI KWA KUWA NA SEX MBILI WANAONEKANA MKOSI KUMBE WANGEKUWA MAPACHA BALI BIOLOGOCAL FORMATION IMECHANGANYIKIWA/KUCHANGANYWA KUTOKANA NA MATATIZO YA MAMA WAKATI KIUMBE KIKITENGENEZWA.
Tunapokuta mtu mzima au kijana amebaka ktoto, kulawiti-kwa nini apewe dhamana na ndugu wamuwekee dhamana atoke rumande mahala ambapo evidence zipo katenda. kisha tumuonee shoga au aliyebakwa/lawitiwa kwa stigma? Ndio maana wazazi wengine mtoto akibakwa au kulawitiwa wanaficha kesi na kutaka imalizwe kienyeji ili wasipate stigma ya kutoka jamii na mtoto wao akose mume au adharauliwe. Ukifuatilia kesi hizi in villages-hata viongozi wa villages hawapendi eti unaaibisha kijiji chao na uongozi wao. Walawiti na wabakajei wanabaki wanapeta mnamuona na kitoto kinakuwa mcharuko kamezoea. Issue ni tusiwaonee, ukiwanea kama nchi na kutunga sheria za ukatili-hutopata misaada ya Obama na wale wanaounga sera zake za kukataa uonevu jinsia na hawa wenye hisia tofauti. Sikubaliani na kuhalalisha bali tuwasaidie katika kuleta mabadiliko. Mungu alichoma sodoma na gomora, akatunga ari zake 10 kukataza pamoa na matendo ya ulawiti/usagaji, wizi michepuko etc. Hatutobadili tabia mbaya kwa kuua au kufunga na ndio maana pamoja na kunyonga, kuua kwa kupiga mawe mwanaume au mwanamke kwa nchi za siasa kali na zetu-wizi wa silaha upo, ubakaji,mauaji yapo, vita haviishi, kuua albino kupo, kupora kwa silaha mchana kweupe na kulawiti kunakofanywa hata na watu wa dini wa imani mbalimbali. Tutafute mbinu mbadala ya kuleta mabadiliko sustainable.
Samahani-huwa inaniumiza kuona wanaonewa wakati tunawatengeneza. Katoto ka std 3 kana kuandikia-kaka huwa ananiingiza mdudu wake matakoni ananitishia nisimwambie baba au mama; nikienda mtoni kila mara mzee fulani ananifuata ananiingilia-mdudu wangu anawasha na matakoni nina vidonda na usaha ninaomba msaada!! File limejeaa maneno haya na matatizo ya kubakwa watoto vijijini sio mijini tu. Tubadilike. Yapo makabla yanaongoza kupangia mashoga kutokana na kutokutaka kuswagiziwa watoto au matunzo ya watoto. Huwezi kuamini na wanasali sana!
Huyu dada, alinionyesha wengine kama yeye na wenye mbili pia ambao nilikuwa nikipishana nao nikiwatazama kwa mashaka kumbe sahihi.
Bisexual, transgender na gays-ni wengi hapa bongo kama walivyo sehemu nyingi duniani. Misaada ijayo kupitia taasisi na vyama fulani vilivyo mafichoni haiwafikii inaliwa na wachache bila kuwapa huduma ya hospitali, employment.
Ni upumbavu wa wanawake-pumba kabisa kama wakifumania gay na waume zao humpiga gay na kuharibu vifaa vya chumba chake badala ya kumpiga mume aliyeharibu katoto na aliyefumaniwa-eti analinda ndoa!! Unalinda ndoa gani kwa upumbavu wa kumlea basha? Mbona mabasha hawafungwi au kuonewa? TUSIWAONEE, TUWASAIDIE HATA KUGHARIMIA MABIBABU YA HOMONI, OPERESHENI, KUWAPA ELIMU WALIOTENGWA NA WAZAZI KWA KUWA NA SEX MBILI WANAONEKANA MKOSI KUMBE WANGEKUWA MAPACHA BALI BIOLOGOCAL FORMATION IMECHANGANYIKIWA/KUCHANGANYWA KUTOKANA NA MATATIZO YA MAMA WAKATI KIUMBE KIKITENGENEZWA.
Tunapokuta mtu mzima au kijana amebaka ktoto, kulawiti-kwa nini apewe dhamana na ndugu wamuwekee dhamana atoke rumande mahala ambapo evidence zipo katenda. kisha tumuonee shoga au aliyebakwa/lawitiwa kwa stigma? Ndio maana wazazi wengine mtoto akibakwa au kulawitiwa wanaficha kesi na kutaka imalizwe kienyeji ili wasipate stigma ya kutoka jamii na mtoto wao akose mume au adharauliwe. Ukifuatilia kesi hizi in villages-hata viongozi wa villages hawapendi eti unaaibisha kijiji chao na uongozi wao. Walawiti na wabakajei wanabaki wanapeta mnamuona na kitoto kinakuwa mcharuko kamezoea. Issue ni tusiwaonee, ukiwanea kama nchi na kutunga sheria za ukatili-hutopata misaada ya Obama na wale wanaounga sera zake za kukataa uonevu jinsia na hawa wenye hisia tofauti. Sikubaliani na kuhalalisha bali tuwasaidie katika kuleta mabadiliko. Mungu alichoma sodoma na gomora, akatunga ari zake 10 kukataza pamoa na matendo ya ulawiti/usagaji, wizi michepuko etc. Hatutobadili tabia mbaya kwa kuua au kufunga na ndio maana pamoja na kunyonga, kuua kwa kupiga mawe mwanaume au mwanamke kwa nchi za siasa kali na zetu-wizi wa silaha upo, ubakaji,mauaji yapo, vita haviishi, kuua albino kupo, kupora kwa silaha mchana kweupe na kulawiti kunakofanywa hata na watu wa dini wa imani mbalimbali. Tutafute mbinu mbadala ya kuleta mabadiliko sustainable.
Samahani-huwa inaniumiza kuona wanaonewa wakati tunawatengeneza. Katoto ka std 3 kana kuandikia-kaka huwa ananiingiza mdudu wake matakoni ananitishia nisimwambie baba au mama; nikienda mtoni kila mara mzee fulani ananifuata ananiingilia-mdudu wangu anawasha na matakoni nina vidonda na usaha ninaomba msaada!! File limejeaa maneno haya na matatizo ya kubakwa watoto vijijini sio mijini tu. Tubadilike. Yapo makabla yanaongoza kupangia mashoga kutokana na kutokutaka kuswagiziwa watoto au matunzo ya watoto. Huwezi kuamini na wanasali sana!
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
No comments:
Post a Comment