Hizi dawa haziwezi kupata soko la uhakika bongo, bado watu wanaamini
kitambi ni utajiri na afya njema. Mwenye kitambi ndiye mwenye hela
mingi, mwenye kitambi ndiye hana ukimwi alafu utegemee solo hapa?!
Hapa leta dawa za kuongeza vitambi tu
On 2/5/14, Mwema Felix <mwema.felix@gmail.com> wrote:
> Ms. Linda Lönnqvist
>
> Niliandika ujumbe "mkali" ila nimeamua nisiutume kwasababu hauta saidia.
> Kwanza umenitusi mimi kwa kufananisha tangazo nililotoa na "scam". Asante!!
>
> Kwa taarifa yako, mimi siyo "yahoo-yahoo boy" wala "scammer". Mimi ni mtu
> wa heshima zangu. Siwezi kujihusisha na maskamu hata siku moja. Tena naomba
> unitake radhi, tafadhari.
>
> Pili umeamini "findings" za mtu mwingine aliyehamasisha kufanya mazoezi na
> siyo kutumia dawa kwakuwa "it costs you nothing". Unaamini vipi pendekezo
> lake lakini unakataa la dawa ninalokupa mimi? Kwani dawa hizi natengeneza
> mimi kwa mitishamba?
>
> Kuna watu, ashakum si matusi, ni wanene kiasi cha kushindwa hata kutembea
> angalau kufanya "hayo mazoezi" unayowashauri - wafanyaje? Unataka wafe
> vitandani?
>
> Kutokana na yote yaliyotokea kuanzia nilipotuma lile tangazo, naomba
> mnisamehe. Limenishuka mie!!!
>
> Nimekomaje!
>
>
>
> On Wed, Feb 5, 2014 at 7:23 PM, Linda Lönnqvist
> <linda.lonnqvist@kepa.fi>wrote:
>
>>
>>
>> Hello Soraya and Felix and everyone,
>>
>> I'm really happy to see Soraya questioning this miracle medicine claim! I
>> think she's absolutely right that it's a scam. It fulfills two of the
>> characteristics of scams: 1) it's written in capital letters, 2) it
>> claims
>> to have miraculous effects but without giving any kind of evidence,
>> references or even explanations, 3) it wants you to pay a lot of money
>> for
>> this unvalidated benefit.
>>
>>
>>
>> Just to inform people, this miracle medicine announcement is also false
>> because there's no way to reduce 'belly fat'. If you lose fat (by
>> consuming more calories than you take in) it will reduce fat all over
>> your
>> body - there is no way (aside from liposuction) to remove fat from just
>> one
>> part of the body. I learned this from reading the book by public health
>> professor Tim Caulfield, "The Cure for Everything: Untangling the twisted
>> messages about health, fitness and
>> happiness<http://www.penguin.ca/nf/Book/BookDisplay/0,,9780670065233,00.html>".
>> He's done plenty of research. Other interesting health facts from the
>> book
>> include: 1) it's really difficult to burn fat by exercise. So if you want
>> to lose weight, the best way is to eat less normal food (and no junk
>> food,
>> sodas, sweets, deep fried stuff); 2) when you do exercise - which you
>> should, because it keeps you healthy and happy - it's best to do hard
>> exercise and resistance training and you don't need to do it for a long
>> time - there's not much point going on long jogs and yoga, except for the
>> enjoyment; 3) also there are no miracle diets; and 4) 'alternative
>> medicine' doesn't work, while mainstream pharmaceuticals companies twist
>> the research to sell their medicines. This guy's done the hard work of
>> researching how to get fit on our behalf, I can recommend it.
>>
>>
>>
>> Happy training!
>>
>> Linda
>>
>>
>>
>> Ms Linda Lönnqvist
>>
>> Development Policy Officer
>>
>> Kepa, the Finnish NGO platform
>>
>>
>>
>> __._,_.___
>> Reply via web
>> post<http://groups.yahoo.com/group/Wanazuoni/post;_ylc=X3oDMTJyc2JzM2xsBF9TAzk3MzU5NzE0BGdycElkAzIwNjc0NjMzBGdycHNwSWQDMTcwNTQ0NDU4MwRtc2dJZAMyMjYwMARzZWMDZnRyBHNsawNycGx5BHN0aW1lAzEzOTE2MDMwMzk-?act=reply&messageNum=22600>
>> Reply
>> to sender
>> <Linda.Lonnqvist@kepa.fi?subject=Re%3A%20DAWA%20YA%20FUCO%20HERBAL%20YENYE%20UWEZO%20WA%20KUPUNGUZA%20UNENE%20NA%20KUKATA%20MAF>
>> Reply
>> to group
>> <Wanazuoni@yahoogroups.com?subject=Re%3A%20DAWA%20YA%20FUCO%20HERBAL%20YENYE%20UWEZO%20WA%20KUPUNGUZA%20UNENE%20NA%20KUKATA%20MAF>
>> Start
>> a New
>> Topic<http://groups.yahoo.com/group/Wanazuoni/post;_ylc=X3oDMTJmOGxmdnIzBF9TAzk3MzU5NzE0BGdycElkAzIwNjc0NjMzBGdycHNwSWQDMTcwNTQ0NDU4MwRzZWMDZnRyBHNsawNudHBjBHN0aW1lAzEzOTE2MDMwMzk->
>> Messages
>> in this
>> topic<http://groups.yahoo.com/group/Wanazuoni/message/22600;_ylc=X3oDMTM3cTJjYzRpBF9TAzk3MzU5NzE0BGdycElkAzIwNjc0NjMzBGdycHNwSWQDMTcwNTQ0NDU4MwRtc2dJZAMyMjYwMARzZWMDZnRyBHNsawN2dHBjBHN0aW1lAzEzOTE2MDMwMzkEdHBjSWQDMjI2MDA->(1)
>> Visit Your
>> Group<http://groups.yahoo.com/group/Wanazuoni;_ylc=X3oDMTJmOGlndW03BF9TAzk3MzU5NzE0BGdycElkAzIwNjc0NjMzBGdycHNwSWQDMTcwNTQ0NDU4MwRzZWMDdnRsBHNsawN2Z2hwBHN0aW1lAzEzOTE2MDMwMzk->
>>
>> - New
>> Members<http://groups.yahoo.com/group/Wanazuoni/members;_ylc=X3oDMTJnc2F2aW1sBF9TAzk3MzU5NzE0BGdycElkAzIwNjc0NjMzBGdycHNwSWQDMTcwNTQ0NDU4MwRzZWMDdnRsBHNsawN2bWJycwRzdGltZQMxMzkxNjAzMDM5?o=6>
>> 2
>>
>> [image: Yahoo!
>> Groups]<http://groups.yahoo.com/;_ylc=X3oDMTJlcWxqYmYwBF9TAzk3NDc2NTkwBGdycElkAzIwNjc0NjMzBGdycHNwSWQDMTcwNTQ0NDU4MwRzZWMDZnRyBHNsawNnZnAEc3RpbWUDMTM5MTYwMzAzOQ-->
>> * Privacy <http://info.yahoo.com/privacy/us/yahoo/groups/details.html> *
>> Unsubscribe <Wanazuoni-unsubscribe@yahoogroups.com?subject=Unsubscribe> *
>> Terms
>> of Use <http://info.yahoo.com/legal/us/yahoo/utos/terms/>
>> .
>>
>> __,_._,___
>>
>
> --
> Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
> Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>
> MUHIMU KWA WANACHAMA WOTE: Jukwaa hili litafungwa hivi karibuni hivyo hii ni
> taarifa ya Mwisho kwako kuhakikisha unajisajili www.mabadiliko.com
>
> For more options, visit this group at:
> http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Mabadiliko Forum" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
> To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
> Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
--
mission without implementation is hallucination
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
No comments:
Post a Comment