Ndugu zangu,
Leo hii, katika siku yake ya kuzaliwa na hata kufikisha miaka 95 nimeona haja ya kuendelea na simulizi za Mzee Madiba. Kwanza kabisa niwape bashraf ya simulizi ( Bashraf ni sawa na mrejesho)
Naam, ikumbukwe, kuwa Mandela alifika Dar es Salaam kwa mara ya kwanza mwaka 1962. Na wakati huo Mandela hakuwa Rais wa ANC. Rais wa ANC aliitwa Oliver Tambo.
Akitokea Dar es Salaam, Mandela Akafanya safari kwenda....Soma zaidi...http://www.mjengwablog.com/habari-za-kijamii/item/4020-simulizi-za-mzee-madiba-mandela-alimwokoa-mwajiri-wake-wa-zamani-uwanja-wa-ndege.html#.Ueeoj22CDTo
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
No comments:
Post a Comment