Simulizi Za Mzee Madiba; Mandela Alipokutana Na ' Simba Wa Yudah...'
Na Maggid Mjengwa,
Ndugu zangu,
Kwenye safari yake ya kwenda Ethiopia tumeona, kuwa Nelson Mandela alitua kwanza Kharthoum, Sudan. Basi, akiwa pale Sudan, baadae akaelekea Ghana. Kule Ghana Mandela alikutana na Oliver Tambo, kiongozi wa ANC aliyekuwa akiishi na kufanya kazi za ANC akiwa mafichoni. Nje ya Afrika Kusini.
Mandela alikuwa hajaonana na Oliver Tambo yapata miaka miwili. Alishangaa kumwona Oliver Tambo amebadilika, si yule aliyekuwa akitokea katika staili ya kihafidhina. Oliver Tambo akawa ni mtu...soma zaidi....http://www.mjengwablog.com/habari-za-kijamii/item/4041-simulizi-za-mzee-madiba-mandela-alipokutana-na-simba-wa-yudah.html#.UejRQ22CDTo
-- Na Maggid Mjengwa,
Ndugu zangu,
Kwenye safari yake ya kwenda Ethiopia tumeona, kuwa Nelson Mandela alitua kwanza Kharthoum, Sudan. Basi, akiwa pale Sudan, baadae akaelekea Ghana. Kule Ghana Mandela alikutana na Oliver Tambo, kiongozi wa ANC aliyekuwa akiishi na kufanya kazi za ANC akiwa mafichoni. Nje ya Afrika Kusini.
Mandela alikuwa hajaonana na Oliver Tambo yapata miaka miwili. Alishangaa kumwona Oliver Tambo amebadilika, si yule aliyekuwa akitokea katika staili ya kihafidhina. Oliver Tambo akawa ni mtu...soma zaidi....http://www.mjengwablog.com/habari-za-kijamii/item/4041-simulizi-za-mzee-madiba-mandela-alipokutana-na-simba-wa-yudah.html#.UejRQ22CDTo
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment