Monday, 22 July 2013

Re: [wanabidii] RAIS WA MALAWI JOYCE BANDA AKIMPIGIA GOTI RAIS KIKWETE

Mla za kiafrika wakati mwingine zinamtaka mwanamke kupiga magoti anapowasiliana na mwanamme. ndicho Joyce anakifanya. lakini kwa mamlaka yake kama Rais wa nchi ndiko anakofanyia jeuri na mimi napenda kumpongeza kwa tabia hizo mbili.

From: Yona Maro <oldmoshi@gmail.com>
To: wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>; Wanazuoni <wanazuoni@yahoogroups.com>
Sent: Monday, July 22, 2013 7:53 PM
Subject: [wanabidii] RAIS WA MALAWI JOYCE BANDA AKIMPIGIA GOTI RAIS KIKWETE

Angalia rais joyce banda wa malawi alivyompigia goti rais kikwete wakati wa salamu katika kikao cha wakuu wa SADC .

Sasa jeuri na propaganda sijui anazitoa wapi .

--
Find Jobs in Africa Jobs in Africa
International Job Opportunities International Job Opportunities
Jobs in Kenya Jobs in Kenya

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


No comments:

Post a Comment