Wanabidii Place
Sunday, 28 April 2013
[wanabidii] mafunzo ya jkt hayajafaa kitu kwa wabunge
mbona tuliambiwa wabunge wanakwenda jkt kupata mafunzo ya kujifunza uzalendo.
mbona sasa fujo zinaongezeka bungeni, huo ndio uzalendo? au walikwenda kujifunza sakarasi za kumrukia spika kwenye kiti chake?
0 comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
View mobile version
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment