Wanabidii Place
Thursday, 30 August 2012
[wanabidii] Re: Msaada tutani
Ndugu wanabidii,
Naomba mwenye takwimu au anayejua sehemu ya kupata takwimu juu ya idadi ya watanzani walioajiriwa kwenye sekta binafsi na umma kwa miaka mitatu iliyopita anisaidie.
Natanguliza shukrani,
EK
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment