Yona,
Tusiishie hapo, pia tuelewe zimejengwa kwa ufadhili/sisi wenyewe? na
kama ni wafadhili, ni vyema tukijua kwa asilimia ngapi tulipewa.
On 7/22/12, Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:
> Ndugu zangu
>
> Naomba Mwenye orodha ya miradi iliyokamilika ya Rais Jakaya Mrisho
> kikwete toka ameingia madarakani au ambayo inakaribia kukamilika .
>
> Nimeambiwa kipindi chake barabara nyingi sana zimejengwa na nyingine
> kupanuliwa ni zipi hizo kwa mfano na kwa kiwango urefu gani ?
>
> --
> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
>
>
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
No comments:
Post a Comment