Monday, 31 July 2017

[wanabidii] Stori-SERIKALI, WADAU KUANDAA RIPOTI YA KWANZA YA KITAIFA YA UTEKELEZAJI WA HAKI ZA WATU WENYE ULEMAVU NCHINI

Habari wakuu
Kama mnavyojua Serikali ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania imesaini mikataba mbalimbali ya Utekelezaji wa Haki za Binadamu ikiwemo Mkataba wa Haki za Watu wenye Ulemavu ambapo nchi iliridhia mwaka 2009.
Kwa muktadha huo,kwa mara ya kwanza Serikali na wadau wanaandaa ripoti ya kitaifa na kwa sasa ipo katika hatua za awali.
Nimeambatisha stori kwa rejea na kusambaza kwa wengine ipasavyo.
Natanguliza shukrani
Asiatu Msuya- Afisa Mawasiliano Ofisi ya AG

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] Stori-SERIKALI, WADAU KUANDAA RIPOTI YA KWANZA YA KITAIFA YA UTEKELEZAJI WA HAKI ZA WATU WENYE ULEMAVU NCHINI"

[wanabidii] News Digest: RBI slaps Rs 1 crore penalty on Union Bank for KYC non-compliance

THE TIMES OF INDIA
Monday, July 31, 2017
Today's Headlines

RBI slaps Rs 1 crore penalty on Union Bank for KYC non-compliance
The central bank said it had examined the documents regarding the complaint and notice was issued to the state- owned lender. The bank was asked to show cause "as to why penalty should not be imposed" for non-compliance with directions issued by the RBI.

Sensex, Nifty rise sharply, close above psychological marks
The 30-share BSE Sensex surged 205.06 points to close at 32,514.94 while the broader 50-share NSE Nifty gained 62.60 points to end at 10,077.10. Thus, both Sensex and Nifty managed to stay above the psychological marks of 32,500 and 10,050 respectively.

Infosys stresses upon investing heavily in Europe, hiring locals
"We are continuing to invest fairly heavily in Europe in terms of local hiring, in terms of beefing up our hunting and our farming teams for our accounts," Infosys President and Head (Financial Services) Mohit Joshi said on an investor call.

More Business News»

Centre launches sanitation survey for 2018

Tiger population facing threats from deadly snare traps
Tigers in Asian forests face a greater threat from deadly snare traps than guns, wildlife conservation organisations have warned, urging authorities to crack down on the "severe snaring crisis" in forests across the continent.

Pollution clouds Gambia's efforts to woo China
The Gambia in West Africa is courting Beijing's attention after re-establishing diplomatic relations last year, but villagers and activists say Chinese investment is a double-edged sword as they fight a firm accused of dumping waste.

More Environment News»

China tells Trump not to link trade to North Korea
"We believe that the North Korea nuclear issue and China-US trade are two issues that are in two completely different domains," vice minister of commerce Qian Keming said on Monday.

Blasts, gunfire rock Afghan capital Kabul
At least four explosions, along with the sounds of gunfire and grenades, were heard by residents near Iraqi embassy in Kabul. The attack is the latest to rock Kabul, and comes as the resurgent Taliban ramp up their offensive across the country during the warmer weather fighting season.

Pak interim PM nominee facing Rs 220bn graft inquiry
The ruling PML-N party's interim prime minister nominee Shahid Khaqan Abbasi is facing a Rs 220 billion corruption inquiry by Pakistan's National Accountability Bureau over an LNG contract, according to a media report.

More World News»

There could be alien life on Titan: Study
The Cornell University research provided the first indisputable evidence of the presence of a molecule - acrylonitrile - on Titan, which researchers theorized could be key to life on the methane-based, oxygen-free moon of Saturn.

Isro sows seeds of future interstellar missions
Indian Space Research Organisation (Isro) became part of a global project that will help bring star travel closer to reality, when its PSLV C38 rocket launched six prototypes of tiny interstellar spacecraft, or sprites, into low-earth orbit on June 23 this year.

Artificial insemination ups chance of successful pregnancy by 22%
A study indicated that artificial insemination, also known as intrauterine insemination (IUI), raises a couple's likelihood of have a successful pregnancy from nine to 31 percent, if they have been trying to conceive for three months.

More Science News»

Nokia 3 price leaked ahead of official launch
HMD Global is all geared up to launch its latest Nokia branded Android smartphone – Nokia 8 on August 16.

OnePlus 5 users facing battery issues after emergency call bug fix
A few OnePlus 5 users have complained about battery issues after an OTA update.

Snapdeal to announce huge job cuts, to slash 80% workforce
E-commerce major Snapdeal on Monday revealed that it is facilitating a major layoff in the company, with an agenda to cut down 80 percent of its employee strength.

More Technology News»

Soon, a demat account for your education certificates
In a revolutionary move that will benefit students, recruiters and educational institutions, an arm of depository services provider National Securities Depository Limited (NSDL) has started the process of dematerialising education certificates.

Nalanda University VC calls for development of villages
An inclusive growth is possible only when the country's villages are developed, said the VC of the Bihar- based Nalanda university, Vijay Bhatkar.

Research no longer must for promotion of college professors, HRD minister Prakash Javadekar says

More Education News»

Plot owners also liable under RERA: Maharashtra tells HC
State govt on Monday told Bombay High Court that plot owners are covered by the definition of a promoter under Real Estate (Regulation and Development ) Act if they take part in the construction and also in the sale of flats.

Bombay HC: Rera applicability to be restated; Centre, state to file reply

Mumbai: Rs 20 crore plan to make Versova beach into Miami

More Mumbai News»

Delhi court summons Ola, Uber as accused
A Delhi court today summoned as accused app-based cab service providers, including Ola and Uber, for allegedly violating permit rules.

Soon, travel from Delhi to Chandigarh in two hours
The Delhi-Chandigarh corridor, one of the busiest routes in north India, is slated to be first semi-high speed project being taken up by the state-owned transporter to run trains at maximum speeds of 200 kmph with French help.

Fire breaks out in Shastri Bhawan, none injured
A fire on Monday broke out in Shastri Bhawan in central Delhi after a short circuit in an air conditioner, police said.

More Delhi News»

Six boys assault girl, cops took 10 days to file FIR

Rare cheer for tomato farmers in Karnataka but slump in yield a worry
Truckloads of tomatoes dumped on the Bengaluru-Kolar highway: that's the scene farmers in Kolar are used to, reeling under losses due to low prices in the market and lack of a minimum support price.

Coastal authority seeks action against ex-DG HNS Rao's wife
Property matter

More Bangalore News»

Pawan Kalyan appointed as 'Jeevan Dhaan' brand ambassador

Police constable, 5 others held for rioting near MIM headquarters
Habeebnagar police have arrested six persons, including a reserve police constable and a railway employee in connection with a rioting case near Majlis-e-Ithehad-ul-Muslimeen (MIM) party headquarters at Darussalam.

14,000 cases pending with Telangana info panel
There are 14,000 cases pending with the state information commission.This, acitivists feel, is partly because AP and Telangana do not have chief information and information commissioners.

More Hyderabad News»

Visitors not allowed to take photos inside Abdul Kalam's memorial in Rameswaram
People who visited former President APJ Abdul Kalam’s memorial at Peikarumbu in Rameswaram on Monday were not allowed to take photographs or selfies inside the structure.

85% reservation in medical admission: Madras HC dismisses TN govt's appeal
As a setback to the Tamil Nadu government which is exploiting all the available avenues to do away with NEET for its students, the Madras high court on Monday dismissed an appeal moved by the state assailing a single judge order quashing 85% reservation provided in the government quota of UG medical seats to students from state board.

No AIADMK unification unless Panneerselvam is made party chief, OPS faction says
The OPS faction -- AIADMK (Puratchi Thalaivi Amma) -- says it is ready to force an election to prove its strength within the party and support of the people.

More Chennai News»

Teenager from Patan with multiple fractures rescued
A quick mid-air decision by the pilots of the Indian Air Force (IAF) helped rescue a 17-year-old boy with multiple fractures in flood-ravaged Patan district on Saturday evening.

Flood death toll mounts to 186; Gujarat CM to camp in Banaskantha for five days
Death toll in the devastating floods that ravaged north Gujarat districts of Banaskantha and Patan has risen to 186. Chief minister Vijay Rupani has said that this is the worst flood of the century in Banaskantha. Rupani would be camping in the district for next five days to oversee relief and rehabilitation work.

Joyride turns deadly for two in Vastrapur
Early on Sunday morning, two friends on a joyride lost control over their SUV near Vastrapur lake and the vehicle somersaulted, after skidding at high speed.

More Ahmedabad News»

School vice principal shot at in Allahabad
Two unidentified bike-borne armed assailants shot at a vice principal of a private school near Sanjiwani hospital under Kydganj police station here on Monday morning.

Late registration to earn principals UP Board's ire
There is some bad news for those school principals who were thinking of putting away online registration for board examinations to the last minute.

Allahabad University VC nominated as Aliah University's Executive Council member
Vice Chancellor of Allahabad University, Prof Rattan Lal Hangloo has been nominated by the Government of West Bengal and Chancellor of Aliah University as a member of the Executive Council of Aliah University Kolkata.

More Allahabad News»

Vimsar PG students cease work, seek director's removal
Postgraduate students of the government-run Veer Surendra Sai Institute of Medical Sciences and Research (Vimsar) in Sambalpur launched an indefinite cease-work on Sunday in protest against director Aswini Pujahari's 'high-handedness'.

Love turns sour, man's kin thrashed
It is straight out of a Bollywood potboiler.There was love, drama, conspiracy and then tragedy.

Another child branded to cure wound
A 25-day-old male Juang child was seriously hurt and admitted in the Keonjhar district headquarters hospital on Saturday night after being branded with a hot coconut by his family.

More Bhubaneswar News»

Dacoit's parents 'abducted' in tit-for-tat kidnap

In Idgah Hills, count potholes, find coins & get rewarded too!

Number of foreign tourists in MP dip by 15%, Khajuraho gets 25% footfall

More Bhopal News»

Seven die in collision between jeep and truck
Seven persons were killed and 14 others injured in a head-on collision between a pick-up jeep and a truck on Meerut road in Haryana's Karnal district on Monday, police said.

Soon, travel from Delhi to Chandigarh in two hours
The Delhi-Chandigarh corridor, one of the busiest routes in north India, is slated to be first semi-high speed project being taken up by the state-owned transporter to run trains at maximum speeds of 200 kmph with French help.

'Fair immigration rules must to draw talent'
UK MP Tanmanjeet Singh Dhesi speaks to IP Singh about Op Bluestar, his party's agenda on his India visit

More Chandigarh News»

What to choose - Liquid funds vs FDsUTI MUTUAL FUND
Check fair market value of any used vehicleDroom
1 देसी तकनीक से करें ब्लड शुगर 71 पॉइंट्स कमGlyxGo
The Medicines that were killing him!Milaap
An Indian girl dropped 5 size in only 3 monthHealthreport24

Recommended by Colombia

Unsubscribe | To manage your newsletter subscription settings, click hereOther Newsletters from TOI :
Breaking News | Top Headlines | Tech | Entertainment | Movie Reviews | Life & Style
Read More :- "[wanabidii] News Digest: RBI slaps Rs 1 crore penalty on Union Bank for KYC non-compliance"

Re: [wanabidii] VYOMBO VYA HABARI VINATELEKEZA WAJIBU WAKE AU HAVIJUI UMUHIMU WAKE?

Kaka umeandika vizuri sana, lakini kumbuka kuna sehemu tuliongea kuhusu maendeleo na kujali haki na utu wa binadamu.
Maendeleo uyasemayo vyombo vya habari hayavioni kwenye jicho lako ila katika jicho lao.
Nawao hawayakatai ila wanakataa amaendeleo hayo kuja na udhalilishaji wa kiutu.

Nilitamani sana Makonda wakutane nje ya hadhara na kujifungia huko, wakajitengenezea heshimima zao, wakaja na tamko moja la kuonyesha wanaheshimiana katika majukumu na utu wao.
Lakini ni kubali na kukupongeza Umeandika vizuri sana




On Friday, July 28, 2017, 10:50:41 PM GMT+3, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:


Ni halali kuanzia mbali kwa sababu huenda shida ilianzia huko. Sikumbuki ni mwaka gani, vijana wenzangu wanaweza kukumbusha. Serikali ilipopandisha kodi kwenye mazao ya karatasi kutoka Mgololo Iringa. Wamiliki wa magazeti walilalamika sana. Walisema itakuwa ngumu kuchapisha magazeti maana yatapanda bei na wananchi hawatayanunua. Kukoleza mambo wakati huo serikali ilielekeza matangazo yake ambayo hulipiwa kwa magazeti ambayo yenyewe wakati huo iliyaona rafiki.
 
Magazeti yalipanda bei (nadhani kutoka sh 100 mpaka 200). Habari zinazohusu maendeleo ya nchi yakapungua na sijui niseme magazeti yakaanza kuandika mambo kishabiki. Bei za magazeti zilianza kutofautiana na nadhani kwa sababu hiyo kuna magazeti yaliyokufa. Sikumbuki kama jambo hili lilisawazishwa au la.
Lakini si jambo la kificho kuwa ili serikali iweze kuwasiliana na wananchi wake lazima ipitie kwenye vyombo vya habari. Kwa sababu hiyo:
1)      Vyombo vya habari vinahitaji kujua wajibu wake, kujiheshimu na kutimiza majukumu yake la ili taifa lisiingie 'gizani' mchana ukiwaka.
2)      Vyombo vya habari vikijikinai vinaweza kujidharaulisha machoni pa jamii na kutengwa; vikajikuta havina maana. Itakuwa hivyo vitakapoanza kujiingiza katika ushabiki usio sahihi katika mambo yaliyopo na kuachana na malengo sahihi yaliyopo.
3)      Serikali inao wajibu wa kuhakikisha vyombo vya habari vina mazingira mazuri ya kufanyia kazi kwa mfano kama kuna mahala serikali inahitaji kuangalia uwezekano wa kupunguza kodi ni pamoja na raslimali zinazotumiwa na vyombo vya habari kama mitambo ya chapishaji, makaratasi na usafirishaji.
Mambo hayo matatu yanaweza kuhakikisha wananchi wanapata habari kikamilifu au kwa shida kidogo. Hadi sasa kuna mahala magazeti hayafiki maana hakufikiki kirahisi.
 
Taifa linao mpango wa maendeleo wa myaka ishirini na tano. Kama nakumbuka vizuri unakamilika 2025. Inatarajiwa ifikapo mwaka huo uchumi wa mtanzania uwe ni uchumi wa kati. Moja kati ya njia kuu za kutufikisha huko ni kukiboresha kilimo chetu. Hata kama watanzania asilimia 70 wataendelea kutegemea kilimo lakini wakulima watapungua kwa sababu badala ya ekari ya mahindi kutoa gunia nane za sasa wakati huo itatoa ishirini na tano. Jingine la kututoa ni kuugeuza uchumi wetu ukawa wa viwanda. Serikali inachukua hatua kadhaa kutekeleza azma hiyo. Serikali ikipanga, bila vyombo vya habari kuhabarisha mpango huu hauwezi kufikiwa.
 
Vyombo vya habari vilipohamasishana kumsusia Mkuu wa Mkoa wa Dar Es salaam nilijaribu kuangalia jambo lenyewe jinsi lilivyoanza na lilipofika nikahisi lazima vyombo vya habari vitaondoa "vikwazo" vyake kwa Makonda kimya kimya. Nadhani niliandika hivyo humu. Nilikuwa na sabau na ninazo hadi sasa.
Ukiangalia kosa lake huoni makosa ya kibinadamu la Makonda kumlazimu kuviangukia vyombo hivyo. Tena Japo Makonda anavihitaji vyombo hivyo lakini vinaweza kumhitaji wakati yeye anaendelea kufanya kazi bila kuvifuata. Mfano: Akipeleka msaada wa vitabu vya shule katika shule Fulani wanafunzi hao watavipata bila kutumia vyombo hivyo. Japo Makonda angetaka jamii nyingine ijue, lakini vyombo vya habari vinataka zaidi kuliko yeye. Sisemi mkuu wa Mkoa havihitaji vyombo vya habari, la! Ila katika kutimiza malengo yetu kama taifa Makonda anaweza kutimiza wajibu wake Dar es salaam bila kunukuliwa na vyombo hivi lakini vyenyewe havitachangia malengo haya bila kumuandika.
Mfano wa wazi ni kupindi kilichotoka kituo cha Channel Ten kikiwa na Mada: Mwisho wa Makonda.
A)           Kumbe Makonda anaandaa magari mazuri ya polisi ambayo yatasaidia askari wetu kufanya Doria kisayansi.
B)            Kumbe si muda mrefu askari wa patrol Dar Es salaam watakuwa wanatumia baiskeli na hawatabeba bunduki kubwa!
C)            Kumbe Makonda amekusanya fedha anajenga hospitali na akina mama watakuwa hawarundikani tena mawodini zikikamilika hospitali hizo!
D)           Kumbe hakuna mpango wa kupita nyumba kwa nyumba kuwasaka wasio na kazi kwa sababu watu wengi wanaokuja huja kutafuta kazi Dar na hao ni wateja wa hoteli na mama ntilie wa Makonda.
Haya yote Makonda ameyafanya. Wananchi hawayajui. Kutoyajua kunatokana na kutotangazwa na vyombo vya habari kwa sababu Makonda hanukuliwi. Wananchi ambao vyombo vya habari havikuwalenga ndio walioumia. Wakuu wa mikoa mingine na wilaya nyingine, hata mawaziri ambao wangeweza kujifunza ni waathirika wakubwa lakini so makonda. Vyombo vya habari vya Tanzania? Vina tofauti gani na Yule mama aliyeamua kutupa simu yake kwa sababu imeishiwa muda wa maongezi? Ingekuwa BBC au CGTN ningeelewa. Albert Kilala anahitimisha kwa kusema Mwisho wa Makonda ina maana ni mwisho wa kumsusia.
 
Naandika makala haya tarehe 28 July 2017. Jana kuna mambo mengi yametokea. Nitasema machache:
1)            Mkuu wa Mkoa wa Dar Es salaam ametoa Kompyuta kwa idara ya ardhi ambayo itazitumia kurahisisha upimaji wa ardhi na wananchi watakuwa wakipata hati ndani ya kipindi kifupi
2)            Rais ameagiza uongozi wa Mkoa wa Morogoro kutowabughudhi wamachinga mpaka utaratibu utakapokuwa umewekwa.
3)            Mbunge wa Singida Mashariki amepata dhamana baada ya kukaa ndani siku nane.
4)            Tume ya uchaguzi imeteua wabunge wa viti maalum muda mfupi baada ya Spika wa Bunge kutangaza nafasi za wabunge toka chama cha wananchi CUF  kuwa wazi.
 
Magazeti ya leo yalibeba vichwa vya habari vya namba mbili na tatu hapo juu (yaani ya kudhaminiwa kwa Lisu na NEC 'kuivuruga' CUF; na mambo mengine ambayo ukiyaangalia ndani yake kuna ugomvi. Lakini mambo mawili ya kwanza ambayo ukiyapina yanatimiza mpango wa maendeleo wa myaka ishirini na tano ama hayakuandikwa kabisa ama yalipata umuhimu mdogo katika magazeti yetu leo.
 
Lakini pia jana wakati Lisu yuko mahakamani wingi wa vyombo vya habari ulikuwa unatisha wakati kwa Makonda kulikuwa na waandishi wachache sana. Kama shida ni usafiri nani aligarimia waandishi kwenda mahakamani na wasiende kwa Makonda, katika matukio yote yakiwa Dar Es salaam? Kwa nini vyombo vyetu vya habari vinashabikia misuguano? Mbona katika mpango wa maendeleo hakuna kipengele kinachoshabikia ugomvi? Je! Vyombo vya habari vilihabarishwa kuhusu mpango huo na wajibu wake?
Ninaamini kuwa kuanzia wamiliki wa vyombo, wahariri wa vyombo hivyo na waandishi wa habari ipo haja ya kujipima upya na kutafuta nini nafasi ya vyombo hivyo katika mipango ya taifa letu. Kinyume chake vikipuuzwa; vitapuuzika kweli.
 
Elisa Muhingo
0767 187 507
 
 


--




Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.








--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] VYOMBO VYA HABARI VINATELEKEZA WAJIBU WAKE AU HAVIJUI UMUHIMU WAKE?"