Monday, 31 August 2015

Re: [wanabidii] Kweli fedha fedhea, Kaka yangu Mpendazoe leo anaposahau maandishi yake wakati wasomaji hatujasahau

Bagamoyo

On Sep 1, 2015 6:05 AM, "'Paschal Leon' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
unataka rais anayekimbilia wapi?



On Tuesday, September 1, 2015 2:57 AM, 'Lesian Mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:


Mama Nkya
Hawa kina elisa na wenzake kama kina mbwambo nahisi ndio walionunuliwa kwa kua ukweli kuhusu Richmlndo ushaanikwa na tena na mawaziri wakuu wawili na wakihitaji zaidi waseme, ushahidi upo lakin kwakua washalishwa na kushiba basi wanakua kama zitto na act yake kua badala ya kuipinga ccm yenye dola unapambana na ukawa isio na doka are a serious political party, au mmehongwa kuja kuharibu mabadiliko, sasa kwa taarifa yenu, mm  natembea sana na juz tu niliweza kuzunguka mikoa 5 ya kanda ya nyanda za juu kusini tena vijijn haswaaa, watanzania wengi wanamtaka lowasa hivyo hivyo alivyo awe amekuka pesa sawa, awe ana kashfa sawa, awe anatuhumiwa wanasema sawa, kwakua hakuna msafiiii, magufulo hawamjui na hawamtakiii, hatoweza kubadilisha nchi kwa kua ccm ishachukulia watanzania ni waoga na hawana uthubutu wa kufanya mabadiliko, to tell you the truth vijana wengi sana wamejiandikisha, unajua kwann waje waiathibu ccm kwa kuikataa kwa kuraa
Wanasema wanapewa mikopo hewa, pesa za vijna hawajawahi ona
Kina mama wengi saa wamejiandikisha mnajua kwann wanasema vikatio vyao oct 25 lazima waikate ccm, ishachoka haiwajali wajawazito, watoto na vikongwe
Wasome wengi wamejiandikisha tena kwa fujo,'mnajua kwann, wanasema mikopo wanapata kwa mbinde na kwa kujuana,so watatumia vikatio oct 25
Kundi hiki jingine ni waaakimu hawa wamejiandikisha tena kwahasira wakisema haki zao watapata punde watakapoitoa ccm madarakani
Pole ccm na magufuli safari hii kukalia benji la uoinzani ni ka lazima si hiari bao la mkono ni ngumu kwan kioa kajipanga kukamata penalty ya mguu sembuse bao la mkono
Tchao
Lesian

'ananilea nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

>Elisa,
>Kama ulisoma ile makala yangu iliyokuwa yenye kichwa cha habari LOWASA kafara wa CCM kujaribu kuzuia mabadiliko kwa  kudanganya Watanzania  kwamba CCM ni safi isipokuwa mchafu ni  Lowassa na wenzake wachache utabaini kuwa  CCM ilitumia vyama vya upinzani na vyombo vya habari kukamilisha ajenda yake ya kumpakazia Lowassa na kumtoa kafara kwa kutumia  ufisadi wa Richmond. Lakini zama hizi ukweli wa Richmond uko wazi--ni ufisadi uliofanya na serikali ya CCM  kama serikali hiyo ilivyoshiriki pia kikamilifu katika ufisadi wa Tegeta Escrow mwaka jana 2014  na ufisadi wa EPA 2005.  Kwa sasa wananchi wanajua vema kwamba fisadi CCM yenyewe na serikali yake kama taasisi. 
>
>Waziri Mkuu Mstaafu  Fredrick Sumaye kaweka vizuri sana  kuhusu CCM  na ufisadi wake wakati wa ufunguzi wa kampeni za UKAWA.  Hivyo usijisumbue  kuweka maandishi ya zamani hapa  kuhusu watu waliomkandia Lowassa kuwa ni fisadi wa Richmond. Mpendazoe  aliandika hii makala wakati akiwa gizani --wakati wapinzani kwa kutokujua walipokuwa  wakiisaidia serikali ya CCM kucheza siasa za maji taka--kumtoa kafara Lowassa kupumbaza umma kuwa CCM siyo chama cha kifisadi bali fisadi ni mtu mmoja tu--Edward Lowassa.  Sasa hivi umma  umeshaamka-HATUDANGANYIKI. Unaposema Mpendazoe kanunuliwa  kwa maoni yangu hata kama  Lowassa  angekuwa na fedha nyingi kama Bill Gate wa Marekani  asingeweza kuwanunua Watanzania wote. Hapo ni haki tu inachukua mkondo wake maana uongo hufa kifo kibaya na ukweli hudumu daima.  Tafuta hoja nyingine Lowassa siyo fisadi wa Richmond. Sisi wananchi tumeshaujua ukweli na ukweli humuweka mtu huru. 
>
>Ananilea Nkya
> E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com
>
>--------------------------------------------
>On Mon, 8/31/15, 'mpombe mtalika' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
>
> Subject: [wanabidii] Kweli fedha fedhea, Kaka yangu Mpendazoe leo anaposahau maandishi yake wakati wasomaji hatujasahau
> To: "ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
> Date: Monday, August 31, 2015, 9:44 PM
>
>
>
> Hatutaki mgombea urais anayekimbilia
> Ikulu
>
>
> Fred Mpendazoe
>
> Toleo la 402
>
> 22 Apr 2015
>
>  
>
> PLATO alikuwa kati ya wanafalsafa
> muhimu zaidi huko Ugiriki
> ya kale. Plato aliishi kati ya mwaka 427 hadi 447 KK.
> Alikuwa mwanafunzi wa
> Socrates na mwalimu wa Aristotle. Alibuni mawazo mengi
> ambayo yana maana hadi
> leo. Moja ya falsafa ya Plato ni kwamba mafilosofa ndio
> wanaofaa kuwa watawala
> wa nchi, maana wana sifa mbili muhimu. Kwanza wana uwezo wa
> kutawala na pili
> hawapendi kutawala.
>
>
> Ni sheria ya mafilosofa
> kutawala kwa zamu . Na mtu zamu yake
> ya kutawala ikiisha, atafurahi sana kurudia shughuli zake za
> kifalsafa ambazo
> hasa ndizo anazipenda. Hivyo, Plato aliamini kwamba, zipo
> sifa kuu mbili au
> vigezo vya kumpata kiongozi awe rais, mbunge, diwani au
> nafasi yoyote ya
> kuchaguliwa.
>
>
> Sifa ya kwanza ni lazima
> tunayetaka kumpa uongozi awe na
> uwezo wa kuongoza. Na sifa ya pili, mtu huyo sharti awe
> hataki kabisa kuwa
> rais, anatambua kuongoza watu ni utumishi na huyo ndiye watu
> wamfuate,
> wamshauri, wamwombe, ndipo atakuwa kiongozi bora, kwani
> atawaheshimu
> waliomwomba awaongoze. Na ataheshimu na kuiogopa dhamana
> aliyokabidhiwa.
>
>
> Mwalimu Nyerere, katika
> kitabu chake, Uongozi Wetu na Hatma
> ya Tanzania, anasema wanasiasa kwa kawaida hupenda kutawala
> hata kama hawana
> uwezo wa kutawala. Kwa hiyo, wako tayari hata kuhonga ili
> wachaguliwe kuwa
> watawala au wako tayari kuchakachua kura ili watangazwe
> washindi na
> wakishachaguliwa au kutangazwa washindi hawatoki bila
> kulazimishwa.
>
>
> Wanaotaka sana uongozi kwa
> gharama yoyote mara nyingi ni
> wanasiasa ambao hawana uwezo wa kuongoza. Hata hivyo, wapo
> wanasiasa
> wanaoutamani uongozi kisha wakawa viongozi bora, kama
> aliyekuwa Rais wa
> Marekani, hayati John F Kennedy, lakini nitahadharishe kuwa
> watu wa aina hiyo
> ni adimu sana duniani.
>
> Kuna wakati Mwalimu Nyerere
> alikaririwa akisema kwamba
> alikuwa mwalimu taaluma aliyoipenda kwa kuichagua mwenyewe ,
> lakini aliingia
> kwenye siasa kama ajali.
>  Hakutaka kuwa rais.
> Ilikuwa ni bahati mbaya kwake.
>
> Katika makala yangu ya tarehe 15 April
> 22015 kwenye gazeti
> la Raia Mwema niliandika juu ya nini nilichoona kilikuwa ni
> chanzo cha nchi
> yetu kuyumba. Imebaki miezi takribani sita watanzania
> watachagua viongozi wao
> akiwemo Rais. Wananchi wana jukumu la kwanza kuhakikisha
> wanapata viongozi
> wazuri.
>
>
> Hivyo ni mhimu wananchi
> waelimishwe ili waweze kuchagua
> viongozi wenye uwezo wa kuongoza na wanaofaa. Katika makala
> hii ninapenda kutoa
> ushauri wangu kwa Watanzania tunapoelekea katika uchaguzi
> mkuu wa mwaka 2015
> sifa muhimu wanazotakiwa wawe nazo wanaofaa kuwa viongozi.
> Ushauri wangu
> unaegemea katika falfasa ya Plato.
>
>
> Watanzania mnashuhudia
> minyukano ya kuwania kuteuliwa
> kugombea nafasi ya urais ndani ya CCM na mbinu chafu
> zinazotumika leo kuelekea
> uchaguzi mkuu mwaka wa Oktoba 2015 ambazo Watanzania
> tunazishudia ni mbinu
> zilezile zilizotumika mwaka 1995 na 2005 na zinatumiwa na
> watu walewale na ni
> chanzo cha CCM kuanguka na taifa letu kuyumba. Wapo wana CCM
> wengi walionyesha nia ya kutaka kuchaguliwa
> kuongoza taifa letu.
>
> Waziri Mkuu aliyejiuzulu,
> Edward Lowassa pia ameonyesha
> nia ya kutaka kugombea urais kupitia CCM. Zipo dalili za
> wazi kwamba CCM
> isingependa kumpitisha Lowassa kutokana na tuhuma za mbinu
> chafu. Wapo
> wanaomtetea kwamba hana tuhuma na wapo wanaoona kwamba
> tuhuma hizo ni za kweli.
> CCM imegawanyika.
>
>
> Mgawanyiko huu umeingia
> hadi nyumba za ibada, vyuo vikuu,
> vyombo vya usalama nakadhalika. CCM nzima imegawanyika.
> Taifa limegawanyika.
> Sababu za kugawanyika kwa Taifa zinatokana na mbinu chafu
> zinazotumika wala si
> kwamba jamii inamhitaji sana Lowassa.
>
>
> Makundi yanayotangaza
> kwamba anafaa na yanayokwenda
> kumshawishi kila mara baadaye yamedhibitika siyo kweli bali
> yametengenezwa na
> yamepewa fedha au yamenunuliwa. Ni ujinga.
>
>
> Ningependa kusisitiza na
> tujiulize kwamba, Lowassa aliwania
> kugombea urais mwaka 1995 lakini akaondolewa na CCM kwa
> tuhuma za kutumia mbinu
> chafu ikiwemo kujilimbikiza mali. Mwaka 2007 akajiuzulu
> Uwaziri Mkuu kwa tuhuma
> za ufisadi. Kwa sasa anataka kugombea tena urais na bado
> anatuhumiwa na chama
> chake kwa kutumia mbinu chafu.
>
>
> Kwa nini mwenzetu huyu,
> Edward Ngoyai Lowassa anataka sana
> kwenda Ikulu kwa gharama yoyote? Tunafahamu uongozi ni
> utumishi. Huwezi
> kung'ang'ania au kulazimisha kuongoza au kuitumikia
> jamii wakati huo huo jamii
> hiyo ina mashaka na uadilifu wako. Haiwezekani. Nyerere
> aliyekaa Ikulu miaka 24 alisema, kwa mtu
> muungwana kabisa Ikulu si pa kukimbilia. Hakuna biashara
> Ikulu.
>
>
> Kwenye makala iliyopita ya
> tarehe 15 April 2015 kwenye Raia
> Mwema nilieleza kwamba kikao cha NEC cha mwaka 1995
> kiliondoa jina la Lowassa
> kwa kuwa alikuwa na tuhuma za rushwa, kujilimbikizia mali na
> kupungukiwa na
> maadili, kinyume na katiba ya CCM na chama hicho kikawateua
> Benjamin William
> Mkapa, Cleopa David Msuya na Jakaya Mrisho Kikwete kuwa
> wagombea.
>
>
> Ukweli kwamba kuna matajiri
> au watu wanaotumia pesa kumiliki
> siasa na uongozi katika nchi yetu, ni jambo lililo wazi.
> Mathalani, kulikuwa na
> matumizi makubwa ya fedha katika uchaguzi mkuu wa mwaka
> 2005.
>
> Baada ya kutangazwa mshindi wa kiti
> cha urais katika
> uchaguzi huo, Rais Jakaya
>
> Mrisho Kikwete, akizindua
> Bunge Desemba 30, 2005,
> alisema: "Yameanza mawazo kuwa uongozi unaweza kununuliwa
> kwa fedha. Tusipokuwa
> waangalifu, nchi yetu inaweza kuwekwa rehani kwa watu wenye
> fedha za kununua
> uongozi au wanaoweza kupata fedha za kufanya hivyo, maana
> unaweza kufadhiliwa
> na mtu ili ununue uongozi, ni vema sasa tulishughulikie
> suala hili".
>
>
> Nchi kuwekwa rehani kwa
> matajiri ni jambo la hatari sana,
> kwa maana serikali itaongozwa na matajiri na haitawajibika
> kwa wananchi.
> Demokrasia itakoma na udikteta utatawala. Jambo
> linalojitokeza hapa na ambalo
> ni matokeo ya matumizi makubwa ya fedha na rushwa kwenye
> chaguzi, ni kupatikana
> kwa viongozi ambao hawakuchaguliwa na wananchi bali
> walinunua uongozi au
> waliotoa rushwa kushawishi wapiga kura wawape uongozi.
>
>
> Pia Mwalimu Nyerere, wakati
> wa uhai wake, aliwahi kuonya juu
> ya hatari ya watu wachache wenye pesa kujaribu kutafuta
> uongozi kwa manufaa
> yao. Alisema: "Tanzania halijawa taifa imara sana na
> adilifu kiasi cha kuruhusu
> matajiri kuingia kwenye uongozi wa nchi kama ilivyo Marekani
> na Ulaya. Wakati
> huo bado uko mbali sana na tukitaka kuuvuta kwa kamba huko
> ndiko kuliingiza
> taifa letu changa kwenye kiwango cha ufisadi kama ilivyo
> sasa.
>
>
> Katika kitabu cha Uongozi
> Wetu na Hatma ya Tanzania, Mwalimu
> J.K Nyerere, alisema hivi: "Utajiri unaweza kupatikana
> kutokana na rushwa kwa
> watumishi wa umma au kutokana na wafanyabiashara ambao
> wanawania nafasi za
> kisiasa ili wawe wadeni wa rais aliyeko madarakani". Maana
> ya maneno haya ni
> kwamba kiongozi akipatikana kwa kupewa fedha na matajiri,
> atapaswa alipe
> fadhila kwa matajiri hao waliokifadhili chama chake au yeye
> mwenyewe wakati wa
> uchaguzi.
>
>
> Serikali inayopatikana kwa
> rushwa haiwajibiki kwa wananchi.
> Hutumikishwa na matajiri walionunua uongozi na waliotoa
> rushwa. Serikali hiyo
> huwaabudu matajiri walioiweka madarakani, haiwezi kufanya
> maamuzi yenye maslahi
> kwa wananchi. Serikali hiyo hulinda maslahi ya watu
> wachache, haiwezi kuchukua
> hatua dhidi ya ufisadi.
>
>
> Hivi karibuni tumeshuhudia
> uteuzi wa hovyo wa wakuu wa
> wilaya, pia siku za nyuma tumeshuhudia kwenye utawala wa
> Kikwete uteuzi wa kushangaza
> wa mawaziri , watendaji wa serikali na taasisi za serikali.
> Uteuzi wa ajabu
> kabisa hadi unajiuliza watoto wetu wanajifunza nini kwa watu
> wa aina hiyo
> wanaopewa dhamana kubwa wakati hawana uwezo na wamepungukiwa
> maadili?
>
>
> Ni bayana walipewa dhamana
> hizo kwa kulipa fadhila kwani
> walikuwa kwenye mtandao uliomwingiza Kikwete madarakani.
> Mtandao wa sasa wa
> Lowassa ni mkubwa kuliko wa mwaka 2005 uliomwingiza Kikwete
> madarakani na fedha
> zinatumika sasa pia ni nyingi kuliko zile zilzotumika mwaka
> 2005. Je Watanzania
> tunategemea nini baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015 ikiwa
> Lowassa atakuwa
> Rais?
>
>
> Hivyo ninashawishika
> kukubaliana na wale wanaotabiri kwamba
> utawala wa Lowassa utakuwa mgumu kuliko wa Kikwete kwani
> utaendeleza yale yale
> ambayo Kikwete ameyafanya, mfano kulipa fadhila kwa
> wanamtandao waliomwingiza
> madarakani bila kujali uwezo wao wa kuongoza.
>
>
> Rais wetu ambaye pia ni
> Mwenyekiti wa CCM anao wajibu na
> nafasi ya kusaidia kutoa ufafanuzi na hatimaye kufikia
> maamuzi ya kuliponya
> taifa letu kama alivyofanya Mwalimu Nyerere. Nyerere
> alipotanguliza utaifa
> kwanza, akasema ukweli na maamuzi sahihi yakafanyika. A
> friend in power is a
> friend lost. Taifa letu kwanza urafiki baadaye. Kikwete
> amshauri Lowassa aache
> kugombea urais kwa ajili ya kuliponya Taifa letu.
>
>
> Madhumuni ya makala hii ni kuendelea
> na ushawishi na ushauri
> wangu nilioutoa katika makala iliyopita kwa kuzingatia
> falfasa ya Plato na
> ushauri wa Mwalimu Nyerere alioutoa kwenye kitabu
> chake.
>
>
> Tunamhitaji Mtanzania ambaye ana uwezo
> wa kuongoza lakini ambaye
> anajua Ikulu ni mahali patakatifu na hakimbilii au
> halazimishi kwenda huko kwa
> kujua ugumu wa kazi hiyo na si kazi ya kuomba kienyeji kwa
> matakwa yake
> binafsi. Tunahitaji mtu mwadilifu wa mkweli siyo kama watia
> nia wengine
> wanavyoigiza kukubalika na jamii na wanatumia uwezo wa
> kifedha kuutafuta urais.
>
>
> Hivyo, ningependa kusisitiza ushauri
> wa Mwalimu Nyerere
> unaozingatia falsafa ya Plato kwamba ni muhimu wananchi
> waelimishwe ili waweze
> kuchagua viongozi wenye uwezo wa kuongoza na wanaofaa na
> wasio na tamaa ya
> kwenda Ikulu kwa kuwahonga watu.
>
>
> Ikulu ni mahali patakatifu na hakuna
> biashara Ikulu bali ni
> mahali pa kuwatumikia watu. Si kila tajiri ana uwezo wa
> kuongoza.
> Chanzo Raia Mwema
> Toleo la 402
>
> 22 Apr 2015
>
>
>
>
>
> --
>
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>  
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
> kudhibitisha ukishatuma
>
>  
>
> Disclaimer:
>
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
> for any legal consequences of his or her postings, and hence
> statements and facts must be presented responsibly. Your
> continued membership signifies that you agree to this
> disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
> ---
>
> You received this message because you are subscribed to the
> Google Groups "Wanabidii" group.
>
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails
> from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>
> For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
>
>--
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>---
>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] Kweli fedha fedhea, Kaka yangu Mpendazoe leo anaposahau maandishi yake wakati wasomaji hatujasahau"

Re: Fwd: Re: [wanabidii] Kuelekea uchaguzi Mkuu 2015: UKAWA yadhibitisha-Lowasa anaumwa.

everybody is sick, kama unabisha, KAPIME, hasa wenye umri 50+



On Tuesday, September 1, 2015 2:30 AM, 'Lesian Mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:


Kwan jamani magufuli wa ccm mzimaaaa, ccm ina mgombea mgonjwa tena anaweza kuzimika any time
Huyu si ndio magufuli aliekimbilia kikombe cha babu pale loliondo et kingemponya maradhi yake jamani,ana uzima gani sasa huyu magufuli?...tukianza kuzungumzia suaka la afya kama kigezo is a lost urguement....very poor of all, better we stick'on selling policies rather that scandal that do not help us as a nationa and voters needs to hear policies
Be blessed
Lesian

'frank chalamila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

mimi swala la kuumwa sioni kama ni hoja ya kumchagua au kutomchagua kiongozi kwani anaeweza thibitisha afya z awanadamu ni Mungu pekee swala la msingi ni je sera za mtu huyo (awe mgonjwa au mzima) je zinauzika? maana CCm walitoa vipaumbele vyao nikawsikiliza ukweli vilikuwa na mashiko, japo chanagmoto hazikosekani lakini  nimesikiliza vyama vingine imeniwia ngumu sana na bado nakwama kujua wanataka kufanya nini, labda pengine kwa sababu nilitumia muda mwingi kusikiliza huku nkitafakari na hivyo kupoteza mwelekeo ila wao ACT nimebaini kwamba hoja yao kubwa ni kubaini mapungufu ya vyama vingine na kuyatamka hadharani bila kusema wao wanataka kufanya nini kwa strategy ipi? zaidi ya kusema wao ni chupa ya kati illiypo kati ya chupa ya ccm na ukawa, kwa nini wake katikati, ina maana bila hawa CM na ukawa bwasi ACT haiwezi ku exist. kumbe basi tunapata somo kwamba sasa ni dhahiri watanzania wanaweza kuwa wanahitaji mabadiliko. lakini wasali/waswali sana ili kwamba Mungu awaongoze kupunguza mihemko na jazba na kutomchagua mtu kwa kuwa ametoa pesa. lakini mimi bado naamini mabadiliko yanaletwa na mtu mwenyewe. hii kudhani mtu fulani ataleta mabadiliko ni hatari katika  nyakati za sasa.kitabu cha 7 habits of a good leader kinasema (you are the cause for change)



On Tuesday, September 1, 2015 12:11 AM, 'salhabakari' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:


---------- Forwarded message ----------From: salhabakari <salhabakari@yahoo.com>Date: Aug 30, 2015 9:54 PMSubject: Re: [wanabidii] Kuelekea uchaguzi Mkuu 2015: UKAWA yadhibitisha-Lowasa anaumwa.To: 'ananilea nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>,wanabidii@googlegroups.com
Cc: Wanazuoni - Informal Network of Tanzanian Intellectuals <wanazuoni@yahoogroups.com>

> True dada Ananilea!
> Umenikumbusha ileee, sidanganyiki!!
> So, HATUDANGAYIKI!!!!
>
> SB
>
> On Aug 30, 2015 8:27 PM, 'ananilea nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
> >
> > Nakumbuka wakati Jakaya Mrisho Kikwete anaomba kuingia madarakani mwaka 2005 alizushiwa kuwa alikuwa  anaumwa  UKIMWI. Maana yake siyo kwamba alikuwa na HIV tu, virusi vinavyosababisha UKIMWI,  bali alikuwa ameshafikia hali mbaya ya kuumwa UKIMWI kabisa na alizushiwa kuwa muda wowote angeondoka duniani kabla hata ya kumaliza miezi sita ya mwaka wa kwanza madarakani.
> >
> > Lakini ni miaka kumi sasa yupo anadunda. Hata Tezi Dume (kansa) ambayo yeye mwenyewe  amewathibitishia  Watanzania kwamba anayo haijamzuia kufanya kazi za Urais. Lakini zaidi ingawa ametuthibitishia Watanzania kuwa ana tezi dume, kuondoka kwake duniani anakujua Mwenyenzi Mungu, tunaweza kushangaa sisi binadamu kuona Mungu anampa  kuishi  miaka 40 hata 50 ijayo.
> >
> > Ninachotaka kusema hapa  ni kwamba maisha ya binadamu uzima wake anaujua Mungu. Rais mstaafu wa Kenya Mwai Kibaki alikuwa mgonjwa mahututi  wakati anaingia madarakani. Lakini Wakenye waliokuwa wanataka madadiliko walimchagua. Lakini leo yupo Kibaki yuko hai na zaidi miaka yake aliyoitumikia Kenya hakuna Rais aliyewahi kumfikia  kwa kiwango cha kuwaletea Wakenya maendeleo.
> >
> > Hivyo  wanaodhani kuwa kwa kusema  Edward Lowassa ni mgonjwa eti hawezi kuongoza Tanzania kwa miaka 5 ijayo, hiyo ni   kete tu ya kuwadanganya wapiga kura ili kuzuia mabadiliko. Lakini Watanzania wengi wa leo  HAWADANGANYIKI.   Hivyo ni vema wenye hoja ya ugonjwa  waachane nayo maana itakufa kama ile hoja ya   ufisadi wa Richmond ilivyokufa baada ya  kubaini aliyekuwa kinara wa Richmond ni mkuu wa nchi na siyo Waziri Mkuu (Edward Lowassa). Wananchi wanajua  serikali ya CCM ndiyo  fisadi kamili anayekwapua fedha za wananchi kila uchao. Mfano ufisadi wa Tegeta escrow kinara wa ufisadi huo alikuwa ofisi kuu ya nchi Ikulu  Wapiga kura wanauliza je Lowassa alikuwa Ikulu mwaka jana 2014?
> >
> >    
> > Ananilea Nkya
> >  E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com
> >
> > --------------------------------------------
> > On Sun, 8/30/15, De kleinson kim <dekleinson@gmail.com> wrote:
> >
> > Subject: Re: [wanabidii] Kuelekea uchaguzi Mkuu 2015: UKAWA yadhibitisha-Lowasa anaumwa.
> > To: wanabidii@googlegroups.com
> > Date: Sunday, August 30, 2015, 9:55 AM
> >
> > Kwanza
> > tukubaliane hali ya Edo sio nzuri. Nadhani inaathiri hata
> > mfumo wake wa akili kwa mbaali.
> > Jana alikuwa anaongea kama amekariri, haraka
> > haraka, limited, its like he was running out of time!!!
> >
> > Mwenye akili zake akiri kuumwa kwake, halafu arudi na kuanza
> > kutetea ugonjwa wake (kama anaujua) ni jinsi gani hauna
> > athari zozote za muda mfupi.
> > Mambo mengine yapo wazi bandugu.
> >
> > ha ha ha haaaaa. hata angekuwa na ugonjwa wa kuonekana bado
> > raia mngeweka ngumu.
> >
> >
> >
> > --
> >
> > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
> >
> >  
> >
> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
> >
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
> > kudhibitisha ukishatuma
> >
> >  
> >
> > Disclaimer:
> >
> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
> > for any legal consequences of his or her postings, and hence
> > statements and facts must be presented responsibly. Your
> > continued membership signifies that you agree to this
> > disclaimer and pledge to abide by our Rules and
> > Guidelines.
> >
> > ---
> >
> > You received this message because you are subscribed to the
> > Google Groups "Wanabidii" group.
> >
> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails
> > from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> >
> > For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
> >
> >
> > --
> > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
> >
> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
> >
> > Disclaimer:
> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> > ---
> > You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> > For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


Read More :- "Re: Fwd: Re: [wanabidii] Kuelekea uchaguzi Mkuu 2015: UKAWA yadhibitisha-Lowasa anaumwa."

Re: [wanabidii] Kweli fedha fedhea, Kaka yangu Mpendazoe leo anaposahau maandishi yake wakati wasomaji hatujasahau

unataka rais anayekimbilia wapi?



On Tuesday, September 1, 2015 2:57 AM, 'Lesian Mollel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:


Mama Nkya
Hawa kina elisa na wenzake kama kina mbwambo nahisi ndio walionunuliwa kwa kua ukweli kuhusu Richmlndo ushaanikwa na tena na mawaziri wakuu wawili na wakihitaji zaidi waseme, ushahidi upo lakin kwakua washalishwa na kushiba basi wanakua kama zitto na act yake kua badala ya kuipinga ccm yenye dola unapambana na ukawa isio na doka are a serious political party, au mmehongwa kuja kuharibu mabadiliko, sasa kwa taarifa yenu, mm  natembea sana na juz tu niliweza kuzunguka mikoa 5 ya kanda ya nyanda za juu kusini tena vijijn haswaaa, watanzania wengi wanamtaka lowasa hivyo hivyo alivyo awe amekuka pesa sawa, awe ana kashfa sawa, awe anatuhumiwa wanasema sawa, kwakua hakuna msafiiii, magufulo hawamjui na hawamtakiii, hatoweza kubadilisha nchi kwa kua ccm ishachukulia watanzania ni waoga na hawana uthubutu wa kufanya mabadiliko, to tell you the truth vijana wengi sana wamejiandikisha, unajua kwann waje waiathibu ccm kwa kuikataa kwa kuraa
Wanasema wanapewa mikopo hewa, pesa za vijna hawajawahi ona
Kina mama wengi saa wamejiandikisha mnajua kwann wanasema vikatio vyao oct 25 lazima waikate ccm, ishachoka haiwajali wajawazito, watoto na vikongwe
Wasome wengi wamejiandikisha tena kwa fujo,'mnajua kwann, wanasema mikopo wanapata kwa mbinde na kwa kujuana,so watatumia vikatio oct 25
Kundi hiki jingine ni waaakimu hawa wamejiandikisha tena kwahasira wakisema haki zao watapata punde watakapoitoa ccm madarakani
Pole ccm na magufuli safari hii kukalia benji la uoinzani ni ka lazima si hiari bao la mkono ni ngumu kwan kioa kajipanga kukamata penalty ya mguu sembuse bao la mkono
Tchao
Lesian

'ananilea nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

>Elisa,
>Kama ulisoma ile makala yangu iliyokuwa yenye kichwa cha habari LOWASA kafara wa CCM kujaribu kuzuia mabadiliko kwa  kudanganya Watanzania  kwamba CCM ni safi isipokuwa mchafu ni  Lowassa na wenzake wachache utabaini kuwa  CCM ilitumia vyama vya upinzani na vyombo vya habari kukamilisha ajenda yake ya kumpakazia Lowassa na kumtoa kafara kwa kutumia  ufisadi wa Richmond. Lakini zama hizi ukweli wa Richmond uko wazi--ni ufisadi uliofanya na serikali ya CCM  kama serikali hiyo ilivyoshiriki pia kikamilifu katika ufisadi wa Tegeta Escrow mwaka jana 2014  na ufisadi wa EPA 2005.  Kwa sasa wananchi wanajua vema kwamba fisadi CCM yenyewe na serikali yake kama taasisi. 
>
>Waziri Mkuu Mstaafu  Fredrick Sumaye kaweka vizuri sana  kuhusu CCM  na ufisadi wake wakati wa ufunguzi wa kampeni za UKAWA.  Hivyo usijisumbue  kuweka maandishi ya zamani hapa  kuhusu watu waliomkandia Lowassa kuwa ni fisadi wa Richmond. Mpendazoe  aliandika hii makala wakati akiwa gizani --wakati wapinzani kwa kutokujua walipokuwa  wakiisaidia serikali ya CCM kucheza siasa za maji taka--kumtoa kafara Lowassa kupumbaza umma kuwa CCM siyo chama cha kifisadi bali fisadi ni mtu mmoja tu--Edward Lowassa.  Sasa hivi umma  umeshaamka-HATUDANGANYIKI. Unaposema Mpendazoe kanunuliwa  kwa maoni yangu hata kama  Lowassa  angekuwa na fedha nyingi kama Bill Gate wa Marekani  asingeweza kuwanunua Watanzania wote. Hapo ni haki tu inachukua mkondo wake maana uongo hufa kifo kibaya na ukweli hudumu daima.  Tafuta hoja nyingine Lowassa siyo fisadi wa Richmond. Sisi wananchi tumeshaujua ukweli na ukweli humuweka mtu huru. 
>
>Ananilea Nkya
> E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com
>
>--------------------------------------------
>On Mon, 8/31/15, 'mpombe mtalika' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
>
> Subject: [wanabidii] Kweli fedha fedhea, Kaka yangu Mpendazoe leo anaposahau maandishi yake wakati wasomaji hatujasahau
> To: "ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
> Date: Monday, August 31, 2015, 9:44 PM
>
>
>
> Hatutaki mgombea urais anayekimbilia
> Ikulu
>
>
> Fred Mpendazoe
>
> Toleo la 402
>
> 22 Apr 2015
>
>  
>
> PLATO alikuwa kati ya wanafalsafa
> muhimu zaidi huko Ugiriki
> ya kale. Plato aliishi kati ya mwaka 427 hadi 447 KK.
> Alikuwa mwanafunzi wa
> Socrates na mwalimu wa Aristotle. Alibuni mawazo mengi
> ambayo yana maana hadi
> leo. Moja ya falsafa ya Plato ni kwamba mafilosofa ndio
> wanaofaa kuwa watawala
> wa nchi, maana wana sifa mbili muhimu. Kwanza wana uwezo wa
> kutawala na pili
> hawapendi kutawala.
>
>
> Ni sheria ya mafilosofa
> kutawala kwa zamu . Na mtu zamu yake
> ya kutawala ikiisha, atafurahi sana kurudia shughuli zake za
> kifalsafa ambazo
> hasa ndizo anazipenda. Hivyo, Plato aliamini kwamba, zipo
> sifa kuu mbili au
> vigezo vya kumpata kiongozi awe rais, mbunge, diwani au
> nafasi yoyote ya
> kuchaguliwa.
>
>
> Sifa ya kwanza ni lazima
> tunayetaka kumpa uongozi awe na
> uwezo wa kuongoza. Na sifa ya pili, mtu huyo sharti awe
> hataki kabisa kuwa
> rais, anatambua kuongoza watu ni utumishi na huyo ndiye watu
> wamfuate,
> wamshauri, wamwombe, ndipo atakuwa kiongozi bora, kwani
> atawaheshimu
> waliomwomba awaongoze. Na ataheshimu na kuiogopa dhamana
> aliyokabidhiwa.
>
>
> Mwalimu Nyerere, katika
> kitabu chake, Uongozi Wetu na Hatma
> ya Tanzania, anasema wanasiasa kwa kawaida hupenda kutawala
> hata kama hawana
> uwezo wa kutawala. Kwa hiyo, wako tayari hata kuhonga ili
> wachaguliwe kuwa
> watawala au wako tayari kuchakachua kura ili watangazwe
> washindi na
> wakishachaguliwa au kutangazwa washindi hawatoki bila
> kulazimishwa.
>
>
> Wanaotaka sana uongozi kwa
> gharama yoyote mara nyingi ni
> wanasiasa ambao hawana uwezo wa kuongoza. Hata hivyo, wapo
> wanasiasa
> wanaoutamani uongozi kisha wakawa viongozi bora, kama
> aliyekuwa Rais wa
> Marekani, hayati John F Kennedy, lakini nitahadharishe kuwa
> watu wa aina hiyo
> ni adimu sana duniani.
>
> Kuna wakati Mwalimu Nyerere
> alikaririwa akisema kwamba
> alikuwa mwalimu taaluma aliyoipenda kwa kuichagua mwenyewe ,
> lakini aliingia
> kwenye siasa kama ajali.
>  Hakutaka kuwa rais.
> Ilikuwa ni bahati mbaya kwake.
>
> Katika makala yangu ya tarehe 15 April
> 22015 kwenye gazeti
> la Raia Mwema niliandika juu ya nini nilichoona kilikuwa ni
> chanzo cha nchi
> yetu kuyumba. Imebaki miezi takribani sita watanzania
> watachagua viongozi wao
> akiwemo Rais. Wananchi wana jukumu la kwanza kuhakikisha
> wanapata viongozi
> wazuri.
>
>
> Hivyo ni mhimu wananchi
> waelimishwe ili waweze kuchagua
> viongozi wenye uwezo wa kuongoza na wanaofaa. Katika makala
> hii ninapenda kutoa
> ushauri wangu kwa Watanzania tunapoelekea katika uchaguzi
> mkuu wa mwaka 2015
> sifa muhimu wanazotakiwa wawe nazo wanaofaa kuwa viongozi.
> Ushauri wangu
> unaegemea katika falfasa ya Plato.
>
>
> Watanzania mnashuhudia
> minyukano ya kuwania kuteuliwa
> kugombea nafasi ya urais ndani ya CCM na mbinu chafu
> zinazotumika leo kuelekea
> uchaguzi mkuu mwaka wa Oktoba 2015 ambazo Watanzania
> tunazishudia ni mbinu
> zilezile zilizotumika mwaka 1995 na 2005 na zinatumiwa na
> watu walewale na ni
> chanzo cha CCM kuanguka na taifa letu kuyumba. Wapo wana CCM
> wengi walionyesha nia ya kutaka kuchaguliwa
> kuongoza taifa letu.
>
> Waziri Mkuu aliyejiuzulu,
> Edward Lowassa pia ameonyesha
> nia ya kutaka kugombea urais kupitia CCM. Zipo dalili za
> wazi kwamba CCM
> isingependa kumpitisha Lowassa kutokana na tuhuma za mbinu
> chafu. Wapo
> wanaomtetea kwamba hana tuhuma na wapo wanaoona kwamba
> tuhuma hizo ni za kweli.
> CCM imegawanyika.
>
>
> Mgawanyiko huu umeingia
> hadi nyumba za ibada, vyuo vikuu,
> vyombo vya usalama nakadhalika. CCM nzima imegawanyika.
> Taifa limegawanyika.
> Sababu za kugawanyika kwa Taifa zinatokana na mbinu chafu
> zinazotumika wala si
> kwamba jamii inamhitaji sana Lowassa.
>
>
> Makundi yanayotangaza
> kwamba anafaa na yanayokwenda
> kumshawishi kila mara baadaye yamedhibitika siyo kweli bali
> yametengenezwa na
> yamepewa fedha au yamenunuliwa. Ni ujinga.
>
>
> Ningependa kusisitiza na
> tujiulize kwamba, Lowassa aliwania
> kugombea urais mwaka 1995 lakini akaondolewa na CCM kwa
> tuhuma za kutumia mbinu
> chafu ikiwemo kujilimbikiza mali. Mwaka 2007 akajiuzulu
> Uwaziri Mkuu kwa tuhuma
> za ufisadi. Kwa sasa anataka kugombea tena urais na bado
> anatuhumiwa na chama
> chake kwa kutumia mbinu chafu.
>
>
> Kwa nini mwenzetu huyu,
> Edward Ngoyai Lowassa anataka sana
> kwenda Ikulu kwa gharama yoyote? Tunafahamu uongozi ni
> utumishi. Huwezi
> kung'ang'ania au kulazimisha kuongoza au kuitumikia
> jamii wakati huo huo jamii
> hiyo ina mashaka na uadilifu wako. Haiwezekani. Nyerere
> aliyekaa Ikulu miaka 24 alisema, kwa mtu
> muungwana kabisa Ikulu si pa kukimbilia. Hakuna biashara
> Ikulu.
>
>
> Kwenye makala iliyopita ya
> tarehe 15 April 2015 kwenye Raia
> Mwema nilieleza kwamba kikao cha NEC cha mwaka 1995
> kiliondoa jina la Lowassa
> kwa kuwa alikuwa na tuhuma za rushwa, kujilimbikizia mali na
> kupungukiwa na
> maadili, kinyume na katiba ya CCM na chama hicho kikawateua
> Benjamin William
> Mkapa, Cleopa David Msuya na Jakaya Mrisho Kikwete kuwa
> wagombea.
>
>
> Ukweli kwamba kuna matajiri
> au watu wanaotumia pesa kumiliki
> siasa na uongozi katika nchi yetu, ni jambo lililo wazi.
> Mathalani, kulikuwa na
> matumizi makubwa ya fedha katika uchaguzi mkuu wa mwaka
> 2005.
>
> Baada ya kutangazwa mshindi wa kiti
> cha urais katika
> uchaguzi huo, Rais Jakaya
>
> Mrisho Kikwete, akizindua
> Bunge Desemba 30, 2005,
> alisema: "Yameanza mawazo kuwa uongozi unaweza kununuliwa
> kwa fedha. Tusipokuwa
> waangalifu, nchi yetu inaweza kuwekwa rehani kwa watu wenye
> fedha za kununua
> uongozi au wanaoweza kupata fedha za kufanya hivyo, maana
> unaweza kufadhiliwa
> na mtu ili ununue uongozi, ni vema sasa tulishughulikie
> suala hili".
>
>
> Nchi kuwekwa rehani kwa
> matajiri ni jambo la hatari sana,
> kwa maana serikali itaongozwa na matajiri na haitawajibika
> kwa wananchi.
> Demokrasia itakoma na udikteta utatawala. Jambo
> linalojitokeza hapa na ambalo
> ni matokeo ya matumizi makubwa ya fedha na rushwa kwenye
> chaguzi, ni kupatikana
> kwa viongozi ambao hawakuchaguliwa na wananchi bali
> walinunua uongozi au
> waliotoa rushwa kushawishi wapiga kura wawape uongozi.
>
>
> Pia Mwalimu Nyerere, wakati
> wa uhai wake, aliwahi kuonya juu
> ya hatari ya watu wachache wenye pesa kujaribu kutafuta
> uongozi kwa manufaa
> yao. Alisema: "Tanzania halijawa taifa imara sana na
> adilifu kiasi cha kuruhusu
> matajiri kuingia kwenye uongozi wa nchi kama ilivyo Marekani
> na Ulaya. Wakati
> huo bado uko mbali sana na tukitaka kuuvuta kwa kamba huko
> ndiko kuliingiza
> taifa letu changa kwenye kiwango cha ufisadi kama ilivyo
> sasa.
>
>
> Katika kitabu cha Uongozi
> Wetu na Hatma ya Tanzania, Mwalimu
> J.K Nyerere, alisema hivi: "Utajiri unaweza kupatikana
> kutokana na rushwa kwa
> watumishi wa umma au kutokana na wafanyabiashara ambao
> wanawania nafasi za
> kisiasa ili wawe wadeni wa rais aliyeko madarakani". Maana
> ya maneno haya ni
> kwamba kiongozi akipatikana kwa kupewa fedha na matajiri,
> atapaswa alipe
> fadhila kwa matajiri hao waliokifadhili chama chake au yeye
> mwenyewe wakati wa
> uchaguzi.
>
>
> Serikali inayopatikana kwa
> rushwa haiwajibiki kwa wananchi.
> Hutumikishwa na matajiri walionunua uongozi na waliotoa
> rushwa. Serikali hiyo
> huwaabudu matajiri walioiweka madarakani, haiwezi kufanya
> maamuzi yenye maslahi
> kwa wananchi. Serikali hiyo hulinda maslahi ya watu
> wachache, haiwezi kuchukua
> hatua dhidi ya ufisadi.
>
>
> Hivi karibuni tumeshuhudia
> uteuzi wa hovyo wa wakuu wa
> wilaya, pia siku za nyuma tumeshuhudia kwenye utawala wa
> Kikwete uteuzi wa kushangaza
> wa mawaziri , watendaji wa serikali na taasisi za serikali.
> Uteuzi wa ajabu
> kabisa hadi unajiuliza watoto wetu wanajifunza nini kwa watu
> wa aina hiyo
> wanaopewa dhamana kubwa wakati hawana uwezo na wamepungukiwa
> maadili?
>
>
> Ni bayana walipewa dhamana
> hizo kwa kulipa fadhila kwani
> walikuwa kwenye mtandao uliomwingiza Kikwete madarakani.
> Mtandao wa sasa wa
> Lowassa ni mkubwa kuliko wa mwaka 2005 uliomwingiza Kikwete
> madarakani na fedha
> zinatumika sasa pia ni nyingi kuliko zile zilzotumika mwaka
> 2005. Je Watanzania
> tunategemea nini baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2015 ikiwa
> Lowassa atakuwa
> Rais?
>
>
> Hivyo ninashawishika
> kukubaliana na wale wanaotabiri kwamba
> utawala wa Lowassa utakuwa mgumu kuliko wa Kikwete kwani
> utaendeleza yale yale
> ambayo Kikwete ameyafanya, mfano kulipa fadhila kwa
> wanamtandao waliomwingiza
> madarakani bila kujali uwezo wao wa kuongoza.
>
>
> Rais wetu ambaye pia ni
> Mwenyekiti wa CCM anao wajibu na
> nafasi ya kusaidia kutoa ufafanuzi na hatimaye kufikia
> maamuzi ya kuliponya
> taifa letu kama alivyofanya Mwalimu Nyerere. Nyerere
> alipotanguliza utaifa
> kwanza, akasema ukweli na maamuzi sahihi yakafanyika. A
> friend in power is a
> friend lost. Taifa letu kwanza urafiki baadaye. Kikwete
> amshauri Lowassa aache
> kugombea urais kwa ajili ya kuliponya Taifa letu.
>
>
> Madhumuni ya makala hii ni kuendelea
> na ushawishi na ushauri
> wangu nilioutoa katika makala iliyopita kwa kuzingatia
> falfasa ya Plato na
> ushauri wa Mwalimu Nyerere alioutoa kwenye kitabu
> chake.
>
>
> Tunamhitaji Mtanzania ambaye ana uwezo
> wa kuongoza lakini ambaye
> anajua Ikulu ni mahali patakatifu na hakimbilii au
> halazimishi kwenda huko kwa
> kujua ugumu wa kazi hiyo na si kazi ya kuomba kienyeji kwa
> matakwa yake
> binafsi. Tunahitaji mtu mwadilifu wa mkweli siyo kama watia
> nia wengine
> wanavyoigiza kukubalika na jamii na wanatumia uwezo wa
> kifedha kuutafuta urais.
>
>
> Hivyo, ningependa kusisitiza ushauri
> wa Mwalimu Nyerere
> unaozingatia falsafa ya Plato kwamba ni muhimu wananchi
> waelimishwe ili waweze
> kuchagua viongozi wenye uwezo wa kuongoza na wanaofaa na
> wasio na tamaa ya
> kwenda Ikulu kwa kuwahonga watu.
>
>
> Ikulu ni mahali patakatifu na hakuna
> biashara Ikulu bali ni
> mahali pa kuwatumikia watu. Si kila tajiri ana uwezo wa
> kuongoza.
> Chanzo Raia Mwema
> Toleo la 402
>
> 22 Apr 2015
>
>
>
>
>
> --
>
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>  
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
> kudhibitisha ukishatuma
>
>  
>
> Disclaimer:
>
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
> for any legal consequences of his or her postings, and hence
> statements and facts must be presented responsibly. Your
> continued membership signifies that you agree to this
> disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
> ---
>
> You received this message because you are subscribed to the
> Google Groups "Wanabidii" group.
>
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails
> from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>
> For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
>
>--
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>---
>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

Read More :- "Re: [wanabidii] Kweli fedha fedhea, Kaka yangu Mpendazoe leo anaposahau maandishi yake wakati wasomaji hatujasahau"

[wanabidii] Windows 10, one month later: The good & the bad

 
fbtwittergoogle
01 September 2015
 
 
 Windows 10, one month later: The good & the bad 

Windows 10, one month later: The good & the bad

It’s been almost a month that we’ve been using a Windows 10 PC+tablet hybrid to find out if it’s worth an upgrade. 

 
 Prepare a new dossier! Pakistan's cyber Mujahideen hit India 

Prepare a new dossier! Pakistan's cyber Mujahideen hit India

Financial institutes have been facing a growing number of cyber attacks. 

 
 Blogger gets legal notice for using Flipkart logo 

Blogger gets legal notice for using Flipkart logo

Flipkart has sent a cease and desist letter alleging copyright infringement and cyber squatting. 

 
 Flipkart apologises for sexist email 

Flipkart apologises for sexist email

Flipkart replied to the tweet saying it does not endorse the content of the email and will investigate and take action. 

 
 Myntra going app-only is the dumbest idea ever: Snapdeal CEO 

Myntra going app-only is the dumbest idea ever: Snapdeal CEO

Kunal Bahl, co-founder and CEO of Snapdeal, has decisively raised the pitch against Flipkart, emphatic that his company will become India's largest e-commerce firm in terms of gross sales this fiscal year. 

 
What's Hot
 

10 startups that may become billion-dollar firms

So which startups are next to reach the Unicorn level? CB Insights, a research firm that tracks venture capital and startups, recently ran a data screen for The New York Times to answer the question.

 10 startups that may become billion-dollar firms
 
 Multi-billion dollar opportunity awaits India IT companies 

Multi-billion dollar opportunity awaits India IT companies

According to data from outsourcing advisory ISG, at least six such deals are set to expire in 2016. Further, another nine deals with a total contract value of at least $500 million each from customers such as Arcelor-Mittal and BAE Systems will also ... 

 
 Need to expand H-1B visas: US trade body USIBC 

Need to expand H-1B visas: US trade body USIBC

Arguing that limiting the number of H-1B visas would have an impact on global competitiveness of US firms, USIBC has called for expanding the number of the work visas granted to foreign IT professionals every year. 

 
 Digital India campaign: US academics raise concerns 

Digital India campaign: US academics raise concerns

Ahead of PM Modi's visit to Silicon Valley to promote 'Digital India' campaign, more than 100 prominent US-based academics have raised privacy concerns about the project. 

 
 What the latest iPhone 6S leak says about the camera 

What the latest iPhone 6S leak says about the camera

iPhone 6S is likely to have a bigger front-facing camera than the iPhone 6, for better selfies, better FaceTime chats and, possibly, slow-motion video features. 

 
 Wipro hires another TCS executive 

Wipro hires another TCS executive

India's third largest software exporter Wipro has hired a top executive from larger rival Tata Consultancy Services to head its emerging markets business. 

 
 
IT Industry Jobs
Engineer / Diploma Fresher ( Elect & Telecom / Electrical , Urgent (0 - 1 yrs.)
Talentz HR Solutions (Noida/Greater Noida)
Android developer | required 10. - 15 LPA | 2 - 5 yrs / Bangalore (2 - 5 yrs.)
Swiftrec Recruitment Services Pvt Ltd (Bengaluru / Bangalore)
iOS developer needed | 10.00 - 15.00 LPA | 2 - 6 yrs bangalore (2 - 6 yrs.)
Swiftrec Recruitment Services Pvt Ltd (Bengaluru / Bangalore)
Graphic designer , Senior Graphic Designer (2 - 5 yrs.)
sharda consultancy Services (Gurgaon)
Web Designer (1 - 2 yrs.)
App Mantras Software Pvt Ltd (Bengaluru / Bangalore)
Scala / Java professionals (3 - 5 yrs.)
HR Inc (Bengaluru / Bangalore)
Unsubscribe | To manage your newsletter subscription settings. Click Here.
Other Newsletters from TOI :
Top Headlines | Tech | Entertainment | Movie Reviews | Life & Style
Read More :- "[wanabidii] Windows 10, one month later: The good & the bad"