Sunday 31 May 2015

Re: [wanabidii] SIMPIGII KURA MGOMBEA MASKINI

Sidhani kama kuna kifungu kwenye katiba yetu au sheria zetu kinachomzuia mtu yeyote awe tajiri au maskini kugombea nafasi yoyote ya uongozi. Ila tunayo maadili na pia zipo sheria zinazozuia wizi, ufisadi, ubadhilifu, kula rushwa, pesha chafu nk. Kama kuna mtu anaomba kupewa nafasi ya uongozi ni lazima tuangalie maadili yake katika mambo hayo.

Pia nafikiri mara nyingi tumekuwa tukiainisha sifa za kiongozi bora na kwa pamoja tunakubaliana mambo mengi. Kwamba kiongozi lazima awe na nguvu kimwili na kiakili. Nguvu za kiakili ndo haswaa panapoleta tatizo. Ufahamu wetu haulingani na hivyo tunapotaja mtu mwenye uwezo wa kiakili tafsiri zetu hutofautiana pia. Mfano nimekuwa nikisikia viongozi wengi na hasa toka CCM wakisema wapinzani ni watu wa kubeza na kukashifu kila kitu ilichofanya CCM. Kwa mujibu wao CCM imeendeleza nchi sana kwa kujenga barabara, kujenga mashule, ina vyuo vikuu vingi, ina huduma safi za afya nk. Kwa lugha nyingine wanaona wamefanya mambo mengi na ya kutosha kiuchumi na kijamii.

Lakini ukimuuliza mtu mwingine anayeweza kuchambua na kulinganisha atakwambia hapa kilichofanyika ni kidogo sana na kwamba kwa dunia ya leo ya utandawazi hakuna hatua yoyote ya maana tuliyopiga katika huduma ambazo CCM inasema tumepiga hatua kubwa. Hapana shaka kwamba ni vigumu kwa mwanakijiji anayekaa mwanalumango kuweza kuchambua vizuri hatua na ubora wa utoaji huduma tulionao kulinganisha na raslimali watu na vitu tulivyonavyo. Huyu mtu maskini tatizo lake ni kwamba anaingalia Tanzania kama eneo dogo la kijiji chake na hana mahali alipowahi kwenda kuona huduma hizo katika nyingine zinatolewa katika ubora na wingi kiasi gani. Mtu wa aina hiyo atakwambia fulani anafaa kutuongoza kwa sababu anatoa maamuzi magumu. Bila hata kujiuliza hayo maamuzi magumu yameleta tofauti gani katika maisha yetu ya kila siku.

Tuwe na utamaduni wa kuhoji mambo mengi ikiwemo uwezo mkubwa (great thinking) wa kufikiri na kusimamia at micro and macro level wa mgombea. Nafikiri kwa mtu anayejua dunia ya leo iko vipi ni vigumu kutwambia kwamba Tanzania kwa sasa tumepiga hatua kubwa kimaendeleo, mtu wa namna hii tutamjua kwamba hajui anachotakiwa kuifanyia Tanzania, hajui matatizo yetu bali anaomba kwenda ikulu kufanyabiashara na kustarehe. Jamani tukumbuke maneno ya mlm Nyerere kwamba Ikulu ni mzigo na kwa mtu mwaminifu ikulu si pa kukimbilia.

Let us be serious tusilete mchezo kwenye vitu ambavyo ni complicated. Kama tumefanya hayo makosa huko nyuma ibaki ni historia tu. Tuache mambo ya ushabiki kisa gazeti au TV fulani imetwambia fulani anafaa au anakubalika. Tunawajua hawa watu maana si wageni kwetu, wote walioonyesha nia na wanaopanga kufanya hivyo wamekwishashika nafasi za uongozi. Ni nafasi nzuri kwetu kukumbuka ni yapi ya kipekee waliyoanzisha na kufanya,  tujiulize ni wakati na ni mambo yapi tulipoona huo uwezo wao mkubwa wa kufikiri na kutenda mambo makubwa yaliyoliletea tija taifa letu? Hata kama wanasingizia kutokuwa na maamuzi ya mwisho basi tungelikuwa angalau tumekwishasikia ujenzi wao wa hoja nzito na imara wakiwa bungeni. Kutenda kunaanza na fikra. Kama tunalifanyia mchezo suala hili basi na mimi napanga kutangaza nia na sababu yangu ni moja tu " nimeona urais wa Tanzania rahisi sana na hivyo na mimi naweza kuwa rais' kwani wao wakoje na mimi nikoje?

2015-06-01 6:10 GMT+03:00 'Paschal Leon' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Mtu tajiri ni mzuri kama utajiri wake ameupata kwa kazi halali na sii rushwa wala ujanja-ujanja. Be careful with hao wezi waliokubuhu. Note that hakuna kiongozi anayetumikia wananchi atakayekuwa tajiri; utajiri huo ataupata wapi?



On Sunday, May 31, 2015 5:07 PM, 'fhkipamila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:


Msameheni Yona alipoteza ufahamu toka oktoba 2010 hawezi kulikataa hili
SENT FROM ALCATEL ONETOUCH TABLET

'salumkango' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Sio watu ni Yona Maro. Kwa kweli ni hoja dhaifu mno. Na hata mifano aliyoitoa haiendani kabisa. Tatizo la Tanzania sio utajiri bali ni jinsi viongozi wetu wanavyoupata huo utajiri




Sent from my Samsung Galaxy smartphone.


-------- Original message --------
From: 'Mike Zunzu' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Date:31/05/2015 12:56 PM (GMT+03:00)
To: wanabidii@googlegroups.com
Cc:
Subject: Re: [wanabidii] SIMPIGII KURA MGOMBEA MASKINI

Kwa mtizamo huu, kwa hiyo watu mnaamini Rais akiwa masikini atawaogopa matajiriri, utumbo na udumaavu wa akili kufikiria hivyo, Kwa taarifa mtu aliyeleta habari hii jamvini hakuwaza kwamba hekina na uungwana wa kutaka kutenda haki kwa kila mmoja ni msingi wa uongozi bora.
Hizi ndizo sababu zinazotufanye tuchague watu wasiofaa matokeo yake mtu akiwa madarakani ndipo tunaanza kujuta. Uchaguzi unaofaatia tunafanya kosa hilo hilo, kama wazazi wanaotafuta kupata mtoto wa jinsia fulani lakini kila wakati wanapata mtuto wa jinsia ambayo tayari wana watoto wa njisia hiyo.
Ninachofahamu mleta habari hii wakati mwingine amekuwa akileta habari mbali mbali zingine zikiwa na mafunzo tele, ningelitegemea amesoma habari za viongozi mbali mbali duniani hata kama siyo wote, lakini kua viongozi waliofanya makuwa ka nchi zao je ni kwa sababu walikuwa na mali? Soma habari ya kiongozi aliyeileta Malaysia hapo ilipo leo, je alikuwa Tajiri?  Utamlinganisha Nyerere na waliomfuatia combined. Kuna kiongozi wa Bolivia na wengine wengi. 
 Kiongozi mzuri ni yule atakayetumia katiba kuingoza nchi ndiye atakayewezesha nchi kusonga mbele, siyo ku sign sheria kwa mbwembwe.



On Sunday, 31 May 2015, 9:20, Herment Mrema <hmrema11@hotmail.com> wrote:


Magafu,

Ogopa umaskini wa akili, umaskini wa roho na umaskini wa mfuko.  Ni hatari kuliko cancer kwani angalau ukiwa na cancer unajua pa kuanzia lakini ukiwa na umaskini wote wa aina tatu utaanzia wapi?.

Pole Watanzania maskini wenzangu kwani tumeliwa na tumefanywa maskini ili waendelee kututawala watakavyo.  Nalililia Tanzania yetu

Cheers

Herment


Date: Sun, 31 May 2015 11:09:22 +0700
Subject: Re: [wanabidii] SIMPIGII KURA MGOMBEA MASKINI
From: gmdmagafu@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com

Hoja hafifu sana. Unajaribu kutushawishi Watanzania ambao wengi wetu ni maskini tuikane haki yetu ya kuchaguliwa, siyo? Usitushawishi Watanzania kuwapigia kura wagombea ambao wametajirika kupitia ufisadi. Kuvumilia wizi na kuwaita wezi eti "wajanja" kunaharibu nchi yetu. Sisi sote ni Watanzania. Mishahara ya Watanzania tunaijua vizuri kwa sababu ndio hiyo tunayopekea sisi pia. Utajiri mwingine hauelezeki hata kwa mshahara wa juu kabisa wa mfanyakazi wa serikali ya Tanzania. Watanzania tuko zaidi ya mil 45. Najua wajinga ni wengi watakaokuunga mkono lakini hatuwezi wote kuwa wajinga hivyo.

Na kwa hakika Nyerere mwaka 1995 alikuwa mmoja wa wale ambao hawakuwa wajinga hivyo. Nyerere alijua hatari ya kuwaruhusu wagombea wenye kutumia ushawishi wa pesa kupigiwa kura. Kwa hiyo aliwatupilia mbali kabisa hata wasifike katika hatua ya kupigiwa kura. Wapigakura wana njaa sana. Na njaa tayari imeanza kuonekana - kwenye CCM yenyewe, mitaani, vyuo vyetu, nk. CCM watatunza heshima yao kama watawaondoa wagombea wenye kutegemea ushawishi wa pesa wasifike kwenye hatua ya kuigiwa kura chamani kama Nyerere alivyofanya 1995. Wakiruhusiwa kupigiwa kura, basi lazima pesa ishinde. Na kila mwekezaji hutegemea faida. Pesa zao lazima wazirudishe wakiwa Ikulu (+faida).  

Wagombea wa Bara katika CCM wana vurugu na uchu sana (huku wakidai kuwa Wapinzani ndio wana uchu wa madaraka). CCM wawatupe hawa wagombea wa Bara kwa kuwapa Wazanzibari nafasi ya kugombea safari hii. Isitoshe Zanzibar inaonekana kuwa na watu wenye sifa zaidi kuliko Bara. Kuna Makamu wa Rais na Rais wa Zanzibar mwenye uzoefu wa uongozi wa juu ambao hakuna mtu yoyote wa Bara mwenye ku-match.

2015-05-30 23:54 GMT+07:00 Yona Maro <oldmoshi@gmail.com>:
SIMPIGII KURA MGOMBEA MASKINI

Rais wa Kenya ,Uhuru Kenyatta ni mmoja wa matajiri wakubwa wa Afrika , inasemekana Aliachiwa urithi wa ardhi kubwa sana na baba yake ambaye alikuwa rais wa kwanza wa Kenya , Mzee Jomo Kenyatta .

Toka ameingia madarakani amefanya mabadiliko mengi na kuwajibisha wengi ya karibuni zaidi ni kuwajibisha wakuu wa mashirika ya umma zaidi ya 20 kutokana na tuhuma za rushwa .

Prof Peter Mutharika ambaye ni rais wa Malawi wa sasa alitangaza mali zake alipoingia madarakani ambazo ni dola milioni 4 za kimarekani pamoja na vitega uchumi vingine alivyonavyo na hisa .

John Kerry , Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani wakati alipotakangaza kugombea urais wa Marekani alitangaza mali zake ambazo zilikuwa zaidi ya dola milioni 30 za marekani hapo ni nyumba zake , hisa zake na jinsi anavyolipa kodi .

George Bush Mkubwa na Mdogo wote walikuwa marais wa Marekani , wote ni wamiliki wa moja ya kampuni kubwa kuliko zote za mafuta na Gesi ulimwenguni utajiri wake hausemekani lakini wote waliwahi kuwa marais wa marekani .

Rais wa Sasa wa Marekani , Barak Obama alitangaza mali zake kabla ya kuukwaa urais ambazo zilifikia dola milioni 5 atakapomaliza muhula wake wa 2 atatangaza tena mali zake na mengine mengi ambayo yatakuwa wameshakaguliwa na chama cha wahasibu wa marekani pamoja na taasisi nyingine za serikali .

Kwahiyo wewe unasema si Tajiri , lakini umekuwa waziri kwa miaka 10 , tunajua safari zako zote za nje unalipwa posho kiasi gani na msururu wa watu unaoenda nao kwa kipindi hicho cha miaka 10 , bado wewe ni mbunge unavyoenda bungeni unalipwa posho .

Ukiacha hili la uwaziri tunajua ulikuwa unafanya shuguli nyingine kama ni za serikali au binafsi kabla hujawa mbunge wala waziri huku kote ulikuwa unatengeneza maisha yako na ya familia yako na kama una mke hata mkeo nae ni mfanyakazi kwahiyo kipato chenu kwa pamoja kilikuwa kikubwa kiasi Fulani iweje leo utuambie wewe ni maskini ?

Hapa Kwetu inaonyesha mtu kuwa na hela au kuwa tajiri basi huyo hatakiwi kugombea urais au ubunge tunataka wale maskini wanaojionyesha kwamba wana hela chache na milolongo mengine mingi sana .

Kuna baadhi ya wagombea wanajinasibu masikini saa hizi lakini hawako radhi kuonyesha mapato na matumizi yao toka wameingia serikalini kwenye ngazi ya ubunge na uwaziri kwa kipindi chote .

Nikiambiwa nipige kura kati ya mgombea tajiri na maskini nitampa tajiri ambaye ameweka utajiri wake hadharani na ambao umekaguliwa na vyombo kama TRA na vingine nchini kuthibitika kwamba hazina utata wowote .

Kiongozi tajiri anatupa funzo moja kuu kwamba yeye ameongoza kampuni yake kwa mafanikio kwa kipindi Fulani kabla ya kuamua kugombea urais , anajua mambo ya mikataba , makubaliano , mikopo na masuala mengi yanayohusu biashara na maisha kwa ujumla kuliko baadhi ya wagombea .

Nchi yetu inaingia kwenye kipindi cha Uzalishaji wa Gesi , mafuta , Urani na maliasili nyingine nyingi hii inahitaji mtu mwenye uwezo huo wa biashara , maelewano , mikataba , mikopo na maendeleo si mtu yoyote tu .

Lengo la makala hii sio kumpigia kampeni Fulani , ni kusema ukweli uliopo tu ili tuweze kuwa huru .

YONA FARES MARO



--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] SIMPIGII KURA MGOMBEA MASKINI"

Re: [wanabidii] DUNIA YATAZAMA WAKIMBIZI NYARUGUSU, WA MTABILA WAREJEA TENA

Hii ni business as usual... Kuna siri kubwa nyuma ya ukimbizi huu...only that you need time to find out...! You will be shocked with a story behind this... is a drama...!

On Jun 1, 2015 9:06 AM, "zainul mzige" <zainul.mzige21@gmail.com> wrote:

Habari za asubuhi,

Tafadhali pokea CODES.

<span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_00151.jpg"><img class="size-full wp-image-136956 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_00151.jpg" alt="DSC_0015" width="640" height="427" /></a></strong></em></span>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Mkuu wa Kambi ya Wakimbizi Nyarugusu iliyopo wilayani Kasulu, mkoani Kigoma, Sospeter Christopher Boyo (aliyesimama mwenye shati la kitenge) akisoma taarifa fupi ya Kambi ya Nyarugusu kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe (aliyeketi mwenye suti ya kijivu) aliyeambatana na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez mara baada ya kuwasili kwenye kambi hiyo kujionea hali halisi ya mazingira na changamoto zinazowakabili Waomba hifadhi wa Burundi na Kongo. (Picha zote na Zainul Mzige wa<a href="www.modewjiblog.com"> modewjiblog</a>)</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Na <a style="color: #000080;" href="www.modewjiblog.com">Modewjiblog</a> team, Kigoma</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>WAKATI dunia kupitia Mashirika ya Umoja wa Mataifa yanahangika kutanzua changamoto za wakimbizi Nyarugusu, mkoani Kigoma imeelezwa kuwa idadi kubwa ya Wakimbizi waliorejeshwa nchini Burundi kutoka kambi ya Mtabila iliyoko Kigoma iliyofungwa rasmi Desemba, 2012 wameingia tena nchini na kujazana katika makazi ya muda ya Nyarugusu wakiomba hifadhi.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Kambi ya Nyarugusu Sospter Christopher wakati akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi aliyekwenda kuangalia hali halisi ya kambi ya Nyarugusu na Wakimbizi akiambatana na Maofisa wa Umoja wa Mataifa akiwemo Mratibu wa Mashirika hayo nchini Alvaro Rodriguez.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Kurejea kwa wingi kwa Wakimbizi hao ni pigo kisaikolojia kwa watu ambao walirejeshwa nyumbani kwa kuonekana kwamba hali ni shwari na walikuwa wameanza kuishi maisha ya kawaida.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Mkuu huyo wa kambi alisema idadi hiyo ikichanganyika na wengine imafanya  kambi kuhemewa na kuonekana haja ya kutafuta eneo jingine la kupiga kambi kwa ajili ya Wakimbizi hao ambao mpaka mwishoni mwa wiki iliyopita walikuwa zaidi ya elfu 51.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>" Kwa sababu tunapokea idadi kubwa ya waomba hifadhi toka Burundi, tumekuwa tukiongeza idadi ya vituo vya mapokezi ili kukidhi mahitaji ya kuwapokea  wakati tukisubiri maelekezo toka ngazi za juu za kuwahamishia Migunga Hills eneo linalopendekezwa kufunguliwa kambi ya Nyarugusu B" alisema Christopher mbele ya Waziri Chikawe.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Alisema walianza kupokea waomba hifadhi hapo kambini kuanzia Aprili 29, 2015 kwa idadi ndogo kabisa ya watu 36, lakini idadi hiyo ilianza kuongezeka siku hadi siku na kufikia Mei 27 mwaka huu idadi yao ilifikia 48,333, idadi kubwa ikiwa wanawake na watoto.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Wakimbizi hao walikuwa wakipitia vituo vya Kigoma (27,638), Manyovu (4,439), Kilelema (1,603) na Kigadye (1,291).</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Kambi hiyo yenye uwezo wa kubeba watu 50,000 imeelemewa kwa sababu ya ujio mpya uliosababisha kuwepo kwa Wakimbizi zaidi ya 106,410.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Kuna matatizo zaidi ya milipuko ya wagonjwa kambi hii imechanganywa na  Wakimbizi wa Kongo watu ambao hawana utamaduni wa pamoja na kuonekana hatari ya kukabiliana kwa kutosikilizana.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong> Aidha kambi hiyo pamoja na kuwahifadhi waburundi wapo pia Wakimbizi kutoka Kongo wapatao 54,706; Burundi,3261 ; Rwanda 72; Uganda 17; Sudan Kusini wanane; Kenya 7; Somalia 3; Ethiopia 1; Zimbabwe 1; na Ivory coast 1.</strong></span></p>
&nbsp;
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_00721.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136958" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_00721.jpg" alt="DSC_0072" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Mkurugenzi wa Idara ya huduma za Wakimbizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Harrison Mseke (wa pili kushoto) akizungumza jambo na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP),  Alvaro Rodriguez (kushoto) huku Mkuu wa kambi mpya inayotarajiwa kuanzishwa ya Nyarugusu B, Fredrick Nisajile (wa nne kulia) akitoa maelezo kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe (wa tatu kushoto) mara tu baada ya kuwasili na kusomewa taarifa kwenye kambi ya Nyarugusu wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Wengine pichani ni baadhi ya viongozi wa ulinzi na usalama wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Akijibu  maswali ya waandishi wa habari walioambatana naye katika ziara hiyo kuhusu hali ya baadae ya Wakimbizi wa Kongo ambao wapo nchini kwa takribani miaka 19 sasa, Waziri Chikawe alisema kwamba serikali haina mpango wa kuwapa uraia kwa sasa ingawa Marekani imesema itawachukua Wakimbizi elfu 30 kuwapeleka kwao na kwingine duniani.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>"hatuna mpango wa kuwapa uraia kwa sasa…" alisema Chikawe na kusema kwamba kwa kuondolewa kwa hao  wengine kutasaidia kupunguza idadi yao katika kambi hiyo.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Alisema kwamba ni lengo la serikali kuhakikisha kwamba kambi hiyo inapunguzwa ili kuweza kuchangia ipasavyo kwa hali bora ya Wakimbizi na kwamba mchakato wa kuwaangalia waomba hifadhi kama wanafaa kuwa Wakimbizi unaendelea.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Akizungumzia malalamiko ya upatikanaji wa chakula, Waziri Chikawe alisema kwamba si kweli kuwa kuna watu hawajapata chakula kwa siku saba la sivyo wangelikufa.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Alisema wengi wa Wakimbizi ni watoto na kwamba wanapoingia nchini wanapewa vyakula vikavu (kama biskuti)  lakini wakishafika kambini wanapewa chakula kilichopikwa na resheni ya siku 14 .</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Alisisitiza kuwa kama kungelikuwa hakuna chakula watoto hao wasingeishi, labda kama wanataka kuongezewa chakula zaidi.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Kuhusu ujenzi wa kambi mpya Migunga alisema kwamba wataalamu wanaangalia barabara mbadala kwani iliyopo sasa pamoja na kuhitajika milioni 300 kuitengeneza lakini bado kila mvua itakapokuwa inanyesha itahitaji kutengenezwa.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Naye Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole katika mahojiano na waandishi wa habari aliishukuru serikali ya Tanzania kwa kufungua mipaka ili Wakimbizi waweze kuingia na kutoa eneo kwa ajili ya kambi mpya kutokana na ya sasa kujaa sana.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Aidha aliishukuru serikali ya Uingereza kwa kuwa ya kwanza kutoa misaada kwa ajili ya Wakimbizi hao na kutarajia nchi nyingine kama Marekani itafanya hivyo mapema ili kuisaidia serikali ya Tanzania katika kuhudumia waomba hifadhi.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Naye Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini, Alvaro Rodriguez amesema wanafanya kila linalowezekana ili kupunguza idadi ya Wakimbizi katika kambi ya Nyarugusu kwa kuwapatia eneo jingine la kujihifadhi.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong>Alisema kwa kuwatoa hapo watasaidia shule zilizofungwa ambazo zinasomesha watoto kutoka kwa Wakimbizi wa Kongo kurejea madarasani kukamilisha mtaala wao.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0038.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136957" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0038.jpg" alt="DSC_0038" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Mkuu wa kambi mpya inayotarajiwa kuanzishwa ya Nyarugusu B, Fredrick Nisajile akifafanua jambo kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe wakati akitembelea na kukagua maeneo mbalimbali ya Kambi ya Nyarugusu iliyopo wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0143.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136977" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0143.jpg" alt="DSC_0143" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa, Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez pamoja na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole wakikagua sehemu wanayolala Waomba hifadhi wanaoendelea kuwasili katika kambi ya Nyarugusu ambayo inaelemewa kutokana na wingi wa Waomba hifadhi hao wanaoendelea kumiminika mjini Kigoma.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0148.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136978" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0148.jpg" alt="DSC_0148" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Muonekano wa moja ya chumba cha kulala familia za waomba hifadhi katika kambi ya Nyarugusu ambapo kifika muda wa kulala wanatandika mkeka chini katika vumbi hilo jekundu na kupata usingizi.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0097.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136959" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0097.jpg" alt="DSC_0097" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe (mwenye suti ya kijivu), Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (wa pili kushoto) pamoja na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole (kushoto) wakisikiliza hoja mbalimbali kutoka kwa Waomba hifadhi wanaohifadhiwa kwenye kambi ya Wakimbizi Nyarugusu iliyopo  wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma walipotembelea kambi hiyo kukagua kambi hiyo na kuangalia changamoto mbalimbali zinazowakabili na namna ya kuzitatua.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0129.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136960" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0129.jpg" alt="DSC_0129" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe (mwenye suti ya kijivu) akiteta jambo na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez wakati walipotembelea kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu iliyopo wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma mwishoni mwa juma lililopita.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_00842.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136964" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_00842.jpg" alt="DSC_0084" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe akigawa vifaa vya matumizi ya nyumbani ambavyo ni Blangeti, Mkeka, Kontena la kuhifadhi chakula na dumu la maji la lita 10 kwa mmoja wa Waomba hifadhi waliowasili siku ya ziara ya kutembelea kambi ya Nyarugusu mwishoni mwa juma wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Anayeshuhudia tukio hilo ni Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (mwenye shati jeupe).Kulia ni Mkuu wa kambi mpya inayotarajiwa kuanzishwa ya Nyarugusu B, Fredrick Nisajile.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0112.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136979" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0112.jpg" alt="DSC_0112" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Waomba hifadhi  na familia zoa wakiwa katika foleni ya kupokea vifaa hivyo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_01071.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136980" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_01071.jpg" alt="DSC_0107" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe akizungumza na Waomba hifadhi katika kambi ya Nyarugusu wakati alipofanya ziara ya kutembelea eneo hilo akiwa ameambatana na Mkuu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa pamoja na Mwakilishi wa shirika la kuhudumia Wakimbizi nchini (UNHCR).</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_02351.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136975" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_02351.jpg" alt="DSC_0235" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akizungumza na mmoja wa wakinamama anayeishi kwenye kambi ya Wakimbizi Nyarugusu wakati wa ziara maalum ya kutembelea maeneo hayo iliyohusisha Serikali ya Tanzania na Umoja wa Mataifa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_02441.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136976" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_02441.jpg" alt="DSC_0244" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong> Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez  na Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu wakibadilishana mawazo na mmoja wa wafanyakazi wa Shirika la Kimataifa Ia Uhamiaji (I.O.M) (katikati) ambaye jina lake halikuweza kupatikana kiurahisi katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu iliyopo wilayani Kasulu mkoani Kigoma.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_01771.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136982" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_01771.jpg" alt="DSC_0177" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Mkurugenzi wa Idara ya huduma za Wakimbizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Harrison Mseke (mwenye suti ya kijivu) akifafanua jambo kwa Mh. Mathias Chikawe alipotembela katika chumba maalum kichotumika kufanya usajili kwa Waomba hifadhi na familia zao kwa ajili ya kupewa hati ya kuwa Wakimbizi kamili kama watatimiza vigezo vinavyohitajika. Aliyeketi kulia ni Msajili wa Waomba hifadhi, Ndalo Charles Bogohe.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0188.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136988" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0188.jpg" alt="DSC_0188" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Zoezi la usajili likiendelea kwa familia za waomba hifadhi katika kambi ya Nyarugusu iliyopo wilayani Kasulu mkoani Kigoma.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_01701.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136981" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_01701.jpg" alt="DSC_0170" width="640" height="426" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Wakinamama wakiandaa chakula cha mchana kwa familia zao kama walivyokutwa na kamera ya <span style="color: #0000ff;"><a style="color: #0000ff;" href="http://www.modewjiblog.com">modewjiblog</a></span>. </strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0052.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136961" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0052.jpg" alt="DSC_0052" width="640" height="426" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Sehemu ya familia za Waomba hifadhi katika kambi ya Wakimbizi Nyarugusu, wilayani Kasulu, mkoani Geita wakiendelea kujipanga baada ya kuwasili kwenye eneo hilo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0586.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136983" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0586.jpg" alt="IMG_0586" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Moja ya familia za waomba hifadhi ikiwa imejipumzisha mara baada ya chakula cha mchana huku nyuso zao zikionekana kuwa na furaha na matumaini mapya.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_00581.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136963" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_00581.jpg" alt="DSC_0058" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Hili ni eneo ambalo Waomba hifadhi  kutoka nchini Burundi wa kambi ya Nyarugusu wakiteka maji safi kwa matumizi yao.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_03401.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136965" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_03401.jpg" alt="DSC_0340" width="640" height="426" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Mkurugenzi wa Idara ya huduma za Wakimbizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Harrison Mseke (kushoto) akizungumza jambo na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP),  Alvaro Rodriguez (wa pili kushoto) wakati wakielekea kukagua vyumba vya madarasa katika shule ya msingi Mapendo ambayo yamegeuzwa kuwa nyumba za kulala Waomba hifadhi, kutokana na uhaba wa makazi ya kuishi kwenye maeneo ya kambi ya Nyarugusu, wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Wengine pichani ni baadhi ya viongozi wa ulinzi na usalama wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma katika msafara huo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0327.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136966" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0327.jpg" alt="DSC_0327" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Baadhi ya Waomba hifadhi katika kambi ya Wakimbizi Nyarugusu wakiwa wamempumzika huku wengine wakipata chakula cha mchana kama walivyokutwa na kamera ya <a style="color: #000000;" href="http://www.modewjiblog.com">modewjiblog</a>.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0329.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136968" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0329.jpg" alt="DSC_0329" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Kinababa nao hushiriki kuandaa chakula cha mchana kwa familia zao kama huyu aliyekutwa na kamera ya <span style="color: #0000ff;"><a style="color: #0000ff;" href="http://www.modewjiblog.com">modewjiblog</a></span>.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0630.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136987" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0630.jpg" alt="IMG_0630" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0335.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136969" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0335.jpg" alt="DSC_0335" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Eneo la shule ya msingi Mapendo katika kambi ya Wakimbizi Nyarugusu ambalo kwa sasa linatumika kuhifadhi Waomba hifadhi wanaoendelea kuwasili nchini wakitokea Burundi kupitia mji wa Kigoma.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0350.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136970" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0350.jpg" alt="DSC_0350" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Madawati ya wanafunzi katika shule ya msingi Mapendo yakiwa nje ya madarasa yakitumika kuanikiwa nguo na huku wakati wa msimu wa mvua yakinyeshewa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0379.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136971" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0379.jpg" alt="DSC_0379" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez wakibadilishana mawazo na wasimizi wa kambi hizo za Nyarugusu wakati wa ziara ya siku moja wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0279.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136973" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0279.jpg" alt="DSC_0279" width="640" height="426" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (kushoto) akiwa ameambatana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe wakikagua eneo jipya litakaloitwa Nyarugusu B lililotolewa na serikali kwa ajili ya Waomba hifadhi wanaoendelea kumiminika mjini Kigoma ambalo liko mbioni kutengenezwa na kukamilika ndani ya miezi 3 ijayo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><a style="color: #000000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0302.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136974" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0302.jpg" alt="DSC_0302" width="640" height="426" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Eneo jipya la kambi ya Nyarugusu B ambalo limetengwa na serikali ya Jamhuri ya Tanzania kwa ajili ya makazi ya Waomba hifadhi wanataotenganishwa Burundi na Congo mara tu baada ya kukamilika.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0642.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136984" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0642.jpg" alt="IMG_0642" width="640" height="426" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Muonekano wa eneo jingine la makazi ya Waombahifadhi ndani ya kambi ya Wakimbizi Nyarugusu iliyopo wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0644.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136985" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0644.jpg" alt="IMG_0644" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0666.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-136986" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/IMG_0666.jpg" alt="IMG_0666" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Amani na upendo itawale kati yetu......ndivyo wanavyosema kwa pamoja baadhi ya watoto waomba hifadhi wakifurahia picha pamoja na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez.</strong></em></span></p>
&nbsp;

KAWAIDA

DSC_0015

Mkuu wa Kambi ya Wakimbizi Nyarugusu iliyopo wilayani Kasulu, mkoani Kigoma, Sospeter Christopher Boyo (aliyesimama mwenye shati la kitenge) akisoma taarifa fupi ya Kambi ya Nyarugusu kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe (aliyeketi mwenye suti ya kijivu) aliyeambatana na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez mara baada ya kuwasili kwenye kambi hiyo kujionea hali halisi ya mazingira na changamoto zinazowakabili Waomba hifadhi wa Burundi na Kongo. (Picha zote na Zainul Mzige wa modewjiblog)

Na Modewjiblog team, Kigoma

WAKATI dunia kupitia Mashirika ya Umoja wa Mataifa yanahangika kutanzua changamoto za wakimbizi Nyarugusu, mkoani Kigoma imeelezwa kuwa idadi kubwa ya Wakimbizi waliorejeshwa nchini Burundi kutoka kambi ya Mtabila iliyoko Kigoma iliyofungwa rasmi Desemba, 2012 wameingia tena nchini na kujazana katika makazi ya muda ya Nyarugusu wakiomba hifadhi.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Kambi ya Nyarugusu Sospter Christopher wakati akizungumza na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi aliyekwenda kuangalia hali halisi ya kambi ya Nyarugusu na Wakimbizi akiambatana na Maofisa wa Umoja wa Mataifa akiwemo Mratibu wa Mashirika hayo nchini Alvaro Rodriguez.

Kurejea kwa wingi kwa Wakimbizi hao ni pigo kisaikolojia kwa watu ambao walirejeshwa nyumbani kwa kuonekana kwamba hali ni shwari na walikuwa wameanza kuishi maisha ya kawaida.

Mkuu huyo wa kambi alisema idadi hiyo ikichanganyika na wengine imafanya  kambi kuhemewa na kuonekana haja ya kutafuta eneo jingine la kupiga kambi kwa ajili ya Wakimbizi hao ambao mpaka mwishoni mwa wiki iliyopita walikuwa zaidi ya elfu 51.

" Kwa sababu tunapokea idadi kubwa ya waomba hifadhi toka Burundi, tumekuwa tukiongeza idadi ya vituo vya mapokezi ili kukidhi mahitaji ya kuwapokea  wakati tukisubiri maelekezo toka ngazi za juu za kuwahamishia Migunga Hills eneo linalopendekezwa kufunguliwa kambi ya Nyarugusu B" alisema Christopher mbele ya Waziri Chikawe.

Alisema walianza kupokea waomba hifadhi hapo kambini kuanzia Aprili 29, 2015 kwa idadi ndogo kabisa ya watu 36, lakini idadi hiyo ilianza kuongezeka siku hadi siku na kufikia Mei 27 mwaka huu idadi yao ilifikia 48,333, idadi kubwa ikiwa wanawake na watoto.

Wakimbizi hao walikuwa wakipitia vituo vya Kigoma (27,638), Manyovu (4,439), Kilelema (1,603) na Kigadye (1,291).

Kambi hiyo yenye uwezo wa kubeba watu 50,000 imeelemewa kwa sababu ya ujio mpya uliosababisha kuwepo kwa Wakimbizi zaidi ya 106,410.

Kuna matatizo zaidi ya milipuko ya wagonjwa kambi hii imechanganywa na  Wakimbizi wa Kongo watu ambao hawana utamaduni wa pamoja na kuonekana hatari ya kukabiliana kwa kutosikilizana.

 Aidha kambi hiyo pamoja na kuwahifadhi waburundi wapo pia Wakimbizi kutoka Kongo wapatao 54,706; Burundi,3261 ; Rwanda 72; Uganda 17; Sudan Kusini wanane; Kenya 7; Somalia 3; Ethiopia 1; Zimbabwe 1; na Ivory coast 1.


DSC_0072

Mkurugenzi wa Idara ya huduma za Wakimbizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Harrison Mseke (wa pili kushoto) akizungumza jambo na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP),  Alvaro Rodriguez (kushoto) huku Mkuu wa kambi mpya inayotarajiwa kuanzishwa ya Nyarugusu B, Fredrick Nisajile (wa nne kulia) akitoa maelezo kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe (wa tatu kushoto) mara tu baada ya kuwasili na kusomewa taarifa kwenye kambi ya Nyarugusu wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Wengine pichani ni baadhi ya viongozi wa ulinzi na usalama wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma.

Akijibu  maswali ya waandishi wa habari walioambatana naye katika ziara hiyo kuhusu hali ya baadae ya Wakimbizi wa Kongo ambao wapo nchini kwa takribani miaka 19 sasa, Waziri Chikawe alisema kwamba serikali haina mpango wa kuwapa uraia kwa sasa ingawa Marekani imesema itawachukua Wakimbizi elfu 30 kuwapeleka kwao na kwingine duniani.

"hatuna mpango wa kuwapa uraia kwa sasa…" alisema Chikawe na kusema kwamba kwa kuondolewa kwa hao  wengine kutasaidia kupunguza idadi yao katika kambi hiyo.

Alisema kwamba ni lengo la serikali kuhakikisha kwamba kambi hiyo inapunguzwa ili kuweza kuchangia ipasavyo kwa hali bora ya Wakimbizi na kwamba mchakato wa kuwaangalia waomba hifadhi kama wanafaa kuwa Wakimbizi unaendelea.

Akizungumzia malalamiko ya upatikanaji wa chakula, Waziri Chikawe alisema kwamba si kweli kuwa kuna watu hawajapata chakula kwa siku saba la sivyo wangelikufa.

Alisema wengi wa Wakimbizi ni watoto na kwamba wanapoingia nchini wanapewa vyakula vikavu (kama biskuti)  lakini wakishafika kambini wanapewa chakula kilichopikwa na resheni ya siku 14 .

Alisisitiza kuwa kama kungelikuwa hakuna chakula watoto hao wasingeishi, labda kama wanataka kuongezewa chakula zaidi.

Kuhusu ujenzi wa kambi mpya Migunga alisema kwamba wataalamu wanaangalia barabara mbadala kwani iliyopo sasa pamoja na kuhitajika milioni 300 kuitengeneza lakini bado kila mvua itakapokuwa inanyesha itahitaji kutengenezwa.

Naye Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole katika mahojiano na waandishi wa habari aliishukuru serikali ya Tanzania kwa kufungua mipaka ili Wakimbizi waweze kuingia na kutoa eneo kwa ajili ya kambi mpya kutokana na ya sasa kujaa sana.

Aidha aliishukuru serikali ya Uingereza kwa kuwa ya kwanza kutoa misaada kwa ajili ya Wakimbizi hao na kutarajia nchi nyingine kama Marekani itafanya hivyo mapema ili kuisaidia serikali ya Tanzania katika kuhudumia waomba hifadhi.

Naye Mratibu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini, Alvaro Rodriguez amesema wanafanya kila linalowezekana ili kupunguza idadi ya Wakimbizi katika kambi ya Nyarugusu kwa kuwapatia eneo jingine la kujihifadhi.

Alisema kwa kuwatoa hapo watasaidia shule zilizofungwa ambazo zinasomesha watoto kutoka kwa Wakimbizi wa Kongo kurejea madarasani kukamilisha mtaala wao.

DSC_0038

Mkuu wa kambi mpya inayotarajiwa kuanzishwa ya Nyarugusu B, Fredrick Nisajile akifafanua jambo kwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe wakati akitembelea na kukagua maeneo mbalimbali ya Kambi ya Nyarugusu iliyopo wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.

DSC_0143

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa, Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Alvaro Rodriguez pamoja na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole wakikagua sehemu wanayolala Waomba hifadhi wanaoendelea kuwasili katika kambi ya Nyarugusu ambayo inaelemewa kutokana na wingi wa Waomba hifadhi hao wanaoendelea kumiminika mjini Kigoma.

DSC_0148

Muonekano wa moja ya chumba cha kulala familia za waomba hifadhi katika kambi ya Nyarugusu ambapo kifika muda wa kulala wanatandika mkeka chini katika vumbi hilo jekundu na kupata usingizi.

DSC_0097

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe (mwenye suti ya kijivu), Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (wa pili kushoto) pamoja na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mtaifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR), Joyce Mends-Cole (kushoto) wakisikiliza hoja mbalimbali kutoka kwa Waomba hifadhi wanaohifadhiwa kwenye kambi ya Wakimbizi Nyarugusu iliyopo  wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma walipotembelea kambi hiyo kukagua kambi hiyo na kuangalia changamoto mbalimbali zinazowakabili na namna ya kuzitatua.

DSC_0129

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe (mwenye suti ya kijivu) akiteta jambo na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez wakati walipotembelea kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu iliyopo wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma mwishoni mwa juma lililopita.

DSC_0084

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe akigawa vifaa vya matumizi ya nyumbani ambavyo ni Blangeti, Mkeka, Kontena la kuhifadhi chakula na dumu la maji la lita 10 kwa mmoja wa Waomba hifadhi waliowasili siku ya ziara ya kutembelea kambi ya Nyarugusu mwishoni mwa juma wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Anayeshuhudia tukio hilo ni Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (mwenye shati jeupe).Kulia ni Mkuu wa kambi mpya inayotarajiwa kuanzishwa ya Nyarugusu B, Fredrick Nisajile.

DSC_0112

Waomba hifadhi  na familia zoa wakiwa katika foleni ya kupokea vifaa hivyo.

DSC_0107

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe akizungumza na Waomba hifadhi katika kambi ya Nyarugusu wakati alipofanya ziara ya kutembelea eneo hilo akiwa ameambatana na Mkuu wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa pamoja na Mwakilishi wa shirika la kuhudumia Wakimbizi nchini (UNHCR).

DSC_0235

Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu akizungumza na mmoja wa wakinamama anayeishi kwenye kambi ya Wakimbizi Nyarugusu wakati wa ziara maalum ya kutembelea maeneo hayo iliyohusisha Serikali ya Tanzania na Umoja wa Mataifa.

DSC_0244

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez  na Mtaalam wa Mahusiano na Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa (UN) Tanzania, Hoyce Temu wakibadilishana mawazo na mmoja wa wafanyakazi wa Shirika la Kimataifa Ia Uhamiaji (I.O.M) (katikati) ambaye jina lake halikuweza kupatikana kiurahisi katika kambi ya Wakimbizi ya Nyarugusu iliyopo wilayani Kasulu mkoani Kigoma.

DSC_0177

Mkurugenzi wa Idara ya huduma za Wakimbizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Harrison Mseke (mwenye suti ya kijivu) akifafanua jambo kwa Mh. Mathias Chikawe alipotembela katika chumba maalum kichotumika kufanya usajili kwa Waomba hifadhi na familia zao kwa ajili ya kupewa hati ya kuwa Wakimbizi kamili kama watatimiza vigezo vinavyohitajika. Aliyeketi kulia ni Msajili wa Waomba hifadhi, Ndalo Charles Bogohe.

DSC_0188

Zoezi la usajili likiendelea kwa familia za waomba hifadhi katika kambi ya Nyarugusu iliyopo wilayani Kasulu mkoani Kigoma.

DSC_0170

Wakinamama wakiandaa chakula cha mchana kwa familia zao kama walivyokutwa na kamera ya modewjiblog

DSC_0052

Sehemu ya familia za Waomba hifadhi katika kambi ya Wakimbizi Nyarugusu, wilayani Kasulu, mkoani Geita wakiendelea kujipanga baada ya kuwasili kwenye eneo hilo.

IMG_0586

Moja ya familia za waomba hifadhi ikiwa imejipumzisha mara baada ya chakula cha mchana huku nyuso zao zikionekana kuwa na furaha na matumaini mapya.

DSC_0058

Hili ni eneo ambalo Waomba hifadhi  kutoka nchini Burundi wa kambi ya Nyarugusu wakiteka maji safi kwa matumizi yao.

DSC_0340

Mkurugenzi wa Idara ya huduma za Wakimbizi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Harrison Mseke (kushoto) akizungumza jambo na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP),  Alvaro Rodriguez (wa pili kushoto) wakati wakielekea kukagua vyumba vya madarasa katika shule ya msingi Mapendo ambayo yamegeuzwa kuwa nyumba za kulala Waomba hifadhi, kutokana na uhaba wa makazi ya kuishi kwenye maeneo ya kambi ya Nyarugusu, wilayani Kasulu mkoani Kigoma. Wengine pichani ni baadhi ya viongozi wa ulinzi na usalama wa wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma katika msafara huo.

DSC_0327

Baadhi ya Waomba hifadhi katika kambi ya Wakimbizi Nyarugusu wakiwa wamempumzika huku wengine wakipata chakula cha mchana kama walivyokutwa na kamera ya modewjiblog.

DSC_0329

Kinababa nao hushiriki kuandaa chakula cha mchana kwa familia zao kama huyu aliyekutwa na kamera ya modewjiblog.

IMG_0630

DSC_0335

Eneo la shule ya msingi Mapendo katika kambi ya Wakimbizi Nyarugusu ambalo kwa sasa linatumika kuhifadhi Waomba hifadhi wanaoendelea kuwasili nchini wakitokea Burundi kupitia mji wa Kigoma.

DSC_0350

Madawati ya wanafunzi katika shule ya msingi Mapendo yakiwa nje ya madarasa yakitumika kuanikiwa nguo na huku wakati wa msimu wa mvua yakinyeshewa.

DSC_0379

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez wakibadilishana mawazo na wasimizi wa kambi hizo za Nyarugusu wakati wa ziara ya siku moja wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.

DSC_0279

Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez (kushoto) akiwa ameambatana na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mh. Mathias Chikawe wakikagua eneo jipya litakaloitwa Nyarugusu B lililotolewa na serikali kwa ajili ya Waomba hifadhi wanaoendelea kumiminika mjini Kigoma ambalo liko mbioni kutengenezwa na kukamilika ndani ya miezi 3 ijayo.

DSC_0302

Eneo jipya la kambi ya Nyarugusu B ambalo limetengwa na serikali ya Jamhuri ya Tanzania kwa ajili ya makazi ya Waomba hifadhi wanataotenganishwa Burundi na Congo mara tu baada ya kukamilika.

IMG_0642

Muonekano wa eneo jingine la makazi ya Waombahifadhi ndani ya kambi ya Wakimbizi Nyarugusu iliyopo wilayani Kasulu, mkoani Kigoma.

IMG_0644

IMG_0666

Amani na upendo itawale kati yetu......ndivyo wanavyosema kwa pamoja baadhi ya watoto waomba hifadhi wakifurahia picha pamoja na Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez.



--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] DUNIA YATAZAMA WAKIMBIZI NYARUGUSU, WA MTABILA WAREJEA TENA"