Thursday 30 April 2015

Re: [wanabidii] RE: Kushuka kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania

Sio kwamba wakubwa hawajui ' ila sum ya rushwa tuliyolishwa' sijui na nani ila ni kukosa uthubutu wa kusema basi,  tuanze upya! Tunahitaji 'mwendawazimu' na atakayekubali kulaumiwa na walarushwa papa na ikibidi kuwa tayari kuyatoa maisha yake kukabili rushwa Tanzania. 


Sent from Samsung Mobile


-------- Original message --------
From: "Bubelwa E. Kaiza"
Date:01/05/2015 00:02 (GMT+03:00)
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] RE: Kushuka kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania

Hello tujadili uchumi wa Tanzania na namna ya kuuokoa badala ya kuishia kulinganisha tu na mafanikio ya kiuchumi ya nchi nyingine. Ni vizuri wachumi wakachukua nafasi yao maana hisia na mipasho ya kisiasa haitatusaidia. Let's talk openly.

 

Kwa taarifa ya wengine, uchumi wa Kenya umejengewa katika msingi imara wa a strong manufacturing and professional services industries. Kenya ni nchi ya tatu kwa Africa kuwa na a very strong manufacturing industry baada ya Africa Kusini na Egypt. Bajeti za kila mwaka za Serikali ya Kenya hutokana na/hutegemea kodi (hasa kutoka tasnia ya usindikaji na kilimo) na other internal pubic financing strategies such as monetary instruments kwa asilimia 95. Serikali ya Kenya huachia mashirika ya nje (BWs) kuchangia asilimia 5 tu ya bajeti na hii ni baada ya BWs kuomba kuchangia bajeti ya Serikali ili wasiwe useless/irrelevant.

 

Nakumbuka wakati wa Kibaki BWs walitaka kuleta mambo ya GBS ya hapa kwetu, kujadili michango yao ya ku-finance bajeti ya Serikali hadharani, Kibaki aliwaeleza kuwa Serikali yake haijadili mambo ya budget financing hadharani, kwamba siyo utamaduni wa Kenya na iwapo BWs wangeshindwa kuvumilia utamaduni huo wa Kenya, Serikali ilikuwa radhi kutopokea hiyo asilimia 5 yao ya nyongeza katika bajeti ya Serikali ya Kenya. BWs waliufyata mpaka leo.

 

Lakini pia sekta ya fedha ya Kenya inasimamiwa vilivyo siyo holela kama hapa kwetu. Huwezi kuona wananchi waki-transact kwa kutumia dola au euro bali Ksh. Export component ya Kenya ni kubwa na nchi ina comprehensive strategy ya uchumi, mfano tujiulize kiasi cha dola kinachoingizwa nchini humo kutokana na travel service export ya KQ. Tujiulize maduka kama ya NAKUMATI, Mabenki, manunuzi yanayofanywa na Ofisi za Umoja wa Mataifa (Giligili?) na kadhalika, yanayouza bidhaa na/au huduma nje ya Kenya yanaingiza dola/euro kiasi gani nchini humo. Kenya ina mkakati mkubwa unaotekelezwa na kila Mkenya kuhakikisha uchumi wa nchi unabaki imara.

 

..... mwaka 2008 Serikali ya Zambia ilifuta mikataba (MDAs) yote ya uchimbaji madini iliyokuwepo baada ya kuona nchi yao hainufaiki na mauzo ya shaba nje ya nchi. Sheria mpya ya madini ilitungwa na kuachana na mambo ya MDAs (ushauri wa BWs). Kampuni zinazotaka kuwekeza nchini Zambia hufuata taratibu za kisheria za kupewa/kununua leseni za uchimbaji na kuingia kazini. Hakuna misamaa ya kodi wala ruzuku kwa makampuni ya wawekezaji kama Tanzania inavyofanya. Zambia inadhibiti mauzo yote ya shaba nje ya nchi. Leo hii nilipokwenda kununua ZKwacha hapa Lusaka nimekuta Kwacha 7 zinanunuliwa kwa dola 1.

 

Tunachojifunza kutoka Zambia ni kuwa Serikali ikifanya maamuzi sahihi na kuweka sera sahihi, uchumi wetu unaweza tena kurudi kwenye reli; hata shilling 5 kununua dola moja ya Marekani kama ilivyokuwa mwanzoni mwa miaka ya 1980.

 

Salam kwa MNEC Magesa.

 

Kaiza

 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] RE: Kushuka kwa thamani ya Shilingi ya Tanzania"

[wanabidii] NJOO TUSHEHEREKEE MEI MOSI PAMOJA NA SKYLIGHT BAND LEO NDANI YA KIOTA CHATHAI VILLAGE, MASAKI

Habari za asubuhi,

Tafadhali pokea CODES.

<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0265.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-134625" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/05/DSC_0265.jpg" alt="DSC_0265" width="640" height="427" /></a>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjK5KfyTDxtYfjL-Do29e7bMvNK9msrfi3wErcZiS6Kb2CL4kG4QXhPC6oP67BGauhq0JreJX09Qq0g9Db4zrI0lv8BdtlMRd5oW0Qq5XEKgrR2cAzHBFqwoJ8QKyfRLH1t0AX7gVjQ54la/s1600/DSC_0015.JPG" alt="" width="601" height="400" border="0" /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"></div>
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <span style="text-align: center;">Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower(wa kwanza kushoto) akiendelea kutoa burudani ya nguvu huku msanii mwenzake </span><span style="text-align: center;">Sony Masamba akiendlea kuzirundi ngoma ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar. Usikose leo kwenye shoo yao maana kuna vitu vingi vipya.</span></span></strong></em></span></div>
<div style="text-align: center;"></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi4t7ok5AK4IcvWV1EWNeIVcubuAEcMr38vXEhf9Y_WkPoWPc7onpwF2rVXfhAtT4HdjGOUpxlAYnVxweQCZ6p0JVhQldU2J1svBdVkiLVbUSrUGwPMyjthQ_td8g8AcguRKy_nBa6OvNPw/s1600/DSC_0063.JPG" alt="" width="598" height="398" border="0" /></span></div>
<div style="text-align: center;"></div>
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> M<span style="text-align: center;">eneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 akiimba sambamba na msanii mwenzake Sam Mapenzi uku wakisindindikizwa na dada mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni </span><span style="text-align: center;">Ashura Kitenge(wa kwanza kushoto).</span></span></strong></em></span></div>
<div style="text-align: center;"></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj_RaVaptZOkdwePgO-R9DVvh0wZ8zQ82dr4q07dDJXN-Ht9D9R6JyZ5w2BrjrSuGrgScF7_XMs8AUIn2dfzKb4vrTWyKpWXyQm6KYS8nVCGRCPunvk-4edBOoGq5zwrKMSu8jkRGQOAJm_/s1600/DSC_0094.JPG" alt="" width="600" height="400" border="0" /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Sam Mapenzi akitoa burudani huku akisindikizwa na wanamziki wenzake waliokuwa wakiziruzi ngoma za Nigeria ambao ni Joniko Flower(wa kwanza kushoto), Ashura Kitenge(wa pili kutoka kulia) pamoja na Sony Masamba.</span></strong></em></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"></div>
<div style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <img class="" style="text-align: center;" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiabtEjqxAOZnKnnOKJJFQxcOjNjPWKEtuD_vKV-wuck6FP9Gs5-ihwg4nwDzihoE06RzBR9SZF0xRpb07ki5y3IX-434Przg2XDk6Qvq7i59r9FCPk0A2LYQInyzK5r3sA0b8rjoH0YICt/s1600/DSC_0097.JPG" alt="" width="599" height="399" border="0" /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> Burudani ikiendelea.</span></strong></em></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEi64HWN_K_WOeq0Edh76HKDZbu1S3tgbxHN-shrPgzy2ywWPKYAEHJB-YzuqXEPRRk0OuSrHkZRY0OwRjulSsiUXP77J3bf5R07QP6foeRgUGR0qzmamgnfS2WpLmGFGyvoHJ1hKRNNo70C/s1600/DSC_0139.JPG" alt="" width="640" height="426" border="0" /></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="color: #000000;"><em><strong> </strong></em></span><span style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong>Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower(wa kwanza kushoto) akiongoza kikosi cha bend ya Skylight waliokuwa wakitoa burudani kwa mashabiki wao (hawapo picha) kwenye kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar</strong></em></span>.</span></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh2hAQZkvpzXXgnPJevaC5lLZEH-3tSofZ459W0dF35s8sqZcw6FCVNZ5W1inEETWhLwLXlhxlEgPDSlbjdgBFJFY4YTAbMRGSsabKyb7FotyvoIUKS6peNfwLfIaFZEGcXU8KQfo2zaZ4S/s1600/DSC_0109.JPG" alt="" width="598" height="398" border="0" /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhD6uWur2qxecz_TKCBXJJxkpkh29ri807sC5ctxBKwo6Vtufw1ssuabvodaZzFx_oMCetHMjOUAiORRCHsALyNI8gTM2kYiaHLfrQfK98bM775eZpv5VnTKUTR7nfe8M5hfeArEqav9lek/s1600/DSC_0159.JPG" alt="" width="596" height="397" border="0" /></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <span style="color: #000000;"><em><strong>W<span style="text-align: center;">aimbaji wa Skylight Band wakicheza moja ya nyimbo zao kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.</span></strong></em></span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg9YKC4JrmBY-rDVNnnDF8hguWYTidzO6aqo-EILRAr6lu_y3rdcCIrWxbLUigjxOAbMAFieUYz5nIVk59iQWjEhd_0xiluyVJs6I8p-WCa-w4HDhBEX0Zw_RfbjktfAQc0c_qKu7BpqSS2/s1600/DSC_0183.JPG" alt="" width="601" height="400" border="0" /></span></div>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 akiimba kwa hisia kali mbele ya mashabiki i wa bendi hiyo(hawapo pichani) waliofika kwenye Kiota Cha Thai Village kuburusika na Bendi hiyo.</span></span></strong></em></span></p>

<div style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjtAeHbfH5eZeAv5SgdRCbaGSEmog3hQFi42a7esgy5Al5H5POK0wExK4BGWS14_7gvBD5KAfSVkx6xQIxma05fo8snvej-Vqh4JdyiA-qBjYLjXRT4GKGR6jvh-XLmUo5CFcrXaNSGpXwD/s1600/DSC_0171.JPG" alt="" width="598" height="398" border="0" /></span></div>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Msanii wa bendi ya Skylight, Sony Masamba akicheza mmoja ya style mpya ya bendi hiyo mbele ya mashabiki wao(hawapo pichani)</span></span></strong></em></span></p>

<div style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjLdYQ6dk8fC25uXFmWKVPNSJG6FXOK42OFQmhMqEVeoEevLlgffnMhqGVxG8sc4nggQK8A12Ga6v2a8tWxHNpN4VT0ZZ_nQMuwW2J4JyfE3n5TTFDwEyDbiUj2yEfjLts2uPJhkdhVRLTf/s1600/DSC_0168.JPG" alt="" width="599" height="399" border="0" /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjYW6ipyg7QB94J08fLiFKLCvGQ8D2HLT5W5TDs7vxGuYqNW2fjyFeESdud2SMhNGRVb6v0avWgzATLcLnbWUbldcs5CjMkwnVkPyLC1xJAY2Uu27vZoZ1i4Vy6RuVE3LoaWhvCusdIxlHF/s1600/DSC_0167.JPG" alt="" width="596" height="397" border="0" /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="text-align: start;"> </span>Joniko Flower na Sony Masamba wakiwatizama mashabiki wa bendi hiyo kama wamejua kucheza style mpya.</span></strong></em></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjLe7_cJZZMI6l0tjJNFgK0XikP1CJ73yciddHMQr2AKyy8L5zQWOflxqFUqb6xcMWqNNLAuKoxlXvKML9xJErmifE-M6TKrq2iryH44Nh0oMFMI_D99ML-idLFYZrFkV61-jwqjZTjlKfa/s1600/DSC_0214.JPG" alt="" width="601" height="400" border="0" /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Msanii wa Bendi ya Skylight, Sony Masamba(wa kwanza kushoto) akiendelea kutoa burudani huku akisindikizwa na wasanii wenzake ambao ni  Ashura Kitenge(wa kanza kulia) pamoja na Sam mapenzi( katikati)</span></strong></em></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiOQlogufpg8yGG7S7ssqWmepO-OfhLzI_K16wbwduegDEmtWOPYzxBoqPTnsLU5D-RbR4qW956hIJLkaQwrgrQWsljrn43Mo-8iistPVVtU2bJPa_xYUpC4BtCO6QT5DRQtVjU2gWjx1Yd/s1600/DSC_0037.JPG" alt="" width="593" height="395" border="0" /></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> W<span style="text-align: center;">aimbaji wa Skylight Band wakiendelea kutoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa bendi hiyo (hawapo pichani)</span></span></strong></em></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjs9TUbFbcuIAq7ipAe3cOpSzRHjoBINi0goIQnkmMV80_AIOcqCj-e6mSJXd5SxTmLEF9QPe1SKMxTS9WIb6qvzLy5RpcJn4s_-7LQHAC8aV6CB7g98VGZadhVxtDeQzju6D_SORqiUWSb/s1600/DSC_0175.JPG" alt="" width="598" height="398" border="0" /></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> Mashabiki wakiendelea kuziruka ngoma za bendi ya Skylight</span></strong></em></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiSlma13VJtsuzlEy46a1o3f1sBBl3UO4pUzPECNX4yMSznNw4FXsH_G2PjDlNfzvXIvnuLfYbog3SGoT8FRcigHjC9Fo3vf9v-4LGnbDzpYAlSoYyo4s6RVTN74S5PqK6-V6WhEjQeQV93/s1600/DSC_0277.JPG" alt="" width="596" height="397" border="0" /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Waimbaji wa bendi ya Skylight wakiendelea kutoa burudani ndani  ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar usikose leo njoo na yule umpendae ili ujionee raha  ya bendi hii </span></strong></em></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhbTHHGkZD41_1W5_lA5rygS6uiL7543uaJpK1pR_uzW3M6BRzJmbikqzedZFtuGh91z-XNhNj8rcb3ssOpstOy38v1P6fTRy-ze2T0xoOPDVhC0fsh89AAxflRVVPWxEpkiR6Piu-h7W59/s1600/DSC_0237.JPG" alt="" width="599" height="399" border="0" /></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <span style="color: #000000;"><em><strong>Mambo ya Selfie hayakosi ndani ya Kiota cha Thai village wakati wa beni ya Skylight ikiendelea kutoa burudani.</strong></em></span></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgU19UQwDdN7q_QfeCaoAopdMTG16nd2FommqIrIRGdjHh3VpMdFhNZgEGYAqJCtq46LsU5poCnMS5caWEaQF6HPpi9QeswApgVaaHOl6xjXyxUfmoTYyciZ_jPZzt4LwCKuIXIqQEvHRUV/s1600/DSC_0007.JPG" alt="" width="596" height="397" border="0" /></span></div>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><span style="text-align: center;">Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower (wa kwanza kushoto) akiendelea kutoa burudani ya nguvu huku akisindikizwa na wasanii wenzake ambao ni </span><span style="text-align: center;">Sony Masamba (katikati) pamoja na Sam mapenzi (wa kwanza kutoka kulia)</span></span></strong></em></span></p>

<div style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhay9K0iSPgyP7oNMqQH-jww-GbIr6Ci81zM7Lbm9plTEN6sJmBPAKv07v93eTus-I85VjVU1R-44YpMSRWKB1jnfaCig3IUjeJ006_x-rUZS7sODIFvHb2kkzaFKmiSs6303HlO9Wj3BBl/s1600/DSC_0181.JPG" alt="" width="596" height="397" border="0" /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEghwXBnIYQP4IC8fFPvvQ3KNkE_iCSiF_XR2AAj2VLb8yhOISCoZNt_4M14qyKqv4AXDovQ3MzOJD9570oalWXid6uxGhXVyp0jAotfdJYOJVUPsNPh2ce0SSPnqPN6YiKEGtrjqk54H2GV/s1600/DSC_0240.JPG" alt="" width="601" height="400" border="0" /></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <span style="text-align: center;"> </span><span style="text-align: center;"> <span style="color: #000000;"><em><strong>Mashabiki na wapenzi wa Bendi ya Skylight wacheza mduara wakati wa bend hiyo ikitoa burudani ndani ta kiota cha Thai Village masaki jijini Dar.</strong></em></span></span></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj03sgcyVR75HpU2B6rhUYc2ckA95hTvborUP971pdRoZdMskH5GWwBN9TZ5czsu0Y2VJOYat_yKi1wJ7IHoxPLv_oVN0UGYAoOL43CSO9WDfk9_4n0XhrYRwCcfnvdt80n_vXio6PRd67Y/s1600/DSC_0279.JPG" alt="" width="599" height="399" border="0" /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> Ashura Kitenge akiimba mbele ya mashabiki wa Skylight Band(hawapo pichani) kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar huku akisindikizwa na wanamziki wenzake  ambao ni Sony Masamba(wa kwanza kushoto),  Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47(wa pili kutoka kushoto) pamoja na Joniko Flower(wa kwanza kutoka kulia)</span></strong></em></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjhDsnHOtGZKin3QozpOmUqnjuLvxUh0sPT2fd4Fz0FJeEVr3uci5q-Pm24torpdaz49DR-16QJL4YAknHvZJm_Q5d1pNJ8G-lhjwI-GEaGkfXndi4gYHqPftHqrffk4CkBvJc2hq2rj08G/s1600/DSC_0019.JPG" alt="" width="601" height="400" border="0" /></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <span style="text-align: center;">Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower(wa kwanza kushoto) akiimba na mwanamziki mwenzake </span><span style="text-align: center;">Sony Masamba</span><span style="text-align: center;"> ijumaa iliyopita </span><span style="text-align: center;">kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar</span></span></strong></em></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEityBw2IqxmzFt8lzx4qnBdEQbTGgV7pKv-2mdZZd_VOrgHU5h_xgH99zJsiObJ1raejQEQoYGmXLoUhGv84qD4Geyk06FsB694f0qSNdtBUhshlySMTLs7ZoUYJ_s1DDhMXXe155-SqRLo/s1600/DSC_0033.JPG" alt="" width="596" height="397" border="0" /></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <span style="text-align: center;">Joniko Flower na mwanamziki mwenzake </span><span style="text-align: center;">Sony Masamba wakizirudi ngoma za kikongo</span></span></strong></em></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"><img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiboygZAhGgJzwKv594gBso8kS8LAzil1N2wFgTIbzYxsvNWME1IBQ8cqj6FsWgfmPXH-sxRASbEVemloyq2p-M3Iwm4rVPor0F61kQ1uxymCeH2691wKXMQU1bY7-4coGCG6Qtqs0vrgPk/s1600/DSC_0078.JPG" alt="" width="602" height="401" border="0" /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Ashura Kitenge akiimba mbele ya mashabiki wa Skylight Band(hawapo pichani) kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar huku akisindikizwa na Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47(kushoto) pamoja na Sam Mapenzi(kulia)</span></strong></em></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjoVPMxwNqrW2byNnDdP4wX8MUdNRZgt_pbM0FPD-mkSwPVG4o_Xbg6Hoab3i7QiURrJnDD8ohfnWY-wU1ArBRxLn5inYi3wsmH_-1f70mFkXwk-HVWqGapBKxtWws8wZx80Rcj3ryocZLJ/s1600/DSC_0265.JPG" alt="" width="599" height="399" border="0" /></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Ilikuwa ni kusakata rumba mpaka kuchwee yaani ilikuwa ni noma sana</span></strong></em></span></div>
<div style="text-align: center;"><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;"> <img class="" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg_4RY0Y1z__OmbpgKnxrYYAmrJJJANUDmxRlAiXdmN1Psbkl_DiJSpuoOsBHBHSUzYMCKq7qc85QMuTUNOp4tK35SMMVZnLVYcvSm6hcSbM13G5rTzJUMB3ghxL-6rCwI_N4KPSWv_Lr9s/s1600/DSC_0269.JPG" alt="" width="596" height="397" border="0" /></span></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;"><span style="color: #000000;"><em><strong><span style="font-family: Georgia, Times New Roman, serif;">Mmoja wa mashabiki wa  Bendi ya Skylight akichukua kumbukumbu </span></strong></em></span></div>

KAWAIDA

DSC_0265

 
 Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower(wa kwanza kushoto) akiendelea kutoa burudani ya nguvu huku msanii mwenzake Sony Masamba akiendlea kuzirundi ngoma ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar. Usikose leo kwenye shoo yao maana kuna vitu vingi vipya.
 
 
 Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 akiimba sambamba na msanii mwenzake Sam Mapenzi uku wakisindindikizwa na dada mwenye sauti ya kumtoa nyoka pangoni Ashura Kitenge(wa kwanza kushoto).
 
 
Sam Mapenzi akitoa burudani huku akisindikizwa na wanamziki wenzake waliokuwa wakiziruzi ngoma za Nigeria ambao ni Joniko Flower(wa kwanza kushoto), Ashura Kitenge(wa pili kutoka kulia) pamoja na Sony Masamba.
 
 
 Burudani ikiendelea.
 Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower(wa kwanza kushoto) akiongoza kikosi cha bend ya Skylight waliokuwa wakitoa burudani kwa mashabiki wao (hawapo picha) kwenye kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar.
 Waimbaji wa Skylight Band wakicheza moja ya nyimbo zao kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.

Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47 akiimba kwa hisia kali mbele ya mashabiki i wa bendi hiyo(hawapo pichani) waliofika kwenye Kiota Cha Thai Village kuburusika na Bendi hiyo.

Msanii wa bendi ya Skylight, Sony Masamba akicheza mmoja ya style mpya ya bendi hiyo mbele ya mashabiki wao(hawapo pichani)

 Joniko Flower na Sony Masamba wakiwatizama mashabiki wa bendi hiyo kama wamejua kucheza style mpya.
Msanii wa Bendi ya Skylight, Sony Masamba(wa kwanza kushoto) akiendelea kutoa burudani huku akisindikizwa na wasanii wenzake ambao ni  Ashura Kitenge(wa kanza kulia) pamoja na Sam mapenzi( katikati)
 Waimbaji wa Skylight Band wakiendelea kutoa burudani kwa wapenzi na mashabiki wa bendi hiyo (hawapo pichani)
 Mashabiki wakiendelea kuziruka ngoma za bendi ya Skylight
Waimbaji wa bendi ya Skylight wakiendelea kutoa burudani ndani  ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar usikose leo njoo na yule umpendae ili ujionee raha  ya bendi hii 
 Mambo ya Selfie hayakosi ndani ya Kiota cha Thai village wakati wa beni ya Skylight ikiendelea kutoa burudani.

Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower (wa kwanza kushoto) akiendelea kutoa burudani ya nguvu huku akisindikizwa na wasanii wenzake ambao ni Sony Masamba (katikati) pamoja na Sam mapenzi (wa kwanza kutoka kulia)

   Mashabiki na wapenzi wa Bendi ya Skylight wacheza mduara wakati wa bend hiyo ikitoa burudani ndani ta kiota cha Thai Village masaki jijini Dar.
 Ashura Kitenge akiimba mbele ya mashabiki wa Skylight Band(hawapo pichani) kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar huku akisindikizwa na wanamziki wenzake  ambao ni Sony Masamba(wa kwanza kushoto),  Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47(wa pili kutoka kushoto) pamoja na Joniko Flower(wa kwanza kutoka kulia)
 Rapa mkongwe kwenye muziki wa Live Joniko Flower(wa kwanza kushoto) akiimba na mwanamziki mwenzake Sony Masamba ijumaa iliyopita kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar
 Joniko Flower na mwanamziki mwenzake Sony Masamba wakizirudi ngoma za kikongo
Ashura Kitenge akiimba mbele ya mashabiki wa Skylight Band(hawapo pichani) kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar huku akisindikizwa na Meneja wa Skylight Band Aneth Kushaba AK 47(kushoto) pamoja na Sam Mapenzi(kulia)
 
Ilikuwa ni kusakata rumba mpaka kuchwee yaani ilikuwa ni noma sana
 
Mmoja wa mashabiki wa  Bendi ya Skylight akichukua kumbukumbu 

--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] NJOO TUSHEHEREKEE MEI MOSI PAMOJA NA SKYLIGHT BAND LEO NDANI YA KIOTA CHATHAI VILLAGE, MASAKI"

[wanabidii] Magazeti Leo Ijumaa

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] Magazeti Leo Ijumaa"

[wanabidii] Top Headlines: With aid not getting through, relief trucks looted in Nepal

Times of India
Daily Newsletter | Friday, May 01, 2015
fbtwittergoogleplus
TOP HEADLINESMORE »
With aid not getting through, relief trucks looted in Nepal
Homeless, exhausted and angry, Nepal quake survivors on Thursday began attacking relief convoys as complaints of tardy aid distribution piled up despite a glut of relief material clogging the airport and relief hubs.
Times cares: Readers, you did us proud
We are overwhelmed by your generosity. In just three days since TOI appealed to you for help to the quake victims of Nepal, there has been a deluge of relief material.
Quake: 'The dead gone, the living are in hell'
The weather on Thursday once again interrupted rescue work with torrential rains lashing Kathmandu till 10.30am. Once the skies cleared, a stream of injured from the worst-hit Sindhupalchowk began pouring into the capital and overwhelmed the administration.
CITIESMORE »
Devotee finds key ring in Tirupati temple laddu!
Barely three days after the new executive board of the Tirumala Tirupati Devasthanams was announced, a devotee was shocked to find a keychain ring in one of the laddus sold as prasadam by the temple administration.
Woman slapped to death in Ahmedabad
In a unsettling incident which took place in Shahibaug on 21 April, a woman, Chanchiben Dantani, 65, died after she was slapped hard and pushed by the accused.
Hyderabad: Metro rail likely to chug in October
The Metro Rail project, conceived to ease traffic woes significantly in Hyderabad when completed, is expected to roll out its services this October.
TECHMORE »
7 recently launched budget smartphones in India
Wondering which are the 7 new low-cost smartphones worth buying? Read on to find out...
Microsoft opens Windows 10 to Apple, Android apps
Microsoft hopes to get more people to Windows 10 by giving them access to many of the same apps as Apple or Android phones.
Gionee Elife S7 review
Gionne promises that its new phone won’t be just another anorexic device and will also offer improved performance and new features.
SPORTSMORE »
Kolkata Knight Riders beat Chennai Super Kings by seven wickets
Robin Uthappa and Andre Russell led Kolkata Knight Riders to an emphatic seven-wicket win against Chennai Super Kings in their IPL return leg clash.
IPL: Rahul Dravid supports BCCI stand on chucking
Without mentioning any individual names, Rahul Dravid came out in full support of the BCCI move to eradicate 'chuckers' from the Indian Premier League.
Belgian footballer Mertens dies after collapsing on pitch
The 24-year-old Belgian footballer Gregory Mertens has died three days after suffering a heart attack while playing for Lokeren's reserves against Genk.
BUSINESSMORE »
Airfares take off before summer vacation
If you are planning a last minute vacation this summer, than be prepared to pay 40% to 70% more for air tickets. With the year’s longest holiday season about to begin, airlines are charging high fares to maximize their revenue.
FM gives foreign investors some concession on MAT
The government on Thursday provided some relief to overseas investors on the contentious issue of minimum alternate tax (MAT).
MTNL introduces unlimited free local calls at night
State-run telecom operator MTNL has introduced unlimited free local calling at night for its landline and broadband customers to any network, effective Friday.
ENTERTAINMENTMORE »
Exclusive: Rishi Kapoor's 80-year-old look
Rishi Kapoor was reluctant to even play the role of a father a few years back, but he is now playing Pulkit Samrat’s grandfather in Divya Khosla Kumar’s musical romantic film Sanam Re.
Pamela Anderson to fund faux elephants
Hollywood actor Pamela Anderson, who is a patron of the People for the Ethical Treatment of Animals (PETA) India, has offered to pay money to make thirty realistic and portable elephants made of bamboo and papier-mâché to replace live elephants to be paraded for Thrissur Pooram.
Kamal Haasan unhappy with Shruti’s stilettos
Akshay Kumar and Shruti Haasan, who were promoting their Friday release Gabbar Is Back, were walking into a suburban five-star hotel in Mumbai yesterday.
Other Newsletters from TOI: Entertainment | Tech | Movie Reviews | Life & Style
To manage your newsletter subscription settings, click here.
Copyright 2014 Bennett Coleman & Co. Ltd. All rights reserved. For reprint rights: Times Syndication Service
Read More :- "[wanabidii] Top Headlines: With aid not getting through, relief trucks looted in Nepal"