Sunday 30 November 2014

[wanabidii] Tafsiri Ya Kilichotokea Bungeni, Mtazamo Wangu..

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] Tafsiri Ya Kilichotokea Bungeni, Mtazamo Wangu.."

Re: [wanabidii] ZITTO KABWE UNAJIANDALIA ANGUKO

WE KATABAZI UTAACHA LINI KUROPOKA? AU NA WEWE UMEPATA MGAO WA ESCROW MAANA WAPO WAANDISHI KAMA WEWE WENYE TAMAA YA PESA NAO WAMO.


On Saturday, November 29, 2014 10:48 AM, Yona Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:


ZITTO KABWE UNAJIANDALIA ANGUKO
Na Happiness Katabazi
MTUME Muhammad S.A.W amewahi kunukuliwa akizitaja alama kuu tatu za mnafiki. Ambazo ni ; "Mnafiki akisema anasema uongo,mnafiki akiaidi hatimizi na mnafki akiaminiwa ,haaminiki'.
Nukuu hiyo ya Mtume inapendwa mno kutumiwa na rafiki yangu ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Rombo (Chadema), Joseph Selasini,katika harakati zake za kisiasa tangu nimfahamu akiwa Chama Cha NCCR-Mageuzi.
Na nanukuu hiyo ndiyo imekuwa kama salamu yangu mimi na yeye pindi tunapowasiliana kwa simu au kukutana hana kwa ana na mwishowe tunaishia kucheka sana kutokana na sifa hizo za Mnafiki.
Alhamisi wiki hii huko Bungeni, Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG) , Jaji Fredrick Werema akiwa bungeni alimuumbua Mbunge wa Kigoma Kaskazini ,Zitto Kabwe kwa vielelezo kuwa Zitto alishakiri chini ya kiapo ofisini kwa Jaji Werema kwamba hana majina wala akaunti za watu hao , kinyume cha kauli yake huko nyuma alipowahi kusema kuwa anawajua.
Jaji Werema alilazimika kusema hayo muda mfupi bungeni baada ya Zitto kusisitiza kuwa serikali haionyeshi nia ya kuwachukulia hatua walioficha fedha hizo nje ya nchini.
Jaji Werema ambaye ni Mwanasheria Kitaaluma aliigeukia taaluma yake na kuanza kutoa vielelezo vinavyopinga kauli hiyo ya Zitto kwamba serikali haina nia ya kuwawajibisha walioficha fedha hizo, ambapo Jaji huyo alisema Februali 28 mwaka 2013 , Kamati iliyoundwa kuchunguza kama fedha hizo ni haramu , kutambua benki walizoficha , kuandaa mashitaka na kisha kuishauri serikali.
"Februali 28 mwaka 3013, Kama "Februari 28, mwaka 2013, Kamati ilikutana hapa bungeni katika ofisi yangu na ilipomuita Mheshimiwa Zitto aje atoe ushahidi, alikuja akatwambia anazo nyaraka na taarifa ila akaomba ahakikishiwe usalama ili pale ambapo angezileta pasingelikuwa na mtu wa kumzonga.
"Pia, alitaka mimi nitoe kiapo ambacho baada ya kutaja hayo majina halafu ikawa siyo kweli, basi yeye awe 'free' (huru), kwa hiyo alitaka apewe kinga ya kiapo.
"Machi 23 tulipomuita aje akatukwepa, akasema anakwenda Tanga kwenye mafunzo ya mgambo, kwa hiyo, tukaona tumsubiri hadi atakapomaliza.
"Aprili 12, mwaka 2013, tukakutana naye hapa Dodoma katika viwanja vya Bunge, akasema hawezi kutwambia chochote kwa sababu alikuwa akijiandaa kwenda Afrika Kusini.
"Mei 4 tulimuita tena kwenye kamati hapa Dodoma na katikati ya mahojiano alidai ana jambo muhumu lenye maslahi kwa taifa, akasema anaomba aondoke atarudi, kamati ilimruhusu, hata hivyo hakurudi tena.
"Tulipompigia simu alisema alikuwa Dar es Salaam na alikuwa 'busy' akijiandaa kwa kongamano la Kigoda cha Mwalimu Nyerere.
"Mei 24 kamati ilimfuata Dar es Salaam, akasema hana nafasi kwa sababu wakati huo alikuwa akijiandaa kuisaidia Timu ya Taifa," alisema Jaji Werema na kuongeza:
"Kamati iliamua sheria ichukue mkondo wake kwa mujibu wa Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai, Kifungu cha sita ndipo tukachukua maelezo ya Zitto Kabwe chini ya kiapo na akatwambia hakuwa na jina, wala akaunti ya Mtanzania yeyote aliyeficha fedha nje.
"Lakini, leo hapa amesema serikali haina nia ya kurudisha fedha zilizofichwa Uswisi. Kwa maana hiyo, Mheshimiwa Naibu Spika, Zitto Kabwe ni mzito na nakubaliana na Lema (Mbunge wa Arusha Mjini) aliyesema hapa, kwamba Zitto alete majina hayo.
Itakumbukwa kuwa kwa takribani mwaka mmoja sasa Zitto amekuwa akilandalanda mitaani na kunukuliwa na vyombo vya habari kuwa kuna vigogo wameficha fedha nchini Uswis na anawajua. Kweli kwa watu wanaopenda kudakia mambo bila kufanyia utafiti nao wakajikuta wanaiomba wimbo huo aliokuwa akiumba Zitto.
Ambapo mwisho wa siku Jaji Werema ,Alhamsi ya wiki hii bungeni alikuja kufumbua macho watanzania kuwa huyu huyo Zitto aliyekuwa anatamba mitaani kuwa anawajua walioficha fedha, aliitwa kwenye Kamati hiyo maalum ili akaisaidie kutoa hayo majina ya namba za akaunti zao lakini hakwenda na matokeo yake Zitto alikwenda ofisini kwa Jaji Werema chini ya hati ya kiapo kuwa hayafahamu majina wala akaunti za watu hao.
Kisheria tunasema kila tuhuma inayoibuliwa au kesi inayofunguliwa mahakamani lazima iwe na mlalamikaji ambaye mlalamikaji huyo anapaswa kufika katika mamlaka husika kuisaidia kutoa vielelezo anavyodai kuwa watu fulani wamevunja sheria.
Sasa kwa muktadha huu ambapo Zitto aliaminisha umma kuwa kitendo hicho cha kufichwa fedha nje ya nchi kimemkera na ushahidi anao, kwanini Zitto huyu kwa zaidi ya mara nne ameitwa kwenye Kamati hiyo akashindwa kufika kutoa vielelezo hivyo?
Je alikuwa na lengo moyoni na akilini mwake?Maana tuhuma hizo alizoziibua ni kubwa sana na serikali yoyote makini nilazima tu ingeanza kufanyiakazi tuhuma hizo na hivyo ndivyo ilivyofanya serikali ya Tanzania, baada ya Zitto kuibua skendo hiyo , serikali iliamua kuunda kamati ya kuchunguza ukweli wa tuhuma hiyo , lakini cha kustaajabisha muibuaji wa skendo hiyo Zitto ambaye alikuwa akijitapa kuwa ana ushahidi, hakuweza kwenda kwenye Kamati hiyo kutoa ushahidi.
Naweza kusema pia kama yaliyosema na Jaji Werema ni kweli, basi watanzania hatuna budi ya kumwambia Zitto tena bila haya kuwa anaichezea serikali yetu sambamba na kuchezea rasilimali watu na fedha za walipa kodi.
Kwani ni yeye aliyeshupalia skendo hiyo na serikali ikajikuta inatumia fedha za kuunda kamati, kutumia rasilimali watu na muda wa serikali muda kuja kuhoji watu mbalimbali ambapo mwisho wa siku Zitto ndiyo alikuwa mtu muhimu sana wa kuisaidia Kamati hiyo kupata ukweli wa tuhuma hizo lakini cha kushangaza Zitto inaelezwa alishindwa kutoa ushirikiano kwa Kamati hiyo.
Kama kweli maelezo ya Jaji Werema ni ya kweli,Je wananchi wamuite Zitto ni Mnafiki ,Mzandiki, muongo, msahaulifu, au ni mtu anayekurupuka?
Maana inashangaza kwa watu wenye kumbukumbu na Zitto kipindi kile alivyokuwa amekomaa na skendo hiyo, leo hii Jaji Werema anakuja kuliambia Bunge eti Zitto ameeleza chini ya kiapo kuwa hana majina wala hafahamu akaunti za vigogo na kwamba alikwepa kwenda kwenye Kamati kuhojiwa?
Hapo ndiyo ninampomheshimu Mbunge wa Vunjo(TLP), Agustine Mrema enzi zile alipoibua kashfa wa wizi wa Sh.milioni 900 kwa mawaziri wa serikali ya awamu ya tatu iliyokuwa ikiongozwa na Rais Mstaafu Benjamin Mkapa kuwa wametafuna fedha hizo na kweli Mrema alikubali kuhojiwa na Kamati ya Bunge na akafunguliwa kesi hiyo katika Mahakama ya Kisutu na alishinda kesi hiyo.
Mrema aliibua kashfa hiyo iliyomhusisha Rais Mkapa na baadhi ya mawaziri wake kwenye mikutano yake kisiasa , na alipoitwa kuhojiwa kwenye kamati ya bunge kipindi hicho hakukimbia, alikwenda na akahojiwa na mwisho wa siku alifunguliwa kesi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutoka na kuibuka kashfa hiyo ambayo upande wa jamhuri ulidai kashfa hiyo ni uzushi, lakini mahakama ilimwachiria huru Mrema.
Hivyo Mrema awe ni funzo kwa wanasiasa wengine walioibuka hivi sasa ambao wanajifanya mahiri sana wa kudai wanaibua tuhuma za ufisadi lakini wakiitwa katika mamlaka husika kutoa ushahidi huo ,wanakwepa.
Aprili 12 mwaka 2012 gazeti hili lilichapisha makala yangu iliyokuwa na kichwa cha habari kisemacho 'Zitto Kabwe ,Mbona U msahaulifu?
Maudhui ya makala hiyo nilikuwa namuelezea Zitto kumbe na yeye ni jamiii ile ya baadhi ya wanasiasa wale wale wenye hulka za kinyang'au ambao wanakasumba ya kuzungumza uongo mbele ya umma, ili umma uwapende na uamini kuwa kiongozi huyo ni mtu safi na mtetezi wa wanyonge, kumbe siyo kweli. Ieleweke wazi hapo nyuma Zitto alipata bahati ya kupata umaarufu ndani ya jamii kwa kile kilichoelezwa ni mwanasiasa kijana ambaye ana misimamo thabiti na asiyeyumba katika kile anachikiami.
Sisi waumini wa sheria tunasema tuhuma zitabaki kuwa tuhuma hadi pale zitakapothibitika na mahakama au vikao husika vya chama chake.Lakini kwa kuwa mungu ni mwema kadri siku zinavyozidi kwenda mbele atazidi kutuonyesha kama kweli Zitto ni mwanasiasa msafi ,mhadilifu kuliko wanasiasa wenzake wanaotoka katika vyama mbalimbali vya siasa.
Na kweli utabili wangu huo umetimia kwa hivi karibuni Kamati Kuu ya Chadema, ikatangaza kumvua nyadhifa zote ndani ya chama hicho kwa kile kilichodaiwa kuwa wamebaini kuwa Zitto anakisaliti chama chao.Hali iliyosababisha baadhi ya wanananchi kuanza kumtazama tofauti Zitto.
Itakumbukwa kuwa Zitto alikuwa msatili wa mbele kushinikiza baadhi ya watumishi wa serikali na viongozi wakiwemo mawaziri na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wawajibishwe kwa kile alichokuwa akikidai kuwa wameshindwa kutekeleza majukumu yao na wengine wamekuwa wakikabiliwa na tuhuma mbalimbali na kweli kuna mawaziri waliondolewa kwenye baraza la mawaziri kwasababu ya tuhuma hizo zilizokuwa zikiibuliwa na Zitto na mwisho wa siku zikaungwa mkono na wananchi.
Waswahili wanamsemo wao usemao 'linalomkuta Boko na Mamba pia litamkuta kwasababu wote wanaishi majini'. Kwa hiyo yaliyowakuta baadhi ya mawaziri kwa kuondolewa kwenye baraza la mawaziri kwa kigezo cha tuhuma tu...ndicho ambacho kimemkuta Zitto leo hii kwa Kamati Kuu ya chama chake kumvua nyadhifa zake zote kwa tuhuma kuwa ni msaliti.
Iwe Chadema walimsukia zengwe Zitto na kuamua kumpokonya madaraka kwa kisingizio cha usaliti au ni kweli.
Minaona itakuwa ni funzo sasa kwa Zitto kujifunza kuwa siyo jambo jema tena kwake kuendelea na kasumba yake ya kupenda kushinikiza wanasiasa wenzake hasa wa CCM wawajibishwe au kupokonywa madaraka kwasababu wanakabiliwa na tuhuma za ufisadi na kuutaka urais mwaka 2015.
Kwa uzoefu wangu kwa wanasiasa wengi wa nchi hii ni mabingwa kuwatengenezea wenzao majungu, fitna na mwisho wa siku majungu wanayapeleka kwenye vyombo vya habari kwa kuwatumia baadhi ya waandishi wa habari kuwachafua mahasimu wao na kweli wanafanikiwa na majungu hayo kwa kuwachafua maasimu wao na mwisho wa siku maasimu wao wanachafuka mbele ya jamii na kama asimu wake ni mbunge, wananchi wake katika chaguzi zijazo wananchi wake hawamchagui tena kwa kisingizio kuwa mbunge wao huyo anakabiliwa na tuhuma za ufisadi kumbe wakati mwingine ni uzushi mtupu.
Ushauri wangu kwa Zitto ni kwamba akubali kuwa ule umaarufu aliokuwa nao zamani umeporomoka sana na hakuna ubishi kuwa itamgharimu kipindi kirefu sana kuuurejesha ndiyo atashindwa kabisa kuurejesha.
Hivyo ni vyema yeye binafsi ajipe muda na atafakari ni wapi amekosea hadi leo hii kila kukicha umaarufu wake unazidi kuporoka, uadilifu wake unatiliwa shaka na chama chake na baadhi ya wananchi.
Kwanini Mwanasheria Mkuu wa serikali Jaji Werema ameamua kumtolea uvivu bungeni na kumuumbua kuwa Zitto kuwa aliitwa kwenye Kamati hakufika kuhojiwa na alipoitwa ofisini kwa Jaji Werema alitoa maelezo yake chini ya kiapo kuwa hana majina ya vigogo wala majina ya akaunti za vigogo walioficha fedha Uswiss.
Naheshimu mchango wa Zitto katika medani ya siasa nchini ila sipendezwi na tuhuma mbalimbali zilizomzingira Zitto kwani wananchi walionekana kumuamini Zitto kuwa ni mwanasiasa msafi kuliko wengine lakini ghafla baadhi ya wananchi wanaripotiwa kwenye vyombo vya habari wakisema hawana imani naye tena.Kwa nini hili Zitto anaruhusu litokee?
Pia namshauri Zitto hivi sasa ni vyema akajiepusha kujadili hadharani masuala yanayohusu uadilifu wa wanasiasa wenzake , kwani tayari nayeye hivi sasa anaandamwa na tuhuma hizo za ukosefu wa uadilifu.
Pia awe makini sana na hao watu wanaomshauri kwenda kwenye vyombo vya habari kujadili masuala kadha wa kadhaa kwani hao hao leo hii wanaojifanya kukushauri kujadili masuala kadha wa kadhaa mbele ya adhara ndiyo hao hao mwisho wa siku watakucheka.
Kwa wanaoifahamu jamii ya Watanzania, tunaelewa kuwa Watanzania wengi ni kama tuna ugonjwa wa usahalifu.Tunashikia bango jambo fulani mwisho siku tunalisahau tunadandia hoja nyingine.
Ni sisi watanzania tulishupalia wee Dk.Steven Ulimboka , Absalom Kibanda, mauji ya Daud Mwangosi, Idara ya Usalama wa Taifa livyotuhumiwa na Chadema kuiba kura katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010,mgomo wa madaktari ,shinikizo la kutaka aliyekuwa Waziri Mkuu Edwar Lowassa, na aliyekuwa waziri Andrew Chenge wajiudhuru na kwamba ni mafisadi, vurugu za kugombea ujenzi wa bomba la gesi Mtwara na vurugu za kisiasa Arusha lakini leo hii nani tena anazungumzia mambo hayo.Hakuna.
Watoto wa mjini tunasema hivi nyimbo zinazotamba Tanzania kwa sasa ni kifo cha Rais wa Zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, kile kinachodaiwa ni mgogoro ndani ya Chadema na Zitto ,Zitto kuvuliwa nyadhifa zake kwa madai kuwa ni msaliti .Kwahiyo ni vema akatulia ,watanzania watasahau tuhuma zake.
Nimalizie kwa kumtaka Zitto Kabwe, asikubali kuingia kwenye nukuu hiyo ya Mtume Mtume Muhamad kuwa; ' "Mnafiki akisema anasema uongo,mnafiki akiaidi atimizi na mnafki akiaminiwa ,aaminiki'.
Mungu ibariki Tanzania
0716 774494
www.katabazihappy.blogspot.com
Chanzo:Gazeti la Tanzania Daima la Jumapili,Desemba 15 Mwaka 2013



--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] ZITTO KABWE UNAJIANDALIA ANGUKO"

Re: [wanabidii] Record za utendaji wa Edward Lowassa zinashangaza sana

Ngupula,
Umesema vema, tuombe MUNGUatupatie rais mwenye mapenzi na uchungu na nchi hii kwa faida ya watoto wetu na vizazi vijavyo


From: Mathias Byabato <byabato2003@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Sunday, November 30, 2014 6:51 PM
Subject: Re: [wanabidii] Record za utendaji wa Edward Lowassa zinashangaza sana

Siri moja ya kueleza uzuri wa mtu ni kueleza binafsi uliwahi kufanikiwa vipi kutokana na mchango wake katika utendaji kama hakuna basi hakufai wewe na kizazi chako


On Nov 23, 2014 2:42 PM, "'ngupula' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Let the nature take its place....Mungu ni mwema na anatuwazia vema waja wake. Atatupatia rais atayetufaa...Ngupula

'Fred Hans Kipamila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

umesema vema Ngupula,
tunataka mtu anayeweza kutenda lakini anayetenda kwa ajili ya tumbo lake. utendaji wa huyo bwana ni wa ajabu sana na unashangaza sana. alipokuwa waziri wa ardhi enzi ya mwinyi ndipo kashifa za viwanja zilipoibuka kwa wingi na hadi kufikia kuuzwa kwa eneo la viwanja vya umma mnazimmoja dsm kwa wahindi kama si wananchi kufanya fujo ya kubomoa uzio wa mabati ya ujenzi wa eneo ilo sasa hivi hatuna viwanja hivyo, alipokuwa waziri mkuu amefanya mengi ya kuhofiwa utendaji wake, ukiacha kashifa iliyomtoa ya richmond unayotaka tuamini kuwa hakushiriki aliliingiza taifa kwenye hasara kubwa kwa kufuta mkataba wa kampuni iliyokuwa inaendesha dawasco. mnajitahidi sana kumsafisha toka alipotolewa uwaziri mkuu kwa faida ya nani? je hatuna mtanzania mwingine mwenye mawazo mapya au taifa hili limelaaniwa hata tuwarudishe walewale walishindwa awali na kulifikisha taifa kuwa matonya? je sisi ni wagalatia tuerogwa hata hatuoni maovu yanayotendeka kuliangamiza taifa letu; nani ameturoga hata tumekuwa vipofu tusioona mbele?
nilikuambia tuwaeleze watu mazuri na mabaya ya mgombea tunayeona anafaa ili apimwe kwaulinganifu wa uzuri na ubaya siyo kutamka tu kuwa huyu ni jembe


From: 'Reuben Mwandumbya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Sunday, November 23, 2014 8:08 AM
Subject: Re: [wanabidii] Record za utendaji wa Edward Lowassa zinashangaza sana

Ngupula;
Hizo ni hekaya za wenye njaa wanatafuta ajira ya kupiga kampeni.
Inaonekana makosa ya 2010 CCM tunaweza kuyarudia tena mana tunajipa moyo kwamba watz washayasahau,sasa ole wetu.
Tulipoteza majimbo mengi mihimu sababu ya kuweka wagombea ambao wananchi wamechoka nao,ikawa nafuu sana kwa upinzani kuchanja mbuga.
Mimi ni mwana CCM lkn naangalia utendaji na sishabikii uhuni uhuni na uzembe.
Tuangalie sana maamuzi ya this time

Sent from my Huawei Mobile

'ngupula' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Ushauri wangu wa bure kabisa.....wakati unampinga lowassa kaa ukijua kuwa huyo unayemuwazia hatofanikiwa. Nchii kwa sasa inahitaji mtu mtendaji na mwenye tija...you got to choose au Lowassa au Mwigulu Nchemba...Ngupula

Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

Kaaya,
Mkapa aliniambia kwamba alimfuata Mwalimu akiomba ushauri wake wakati wa kuunda baraza la mawaziri. Mwalimu alimjibu, hilo ni baraza lako, siwezi kukushauri.
Hata wakati wa Mwinyi Mwalimu aliingilia kati tu alipoona mambo yanakwenda mrama, hasa katika suala la ufisadi. Kwa hiyo Mwalimu asingeweza kumwambia Mwinyi au Mkapa
asimchague Lowassa. Haikuwa hulka yake.
em

2014-11-17 6:57 GMT-05:00 Emma Kaaya <emmakaaya@gmail.com>:
NYERERE KUMKATAA LOWASSA, HUU NI UONGO MKUBWA!
Kuna watu bila aibu kwenye mitandao ya kijamii na vijiweni Wanamsingizia Baba wa Taifa , eti alimkataa Lowassa; wanatunga uongo mwingi kuhalalisha hisia zao hasi.
Sehemu ya nukuu yao FEKI: Eti Nyerere alisema, ("Hapa hatuchagui mtu maarufu, tunachagua mtu safi na huyu si safi. Kama unapenda sura yake basi nenda kanywe naye chai. Wengine mnasema aaah ni tuhuma tu. Samuel (Sitta)! Yusuf (Makamba)! Mnasimama hapa mnasema ni tuhuma tuhuma tu) .. mwisho wa kuwanukuu.<
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] Record za utendaji wa Edward Lowassa zinashangaza sana"

[wanabidii] Miswada ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya Kwanza Nov 2014

Miswada ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya Kwanza Nov 2014; 
1. Sheria ya Uhamiaji/ The Immigration Amendment Bill
2. Tume ya Kudhibiti UKIMWI/The Tz Commission for AIDS
3. Sheria ya Kudhibiti Silaha/The FireArms and Ammunition control bill
4. Sheria ya Usimamizi wa Maafa/Disaster Management Bill
5. Sheria ya Udhibiti wa Ajira za Wageni/Non-citizens Employment Regulation Bill
6. Sheria ya Wataalam wa Kemia/The Chemist Professionals Bill
7. Sheria ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali/ The Govn. chemistry Laboratory Bill
8. Sheria ya marekebisho ya sheria ya stakabadhi ghalani/the Warehouse receipts bill
9. Sheria ya Udhibiti na Usimamizi wa Dawa za Kulevya/The Drug Control and Enforcement bill
10. Sheria ya Mabadiliko ya sheria mbalimbali/ Written laws (Miscelleneous Amend) bill
11. Sheria ya Bajeti/The Budget Bill

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] Miswada ya Sheria iliyosomwa Bungeni kwa mara ya Kwanza Nov 2014"

[wanabidii] MO AZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA CCM SINGIDA

Habari za asubuhi, msaada tafadhali

<span style="color: #008000;"><em><strong><a style="color: #008000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0216.jpg"><img class="size-full wp-image-122974 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0216.jpg" alt="IMG_0216" width="600" height="400" /></a></strong></em></span>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong>Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mhe. Mohammed Gulam Dewji akisalimiana na wapiga kura kura wake na wananchi wa jimbo la Singida mjini mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Kibaoni tayari kuzindua kampeni za CCM uchaguzi wa serikali za mitaa katika jimbo la Singida Mjini.(Picha na Geofrey Mwakibete wa MOblog).</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a style="color: #008000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0223.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122975" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0223.jpg" alt="IMG_0223" width="600" height="400" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong>Mbunge wa Singida MO Dewji akipata mapokezi kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni zilizofanyika Kibaoni mjini Singida.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a style="color: #008000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0167.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122976" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0167.jpg" alt="IMG_0167" width="600" height="400" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong>Mbunge wa jimbo la Singida mjini Mhe. Mohammed Dewji akimnadi mgombe wa nafasi ya m/kiti wa mtaaa Kibaoni Timotheo Ruben John kwenye uzinduzi wa kampeni za CCM uchaguzi wa serikali za mitaa katika jimbo la Singida Mjini. </strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a style="color: #008000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0172.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122977" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0172.jpg" alt="IMG_0172" width="600" height="400" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong> Mbunge wa jimbo la Singda mjini mhe. Mohammed Dewji akizungumza kwenye uzinduzi wa kampeni za CCM uliofanyika katika viwanja vya soko la zamani la kitongoji mjini hapa. </strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a style="color: #008000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0202.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122979" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0202.jpg" alt="IMG_0202" width="600" height="400" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong>Mjumbe wa halmashauri kuu CCM (NEC) taifa manispaa ya Singida, Hassan Philip Mazala, akitoa nasaha zake kwenye uzinduzi wa kampeni za CCM zilizofanyika Kibaoni mjini hapa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a style="color: #008000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0186.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122980" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0186.jpg" alt="IMG_0186" width="600" height="400" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong>Mgombea wa nafasi ya uwenyekiti wa mtaa wa Kibaoni Timotheo Ruben John akiomba kura kwa ajili ya nafasi hiyo, Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM (NEC) taifa jimbo la Singida mjini Hassan Mazala akifurahia jambo wakati wa uzinduzi wa kampeni za CCM zilizofanyika jana.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a style="color: #008000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0182.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122978" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0182.jpg" alt="IMG_0182" width="600" height="400" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong>Baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) waliohudhuria uzinduzi huo wakimsikiliza Mbunge wao.</strong></em></span></p>

KAWAIDA

IMG_0223

--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] MO AZINDUA KWA KISHINDO KAMPENI ZA CCM SINGIDA"

Re: [wanabidii] DIRA YA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA KUONGEZA MAKUSANYO YA KODI

Hallo, hii itawezekana kuwashauri na wafanikishe ukusanyaji kodi kama tuu tz.tutakuwa na miundo mbinu na data ya kila wananchi kama nchi za wenzetu walioendelea

salumkango via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

>
>Kwa kweli kaka Elisa hili suala la kukusanya Jodi linanikera sana. Kuna uzembe wa makusudi unaofanywa na TRA katika kukusanya kodi. Mianya ni msingi na misamaha ya kodi pia ipo na mingi haina tija. Ni wangapi wanapangisha nyumba na Fremu za biashara na maofisi lkn kodi hawalipi??? Posho ngapi zinazokatwa kodi??? Katika nchi za wenzetu wenye pesa zako lkn hata muosha magari analipa kodi katika mshahara wake. Mmmmmhhhh bado sana.
>
>Salum Mkango
>Sent from my smartphone on the new Vodafone network
>
>'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
>
>>Mimi naweza kuwapa dira bora zaidi: Kukusanya mapato ya serikali ya kutosha bila mwananchi kusikia maumivu ya kodi hiyo'
>>--------------------------------------------
>>On Sat, 11/29/14, Juma Mzuri <jumamzuri@gmail.com> wrote:
>>
>> Subject: [wanabidii] DIRA YA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA KUONGEZA MAKUSANYO YA KODI
>> To: wanabidii@googlegroups.com
>> Date: Saturday, November 29, 2014, 11:55 AM
>>
>> TRA.
>> DIRA. KUONGEZA MAKUSANYO YA KODI HADI 19.9% YA PATO LA TAIFA
>> IFIKAO MWAKA 2018.NIMENUKUU
>> KUTOKA KITABU CHA TRA. KODI NA USHURU MBALI MBALI MWAKA
>> 2014-2015.SWALI
>> LA KUJIULIZA NI KWAMBA HADI SASA TRA HAIJAFIKISHA HATA
>> ASILIMIA 19 ZA MAKUSANYO YA KODI KWA PATO LA TAIFA? .AU
>> TUNAWEZA KUSEMA HIVI, MAKUSANYO YA KODI HADI SASA NI CHINI
>> YA ASILIMIA 19 KWA PATO LA TAIFA. ?KAMA KODI NDIO MHIMILI MKUBWA
>> KABISA WA SERIKALI KATIKA PATO LA TAIFA HADI SASA IKO CHI YA
>> ASILIMIA 19. INATUPA DIRA GANI AU MWELEKEO GANI KIUCHUMI?
>> MIMI NILITEGEMEA TRA WASEME WAMEFIKIA ASILIMI 60. AU 50.SASA
>> NI ASILIMIA CHINI YA 19. HADI TUFKIE ASILIMIA 50 NI MWAKA
>> GANI? TUIOMBEE TANZANIA
>>
>>
>>
>> --
>>
>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>>  
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>>
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
>> kudhibitisha ukishatuma
>>
>>  
>>
>> Disclaimer:
>>
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
>> for any legal consequences of his or her postings, and hence
>> statements and facts must be presented responsibly. Your
>> continued membership signifies that you agree to this
>> disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>
>> ---
>>
>> You received this message because you are subscribed to the
>> Google Groups "Wanabidii" group.
>>
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails
>> from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>>
>> For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>>
>>
>>--
>>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>>
>>Disclaimer:
>>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>---
>>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
>--
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>---
>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] DIRA YA MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA KUONGEZA MAKUSANYO YA KODI"

[wanabidii] UNESCO WAANZISHA PROGRAM YA UTAMADUNI KUKABILI UKIMWI

Habari za asubuhi, 

Tafadhali pokea CODES, nikutakie siku njema.


<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0202.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122923" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0202.jpg" alt="DSC_0202" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Afisa Ardhi na Mazingira wa Halmashauri ya wilaya ya Msalala (Kahama), Zablon Donge, akifungua rasmi warsha ya siku tatu ya wadau wa mapambano dhidi ya UKIMWI kwa niaba ya Mkurugenzi wa wilaya hiyo, iliyofanyika Kata ya Segese wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues pamoja na Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Na Mwandishi Wetu, Kahama</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>MKURUGENZI Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues ametaka jamii kujumuisha suala la utamaduni katika kupambana na maambukizi mapya ya Ukimwi.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema hayo kwenye warsha ya siku tatu ya wadau wa mapambano dhidi ya UKIMWI inayofanyika Kata ya Segese wilayani Kahama mkoani Shinyanga.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema katika ufunguzi huo kwamba kwa miaka mingi pamoja na kuwepo kwa elimu ya UKIMWI, kumekosekana mabadiliko yanayotakiwa kukabili maambukizi mapya.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema UNESCO iliangalia tatizo hili na kubaini kwamba kutobadilika kwa hali kumetokana na kutounganishwa kwa kipengele cha mila ambacho ndicho kinachofanya kuwepo na mazingira rafiki ya kupashana habari.</strong></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0151.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122926" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0151.jpg" alt="DSC_0151" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akizungumza na washiriki wakati wa uzinduzi wa program ya utamaduni kukabili UKIMWI itakayoendeshwa na shirika lake.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Warsha hiyo ya Siku tatu imelenga katika kuhamasisha jamii, Shule, Asasi, Taasii za Dini na Serikali katika utoaji wa Elimu sahihi ya huduma rafiki za Afya ya Uzazi, VVU/UKIMWI, ujinsia na maadili ya Afya kwa vijana balehe na vijana.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Amesema mpaka sasa utoaji wa elimu ya afya, ueleweshaji wa ugonjwa haujafanya mabadilikoya kutosha  kutokana na ukweli kuwa katika utekelezaji wa kampeni masuala ya utamaduni na uwasilishaji wa taarifa haukuwa umezingatiwa.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema wakati Kahama (Msalala) kwa sasa kiwango cha maambukizi ni  asilimia 5.9, Juhudi zinatakiwa kufanywa katika kuhakikisha kwamba elimu inayotolewa inahusishwa na masuala ya kitamaduni ili kubadilisha maisha ya wakazi.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema katika mapambano ya maambukizi mapya mila na utamaduni zinaweza kabisa kusaidia kukabiliana na maambukizi ya UKIMWI.</strong></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0348.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122925" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0348.jpg" alt="DSC_0348" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akielezea madhumuni ya warsha hiyo ya siku tatu iliyojumuisha makundi mbalimbali ikiwemo Waganga wa jadi, wakunga wa jadi, viongozi wa dini, viongozi wa vijiji na kata, walimu, wataalamu wa afya na elimu na Asasi zisizokuwa za kiserikali.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema program inayoangaliwa sasa ni ile iliyoleta mafanikio katika nchi kadhaa za Afrika ikiwamo Msumbiji na hivyo wanaona waijaribu Tanzania katika wilaya sita ikiwemo Kahama na hasa halmashauri ya wilaya ya Msalala.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema pamoja na  watu wengi kutibiwa na waganga wa kienyeji  ni vyema watengeneza sera na watu wengine kutambua umuhimu wao ili kwa kupitia mila waweze kuwafunua watu akili na kujikinga na maambukizi ya UKIMWI.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema anaamini kuwa mila na tamaduni zikitumika vyema na hata matibabu zitasaidia kuokoa maisha ya wengi na pia kuzuia maambukizi mapya.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema maambukizi mapya ni tatizo kwa sasa hasa ikizingatiwa kwamba wananchi wengi wanajua uwapo wa UKIMWI lakini ufahamu ni mdogo kwa kuwa katika kufundisha watu hawakupewa elimu ya kutosha inayoambatana na kuangalia mila na desturi njema za afya zilizopo.</strong></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0366.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122927" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0366.jpg" alt="DSC_0366" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Afisa afya mkuu kitengo cha elimu ya afya kwa umma-programu ya afya mashuleni kutoka Wizara ya afya na ustawi wa jamii, Avit Maro akielezea jambo kwa washiriki kuhusiana na masuala ya afya ya uzazi wakati wa warsha ya siku tatu ya wadau wa mapambano dhidi ya UKIMWI iliyofanyika Kata ya Segese wilayani Kahama mkoani Shinyanga.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema ni vyema wananchi wakatumia mali asili waliyonayo kufundishana juu ya kukabiliana na maambukizi mapya ya UKIMWI.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema UNESCO imeamua kuanzisha programu maalumu ya kutumia mila na desturi kukabili UKIMWI kama njia nyingine ya kuoanisha nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi mapya.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Naye Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Msalala (Kahama), Zablon Donge alishukuru UNESCO kwa kuanzisha program ya kujifunza namna ya kukabiliana na maambukizi mapya ya UKIMWI.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema ukiwa na halmashauri ya wagonjwa huwezi kuwa na halmashauri kwa kuwa shughuli za kiuchumi na kijamii kushindikana kutekelezwa, na kusema kuja kwa UNESCO ni msaada mkubwa.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Warsha hiyo imejumisha makundi mbalimbali ikiwemo Waganga wa jadi, wakunga wa jadi, viongozi wa dini, viongozi wa vijiji na kata, walimu, wataalamu wa afya na elimu na Asasi zisizokuwa za kiserikali.</strong></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0384.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122928" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0384.jpg" alt="DSC_0384" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi msaidizi masuala mtambuka kutoka Wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi, Dkt. Laetitia Sayi akifafanua jambo jinsi wizara yake inavyoshirikisha jamii katika utoaji wa elimu mashuleni hususani afya ya uzazi, VVU/UKIMWI huku ikishirikiana na wadau wao wa karibu UNESCO.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0269.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122929" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0269.jpg" alt="DSC_0269" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues, akiendesha warsha hiyo kwa njia ya majadiliano na washiriki juu ya dhana na maana ya balehe, vijana balehe na vijana sambamba na maana ya mimba na ndoa za utotoni.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_03681.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122934" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_03681.jpg" alt="DSC_0368" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Pichani juu na chini ni sehemu ya washiriki hao wakifuatilia majadiliano kwenye warsha hiyo ya siku tatu iliyofanyika Kata ya Segese wilayani Kahama mkoani Shinyanga.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_00631.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122935" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_00631.jpg" alt="DSC_0063" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0257.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122930" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0257.jpg" alt="DSC_0257" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Pichani juu na chini ni baadhi ya washiriki wakichangia maoni wakati majadiliano ya kutafuta suluhu ya kupunguza maambukizi mapya ya VVU/UKIMWI, mimba na ndoa za utotoni kwenye jamii zao.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0264.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122931" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0264.jpg" alt="DSC_0264" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0096.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122933" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0096.jpg" alt="DSC_0096" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Sehemu ya washiriki warsha hiyo kwenye vikundi kazi wakianisha na kubainisha matatizo yanayowakabili vijana balehe na vijana katika jamii zao huku wakiongozwa na Mkurugenzi msaidizi masuala mtambuka kutoka Wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi, Dkt Laetitia Sayi (kushoto).</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0091.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122936" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0091.jpg" alt="DSC_0091" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mshiriki akiwasilisha kazi za vikundi baada ya majadiliano.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0061.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-122932" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/DSC_0061.jpg" alt="DSC_0061" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akifafanua baadhi ya changamoto zilizoanishwa kwenye vikundi kazi na washiriki wakati wa warsha hiyo ya siku tatu.</strong></em></span></p>

KAWAIDA

DSC_0202

Afisa Ardhi na Mazingira wa Halmashauri ya wilaya ya Msalala (Kahama), Zablon Donge, akifungua rasmi warsha ya siku tatu ya wadau wa mapambano dhidi ya UKIMWI kwa niaba ya Mkurugenzi wa wilaya hiyo, iliyofanyika Kata ya Segese wilayani Kahama mkoani Shinyanga. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues pamoja na Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias.

Na Mwandishi Wetu, Kahama

MKURUGENZI Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues ametaka jamii kujumuisha suala la utamaduni katika kupambana na maambukizi mapya ya Ukimwi.

Alisema hayo kwenye warsha ya siku tatu ya wadau wa mapambano dhidi ya UKIMWI inayofanyika Kata ya Segese wilayani Kahama mkoani Shinyanga.

Alisema katika ufunguzi huo kwamba kwa miaka mingi pamoja na kuwepo kwa elimu ya UKIMWI, kumekosekana mabadiliko yanayotakiwa kukabili maambukizi mapya.

Alisema UNESCO iliangalia tatizo hili na kubaini kwamba kutobadilika kwa hali kumetokana na kutounganishwa kwa kipengele cha mila ambacho ndicho kinachofanya kuwepo na mazingira rafiki ya kupashana habari.

DSC_0151

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akizungumza na washiriki wakati wa uzinduzi wa program ya utamaduni kukabili UKIMWI itakayoendeshwa na shirika lake.

Warsha hiyo ya Siku tatu imelenga katika kuhamasisha jamii, Shule, Asasi, Taasii za Dini na Serikali katika utoaji wa Elimu sahihi ya huduma rafiki za Afya ya Uzazi, VVU/UKIMWI, ujinsia na maadili ya Afya kwa vijana balehe na vijana.

Amesema mpaka sasa utoaji wa elimu ya afya, ueleweshaji wa ugonjwa haujafanya mabadilikoya kutosha  kutokana na ukweli kuwa katika utekelezaji wa kampeni masuala ya utamaduni na uwasilishaji wa taarifa haukuwa umezingatiwa.

Alisema wakati Kahama (Msalala) kwa sasa kiwango cha maambukizi ni  asilimia 5.9, Juhudi zinatakiwa kufanywa katika kuhakikisha kwamba elimu inayotolewa inahusishwa na masuala ya kitamaduni ili kubadilisha maisha ya wakazi.

Alisema katika mapambano ya maambukizi mapya mila na utamaduni zinaweza kabisa kusaidia kukabiliana na maambukizi ya UKIMWI.

DSC_0348

Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akielezea madhumuni ya warsha hiyo ya siku tatu iliyojumuisha makundi mbalimbali ikiwemo Waganga wa jadi, wakunga wa jadi, viongozi wa dini, viongozi wa vijiji na kata, walimu, wataalamu wa afya na elimu na Asasi zisizokuwa za kiserikali.

Alisema program inayoangaliwa sasa ni ile iliyoleta mafanikio katika nchi kadhaa za Afrika ikiwamo Msumbiji na hivyo wanaona waijaribu Tanzania katika wilaya sita ikiwemo Kahama na hasa halmashauri ya wilaya ya Msalala.

Alisema pamoja na  watu wengi kutibiwa na waganga wa kienyeji  ni vyema watengeneza sera na watu wengine kutambua umuhimu wao ili kwa kupitia mila waweze kuwafunua watu akili na kujikinga na maambukizi ya UKIMWI.

Alisema anaamini kuwa mila na tamaduni zikitumika vyema na hata matibabu zitasaidia kuokoa maisha ya wengi na pia kuzuia maambukizi mapya.

Alisema maambukizi mapya ni tatizo kwa sasa hasa ikizingatiwa kwamba wananchi wengi wanajua uwapo wa UKIMWI lakini ufahamu ni mdogo kwa kuwa katika kufundisha watu hawakupewa elimu ya kutosha inayoambatana na kuangalia mila na desturi njema za afya zilizopo.

DSC_0366

Afisa afya mkuu kitengo cha elimu ya afya kwa umma-programu ya afya mashuleni kutoka Wizara ya afya na ustawi wa jamii, Avit Maro akielezea jambo kwa washiriki kuhusiana na masuala ya afya ya uzazi wakati wa warsha ya siku tatu ya wadau wa mapambano dhidi ya UKIMWI iliyofanyika Kata ya Segese wilayani Kahama mkoani Shinyanga.

Alisema ni vyema wananchi wakatumia mali asili waliyonayo kufundishana juu ya kukabiliana na maambukizi mapya ya UKIMWI.

Alisema UNESCO imeamua kuanzisha programu maalumu ya kutumia mila na desturi kukabili UKIMWI kama njia nyingine ya kuoanisha nguvu katika mapambano dhidi ya maambukizi mapya.

Naye Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Msalala (Kahama), Zablon Donge alishukuru UNESCO kwa kuanzisha program ya kujifunza namna ya kukabiliana na maambukizi mapya ya UKIMWI.

Alisema ukiwa na halmashauri ya wagonjwa huwezi kuwa na halmashauri kwa kuwa shughuli za kiuchumi na kijamii kushindikana kutekelezwa, na kusema kuja kwa UNESCO ni msaada mkubwa.

Warsha hiyo imejumisha makundi mbalimbali ikiwemo Waganga wa jadi, wakunga wa jadi, viongozi wa dini, viongozi wa vijiji na kata, walimu, wataalamu wa afya na elimu na Asasi zisizokuwa za kiserikali.

DSC_0384

Mkurugenzi msaidizi masuala mtambuka kutoka Wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi, Dkt. Laetitia Sayi akifafanua jambo jinsi wizara yake inavyoshirikisha jamii katika utoaji wa elimu mashuleni hususani afya ya uzazi, VVU/UKIMWI huku ikishirikiana na wadau wao wa karibu UNESCO.

DSC_0269

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues, akiendesha warsha hiyo kwa njia ya majadiliano na washiriki juu ya dhana na maana ya balehe, vijana balehe na vijana sambamba na maana ya mimba na ndoa za utotoni.

DSC_0368

Pichani juu na chini ni sehemu ya washiriki hao wakifuatilia majadiliano kwenye warsha hiyo ya siku tatu iliyofanyika Kata ya Segese wilayani Kahama mkoani Shinyanga.

DSC_0063

DSC_0257

Pichani juu na chini ni baadhi ya washiriki wakichangia maoni wakati majadiliano ya kutafuta suluhu ya kupunguza maambukizi mapya ya VVU/UKIMWI, mimba na ndoa za utotoni kwenye jamii zao.

DSC_0264

DSC_0096

Sehemu ya washiriki warsha hiyo kwenye vikundi kazi wakianisha na kubainisha matatizo yanayowakabili vijana balehe na vijana katika jamii zao huku wakiongozwa na Mkurugenzi msaidizi masuala mtambuka kutoka Wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi, Dkt Laetitia Sayi (kushoto).

DSC_0091

Mshiriki akiwasilisha kazi za vikundi baada ya majadiliano.

DSC_0061

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) Tanzania, Zulmira Rodrigues akifafanua baadhi ya changamoto zilizoanishwa kwenye vikundi kazi na washiriki wakati wa warsha hiyo ya siku tatu.


--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] UNESCO WAANZISHA PROGRAM YA UTAMADUNI KUKABILI UKIMWI"

[wanabidii] Live Now, Uchambuzi Wa Habari Za Magazetini Leo Jumatatu...

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] Live Now, Uchambuzi Wa Habari Za Magazetini Leo Jumatatu..."

[wanabidii] Top Headlines: Tripura's Marxist CM invites Modi to address his cabinet

Times of India
Daily Newsletter | Monday, December 01, 2014
fbtwittergoogleplus
TOP HEADLINESMORE »
Tripura's Marxist CM invites Modi to address his cabinet
Tripura CM Manik Sarkar, who leads the sole surviving Marxist regime in the country, has invited PM to address the state cabinet on his favoured theme of good governance.
Four states in south make up 50% of HIV cases
Tamil Nadu, Andhra Pradesh, Telangana and Karnataka account for 3.6 lakh HIV cases, about 50% of the patients in the country.
Forces battle shortage of 'fighting rank' officers
It’s the young officers who lead troops into battle, fly fighters to bomb targets or command submarines that silently prowl underwater to unleash havoc on enemy forces. But the Indian armed forces continue to grapple with huge shortages in the “fighting ranks” of its officer cadres.
CITIESMORE »
Delhi LG orders drive to clear footpaths
Concerned about the increase in pedestrian deaths, the traffic police has decided to launch a drive to clear encroachments from footpaths in the city.
For whom did Chennai Corporation widen pavements?
The differently abled people have launched a campaign to sensitize the public to the importance keeping pavements vehicles-free.
Surat businessman to host wedding of 111 ‘daughters’
City-based businessman Mahesh Savani will play parent to 111 girls who have lost their fathers by hosting their wedding in a lavish ceremony organized on Sunday.
TECHMORE »
How crowdfunding can help you fulfil your dreams
Crowdfunding entails the art of raising small funds (mostly a few lakhs) over a small period of time (30 days or so) from multiple investors.
Game review: Far Cry 4
Far Cry 4 is a fantastic game, especially if you’re new to the series. With it’s razor sharp signature style, beautiful open world filled with things to do and lots of mayhem to take part in, this game is one you will be savouring for a long time. Highly recommended.
5 free tools to unleash your creativity
Graphics company Serif has a whole software suite that lets you edit photos, stitch panoramas, create vector graphics, design brochures, print layouts and visiting cards, and even personal web pages...
SPORTSMORE »
Bruno Pelissari takes Chennaiyin FC to doorstep of ISL semis
Bruno Pelissari's individual brilliance saw Chennaiyin FC edge past Kerala Blasters 1-0 to all but ensure a place in the semifinal of the Indian Super League.
EPL: Aguero undoes Saints as Man City go second
Sergio Aguero created two goals as champions Man City leapfrogged Southampton into 2nd place in the Premier League table with a steely 3-0 victory.
Baichung Bhutia conferred AFC 'Hall of Fame' Award
Former Indian captain Baichung Bhutia was honoured with the AFC Hall of Fame Award on occasion of the Asian Football Confederation's 60th anniversary.
BUSINESSMORE »
Investors reject USL-Mallya finance deals
Retail and institutional investors overwhelmingly rejected USL’s existing financial agreements with various entities of Mallya’s UB Group, while they didn’t pass a resolution seeking better integration with its new parent, Diageo.
Car companies ‘discount’ safety in sales pitch
Are car makers taking Indian customers for a ride when it comes to additional costs for safety?
RBI policy to set tone for markets
Volatility is on the cards next week as stock markets take cues from the much-awaited RBI policy meet, developments in Parliament and economic indicators, including monthly auto sales, say experts.
ENTERTAINMENTMORE »
TV actors who moved on from their exes
Some of TV's biggest stars have also seen the end to their relationship and have eventually found love in the arms of someone else. Here, we look at some TV celebs who have moved on from their exes and found love once again!
KJo reveals all about Aishwarya’s comeback film
Some people are super special. Whatever they do becomes the talk of the town.
Other Newsletters from TOI: Entertainment | Tech | Movie Reviews | Life & Style
To manage your newsletter subscription settings, click here.
Copyright 2014 Bennett Coleman & Co. Ltd. All rights reserved. For reprint rights: Times Syndication Service
Read More :- "[wanabidii] Top Headlines: Tripura's Marxist CM invites Modi to address his cabinet"