Monday 31 March 2014

Re: [wanabidii] Re: [Wanazuoni] BOKO HARAM NA KATIBA YETU

akili za Yona nazo! nilishaacha kujibizana naye

On 01/04/2014, Mwema Felix <mwema.felix@gmail.com> wrote:
> Najaribu kufikiria uhusiano wa hicho kikundi na uandikwaji wa katiba!!!
> Sioni muingiliano hata kidogo.
>
>
> Regards
> Mwema <http://scholar.google.com/citations?user=1CRoruwAAAAJ&hl=en>
>
>
>
> 2014-03-31 23:04 GMT+07:00 Yona Maro <oldmoshi@gmail.com>:
>
>>
>>
>> Ndugu zangu ,
>>
>>
>> Nadhani wengi wanawajua Boko Haram , kile wanachofanya nchini Nigeria na
>> Maeneo ya Jirani .
>>
>>
>> Mwezi huu pekee Wamefanikiwa kurudisha kikosi maalumu cha jeshi la
>> Nigeria
>> kilichotumwa kwenda kupambana nao sehemu Fulani huko Maiduguri ,
>> Wamejaribu
>> walivamia jela moja yenye ulinzi mkali na kufanikiwa kukomboa wenzao
>> waliokuwemo ndani na wakapiga picha za video wakati wa uvamizi huo ,
>> Weekend hii wamejaribu kutoroka kwenye jela moja ya usalama wa taifa
>> iliyopo mji wa Abuja ambapo watu 21 wamefariki katika mapigani ya saa 4 .
>>
>>
>> Boko Haram wanaonyesha kupata nguvu zaidi nchini Nigeria na kuendelea
>> kupanua harakati zao baada ya Serikali ya Nchi hiyo kuamua kutumia nguvu
>> na
>> kutangaza hali ya hatari kwenye baadhi ya maeneo ya nchi hiyo ambayo Boko
>> Haram wana nguvu .
>>
>>
>> Serikali ya Nigeria imeanza kutuhumu baadhi ya raia wa nchi jirani kama
>> ndio wanaotoa misaada kwa book haram na kuwaficha wakati wanatafutwa au
>> kuwapa misaada ya mbinu ili kwenda kushambulia wanajeshi wa Nigeria na
>> maslahi yake .
>>
>>
>> Ni wakati wa kuangalia harakati za Boko Haram zilivyoanza na serikali ya
>> nchi hiyo ilivyopuuza mpaka hali ilivyosasa na upande wetu sisi Tanzania
>> ambao tupo kwenye mchakato wa kuandaa katiba mpya .
>>
>>
>> Kwetu tuna matatizo ya wakulima na wafugaji , suala la gesi huko mtwara ,
>> suala la madini kanda ya ziwa na mengine kadhaa ambayo yameanza kuwa sugu
>> na kuanza kuzalisha Boko Haram wetu ambao miaka michache ijayo wanaweza
>> kuchukuwa silaha na kuingia kupambana na mamlaka iliyopo kipindi hicho .
>>
>>
>> Wakati wetu ni sasa , tujadili masuala ya katiba kwa kuangalia
>> yanayowakuta wenzetu , tuwe na nzuri itakayotuma maelewano na amani zaidi
>> kwa watanzania wa sasa na miaka 100 inayo .
>>
>> --
>>
>> *Yona Fares Maro*
>>
>> Institut d'études de sécurité - SA
>>
>>
>> __._,_.___
>> Reply via web
>> post<https://groups.yahoo.com/neo/groups/Wanazuoni/conversations/messages/23780;_ylc=X3oDMTJyampkM3BqBF9TAzk3MzU5NzE0BGdycElkAzIwNjc0NjMzBGdycHNwSWQDMTcwNTQ0NDU4MwRtc2dJZAMyMzc4MARzZWMDZnRyBHNsawNycGx5BHN0aW1lAzEzOTYyODE4NDQ-?act=reply&messageNum=23780>
>> Reply
>> to sender
>> <oldmoshi@gmail.com?subject=Re%3A%20BOKO%20HARAM%20NA%20KATIBA%20YETU>
>> Reply
>> to group
>> <Wanazuoni@yahoogroups.com?subject=Re%3A%20BOKO%20HARAM%20NA%20KATIBA%20YETU>
>> Start
>> a New
>> Topic<https://groups.yahoo.com/neo/groups/Wanazuoni/conversations/newtopic;_ylc=X3oDMTJmYnNoYmh2BF9TAzk3MzU5NzE0BGdycElkAzIwNjc0NjMzBGdycHNwSWQDMTcwNTQ0NDU4MwRzZWMDZnRyBHNsawNudHBjBHN0aW1lAzEzOTYyODE4NDQ->
>> Messages
>> in this
>> topic<https://groups.yahoo.com/neo/groups/Wanazuoni/conversations/topics/23780;_ylc=X3oDMTM3Z3VvYXQyBF9TAzk3MzU5NzE0BGdycElkAzIwNjc0NjMzBGdycHNwSWQDMTcwNTQ0NDU4MwRtc2dJZAMyMzc4MARzZWMDZnRyBHNsawN2dHBjBHN0aW1lAzEzOTYyODE4NDQEdHBjSWQDMjM3ODA->(1)
>> Visit Your
>> Group<https://groups.yahoo.com/neo/groups/Wanazuoni/info;_ylc=X3oDMTJmcmc3NmtkBF9TAzk3MzU5NzE0BGdycElkAzIwNjc0NjMzBGdycHNwSWQDMTcwNTQ0NDU4MwRzZWMDdnRsBHNsawN2Z2hwBHN0aW1lAzEzOTYyODE4NDQ->
>>
>> - New
>> Members<https://groups.yahoo.com/neo/groups/Wanazuoni/members/all;_ylc=X3oDMTJnc2w1NGFwBF9TAzk3MzU5NzE0BGdycElkAzIwNjc0NjMzBGdycHNwSWQDMTcwNTQ0NDU4MwRzZWMDdnRsBHNsawN2bWJycwRzdGltZQMxMzk2MjgxODQ0>
>> 3
>>
>> [image: Yahoo!
>> Groups]<https://groups.yahoo.com/neo;_ylc=X3oDMTJlNGs3cGNtBF9TAzk3NDc2NTkwBGdycElkAzIwNjc0NjMzBGdycHNwSWQDMTcwNTQ0NDU4MwRzZWMDZnRyBHNsawNnZnAEc3RpbWUDMTM5NjI4MTg0NA-->
>> * Privacy <https://info.yahoo.com/privacy/us/yahoo/groups/details.html> *
>> Unsubscribe <Wanazuoni-unsubscribe@yahoogroups.com?subject=Unsubscribe> *
>> Terms
>> of Use <https://info.yahoo.com/legal/us/yahoo/utos/terms/>
>> .
>>
>> __,_._,___
>>
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>


--
kamala J Lutatinisibwa

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] Re: [Wanazuoni] BOKO HARAM NA KATIBA YETU"

[wanabidii] CFAO MOTORS WAZINDUA TOLEO JIPYA LA MERCEDES BENZ JIJINI DAR

<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0154.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102169" alt="DSC_0154" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0154.jpg" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors,  Bw.Wayne McIntosh akiteta jambo na baadhi ya wageni waalikwa kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa toleo jipya la gari aina ya Mercedes Benz E-Class uliofanyika jijini Dar kwenye hoteli ya Capetown Fish Market.</strong></em></span></p>
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_01911.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102170" alt="DSC_0191" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_01911.jpg" width="640" height="427" /></a>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors,  Bw.Wayne McIntosh (wa pili kulia) na Meneja Masoko wa CFAO Motors, Bi. Tharaia Ahmed (wa pili kushoto) wakibadilishana mawazo na wageni waalikwa waliohudhuria kwenye uzinduzi wa toleo jipya la Mercedes Benz E-Class uliofanyika kwenye hoteli ya Capetown Fish Market jijini Dar.(Picha na Zainul mzige)</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #0000ff;"><strong>.Ni E-Class inaweza kutembea bila dereva</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #0000ff;"><strong>.Pia inafaa kwa matumizi yoyote na imara</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Na Damas Makangale, MOblog Tanzania</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>KAMPUNI ya CFAO Motors Tanzania hivi karibuni wamezindua gari mpya aina ya Mercedes-Benz E-Class Saloon na Estate yenye muonekano bora zaidi na inaweza kutembea bila dereva amesema Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Akizungumza na wageni waalikwa jijini Dar es Salaam katika uzinduzi rasmi wa gari hilo la Meredes-Benz, E-Class, Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors Tanzania, Wayne McIntosh amesema gari hiyo nia aina mpya kabisa na kisasa zaidi kutengenezwa na kampuni hiyo.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>“wakati wa majaribio nchini Ujerumani gari hii iliweza kutembea kilometa kadhaa bila kuwa na dereva kwa kutumia teknolojia ya hali ya juu kabisa,” amesema McIntosh.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0218.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102173" alt="DSC_0218" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0218.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Wanenguaji wa kizungu wa <em><strong>Maendeleo Dance Group </strong></em>wakiburudisha tukio hilo la uzinduzi wa toleo jipya la Mercedes Benz E-Class  jijini Dar es Salaam.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Amesema gari hiyo imetengezwa kwa ubunifu na teknolojia ya hali ya juu kabisa na wataalamu na mainjia kutoka nchini Ujerumani wenye uzoefu na utalaamu wa juu duniani.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>McIntosh alisisitiza kwamba gari hiyo inaweza kabisa kutumiwa na mtu yoyote hapa duniani kutokana na muundo wake na teknolojia iliyotumika ni ya kisasa kabisa kumwezesha dereva au mtumiaji kuwa katika hali ya utulivu wakati wote wa safari.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>“gari hii ni ya kimataifa yenye uwezo wa kumudu aina yeyote ya misukosuko barabarani na ni salama kwa mtumiaji wakati wote,” aliongeza.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_02841.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102180" alt="DSC_0284" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_02841.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors Tanzania, Wayne McIntosh akizungumza na wageni waalikwa katika uzinduzi wa gari hiyo mpya katika soko la Tanzania kwenye hoteli ya Cape Town Fish Market Msasani jijini Dar es Salaam.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_02371.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102175" alt="DSC_0237" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_02371.jpg" width="640" height="310" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, Wayne McIntosh, akizindua rasmi Mercedez Benz aina ya E-Class jijini Dar esSalaam kwenye hafla fupi iliyofanyika kwenye hoteli ya Capetown Fish Market.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0232.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102174" alt="DSC_0232" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0232.jpg" width="640" height="341" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Sasa imezinduliwa rasmi katika soko la Tanzania.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_02391.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102176" alt="DSC_0239" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_02391.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Toleo jipya la gari aina ya Mercedes Benz E-Class lililozinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam na kampuni ya CFAO Motors.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0257.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102178" alt="DSC_0257" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0257.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Baadhi ya wageni waalikwa wakifuatilia tukio hilo la kipekee.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0262.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102179" alt="DSC_0262" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0262.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0294.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102181" alt="DSC_0294" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0294.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mmoja wa wageni waalikwa akionekana kuvutiwa na toleo jipya la Mercedes Benz E-Class.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_04181.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102192" alt="DSC_0418" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_04181.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0296.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102182" alt="DSC_0296" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0296.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwakilishi wa TV 1 kutoka nchini Ghana akipozi na gari matata aina ya Mercedes Benz E-Class kwenye hafla fupi ya uzinduzi uliofanyika mwishoni mwa juma jijini Dar.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03041.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102183" alt="DSC_0304" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03041.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Muonekano wa ndani wa gari hilo lenye speed 260.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0369.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102186" alt="DSC_0369" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0369.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0373.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102187" alt="DSC_0373" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0373.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mmoja wa models aliyepamba uzinduzi huo akipozi kwenye toleo jipya la Mercedes Benz E-Class.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03801.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102188" alt="DSC_0380" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03801.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Muonekano wa nyuma.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_04301.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102190" alt="DSC_0430" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_04301.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi  Mkuu wa benki ya Wanawake Tanzania, Bi.Margareth Chacha akifanyiwa mahojiano na TV1 ambapo akielezea mapenzi yake na magari ya aina ya Mercedes Benz ambapo hapo awali alikuwa akitumia na panapomajaliwa ya Mungu siku moja atamiliki toleo jipya la Mercedes Benz E-Class.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_04141.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102189" alt="DSC_0414" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_04141.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Meneja Masoko wa Kampuni ya CFAO Motors, Tharaia Ahmed akisalimiana na Mkurugenzi  Mkuu wa benki ya Wanawake Tanzania, Bi.Margareth Chacha kwenye hafla hiyo. Katikati ni Hellen Kiwia kutoka Frontline Management.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03211.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102184" alt="DSC_0321" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03211.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Meneja Masoko wa CFAO Motors, Bi. Tharaia Ahmed akifafanua jambo kwa mmoja wa wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa toleo jipya la Mercedes Benz E-Class</strong></em></span><span style="color: #000080;"><em><strong>.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0355.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102185" alt="DSC_0355" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0355.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, Wayne McIntosh, akisalimiana na mmoja wa wageni waalikwa Mkurugenzi  Mkuu wa benki ya Wanawake Tanzania, Bi.Margareth Chacha (kushoto) kwenye hafla hiyo fupi ya uzinduzi wa toleo jipya la Mercedes Benz E-Class. </strong></em><em><strong>Katikati ni <em><strong>Tender Manager wa CFAO Motors Bw. Marco Kahabi.</strong></em></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0197.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102171" alt="DSC_0197" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0197.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Crew ya stesheni mpya ya TV 1  nao waliokuwa ni miongoni mwa wageni waalikwa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0200.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102172" alt="DSC_0200" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0200.jpg" width="427" height="640" /></a></p>
&nbsp;

regards,

--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] CFAO MOTORS WAZINDUA TOLEO JIPYA LA MERCEDES BENZ JIJINI DAR"

[wanabidii] ZANZIBALICIOUS KUWAKOMBOA WANAWAKE

Good Morning,

Nikutakie siku njema.

CODE HIZO HAPO CHINI


<strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_02711.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102118" alt="DSC_0271" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_02711.jpg" width="640" height="427" /></a></strong>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bi. Mwanaidi Salehe akisaini kitabu cha wageni cha Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious kwenye sherehe za uzinduzi wa Umoja huo zilizofanyika mwishoni mwa juma kwenye Hoteli ya Ocean View Beach Resort mjini Unguja.(Picha zote na Zainul Mzige).</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Na. Zainul Mzige, Zanzibar.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>UMOJA wa Wanawake wa Zanzibarlicious umeamua kuwakomboa wanawake  kutoka katika utumwa wa kiuchumi kwa kuwawezesha kwa kuwapa ujuzi na maarifa ili kujikwamua kwenye umasikini.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa umoja  huo, Umul-kulthum Ansel wakati wa uzinduzi wa umoja huo kwenye sherehe zilizofanyika mwishoni mwa juma katika Hoteli ya Ocean View Beach Resort mjini Unguja.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema lengo la kuwakwamua wanawake ni kutokana na kuonekana wao na watoto ni waathirika wakuu wa mabadiliko ya kiuchumi na kisiasa yanayoendelea katika maeneo mbalimbali ulimwenguni hasa katika bara la Afrika.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>“Umoja huu umeundwa kwa lengo la kuwashajihisha,kuwahamasisha ,kuwaunganisha na kuwaendeleza wanawake kwa kuwapa ujuzi na maarifa ili waweze kujitambua na kuithamini nafasi yao katika kuleta maendeleo,”alisema.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0284.jpg"><span style="color: #800080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-102119" alt="DSC_0284" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0284.jpg" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious Bi. Evelyne Wilson (wa pili kushoto) akitoa maelezo ya picha na kazi mbalimbali walizofanya kwa jamii mara baada ya kuwasili mgeni rasmi kwenye uzinduzi huo. Kushoto ni Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious, Bi. Umul-Kulthum Ansel (Madam Ummy).</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema malengo ya umoja huo ulioanzishwa mwaka 2011 na kusajiliwa mwaka jana ni kumuendeleza na kumuwezesha mwanamke kiuchumi,kijamii na kimwenendo.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema umoja huo umekuwa ukitoa elimu ya ujasiriamali kwa vikundi vya wanawake na kuwawezesha kubuni biashara ndogondogo na jinsi ya kuweza kutafuta mitaji kutoka taasisi mbalimbali za kitaifa.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>“Pia tunatoa ushauri nasaha kwa masuala ya familia, waathirika wa virusi vya Ukimwi na Dawa za Kulevya,”alieleza Mwenyekiti huyo.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0289.jpg"><span style="color: #800080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-102120" alt="DSC_0289" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0289.jpg" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bi. Mwanaidi Salehe akitizama picha mbalimbali zinazoonyesha kazi walizofanya Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious kwa jamii inayowazunguka visiwani humo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Vilevile Zanzibaliciuos inatoa ushauri wa kisheria katika masuala ya udhalilishaji wa kijinsia kwa wanawake na watoto pamoja na kuwakutanisha wanawake kutoka sehemu mbalimbali kupitia maonesho ya kibiashara na kwenye sherehe za kitaifa.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Naye Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Mwanaidi Salehe ambaye alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi huo, alisema masuala ya wanawake yapo chini yake hivyo atahakikisha anawasaidia kwa kila namna.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Katibu Mkuu huyo ambaye alichangia Sh milioni moja kusaidia umoja huo alisisitiza kuwa “lazima tuzipiganie haki zetu wanawake, tuelimishane na tupendane na tuanze kwa watoto wetu wa kike tuwape mafunzo bora na kuwalinda wasijiingize kwenye vitendo viovu kama kuepuka dawa za Kulevya”.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03021.jpg"><span style="color: #800080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-102121" alt="DSC_0302" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03021.jpg" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Wageni waalikwa wakiipokea meza kuu.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0311.jpg"><span style="color: #800080;"><img class="aligncenter size-full wp-image-102122" alt="DSC_0311" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0311.jpg" width="640" height="427" /></span></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Meza kuu katika nafasi yao kutoka kushoto ni Mkurugenzi Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa FAWE, Bi. Khadija Ally Mohamed, Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious, Bi. Umul-Kulthum Ansel (Madam Ummy), mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bi. Mwanaidi Salehe pamoja na Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Uwezeshaji, Bi. Fatma Gharib Bilal.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0318.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102123" alt="DSC_0318" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0318.jpg" width="427" height="640" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Mshehereshaji kwenye uzinduzi wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious, Bi. Fauziat Abood.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03602.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102128" alt="DSC_0360" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03602.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious, Bi. Umul-Kulthum Ansel (Madam Ummy), akisoma risala yake mbele ya mgeni rasmi na wageni waalikwa (hawapo pichani).</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03791.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102130" alt="DSC_0379" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03791.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bi. Mwanaidi Salehe akitoa baraka zake kwenye uzinduzi wa <em><strong> Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious mjini Unguja.</strong></em></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03711.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102129" alt="DSC_0371" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03711.jpg" width="427" height="640" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Makamu mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious Bi. Evelyne Wilson akiteta jambo na mjumbe wa Umoja huo Bi. Sheha Hilal.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0323.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102124" alt="DSC_0323" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0323.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Pichani juu na chini Baadhi ya Wanawake wanaounda Umoja wa Zanzibalicious na wageni waalikwa wakifuatilia kwa umakini hotuba ya Mwenyekiti wa Umoja huo kwenye sherehe za uzinduzi wa kukata na shoka uliofanyika kwenye hoteli ya <em><strong>Ocean View Beach Resort</strong></em> mjini Unguja.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03271.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102126" alt="DSC_0327" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03271.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0328.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102127" alt="DSC_0328" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0328.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03931.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102131" alt="DSC_0393" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_03931.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Mgeni rasmi Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar, Bi. Mwanaidi Salehe, akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious mjini Unguja.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0002.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102166" alt="DSC_0002" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0002.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Cake maalum katika kusheherekea uzinduzi wa Zanzibalicious Women Group.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0405.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102132" alt="DSC_0405" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0405.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Mgeni rasmi Bi. Mwanaidi Salehe akikata cake maalum iliyoandaliwa kusindikiza uzinduzi wa Umoja huo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0410.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102133" alt="DSC_0410" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0410.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious, Bi. Umul-Kulthum Ansel (Madam Ummy), akimlisha kipande cha cake mgeni rasmi kama ishara ya kumshukuru kwa kushiriki nao katika uzinduzi wa Umoja huo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0417.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102134" alt="DSC_0417" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0417.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Mgeni rasmi Bi. Mwanaidi Salehe akimlisha cake mdau wa masuala ya wanawake Bi. Mariam Abdallah.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0419.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102136" alt="DSC_0419" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0419.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Mshehereshaji Bi. Fauziat Abood akianzisha mnada kwa wageni waalikwa kwa kuuza kipande cha cake kwa shilingi 10,000/= kwa ajili ya kuchangia Umoja huo ambao Wanawake wa Umoja huo wamekuwa wakijichangisha fedha kutoka mfukoni mwao kwa ajili ya kuisadia jamii hususan wanawake na waathirika wa Madawa ya Kulevya.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0434.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102137" alt="DSC_0434" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0434.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Kina baba nao walihamasika kuunga mkono zoezi hilo ambapo walilishwa vipande vya cake na mgeni rasmi Bi. Mwanaidi Salehe.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0439.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102138" alt="DSC_0439" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0439.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0442.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102139" alt="DSC_0442" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0442.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_04522.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102140" alt="DSC_0452" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_04522.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Mmoja wa wadhaminiwa sherehe hizo kutoka kampuni ya FAITH Tours and Safaris akilishwa kipande cha cake na mgeni rasmi.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0456.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102141" alt="DSC_0456" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0456.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Burudani kutoka COCONUT BAND ambayo ndio habari ya mujini visiwani Unguja chini ya usimamizi wa Mkurugenzi wake Bw. Raymond.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_04852.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102143" alt="DSC_0485" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_04852.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Mshehereshaji Bi. Fauziat Abood akikteta jambo na mwimbaji taarab mkongwe Bi. Zuhura Shaabani.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0503.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102144" alt="DSC_0503" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0503.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Mjumbe wa Umoja na Wanawake wa Zanzibalicious Sheha Hilal na Makamu mwenyekiti wa Umoja huo Evelyne Wilson wakimwaga manoti kwa mwimbaji mkongwe wa taarab mjini Unguja Bi. Zuhura Shaabani alipokuwa akitoa burudani kwa wageni waalikwa kwenye sherehe za uzinduzi wa Umoja huo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0588.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102153" alt="DSC_0588" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0588.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Uliwaidia ule wasaa wa mahanjumaati yaliyoandaliwa na hoteli ya <em><strong>Ocean View Beach Resort </strong></em>kwa wageni waalikwa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0565.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102152" alt="DSC_0565" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0565.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Uwezeshaji Zanzibar, Bi. Fatma Gharib Bilal akiongoza meza kuu kupata Dinner kwenye sherehe za uzinduzi wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0619.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102154" alt="DSC_0619" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0619.jpg" width="640" height="426" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0618.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102155" alt="DSC_0618" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0618.jpg" width="640" height="426" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Wageni waalikwa wakijisave msosi wa nguvu, chezea Unguja wewe kwa kukaangiza....!!!</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0631.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102156" alt="DSC_0631" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0631.jpg" width="640" height="426" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>It's Dinner time... ndani ya hoteli ya <em><strong>Ocean View Beach Resort.</strong></em></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_06411.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102157" alt="DSC_0641" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_06411.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Mshereshaji Bi. Fauziat Abood akiendesha harambee ya kutunisha mfuko wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicous kwa kunadi vitu mbalimbali kwa wageni waalikwa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_06601.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102158" alt="DSC_0660" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_06601.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Makamu Mwemyekiti wa Umoja wa Wanawake wa Zanzibalicious Bi. Evelyne Wilson akizunguka kwenye meza za wageni waliohidhuria sherehe za uzinduzi wa umoja huo kunadi vitu mbalimbali.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0666.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102159" alt="DSC_0666" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0666.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Mnada ukiendelea.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0672.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102160" alt="DSC_0672" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0672.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Hili litamfaa mke wa wangu, zuri.....! Mambo ya LVD mjini Unguja....Baba akionekana kuvutiwa na pochi lililotengenezwa na kitenge wakati wa mnada.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0680.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102161" alt="DSC_0680" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0680.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Madam Ummy nae akinadi T-shirt kwa mdau wa Fisherman Tours.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0691.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102162" alt="DSC_0691" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0691.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Mr. Otembo aalinunua T-shirts hizo kwa Tshs 200,000/= katika kuchangia jitihada za Umoja huo kuwafikia jamii visiwani Unguja.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_04641.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102145" alt="DSC_0464" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_04641.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Pichani juu na chini wageni waalikwa wakibadilishana mawazo na kufurahi wakati wa sherehe za uzinduzi wa Zanzibalicious Women Group.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0542.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102146" alt="DSC_0542" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0542.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_05351.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102147" alt="DSC_0535" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_05351.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Walipendezaje...!!</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_05401.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102148" alt="DSC_0540" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_05401.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0536.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102149" alt="DSC_0536" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0536.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0529.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102150" alt="DSC_0529" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0529.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0528.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102151" alt="DSC_0528" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0528.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_07231.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102163" alt="DSC_0723" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_07231.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Makamu mwenyekiti akitoa utambulisho wa Wanawake wanaounda Umoja wa Zanzibalicious kwa wageni waalikwa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0790.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-102164" alt="DSC_0790" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/03/DSC_0790.jpg" width="640" height="427" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #800080;"><em><strong>Mgeni rasmi na meza kuu kwenye picha ya pamoja na Zanzibalicious Women Group.</strong></em></span></p>

--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] ZANZIBALICIOUS KUWAKOMBOA WANAWAKE"

[wanabidii] Nafasi za masomo Indonesia (MSc)

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] Nafasi za masomo Indonesia (MSc)"

[wanabidii] Re: [Wanazuoni] BOKO HARAM NA KATIBA YETU

Najaribu kufikiria uhusiano wa hicho kikundi na uandikwaji wa katiba!!! Sioni muingiliano hata kidogo.


Regards
Mwema



2014-03-31 23:04 GMT+07:00 Yona Maro <oldmoshi@gmail.com>:
 

Ndugu zangu ,


Nadhani wengi wanawajua Boko Haram , kile wanachofanya nchini Nigeria na Maeneo ya Jirani .


Mwezi huu pekee Wamefanikiwa kurudisha kikosi maalumu cha jeshi la Nigeria kilichotumwa kwenda kupambana nao sehemu Fulani huko Maiduguri , Wamejaribu walivamia jela moja yenye ulinzi mkali na kufanikiwa kukomboa wenzao waliokuwemo ndani na wakapiga picha za video wakati wa uvamizi huo , Weekend hii wamejaribu kutoroka kwenye jela moja ya usalama wa taifa iliyopo mji wa Abuja ambapo watu 21 wamefariki katika mapigani ya saa 4 .


Boko Haram wanaonyesha kupata nguvu zaidi nchini Nigeria na kuendelea kupanua harakati zao baada ya Serikali ya Nchi hiyo kuamua kutumia nguvu na kutangaza hali ya hatari kwenye baadhi ya maeneo ya nchi hiyo ambayo Boko Haram wana nguvu .


Serikali ya Nigeria imeanza kutuhumu baadhi ya raia wa nchi jirani kama ndio wanaotoa misaada kwa book haram na kuwaficha wakati wanatafutwa au kuwapa misaada ya mbinu ili kwenda kushambulia wanajeshi wa Nigeria na maslahi yake .


Ni wakati wa kuangalia harakati za Boko Haram zilivyoanza na serikali ya nchi hiyo ilivyopuuza mpaka hali ilivyosasa na upande wetu sisi Tanzania ambao tupo kwenye mchakato wa kuandaa katiba mpya .


Kwetu tuna matatizo ya wakulima na wafugaji , suala la gesi huko mtwara , suala la madini kanda ya ziwa na mengine kadhaa ambayo yameanza kuwa sugu na kuanza kuzalisha Boko Haram wetu ambao miaka michache ijayo wanaweza kuchukuwa silaha na kuingia kupambana na mamlaka iliyopo kipindi hicho .


 Wakati wetu ni sasa , tujadili masuala ya katiba kwa kuangalia yanayowakuta wenzetu , tuwe na nzuri itakayotuma maelewano na amani zaidi kwa watanzania wa sasa na miaka 100 inayo .


--

Yona Fares Maro

Institut d'études de sécurité - SA


__._,_.___
Reply via web post Reply to sender Reply to group Start a New Topic Messages in this topic (1)
.

__,_._,___

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] Re: [Wanazuoni] BOKO HARAM NA KATIBA YETU"

[wanabidii] Lectureship in International Development

Dear All,

I'd be grateful if you could distribute through your networks or apply if you wish!

We are advertising to fill a full-time, permanent lectureship in international development. We are looking for expertise in African development and/or the anthropology of development. The postholder will contribute to mainly postgraduate teaching (masters and PhD) and will have a growing research profile. The post is available from 1 September 2014.

More information and a link to an online application form:


Best wishes,
James


Professor James Smith
Chair of African and Development Studies
Assistant Principal, Global Development 
University of Edinburgh

Twitter: @jrsmith73

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] Lectureship in International Development"

[wanabidii] Press Releases: Anniversaries of NATO Enlargement

You are subscribed to Press Releases for U.S. Department of State. This information has recently been updated, and is now available.

03/31/2014 07:28 PM EDT

Anniversaries of NATO Enlargement


Press Statement
John Kerry
Secretary of State
Washington, DC
March 31, 2014


On behalf of President Obama and the people of the United States, I welcome the five, ten, and fifteen-year anniversaries of three rounds of NATO enlargement.

I am proud to celebrate the important milestones in NATO’s history that have strengthened the Alliance.

On March 12, 1999, Hungary, Poland, and Czech Republic joined; on March 29, 2004, Bulgaria, Estonia, Latvia, Lithuania, Romania, Slovakia, and Slovenia joined; and most recently, on April 1, 2009, Albania and Croatia joined the Alliance. NATO is strong today because of the common values that all its members share.

NATO’s Open Door policy hasn’t just allowed more members into its ranks. It has expanded democracy, prosperity and stability in Europe and opened new opportunities to advance security and prosperity around the globe.

Year after year, NATO’s newest members have proved their mettle. I’ve seen it firsthand in Afghanistan, where our Allies in Central and East Europe have served with tremendous guts and grit. We honor the sacrifices their troops have made, including in some cases the ultimate sacrifice, as part of NATO missions.

The United States joins our Allies in reaffirming that NATO’s door remains open to any European country in a position to undertake the commitments and obligations of membership, and that can contribute to security in the Euro-Atlantic area.

Our challenge today is to work toward a Europe that is whole, free, and at peace – and to use the power of the planet’s strongest alliance to promote peace and security for people all over the world.


This email was sent to wanabidii@googlegroups.com using GovDelivery, on behalf of: U.S. Department of State · 2201 C Street NW · Washington, DC 20520 Powered by GovDelivery
Read More :- "[wanabidii] Press Releases: Anniversaries of NATO Enlargement"

[wanabidii] ishara magazine lipo mtaani rasmi

Wapendwa ndg zangu watanzania na wanabidii, leo tumefanikiwa kuliweka jarida letu la afya la ISHARA hewaani,lipo mtaani na linauzwa ;
Jarida hili tunaamini litaleta ukombozi wa elimu ya afya kwa watanzania, mambo mengi ya kiafya yatakuwa digested kwa lugha rahisi ili kila mtu aelewe, mambo ya urembo, utanashati,magonjwa mabali mbali, sugu na yasio sugu, vyanzo, dalili , tiba na ushauri wa kitaalam vyote vimeandikwa......NAOMBENI MKIPITA KWA WAUZA MAGAZETI MSIKOSE KUNUNUA PLEEASE, NUNUA MOJA
UPATAPO TAARIFA HII MUHIMU MFOWADIE MWENZIO NDIO UKOMBOZI UTATOKEA
 ISHARA...AFYA NI MALI
MOLLEL
MENEJA MKUU
0652 314181 UKIHITAJI MAELEZO ZAIDI PLEASE
Read More :- "[wanabidii] ishara magazine lipo mtaani rasmi"

[wanabidii] Fw: cheap thing


On Monday, March 31, 2014 2:55 PM, lesian mollel <aramakurias@yahoo.com> wrote:
wakuu  hii property tunaauza bei ya hasara mil 38 tu, hiii ya pili ilivyo mil 100 ukitaka tukuwekee hadu ukuta wa gate na gate maji na umeme ni mil 150.hz zote ziko bunju b na bunju a.........atakaehitaji maelezo
piga au njoo sinza ofsn kwetu kwa maongez zaidi, tutakupunguzia, atakayetoa kwa installment pia tutamsikiliza.Tunazo yards kama 4 za kupangisha pia, nyumba kibao maeneo yote jijini(www.nijuzetz.blog) plots na sasa tunazo sheli zakuuza kwa bei nzuri, maeneo yenye vibali ya sheli pia yapo, karibuni
call this no for inquiries please
0652 314181 mollel


Read More :- "[wanabidii] Fw: cheap thing"