Friday 28 February 2014

Re: Re: [wanabidii] Neno Fupi La Usiku: Afrika Safari Nyingine Huanza Na Njia Ya Panda..

Hosea. Hao hawajasahaulika. Soma vizuri. Wako ktk serikali za Tanganyika na Zanzibar. Haya sasa jadili hoja.

----------
Sent from my Nokia Phone

------Original message------
From: <hosea.ndaki@gmail.com>
To: <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, February 28, 2014 9:31:08 PM GMT+0000
Subject: Re: [wanabidii] Neno Fupi La Usiku: Afrika Safari Nyingine Huanza Na Njia Ya Panda..

Mie nashauri wanaotaka kura ya siri wajiorodheshe na wanaotaka kura ya wazi wajiorodheshe watakaokuwa wengi basi wafuatwe.

Hii rasimu ya warioba inamapungufu mengi ikiwemo kusahaulika kwa serikali za mitaa, mabalozi wa nyumba kumi ni watumishi wa umma wasiojulikana, ukitaka kumwekea mtu dhamana police utaombwa barua ya balozi, mkopo wa saccos utaombwa barua ya balozi lakini katika muhimili wa utawala hatajwi.

----------
Sent from my Nokia phone

------Original message------
From: Maggid Mjengwa <mjengwamaggid@gmail.com>
To: "mabadilikotanzania" <mabadilikotanzania@googlegroups.com>,"wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, February 28, 2014 11:53:10 PM GMT+0300
Subject: [wanabidii] Neno Fupi La Usiku: Afrika Safari Nyingine Huanza Na Njia Ya Panda..

Ndugu zangu,

Jioni hii kupitia runinga nilimsikia Profesa Costa Mahalu, Mwenyekiti wa
Tume ndogo ya Bunge Maalum kwa kazi ya kuandaa rasimu ya kanuni akitamka,
kuwa swali la ama kura ya faragha (siri) au ya dhahiri ( wazi) wataachiwa
Wabunge wenyewe waamue.

Mwenyekiti wa Muda wa Bunge hilo, Mheshimiwa Kificho naye hakuficha
kuonyesha kwa sura na hata kauli, juu ya ugumu wa jambo hilo. Akatolea
mfano wa mpira, kwamba sasa uko kwa Wabunge.

Kwa kuziangalia baadhi ya sura za Wabunge wale, hakika ni vigumu kuwaonea
wivu kwamba wamo ndani ya jengo lile. Wana wakati mgumu, maana, umma nao
unawaangalia.

Naam, nimepata kuandika, kuwa Afrika safari zetu nyingi ni za bure tu. Na
nyongeza hapa, ni kuwa , safari zetu nyingine Afrika huanza na njia panda.
Kwamba unapoianza tu safari unakutana na njia panda.

Na ni kwenye njia panda ndipo mwanadamu unatakiwa utumie hekima na busara.
Njia panda inakutaka ufikiri kwa makini. Maana, ukichagua njia kwa makosa,
basi, safari yako itakuwa ni ya mwelekeo mwingine. Si kule ulikotaka
kwenda. Na kazi ya kuirudia njia sahihi huwa ni ngumu sana.

Jioni hii pia nimesoma tena baadhi ya vifungu vya Rasimu ya Katiba ya Tume
ya Jaji Warioba. Kwa mara ya kwanza nimeipitia rasimu hii kwa masikitiko,
maana, mbali ya kwamba ina mambo mengi sana mazuri kwa maendeleo ya nchi
yetu na watu wake, kwa kizazi hiki na vijavyo, nahofia, kuwa kinachoendelea
Dodoma, ambapo, ni dhahiri, kuwa zinaonekana dalili za mijadala kutawaliwa
na ushabiki wa vyama kuliko wa nchi na mustakabali wake. Ni dalili za kuwa
njia panda na pengine tumeshaanza kuifuata njia isiyo sahihi. Kwamba
tunapotea kama Taifa.

Na ninaposoma rasimu ya Katiba ya Tume ya Jaji Warioba na kupitia vifungu
kama kile cha Sura ya Tisa, kinachohusu Bunge la Muungano, sehemu ya
Kwanza, Ibara ya 113 kifungu cha 3 kinachosema;

" Katika kila Jimbo la Uchaguzi kutakuwa na nafasi mbili za Ubunge, moja
kwa ajili ya mwanamke na moja kwa ajili ya mwanamme."

Kabla ya hapo wanawake wengi waliingia Bungeni kwa njia ya Viti Maalum. Kwa
rasimu hii ya Katiba, wanawake watapata nafasi ya kushindana wenyewe kwenye
majukwaa ya uchaguzi. Ni maendeleo ya kidemokrasia.

Najiuliza, hivi ni kwa nini Tume ya Jaji Warioba hawakuandaa Plan B kwa
maana ya mpango 'B' . Na plan B hapa ingelikuwa ni kuandaa mazingira, kuwa
endapo rasimu hii ya Katiba itakwama, basi, yale yote mazuri yaliyomo
kwenye rasimu na yanayokubaliwa na pande zote, na yenye kuweza kuhamishiwa
kwenye Katiba ya sasa bila kusababisha matatizo, basi, yangefanyiwa
utaratibu wa kuingizwa, kwa maana ya kuifanyia marekebisho ya ' dharura'
Katiba iliyopo. Najaribu kufikiri tu, kwa uhuru.

Maggid Mjengwa,
Dar es Salaam.
0754 678 252
http://mjengwablog.com

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: Re: [wanabidii] Neno Fupi La Usiku: Afrika Safari Nyingine Huanza Na Njia Ya Panda.."

Re: [wanabidii] HAKI ZA BINADAMU KWA JAMII NDOGO KAMA MASHOGA

Kicheere
Naona humtakii mema ndugu Magweiga, maana likitolewa tangazo peke yake litawafanya wakurya kuanza kumwinda na kumdungua kabla hata hajahubiri ujumbe huo.


2014-02-28 23:34 GMT+03:00 nyaronyo kicheere <kicheere@yahoo.com>:
haya ni maneno ya magweiga ninayemfahamu au mtu fulani anajifanya magweiga?
ningependa kumwona magweiga akihubiri ujumbe huu wa haki ya mashoga tarime mjini au bunda mjini au mugumu mjini au nyamongo mjini au kule kiagata na si jijini dsm kwenye mtandao!
kicheere, tungi, kigamboni tanganyika territory



On Friday, February 28, 2014 11:40 AM, leonard magwayega <bobittz@yahoo.com> wrote:
we unayetetea haki za mashoga kaungane nao wewe mfanye ushoga, usituletee mambo ya kipuuzi katika katiba mpya.
Bob Leo.


On Tuesday, February 25, 2014 4:08 PM, Yona Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:
HAKI ZA BINADAMU KWA JAMII NDOGO KAMA MASHOGA

Ndugu zangu ,

Nimeona nisikae kimya , nisiwe mnafiki na nisimamie kile ninachosimamia siku zote , suala la haki za binadamu kwa raia wote bila kujali mapungufu au matatizo yoyote aliyokuwa nayo .

Kabla sijaanza kuandika ujumbe huu nimesikitishwa na kiongozi mmoja akiandika kwenye ukurasa wa kijamii kufurahia kitendo cha Rais wa Uganda Kusaini GAY BILL kwa kufuata mkumbo tu bila kujua hawa ni miongoni mwa wapiga kura wake .

Tukirudi kwenye suala la jamii za watu wenye jinsia moja yaani mashoga kwa upande wa wanaume na wasagaji kwa wanawake , kuna mambo kadhaa inabidi jamii ijue nitaweza wazi kwa ufupi .

Katika katiba mpya haki zao zitakuwa kwenye kipengele cha jamii ndogo ndogo .

1 – Ndani ya jamii hizi kumekuwa na magonjwa mbalimbali , kutokana na hawa watu kutokujulikana waziwazi wamekuwa wanajificha ndani hata mahospitali hawaendi hata watoa huduma hawawafikii matokeo yake ni kuathirika zaidi na kupoteza watu wengi zaidi .

2 – kuna wale washauri nasaha na wengine watoaji wa huduma za afya haswa zinazohusiana na ugonjwa wa ukimwi , wamekuwa wanapata tabu kumaliza gonjwa hili na mengine yanayohusiana na hili kutokana na kutokuwa wazi .

3 – Kuna ushahidi wa wazi wa vitendo vya mahusiano ya jinsia moja haswa katika nyumba za ibada au kwenye huduma za ibada na taasisi za kidini haswa kwa watu wazima na watoto wadogo wanaopelekwa kujifunza na matokeo yake ni kuificha jamii hii ambayo imelelewa na kufichwa kwenye nyumba za ibada .

4 – Kwenye katiba mpya inayokuja kinachopiganiwa ni haki ya jamii ndogo ndogo kama hizi za Mashoga , wasagaji , Hadzabe na nyingine nyingi zilizopo nchini ambazo rais ameapa kuzilinda na kuzitetea bila ubaguzi wowote .

5 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe Jakaya Mrisho Kikwete alichaguliwa na watu mbalimbali na aliapa kulinda watu wote na kuongoza nchi hii wakiwemo hawa ambao sasa hivi wanatengwa na kuonekana si mali kitu na si chochote  .

Kwa kumalizia napenda kusema na kusisitiza tena , Kwamba hii ni  nchi yetu wote , basi haki za wote ziheshimiwe bila kuingilia mambo ya faragha ya watu wengine , sasa tuko kwenye mchakato wa katiba mpya hili suala liangaliwe na tunakaribia uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 natumai viongozi wetu watatumia hekima katika kuangalia na kusimamia haki za jamii ndogo ndogo .


--

Yona Fares Maro

Institut d'études de sécurité - SA


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] HAKI ZA BINADAMU KWA JAMII NDOGO KAMA MASHOGA"

Re: [wanabidii] Neno Fupi La Usiku: Afrika Safari Nyingine Huanza Na Njia Ya Panda..

Hosea tatizo litakalojitokeza ni namna ya kupiga hizo kura, kundi la kura za wazi watakataa utaratibu unaopendekeza kutumika. Na ukisema utumike utaratibu wa kunyoosha vidole au kutoa sauti ya ndiyoooooo au hapanaaaaa kundi la pili litakataa. Kinachoshangaza ni kwamba wakati wa kumchagua mwenyekiti wa muda kura za siri zilitumika na hazikupingwa lakini sasa hivi imekuwa nongwa.

Mjengwa has said it all, hawa watu wameanza vibaya na mwisho tusitegemee yenye mashiko.


2014-03-01 0:31 GMT+03:00 <hosea.ndaki@gmail.com>:
Mie nashauri wanaotaka kura ya siri wajiorodheshe na wanaotaka kura ya wazi wajiorodheshe watakaokuwa wengi basi wafuatwe.

Hii rasimu ya warioba inamapungufu mengi ikiwemo kusahaulika kwa serikali za mitaa, mabalozi wa nyumba kumi ni watumishi wa umma wasiojulikana, ukitaka kumwekea mtu dhamana police utaombwa barua ya balozi, mkopo wa saccos utaombwa barua ya balozi lakini katika muhimili wa utawala hatajwi.

 ----------
Sent from my Nokia phone

------Original message------
From: Maggid Mjengwa <mjengwamaggid@gmail.com>
To: "mabadilikotanzania" <mabadilikotanzania@googlegroups.com>,"wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, February 28, 2014 11:53:10 PM GMT+0300
Subject: [wanabidii] Neno Fupi La Usiku: Afrika Safari Nyingine Huanza Na Njia Ya Panda..

Ndugu zangu,

Jioni hii kupitia runinga nilimsikia Profesa Costa Mahalu, Mwenyekiti wa
Tume ndogo ya Bunge Maalum kwa kazi ya kuandaa rasimu ya kanuni akitamka,
kuwa swali la ama kura ya faragha (siri) au ya dhahiri ( wazi) wataachiwa
Wabunge wenyewe waamue.

Mwenyekiti wa Muda wa Bunge hilo, Mheshimiwa Kificho naye hakuficha
kuonyesha kwa sura na hata kauli, juu ya ugumu wa jambo hilo. Akatolea
mfano wa mpira, kwamba sasa uko kwa Wabunge.

Kwa kuziangalia baadhi ya sura za Wabunge wale, hakika ni vigumu kuwaonea
wivu kwamba wamo ndani ya jengo lile. Wana wakati mgumu, maana, umma nao
unawaangalia.

Naam, nimepata kuandika, kuwa Afrika safari zetu nyingi ni za bure tu. Na
nyongeza hapa, ni kuwa , safari zetu nyingine Afrika huanza na njia panda.
Kwamba unapoianza tu safari unakutana na njia panda.

Na ni kwenye njia panda ndipo mwanadamu unatakiwa utumie hekima na busara.
Njia panda inakutaka ufikiri kwa makini. Maana, ukichagua njia kwa makosa,
basi, safari yako itakuwa ni ya mwelekeo mwingine. Si kule ulikotaka
kwenda. Na kazi ya kuirudia njia sahihi huwa ni ngumu sana.

Jioni hii pia nimesoma tena baadhi ya vifungu vya Rasimu ya Katiba ya Tume
ya Jaji Warioba. Kwa mara ya kwanza nimeipitia rasimu hii kwa masikitiko,
maana, mbali ya kwamba ina mambo mengi sana mazuri kwa maendeleo ya nchi
yetu na watu wake, kwa kizazi hiki na vijavyo, nahofia, kuwa kinachoendelea
Dodoma, ambapo, ni dhahiri, kuwa zinaonekana dalili za mijadala kutawaliwa
na ushabiki wa vyama kuliko wa nchi na mustakabali wake. Ni dalili za kuwa
njia panda na pengine tumeshaanza kuifuata njia isiyo sahihi. Kwamba
tunapotea kama Taifa.

Na ninaposoma rasimu ya Katiba ya Tume ya Jaji Warioba na kupitia vifungu
kama kile cha Sura ya Tisa, kinachohusu Bunge la Muungano, sehemu ya
Kwanza, Ibara ya 113 kifungu cha 3 kinachosema;

" Katika kila Jimbo la Uchaguzi kutakuwa na nafasi mbili za Ubunge, moja
kwa ajili ya mwanamke na moja kwa ajili ya mwanamme."

Kabla ya hapo wanawake wengi waliingia Bungeni kwa njia ya Viti Maalum. Kwa
rasimu hii ya Katiba, wanawake watapata nafasi ya kushindana wenyewe kwenye
majukwaa ya uchaguzi. Ni maendeleo ya kidemokrasia.

Najiuliza, hivi ni kwa nini Tume ya Jaji Warioba hawakuandaa Plan B kwa
maana ya mpango 'B' . Na plan B hapa ingelikuwa ni kuandaa mazingira, kuwa
endapo rasimu hii ya Katiba itakwama, basi, yale yote mazuri yaliyomo
kwenye rasimu na yanayokubaliwa na pande zote, na yenye kuweza kuhamishiwa
kwenye Katiba ya sasa bila kusababisha matatizo, basi, yangefanyiwa
utaratibu wa kuingizwa, kwa maana ya kuifanyia marekebisho ya ' dharura'
Katiba iliyopo. Najaribu kufikiri tu, kwa uhuru.

Maggid Mjengwa,
Dar es Salaam.
0754 678 252
http://mjengwablog.com

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] Neno Fupi La Usiku: Afrika Safari Nyingine Huanza Na Njia Ya Panda.."

[wanabidii] Africa Update

Having trouble viewing this email? View it as a Web page.

Bookmark and Share

You are subscribed to Africa for IIP Digital.

02/28/2014 05:56 PM EST

The U.S. Agency for International Development, in partnership with World Vision and the Australian government, launches the second round of All Children Reading: A Grand Challenge for Development on February 27.


This email was sent to wanabidii@googlegroups.com by: IIP Digital · U.S. Department of State · Washington, DC 20520
Powered by GovDelivery
Read More :- "[wanabidii] Africa Update"

[wanabidii] Africa Update

Having trouble viewing this email? View it as a Web page.

Bookmark and Share

You are subscribed to Africa for IIP Digital.

02/28/2014 05:31 PM EST

Increasing professional opportunities for women in criminal justice systems around the world helps women as well as their communities, a new State Department guide says.


This email was sent to wanabidii@googlegroups.com by: IIP Digital · U.S. Department of State · Washington, DC 20520
Powered by GovDelivery
Read More :- "[wanabidii] Africa Update"

[wanabidii] Integrated Pest Management: Making a case for bats

​"As a bat researcher, when I take people with me into the field to
catch bats it is great becuase then they can see the animal in their
hands and they can see how small and amazing they are. They
realize that bats are not evil."
-Jonathan Aronson

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "[wanabidii] Integrated Pest Management: Making a case for bats"

Re: [wanabidii] Neno Fupi La Usiku: Afrika Safari Nyingine Huanza Na Njia Ya Panda..

Mie nashauri wanaotaka kura ya siri wajiorodheshe na wanaotaka kura ya wazi wajiorodheshe watakaokuwa wengi basi wafuatwe.

Hii rasimu ya warioba inamapungufu mengi ikiwemo kusahaulika kwa serikali za mitaa, mabalozi wa nyumba kumi ni watumishi wa umma wasiojulikana, ukitaka kumwekea mtu dhamana police utaombwa barua ya balozi, mkopo wa saccos utaombwa barua ya balozi lakini katika muhimili wa utawala hatajwi.

----------
Sent from my Nokia phone

------Original message------
From: Maggid Mjengwa <mjengwamaggid@gmail.com>
To: "mabadilikotanzania" <mabadilikotanzania@googlegroups.com>,"wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, February 28, 2014 11:53:10 PM GMT+0300
Subject: [wanabidii] Neno Fupi La Usiku: Afrika Safari Nyingine Huanza Na Njia Ya Panda..

Ndugu zangu,

Jioni hii kupitia runinga nilimsikia Profesa Costa Mahalu, Mwenyekiti wa
Tume ndogo ya Bunge Maalum kwa kazi ya kuandaa rasimu ya kanuni akitamka,
kuwa swali la ama kura ya faragha (siri) au ya dhahiri ( wazi) wataachiwa
Wabunge wenyewe waamue.

Mwenyekiti wa Muda wa Bunge hilo, Mheshimiwa Kificho naye hakuficha
kuonyesha kwa sura na hata kauli, juu ya ugumu wa jambo hilo. Akatolea
mfano wa mpira, kwamba sasa uko kwa Wabunge.

Kwa kuziangalia baadhi ya sura za Wabunge wale, hakika ni vigumu kuwaonea
wivu kwamba wamo ndani ya jengo lile. Wana wakati mgumu, maana, umma nao
unawaangalia.

Naam, nimepata kuandika, kuwa Afrika safari zetu nyingi ni za bure tu. Na
nyongeza hapa, ni kuwa , safari zetu nyingine Afrika huanza na njia panda.
Kwamba unapoianza tu safari unakutana na njia panda.

Na ni kwenye njia panda ndipo mwanadamu unatakiwa utumie hekima na busara.
Njia panda inakutaka ufikiri kwa makini. Maana, ukichagua njia kwa makosa,
basi, safari yako itakuwa ni ya mwelekeo mwingine. Si kule ulikotaka
kwenda. Na kazi ya kuirudia njia sahihi huwa ni ngumu sana.

Jioni hii pia nimesoma tena baadhi ya vifungu vya Rasimu ya Katiba ya Tume
ya Jaji Warioba. Kwa mara ya kwanza nimeipitia rasimu hii kwa masikitiko,
maana, mbali ya kwamba ina mambo mengi sana mazuri kwa maendeleo ya nchi
yetu na watu wake, kwa kizazi hiki na vijavyo, nahofia, kuwa kinachoendelea
Dodoma, ambapo, ni dhahiri, kuwa zinaonekana dalili za mijadala kutawaliwa
na ushabiki wa vyama kuliko wa nchi na mustakabali wake. Ni dalili za kuwa
njia panda na pengine tumeshaanza kuifuata njia isiyo sahihi. Kwamba
tunapotea kama Taifa.

Na ninaposoma rasimu ya Katiba ya Tume ya Jaji Warioba na kupitia vifungu
kama kile cha Sura ya Tisa, kinachohusu Bunge la Muungano, sehemu ya
Kwanza, Ibara ya 113 kifungu cha 3 kinachosema;

" Katika kila Jimbo la Uchaguzi kutakuwa na nafasi mbili za Ubunge, moja
kwa ajili ya mwanamke na moja kwa ajili ya mwanamme."

Kabla ya hapo wanawake wengi waliingia Bungeni kwa njia ya Viti Maalum. Kwa
rasimu hii ya Katiba, wanawake watapata nafasi ya kushindana wenyewe kwenye
majukwaa ya uchaguzi. Ni maendeleo ya kidemokrasia.

Najiuliza, hivi ni kwa nini Tume ya Jaji Warioba hawakuandaa Plan B kwa
maana ya mpango 'B' . Na plan B hapa ingelikuwa ni kuandaa mazingira, kuwa
endapo rasimu hii ya Katiba itakwama, basi, yale yote mazuri yaliyomo
kwenye rasimu na yanayokubaliwa na pande zote, na yenye kuweza kuhamishiwa
kwenye Katiba ya sasa bila kusababisha matatizo, basi, yangefanyiwa
utaratibu wa kuingizwa, kwa maana ya kuifanyia marekebisho ya ' dharura'
Katiba iliyopo. Najaribu kufikiri tu, kwa uhuru.

Maggid Mjengwa,
Dar es Salaam.
0754 678 252
http://mjengwablog.com

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] Neno Fupi La Usiku: Afrika Safari Nyingine Huanza Na Njia Ya Panda.."

[wanabidii] Neno Fupi La Usiku: Afrika Safari Nyingine Huanza Na Njia Ya Panda..


Ndugu zangu,

Jioni hii kupitia runinga nilimsikia Profesa Costa Mahalu, Mwenyekiti wa Tume ndogo ya Bunge Maalum kwa kazi ya kuandaa rasimu ya kanuni akitamka, kuwa swali la ama kura ya faragha (siri) au ya dhahiri ( wazi) wataachiwa Wabunge wenyewe waamue.

Mwenyekiti wa Muda wa Bunge hilo, Mheshimiwa Kificho naye hakuficha kuonyesha kwa sura na hata kauli, juu ya ugumu wa jambo hilo. Akatolea mfano wa mpira, kwamba sasa uko kwa Wabunge.

Kwa kuziangalia baadhi ya sura za Wabunge wale, hakika ni vigumu kuwaonea wivu kwamba wamo ndani ya jengo lile. Wana wakati mgumu, maana, umma nao unawaangalia.

Naam, nimepata kuandika, kuwa Afrika safari zetu nyingi ni za bure tu. Na nyongeza hapa, ni kuwa , safari zetu nyingine Afrika huanza na njia panda. Kwamba unapoianza tu safari unakutana na njia panda.

Na ni kwenye njia panda ndipo mwanadamu unatakiwa utumie hekima na busara. Njia panda inakutaka ufikiri kwa makini. Maana, ukichagua njia kwa makosa, basi, safari yako itakuwa ni ya mwelekeo mwingine. Si kule ulikotaka kwenda. Na kazi ya kuirudia njia sahihi huwa ni ngumu sana.

Jioni hii pia nimesoma tena baadhi ya vifungu vya Rasimu ya Katiba ya Tume ya Jaji Warioba. Kwa mara ya kwanza nimeipitia rasimu hii kwa masikitiko, maana, mbali ya kwamba ina mambo mengi sana mazuri kwa maendeleo ya nchi yetu na watu wake, kwa kizazi hiki na vijavyo, nahofia, kuwa kinachoendelea Dodoma, ambapo, ni dhahiri, kuwa zinaonekana dalili za mijadala kutawaliwa na ushabiki wa vyama kuliko wa nchi na mustakabali wake. Ni dalili za kuwa njia panda na pengine tumeshaanza kuifuata njia isiyo sahihi. Kwamba tunapotea kama Taifa.

Na ninaposoma rasimu ya Katiba ya Tume ya Jaji Warioba na kupitia vifungu kama kile cha Sura ya Tisa, kinachohusu Bunge la Muungano, sehemu ya Kwanza, Ibara ya 113 kifungu cha 3 kinachosema;

" Katika kila Jimbo la Uchaguzi kutakuwa na nafasi mbili za Ubunge, moja kwa ajili ya mwanamke na moja kwa ajili ya mwanamme."

Kabla ya hapo wanawake wengi waliingia Bungeni kwa njia ya Viti Maalum. Kwa rasimu hii ya Katiba, wanawake watapata nafasi ya kushindana wenyewe kwenye majukwaa ya uchaguzi. Ni maendeleo ya kidemokrasia.

Najiuliza, hivi ni kwa nini Tume ya Jaji Warioba hawakuandaa Plan B kwa maana ya mpango 'B' . Na plan B hapa ingelikuwa ni kuandaa mazingira, kuwa endapo rasimu hii ya Katiba itakwama, basi, yale yote mazuri yaliyomo kwenye rasimu na yanayokubaliwa na pande zote, na yenye kuweza kuhamishiwa kwenye Katiba ya sasa bila kusababisha matatizo, basi, yangefanyiwa utaratibu wa kuingizwa, kwa maana ya kuifanyia marekebisho ya ' dharura' Katiba iliyopo. Najaribu kufikiri tu, kwa uhuru.

Maggid Mjengwa,
Dar es Salaam.
0754 678 252
http://mjengwablog.com

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "[wanabidii] Neno Fupi La Usiku: Afrika Safari Nyingine Huanza Na Njia Ya Panda.."

Re: [wanabidii] HAKI ZA BINADAMU KWA JAMII NDOGO KAMA MASHOGA

haya ni maneno ya magweiga ninayemfahamu au mtu fulani anajifanya magweiga?
ningependa kumwona magweiga akihubiri ujumbe huu wa haki ya mashoga tarime mjini au bunda mjini au mugumu mjini au nyamongo mjini au kule kiagata na si jijini dsm kwenye mtandao!
kicheere, tungi, kigamboni tanganyika territory



On Friday, February 28, 2014 11:40 AM, leonard magwayega <bobittz@yahoo.com> wrote:
we unayetetea haki za mashoga kaungane nao wewe mfanye ushoga, usituletee mambo ya kipuuzi katika katiba mpya.
Bob Leo.


On Tuesday, February 25, 2014 4:08 PM, Yona Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:
HAKI ZA BINADAMU KWA JAMII NDOGO KAMA MASHOGA

Ndugu zangu ,

Nimeona nisikae kimya , nisiwe mnafiki na nisimamie kile ninachosimamia siku zote , suala la haki za binadamu kwa raia wote bila kujali mapungufu au matatizo yoyote aliyokuwa nayo .

Kabla sijaanza kuandika ujumbe huu nimesikitishwa na kiongozi mmoja akiandika kwenye ukurasa wa kijamii kufurahia kitendo cha Rais wa Uganda Kusaini GAY BILL kwa kufuata mkumbo tu bila kujua hawa ni miongoni mwa wapiga kura wake .

Tukirudi kwenye suala la jamii za watu wenye jinsia moja yaani mashoga kwa upande wa wanaume na wasagaji kwa wanawake , kuna mambo kadhaa inabidi jamii ijue nitaweza wazi kwa ufupi .

Katika katiba mpya haki zao zitakuwa kwenye kipengele cha jamii ndogo ndogo .

1 – Ndani ya jamii hizi kumekuwa na magonjwa mbalimbali , kutokana na hawa watu kutokujulikana waziwazi wamekuwa wanajificha ndani hata mahospitali hawaendi hata watoa huduma hawawafikii matokeo yake ni kuathirika zaidi na kupoteza watu wengi zaidi .

2 – kuna wale washauri nasaha na wengine watoaji wa huduma za afya haswa zinazohusiana na ugonjwa wa ukimwi , wamekuwa wanapata tabu kumaliza gonjwa hili na mengine yanayohusiana na hili kutokana na kutokuwa wazi .

3 – Kuna ushahidi wa wazi wa vitendo vya mahusiano ya jinsia moja haswa katika nyumba za ibada au kwenye huduma za ibada na taasisi za kidini haswa kwa watu wazima na watoto wadogo wanaopelekwa kujifunza na matokeo yake ni kuificha jamii hii ambayo imelelewa na kufichwa kwenye nyumba za ibada .

4 – Kwenye katiba mpya inayokuja kinachopiganiwa ni haki ya jamii ndogo ndogo kama hizi za Mashoga , wasagaji , Hadzabe na nyingine nyingi zilizopo nchini ambazo rais ameapa kuzilinda na kuzitetea bila ubaguzi wowote .

5 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mhe Jakaya Mrisho Kikwete alichaguliwa na watu mbalimbali na aliapa kulinda watu wote na kuongoza nchi hii wakiwemo hawa ambao sasa hivi wanatengwa na kuonekana si mali kitu na si chochote  .

Kwa kumalizia napenda kusema na kusisitiza tena , Kwamba hii ni  nchi yetu wote , basi haki za wote ziheshimiwe bila kuingilia mambo ya faragha ya watu wengine , sasa tuko kwenye mchakato wa katiba mpya hili suala liangaliwe na tunakaribia uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 natumai viongozi wetu watatumia hekima katika kuangalia na kusimamia haki za jamii ndogo ndogo .


--

Yona Fares Maro

Institut d'études de sécurité - SA


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


Read More :- "Re: [wanabidii] HAKI ZA BINADAMU KWA JAMII NDOGO KAMA MASHOGA"

[wanabidii] Africa Update

Having trouble viewing this email? View it as a Web page.

Bookmark and Share

You are subscribed to Africa for IIP Digital.

02/28/2014 02:32 PM EST

The State Department releases a summary of Secretary of State John Kerry's phone conversation with Ugandan President Yoweri Museveni on the Ugandan government's decision to enact its Anti-Homosexuality Bill.


This email was sent to wanabidii@googlegroups.com by: IIP Digital · U.S. Department of State · Washington, DC 20520
Powered by GovDelivery
Read More :- "[wanabidii] Africa Update"

[wanabidii] New content updates

Dear Wanabidii Africa Mashariki,

The following new content has been been added to our website:

Documents

You have received this email because you subscribed to content updates of the African Development Bank.

Manage my account

African Development Bank Group
15 Avenue du Ghana
P.O. Box 323-1002
Tunis-Belvedère, Tunisia

Tel: (+216) 71 103 450
Fax: (+216) 71 351 933
Email: afdb@afdb.org

This is an automated message, please do not respond. For all enquiries please contact afdb@afdb.org.

© African Development Bank Group - All rights reserved

Read More :- "[wanabidii] New content updates"

[wanabidii] New content updates

Dear Wanabidii Africa Mashariki,

The following new content has been been added to our website:

Documents

You have received this email because you subscribed to content updates of the African Development Bank.

Manage my account

African Development Bank Group
15 Avenue du Ghana
P.O. Box 323-1002
Tunis-Belvedère, Tunisia

Tel: (+216) 71 103 450
Fax: (+216) 71 351 933
Email: afdb@afdb.org

This is an automated message, please do not respond. For all enquiries please contact afdb@afdb.org.

© African Development Bank Group - All rights reserved

Read More :- "[wanabidii] New content updates"

[wanabidii] New content updates

Dear Wanabidii Africa Mashariki,

The following new content has been been added to our website:

Documents

You have received this email because you subscribed to content updates of the African Development Bank.

Manage my account

African Development Bank Group
15 Avenue du Ghana
P.O. Box 323-1002
Tunis-Belvedère, Tunisia

Tel: (+216) 71 103 450
Fax: (+216) 71 351 933
Email: afdb@afdb.org

This is an automated message, please do not respond. For all enquiries please contact afdb@afdb.org.

© African Development Bank Group - All rights reserved

Read More :- "[wanabidii] New content updates"

Re: [wanabidii] INVITATION TO SHORT TRAINING CERTIFICATE COURSES AT GTI


Will begin in April to November 2014.

Pia kuna namba ya simu hapo chini ya maelezo haya.

INVITATION TO SHORT TRAINING CERTIFICAT COURSES AT GTI

 

 

The Gender Training Institute (GTI) is pleased to invite participants to its short training courses that will begin in April to November 2014. GTI is an autonomous institution officially registered under the National Council for Technical Education (NACTE). GTI aims at improving people’s livelihoods through social justice for men and women, gender equality, and empowerment of women, youth and marginalised people. Objectives of the courses are to enhance awareness, build skills development and capacities to mainstream or integrate gender and social inclusion perspectives in policies, plans, programmes and budgets with a view to enhance performance and efficiency of their institutions to increase productivity and growth, reduce poverty and improve livelihoods. 

 

Courses are open to Tanzanians and other people from Africa and other countries who posses at least a diploma. Tailor made courses can be offered to groups on demand and request.

 

Since 1993, GTI, together with the Tanzania Gender Networking Programme (TGNP), have successfully executed 75 full training courses, 54 tailor-made courses and trained 1,890 Alumni.

 

You are welcome to register for any of the Two-Weeks Courses listed below.

 

2-WEEKS REGIONAL CERTIFICATE COURSES FROM APRIL TO NOVEMBER, 2014

1.       Gender, HIV and AIDS in Macro Economic Policy.

2.       Gender Responsive Budgeting and Performance Tracking.

3.       Gender Based Violence and Human Rights.

4.       Gender, Democracy and Constitution.

5.       Mainstreaming Employment Creation and Decent Work in Policy, MTEFs and District Plans with Gender and Youth perspectives.

6.       Mainstreaming Gender and Social Inclusion in organisational aspects (i.e. vision, mission, systems, structures, management style and culture and resource allocation, including HRM and financial resources. 

7.       Gender and Conflict Resolution and Peace-building.

8.       Gender, Livelihoods and Social Protection.

9.       Gender and Entrepreneurship, Productive Skills And Wealth Creation

 

Targets for the 2 weeks regional certificate courses are:-

·         Policy makers, planners, economists, budget officers and other government officers.

·         Trainers, lecturers, research officers, teachers and Human Resources officers

·         Gender and HIV and AIDS focal persons

·         District and Council officers, Social Welfare officers, and Medical practitioners.

·         CSOs/NGOs Programme and Budget Officers; and Religious leaders

·         Officers of the UN agencies and other Development Partners

 

FEES:                     TZS 950,000 for Tanzanians and USD 2,500 for participants from outside Tanzania. The fee covers training costs, materials, stationery and field visits. It also covers lunch, morning and afternoon teas at the training venues.

 

3- DAYS EMPOWERING WOMEN AND YOUTH PARTICIPATION IN LEADERSHIP POSITIONS

 

This is a high quality training course to empower, advance and promote the participation of women and youth in national and local elections. The course explores multiple challenges women and youth face in their quest for participation in politics and decision-making processes. It will equip participants with skills to contest for leadership positions, and address barriers and opportunities for their inclusion in politics and decision-making structures. It will also hear from them what kind of support and they need in their leadership development.

 

Training Modules and Learning Points:

·         Participants will address issues of breaking barriers to overcome the challenges women and youth face to participate in politics and decision-making; they will also address the significance women and youth participation in local and national elections.

·         For effective campaigning, they will learn how to conceptualize women and youth issues; laws governing elections for their confident participation in elections; and effective skills in campaigning, communication, public speaking and fundraising.

·         Building Women’s skills and Self-Confidence to empower them to take on Leadership roles

 

Target of this training

The training is open to a variety of people including grassroots activists, CSOs, CBOs and FBOs, lawyers, teachers/trainers, human rights activists, university students, gender focal persons, researchers, Programme officers, and government officials.

 

Fee is TSH: 500,000. The fee includes training materials, teas and lunches. Participants will take care of their transport, accommodation and health care.

 

All participants for all the courses will be expected to foot their travel costs to and from Tanzania; as well as costs for accommodation and dinner. Fees will be payable in advance. Please pay your fees to:

 

Tanzania Shillings Account

Name of Bank: National Bank of Commerce (NBC), Samora Branch

Account Number: 012103022004

Swift Code: NLCBTZTXXXXX

 

USD Account:

Name of Bank: National Bank of Commerce (NBC), Samora Branch

Account Number: 012105028069

Swift Code: NLCBTZTX

 

Send your applications and scanned copy of the fee transfer advice to GTIby e-mail or post of to: - 

 

The PRINCIPAL,

GTI - Centre for Feminist Leadership

P.O. Box 8921, Dar es Salaam, TANZANIA

Mobile:+255– 0718506724/ Tel:  255 22 2443450/ 2443205/ 2443286



On Thu, Feb 27, 2014 at 7:54 AM, Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk> wrote:
Course hii inaanza lini-sioni elezo hili.



On Thursday, 27 February 2014, 14:29, Joachim Mushi <mushijoa@gmail.com> wrote:


INVITATION TO SHORT TRAINING CERTIFICATE COURSES AT GTI
 
 
The Gender Training Institute (GTI) is pleased to invite participants to its short training courses that will begin in April to November 2014. GTI is an autonomous institution officially registered under the National Council for Technical Education (NACTE). GTI aims at improving people’s livelihoods through social justice for men and women, gender equality, and empowerment of women, youth and marginalised people. Objectives of the courses are to enhance awareness, build skills development and capacities to mainstream or integrate gender and social inclusion perspectives in policies, plans, programmes and budgets with a view to enhance performance and efficiency of their institutions to increase productivity and growth, reduce poverty and improve livelihoods. 
 
Courses are open to Tanzanians and other people from Africa and other countries who posses at least a diploma. Tailor made courses can be offered to groups on demand and request.
 
Since 1993, GTI, together with the Tanzania Gender Networking Programme (TGNP), have successfully executed 75 full training courses, 54 tailor-made courses and trained 1,890 Alumni.
 
You are welcome to register for any of the Two-Weeks Courses listed below.
 
2-WEEKS REGIONAL CERTIFICATE COURSES FROM APRIL TO NOVEMBER, 2014
1.       Gender, HIV and AIDS in Macro Economic Policy.
2.       Gender Responsive Budgeting and Performance Tracking.
3.       Gender Based Violence and Human Rights.
4.       Gender, Democracy and Constitution.
5.       Mainstreaming Employment Creation and Decent Work in Policy, MTEFs and District Plans with Gender and Youth perspectives.
6.       Mainstreaming Gender and Social Inclusion in organisational aspects (i.e. vision, mission, systems, structures, management style and culture and resource allocation, including HRM and financial resources. 
7.       Gender and Conflict Resolution and Peace-building.
8.       Gender, Livelihoods and Social Protection.
9.       Gender and Entrepreneurship, Productive Skills And Wealth Creation
 
Targets for the 2 weeks regional certificate courses are:-
·         Policy makers, planners, economists, budget officers and other government officers.
·         Trainers, lecturers, research officers, teachers and Human Resources officers
·         Gender and HIV and AIDS focal persons
·         District and Council officers, Social Welfare officers, and Medical practitioners.
·         CSOs/NGOs Programme and Budget Officers; and Religious leaders
·         Officers of the UN agencies and other Development Partners
 
FEES:                     TZS 950,000 for Tanzanians and USD 2,500 for participants from outside Tanzania. The fee covers training costs, materials, stationery and field visits. It also covers lunch, morning and afternoon teas at the training venues.
 
3- DAYS EMPOWERING WOMEN AND YOUTH PARTICIPATION IN LEADERSHIP POSITIONS
 
This is a high quality training course to empower, advance and promote the participation of women and youth in national and local elections. The course explores multiple challenges women and youth face in their quest for participation in politics and decision-making processes. It will equip participants with skills to contest for leadership positions, and address barriers and opportunities for their inclusion in politics and decision-making structures. It will also hear from them what kind of support and they need in their leadership development.
 
Training Modules and Learning Points:
·         Participants will address issues of breaking barriers to overcome the challenges women and youth face to participate in politics and decision-making; they will also address the significance women and youth participation in local and national elections.
·         For effective campaigning, they will learn how to conceptualize women and youth issues; laws governing elections for their confident participation in elections; and effective skills in campaigning, communication, public speaking and fundraising.
·         Building Women’s skills and Self-Confidence to empower them to take on Leadership roles
 
Target of this training
The training is open to a variety of people including grassroots activists, CSOs, CBOs and FBOs, lawyers, teachers/trainers, human rights activists, university students, gender focal persons, researchers, Programme officers, and government officials.
 
Fee is TSH: 500,000. The fee includes training materials, teas and lunches. Participants will take care of their transport, accommodation and health care.
 
All participants for all the courses will be expected to foot their travel costs to and from Tanzania; as well as costs for accommodation and dinner. Fees will be payable in advance. Please pay your fees to:
 
Tanzania Shillings Account
Name of Bank: National Bank of Commerce (NBC), Samora Branch
Account Number: 012103022004
Swift Code: NLCBTZTXXXXX
 
USD Account:
Name of Bank: National Bank of Commerce (NBC), Samora Branch
Account Number: 012105028069
Swift Code: NLCBTZTX
 
Send your applications and scanned copy of the fee transfer advice to GTIby e-mail or post of to: - 
 
The PRINCIPAL,
GTI - Centre for Feminist Leadership
P.O. Box 8921, Dar es Salaam, TANZANIA
Mobile:+255– 0718506724/ Tel:  255 22 2443450/ 2443205/ 2443286
Email:gti-info@tgnp.org; Website:   www.gti.ac.tz
Physical address: TGNP Gender Resource Centre, Mabibo Road, Dar-Es-Salaam, Tanzania.

--
Joachim Mushi, Mhariri Mkuu wa gazeti tando la Thehabari.com
Mail address:- mushi@thehabari.com/ jomushi79@yahoo.com/ info@thehabari.com
Mobile:- 0717 030066/ 0786 030066/ 0756 469470
Web:- www.thehabari.com  
          http://joemushi.blogspot.com
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
Joachim Mushi, Mhariri Mkuu wa gazeti tando la Thehabari.com
Mail address:- mushi@thehabari.com/ jomushi79@yahoo.com/ info@thehabari.com
Mobile:- 0717 030066/ 0786 030066/ 0756 469470
Web:- www.thehabari.com  
          http://joemushi.blogspot.com

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] INVITATION TO SHORT TRAINING CERTIFICATE COURSES AT GTI"