Thursday 31 October 2013

Re: [wanabidii] Tarifa ya Wizara ya Elimu kuhusu viwango vya alama, alama endelevu na ufaulu

Its old wine in a new bottle, Kuiita division Zero division V maanake nini? yaani division III itakuwa na point 25-31 hapo maneno iko.
Nimeshindwa kuelewa vizuri tofauti ya maneno ya Kiswahili yaliyotumika kwa Divisions IV na V. Nina maana nini tofauti kati ya
ufaulu hfifu na ufaulu usioridhisha? Naona hii ndo strategy ya BIG RESULTS NOW. Napita tu


2013/10/31 Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com>
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI


UPANGAJI WA VIWANGO VYA ALAMA, MATUMIZI YA ALAMA ENDELEVU YA MWANAFUNZI NA UFAULU

UTANGULIZI

Wizara imekusanya maoni ya Wadau wa Elimu kuhusu Upangaji wa Viwango vya Alama (Grade Ranges) katika Mitihani ya Kuhitimu Kidato cha Nne na cha Sita pamoja na Matumizi ya Alama za Tathmini Endelevu ya Mwanafunzi (Continuous Assessment ama CA) kwa ajili ya kuamua kiwango cha ufaulu wa mwanafunzi. Maoni ya wadau yamekusanywa kwa sababu kwa muda mrefu sasa upangaji wa viwango vya alama vinavyotumika na utaratibu wake katika mitihani ya kuhitimu Kidato cha Nne na Kidato cha Sita umekuwa haufanani pamoja na kwamba mitihani hiyo yote ni ya elimu ya sekondari. Pia mfumo masuala mbalimbali ya mitihani katika elimu ya sekondari umekuwa na miundo tofauti ikiwemo ule unaotumika shuleni na ule wa Baraza la Mitihani la Taifa. Kwa sasa kuna miundo mikuu miwili katika mfumo huo.

Muundo wa Kwanza ni upangaji wa viwango katika ngazi ya Shule ambapo Alama Mgando (Fixed Grade Ranges) zifuatazo
hutumika kupanga madaraja: A = 81 – 100; B = 61 – 80; C = 41 – 60; D = 21 – 40 na F = 0 – 20. Muundo huu umetumika kwa muda mrefu na umezoeleka kwa walimu na wanafunzi wa elimu ya sekondari kwa ujumla.

Muundo wa Pili ni wa viwango vinavyotumiwa na Baraza la Mitihani la Taifa ambapo ambapo kabla ya mwaka 2012 muundo wa viwango nyumbufu (flexible grade ranges) ulitumika. Katika muundo huu uwigo wa alama ulibadilika badilika kulingana na hali ya matokeo ilivyokuwa kwa mwaka husika. Lakini kuanzia mwaka 2012, Serikali iliamua kutumia mfumo wa Upangaji wa Alama Mgando (Fixed Grade Range) kwa Kidato cha Nne na Kidato cha Sita. Katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2012 Baraza lilitumia mfumo huu wa alama mgando ambapo: A = 80 – 100, B = 65 – 79, C = 50 – 64, D = 35 – 49, F = 0 – 34. Kwa upande wa Kidato cha Sita Baraza lilitumia mfumo wa A = 80 – 100; B = 75 - 79; C = 65 – 74; D = 55 – 64; E = 45 – 54; S = 40 – 44 na F = 0 – 39. Mifumo hii ya Baraza haikuwa inafahamika kwa wadau na hivyo kuwa sehemu ya malalamiko katika sekta ya elimu na mafunzo.

Vilevile, Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 1995 imeelekeza kwamba katika kuamua kiwango cha ufaulu wa mwanafunzi wa elimu ya sekondari, Alama za CA zitachangia asilimia hamsini (50%) na Mtihani wa mwisho utachangia asilimia hamsini (50%). Kwa upande wa Zanzibar, CA zimekuwa zikiandaliwa kwa mfumo wa asilimia arobaini (40%) na mtihani wa mwisho asilimia sitini (60%). Pamoja na kwamba Baraza halijawahi kuutumia mifumo hii tangu ilipowekwa, kumekuwa na mitazamo, maoni na mapendekezo tofauti katika muundo na matumizi ya alama za CA. Kuna mawazo pia kwamba mfumo wa CA kuchangia matokeo ya mwisho ya mwanafunzi pia utumike kwa watahiniwa wa kujitegemea (private candidates). Kwa sasa matokeo ya mitihani ya watahiniwa hawa yamekuwa yakitumia alama za mtihani wa mwisho tu na hivyo kutafsiriwa kama utaratibu ambao unamwonea mwanafunzi ambaye anahamu ya kujiendeleza kielimu lakini anakwama kwa sababu mfumo unaotumika siyo rafiki kwa mtahiniwa.

Kwa mantiki hii, Wizara imedhamiria kufanya harmonization ya masuala ya alama katika mitihani ya Kidato cha Nne na Kidato cha Sita ili kupata muundo mmoja na ulio wazi kwa wadau wote wa elimu ya sekondari. Lakini pia serikali imedhamiria kuhakikisha tathmini za wanafunzi katika ngazi mbalimbali zinakwenda sambamba na matarajio ya mitaala inayotumika na ambayo inahuishwa mara kwa mara ili iendane na wakati na mahitaji ya elimu katika ngazi mbalimbali.

VIWANGO NA UTARATIBU KUANZIA MWAKA 2013 KWA KIDATO CHA NNE NA KIDATO CHA SITA  KWA MWAKA 2014

Baada ya kufanya tathmini ya maoni mbalimbali ya wadau, misingi ifuatayo ilizingatiwa katika maamuzi kuhusu makundi ya alama na muachano wake:

a)     Alama zitakazotumika zitakuwa A, B, C, D, E na F. Muachano wa alama kati ya kundi moja hadi jingine utafanana, isipokuwa tu pale ambapo itaonekana kuna sababu na hakuna athari za kuwa na muachano tofauti na ule ambao umetumika katika makundi mengine.

b)    Makundi ya alama hayatakuwa na clusters isipokuwa pale ambapo itaonekana kufanya hivyo kunaleta tija katika kupata picha ya wahitimu kwa ajili ya matumizi mbalimbali. Kwa mantiki hii

(i)      makundi ya alama A, C, D, E na F yabaki na cluster moja moja bali kundi la alama B litakuwa na clusters mbili. Kundi la kwanza litakuwa la wale ambao wamepata alama kati ya 50 mpaka 59 na litaitwa B na lingine litakuwa la wale ambao wamevuka uwigo wa 50 hadi 59 na kuelekea uwigo wa 60 hadi 74 na hili litaitwa B+ (angalia jedwali hapo chini).

(ii)     Pamoja na kuwa na muachano wa alama 26 kama jedwali linavyoonesha hapo chini, alama A kwa miaka mingi imekuwa ikianzia alama 75 hadi 100 na kwamba pamoja na uwigo huo bado wanaofaulu kwa kiwango hicho ni wachache sana. Kwa mantiki hii, hakuna haja ya kubadilisha uwigo ila juhudi ziendelee katika ufundishaji na ujifunzaji ili kiwango cha ufaulu kiongezeke na kupata wanafunzi wengi zaidi wanaofaulu katika kundi hili.

(iii)    Pia, pamoja na kuwa na muachano wa alama 20 kama jedwali linavyoonesha hapo chini kwa miaka mingi, huko shuleni mwanafunzi aliyepata alama 21 na hadi 30 alihesabiwa kuwa na ufaulu wa chini kabisa au hafifu kwa kiwango cha alama D na ingawa ilikubalika ufaulu wa aina hiyo kwa mazingira ya nchi yetu unaridhisha. Alama Filikuwa ni kwa wale waliopata chini ya hapo. Hivyo, alama F itaendelea kuwepo na itaanzia alama 0 hadi 19 na E itaanzia alama 20 hadi 29 na D – 30 -39. Lengo la muundo huu ni kuwa alama mbalimbali, isipokuwa kwa makundi machache, zianzie kwenye 0 yaani 0, 10, 20, 30, 40 na kuendelea badala ya kuanzia kwenye moja yaani 1, 11, 21, 31, 41 na kuendelea. Hii ni kwa ajili ya kuleta mtizamo unaofanana katika ngazi mbalimbali za elimu ambapo kwa sasa ngazi ambazo siyo za elimu msingi na sekondari zinatumia muundo wa kuanzia kwenye 0 badala ya 1.

c)     Uwigo wa jumla wa alama kwa Kidato cha Nne na Kidato cha Sita utaendelea kuwa wa alama 0 hadi 100 na kila kundi katika uwigo huu limepewa tafsiri kwa ajili ya kuamua mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya mwanafunzi kulingana na malengo ya mtihani husika. Kimsingi, tafsiri zifuatazo zitakatumika

(i)      Alama A itakuwa na maana ya ufaulu uliojipambanua (distincion or outstanding performance),

(ii)     Alama B+ itakuwa na maana ya ufaulu bora sana (excellent performance),

(iii)    Alama B itakuwa na maana ya ufaulu mzuri sana ( very good perfomance),

(iv)    Alama C itakuwa na maana ya ufaulu mzuri (good performance);

(v)     Alama D itakuwa na maana ya ufaulu wa wastani (low performance),

(vi)     Alama E itakuwa na maana ya ufaulu hafifu (very low performance), na

(vii)   Alama F itakuwa na maana ya ufaulu usioridhisha (unsatisfactory performance).

Wataalamu katika maeneo mbalimbali ya elimu na ulimwengu wa kazi, kwa kushirikiana na Wizara, watatoa maana ya tafsiri hizi kiutendaji katika maeneo yao kulingana pia na mahitaji yao.

d)    Alama C iwe ndiyo alama ya ufaulu mzuri ambao hauhitaji urekebu wa lazima, wakati alama D na E ni alama za ufaulu unaohitaji urekebu kadri mwanafunzi atakavyokuwa anaendelea na masomo ili kuthibitisha kama mlengwa anaweza na kulingana na mahitaji ya eneo husika (targeted remediation). Alama F iwe alama ya eneo linalohitaji urekebu wa hali ya juu (intesive remediation) ili mwanafunzi huyo aweze kumudu masomo kadri anavyoendelea kukua kielimu ama atakapoingia katika ulimwengu wa kazi.

e)     Makundi ya alama yatajumuisha CA kwa kiwango cha asilimia isiyozidi 40 na mtihani wa mwisho kwa asilimia isiyozidi 60 kwa makundi yote ya watahiniwa ikiwemo wale wa kujitegemea (private candidates). Hii ni kwa kuzingatia kwamba CA siyo vizuri izidi uwigo wa alama ya ufaulu mzuri unapoanzia ambayo ni C au 40.

f)      CA kwa upande wa Kidato cha Nne zitokane na mtihani wa Kidato cha Pili (alama 15), matokeo ya Kidato  cha Tatu (alama 5 kwa kila muhula, na hivyo jumla ya alama 10), mtihani wa Mock (alama 10) na kazi mradi  au Projects (alama 5). Kwa upande wa Kidato cha Sita, CA iendelee kutokana na muundo unaotumika sasa.

g)     CA zitumike pia kwa watahiniwa wa kujitegemea. Kwa upande wa watahiniwa wa kujitegmea ambao wanarudia Mitihani, CA zao  zitumike zile zilizotumika kutoa matokeo yake ya mitihani ya awali.  Kwa watahiniwa wa kujitegemea waliopitia mfumo wa Qualifying Test (QT), matokeo ya QT yatumike kama CA na mtihani wa mwisho uchangie alama 60.

h)    Kwa vile alama endelevu kwa mwaka 2013 kwa wanafunzi wa Kidato cha Nne tayari zimeshawasilishwa Baraza la Mitihani  Tanzania, alama hizo zichangie asilimia 40 katika mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2013.

i)       Muundo wa wastani wa alama katika ufaulu (Grade Points Average ama GPA) utaandaliwa na kuanza kutumika pale utakapokuwa tayari na wadau wataelimishwa kuhusu muundo huo ili wapate kuufahamu na manufaa yake katika elimu ya sekondari.

j)       Muundo huu mpya wa alama utatumika kwa mzunguko wa miaka minne kabla haujahuishwa tena ili kuupa muda wa kutosha kuona aina ya changamoto zinazojitokeza na jinsi ya kuzishughulikia. Aina hii ya muda itaruhusu vidato vinne vya elimu ya sekondari ya kawaida na nane ya elimu ya sekondari ya juu kupimwa. Hata hivyo, uhusihaji wa masuala ya mitihani unaweza ukafanyika iwapo matokeo ya uhuishaji wa mitaala kwa ujumla utahitaji pia eneo la mitihani liguswe na kuhuishwa pia.

Kwa mantiki hii, viwango vya alama na ufaulu ni kama inavyooneshwa kwenye jedwali la 1 hapa chini:

Jedwali Na 1

MUUNDO WA ALAMA NA UFAULU

ALAMAUWIGO WA ALAMA IDADI YA ALAMATAFSIRI
A75 - 100 26Ufauli Uliojipambanua
B+60 - 74 15Ufaulu bora sana
B50- 59 10Ufaulu mzuri sana
C40 - 49 10Ufaulu mzuri
D30 - 39 10Ufaulu Hafifu
E20 - 29 10Ufaulu hafifu sana
F0 - 19 20Ufaulu usioridhisha
Kwa aina hii ya muundo wa alama, na kwa kuwa muundo wa GPA utaanza kuandaliwa na wadau kuelimishwa kabla haujaanza kutumika, katika kipindi hiki mpaka wakati huo, muundo wa madaraja utakuwa kama inavyooneshwa kwenye jedwali la 2 hapa chini.

Jedwali Na 2

MUUNDO WA MADARAJA

MUUNDO WA ZAMANIMUUNDO MPYA MAELEZO
POINTI DARAJAPOINTI DARAJA
7-17 17-17 IKundi la ufaulu uliojipambanua na bora sana
18-21II 18-24II Kundi la ufaulu mzuri sana
22-25 III25-31 IIIKundi la ufaulu mzuri na wa wastani
26-33IV 32-47IV Kundi ufaulu hafifu
34-35 048-49 VKundi la ufaulu usioridhisha
Wataalamu wa mifumo ya mitihani watalifanyia kazi zaidi jedwali hili la madaraja ili liweze kutumika kwa ufanisi katika kipindi hiki cha mpito.

Kwa mantiki hii, Daraja Sifuri linafutwa na kuwekwa daraja litakalojulikana kama Daraja la Tano na ambalo litakuwa ndilo la mwisho kabisa katika ufaulu.

HITIMISHO

Mabadiliko haya yamefanyika ili kuendelea kuimarisha mfumo wetu wa elimu na kuweka wazi taratibu mbalimbali kwa ajili ya mitihani na masuala mengine. Yako mambo mengi mengine ambayo hayana budi kuendelea kuimarishwa ikiwemo mfumo wa mitaala, walimu, mazingira ya kujifunzia na kufundishia pamoja na vitabu na vifaa vingine muhimu katika elimu. Masuala haya yanaendelea kuangaliwa kupitia mikakati mbalimbali ikiwemo mpango wa Matokeo Makubwa Sasa ama Big Results Now (BRN). Ushirikiano wa wadau wote ili kuleta tija kwenye elimu ni muhimu sana na hivyo wizara itaendelea kuwashirikisha wadau wote kwa kadri itakavyohitajika na wadau pia wanaombwa wasiache kuishirikisha wizara pale watakapokuwa na jambo lolote ambalo linahitaji ushirikiano ili kwa pamoja tuweze kupata mafanikio katika sekta ya elimu.

Imetolewa na,

KATIBU MKUU
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] Tarifa ya Wizara ya Elimu kuhusu viwango vya alama, alama endelevu na ufaulu"

[wanabidii] Re: [Mabadiliko] Re: [KOL] Re: [PK] Kidero is being misled by someone

 
 
 
Maurice,
 
Here, you are 100% wrong. I understood Jerry Edwards concern and I believed I responded positively and I will therefore explain and list why you are wrong as follows:
 
1) Kidero is a Governor serving all people rich and poor, all parties and with all dignitaries, visitors and Ambassadors (Envoys) as well as investors and business interest of all walks of life in Nairobi Capital City & HQ and as entry point to Kenya where for this reason, Kidoro is a very important person, who deserve to be recognized and must be given his due respect, dignity and honor.......and cannot therefore is above petty politics and cannot in all due respect, bend law for an individual, self interest or party interest.........
 
2) Kidero is the Chief Government Executive of the State of Nairobi, doing Government job at County level but similar to those of the President in the Federal Level.
 
3) Take it from me that, Ida does not understand real politics of justified governance which is why Raila failed in his political quest and struggle.  To succeed in politics, it is not about an individuals' knowledge or ability, but a collective team who add value in support to a pillar of political leadership. It is because of Ida why Raila did not stay focused to champion for the Goal, but wondered on the sidewalks of wheeler-dealer to sell political gains in exchange for money worth.  Therefore, to say Tuju and Kidero were Ida's project, that is a lie........Ida is in the business of politically correct networking and through her husband, you are able to climb political ladder. 
 
4) I want to disagree about branding people wholesale as Raila haters, as every one is different in how they see or judge things.  For example, if you are in a mission to wake up and go to work in the morning, you have time frame in your hands to wake up and get ready to be at work at a given time.  In the same way, if you buy a car, you expect that it takes you to places you want to go according to your schedule.  If the car refuses to start every time you fix it, you should be prepared to get rid of it and get the one that can take you places in a timely manner.  The same way it is with politics.  People join politics with the same different purposes and reasons.  If you realize the kind of your politics is not taking you to places you want to be in politics at a given time, you investigate why the politics is not moving forward and you change tactics ..... because time does not wait for anybody.  This is what happened by many of us and it is not true that we are Raila haters..........for one, I dont hate Raila, but I hate his way of doing politics........it is not my way......otherwise, Raila know better, and he should not be having any problem with Kidero or Tuju, or anyone else in Luo Land wanting to climb to a higher position.  If Raila shares and mingles with the Uhuru's etc., what is wrong with Kidero or any other person, a Luo to mingle with Uhuru or Ruto.......After all they are all Kenyans, why should there be any difference.........This is why Ouko was killed.......Where is it written that only Raila should talk to big business people of the world???  Why must everyone walk under Raila.......sometimes you get tired walking under people especially more or so when you are able and is in a position to use your connections to do things........I did not have to consult Raila in Kenya to be able to organize Kenyan Diaspora to Demonstrate and bring peace to Kenya during the 2007/8 election gone bad, why cant people just respect that part of doing things.  Today a lot have been achieved from my humble approach with the knack of doing things..........
 
5) Money is not everything in life.  In caring and sharing, we generate Love, Peace, Unity of purpose and harmony for common good of all and these are the basic fundamentals needed for strength and success.
 
6) Ida had her own pride and had the opportunity if she wanted to do great things, she never used the time in her position wisely..........she took chances on irrelevant things that did not sustain her husband's political mileage.  It is sad, but it is the reality.............
 
So, let us call a spade a spade, the bygones are bygones and let people do what they know best to harmonize the country in truth and reconcile from too much loses, pain and sorrows and in love, unite for the sake of peace in the world Moving forward ..........
 
Together, we are able to restore Lost Glory of African Pride...............
 
 
 
Judy Miriga
Diaspora Spokesperson
Executive Director
Confederation Council Foundation for Africa Inc.,
USA
http://socioeconomicforum50.blogspot.com
 
 
 
 
From: Maurice J. Oduor <mauricejoduor@gmail.com>
To: "mabadilikotanzania@googlegroups.com" <mabadilikotanzania@googlegroups.com>
Cc: "mabadilikotanzania@googlegroups.com" <mabadilikotanzania@googlegroups.com>
Sent: Thursday, October 31, 2013 11:50 AM
Subject: Re: [Mabadiliko] Re: [KOL] Re: [PK] Kidero is being misled by someone

Shigela,

Si suala la ukabila hili mkubwa wangu. It's about a struggle to neutralize Raila by using his party members.

Courage

On 2013-10-31, at 12:29 PM, Shigela Aloyce <comrshigela@gmail.com> wrote:
 
Kwa ukabila, ni lazima mtachukiana tu hata kama mko ndani ya serikali moja; rekebisheni hapo ili mpate kupona!
 
 
SA.
 
 
 
On Oct 31, 2013 7:02 PM, "Maurice J. Oduor" <mauricejoduor@gmail.com> wrote:
 
 
Judy,

I think you must have missed the point that Jerry was trying to make.

It's one thing to work with stakeholders but it's something entirely different to br seen to be working against the party that got you elected.

Kidero was Ida's project just as Tuju was before that. Ida is so far batting 0 for 2 since her projects are very popular with Raila-haters.

Courage

On 2013-10-31, at 11:37 AM, Kanuth Ndaghine <kndaghine@gmail.com> wrote:
Nice article.
On 31 Oct 2013 18:27, "Judy Miriga" <jbatec@yahoo.com> wrote:
Jerry Edwards,
You have a beautiful English name which is quite uncommon in Kenya......its alright, keep it that way.
People should be different only during election time, after election all people must be one………If people are divided, then the Government is divided and there shall be no good governance………The Peoples Government is a pool of Resources shared in Unity for common good of all in fairness where all have an access for opportunity to make their lives better in harmony challenging competitive progressive programs moving forward………… ………………
However, let us chambua.....KIDERO'S ATTITUDE......good or bad....and what wrong has he done to deserve lashing........sincerely, let us chambua fairly..........Here we go......
1) Kidero won and was elected on ODM ticket. Once elected a leader, one is suppose to serve all people without discrimination and deliver in a fair bipartisan way; to all those who elected him and those who did not. Kidero must be seen to serve all people through the Government's regulatory system in a balance irrespective of Party affiliation. Why is this so? It is because Government is the people's property where he earns a salary from peoples taxes and he is not being paid a salary by ODM. This is what the law demands...........and anyone not following the law is in contravention and is not complying and is therefore in default and can be sued in the court of law for discrimination if there are proof.
2) As much as President Uhuru has a case at the ICC which I feel he must comply, I see nothing wrong for Kidero to work with Uhuru to serve the people.
3) A Leader is supposed to be knowledgeable, informed, consultative with his constituents, prepare his budget after drawing up proposal for his Plan of Action in conformity with his County peoples interests and priority......again, in his County constituent he must engage diverse Party members in the Collaborative Committee for his Plan of Action and this is not done by the ODM who gave him the ticket. ODM like any other Party will submit their proposals to the Governor for consideration along with those of other Party from their Party Headquarters.
4) The President is at liberty to consult and work closely with all Governors irrespective of Party affiliation to catch up on updates and information etc., and there is nothing wrong with that.
5) To be aggressive, is to see things working and the constituents are in agreement with the leader for his reaching out cross boarders, is engaging with the people from addressing and fulfilling their needs and problems and demands, provide security and safety, engage in Social Welfare etc., .......and all activities must be within a given time frame............
6) The Leaders must explain his activity plans, put list of Agenda of areas of consideration and priority for people to engage and participate without discrimination.
7) Leader must be Transparent and accountable ...... and people have rights to put the leader on checks........with demands why things are not done the way they should.
8) A leader must respect the law and observe and participate in Legislative Policy matters (Public Mandate) and work towards making Policy demands a reality by respecting, instilling and following Policies as guiding principles............
I have therefore seen no mistake on Kidero's part of conduct in his Governorship. All I gather is that the ODM leadership want to intimidate Kidero and use him as a door mat ...... when he must have an independent mind to be able to serve diligently………am I right or wrong???..........If I am wrong, I want to hear Policy complaints and not complaints that Kidero did not participate in corruption and in unfinished corrupt business of the past Kibaki and Raila Administration leadership……........Kidero must correct the mistakes that made Nairobi feared and stolen from…………the Nairobi we all want…………The Nairobi that all visitors from the world would feel safe and secured and remove ghost workers who have draining public taxpayer into political pockets illegally…………..
Finally, Kidero is suppose to serve the PEOPLE and not Raila or ODM........if this is the demand from ODM leadership, then they in prejudice and are breaking the law even if ODM gave Kidero ticket for leadership.
Again, let me remind all people that, all people irrespective of their Party affiliation are the Government. All leaders must work in the Government to serve all people irrespective of Party affiliation, and any discrimination thereof is contravention of the Law and it is a Crime punishable by law.........Government is about the People and not an Individual whether big or small................Parties are vehicles people use to get a ticket to choose leaders and the winner must serve all people without any favor or discrimination.............All are equall and all must play by the same set of Rules...............This is the Law....................
Shall I get Amen from Jerry Edwards with all good people of the world who care for Kenya............!!!
Judy Miriga
Diaspora Spokesperson
Executive Director
Confederation Council Foundation for Africa Inc.,
USA
http://socioeconomicforum50.blogspot.com
From:Jerry Edwards <jmcgwena@yahoo.co.uk>
To: "progressive-kenyans@googlegroups.com" <progressive-kenyans@googlegroups.com>
Sent: Thursday, October 31, 2013 9:10 AM
Subject: Re: [KOL] Re: [PK] Kidero is being misled by someone



We need leaders who are aggressive in their thinking and execution of duties, not ones with physical aggression. This would be president need to check his behaviour (physical) and be aware of how this might negate his leadership chances-especially female voters.
On the issue of identifying with Jubilee, this fellow need to realise that he was elected on ODM ticket, he therefore must be seen to support them in any way he can. Spending most of his time with the president more than he does with ODM executive is worrying and ODM leadership have a right to query his approach. If he feels that ODM leadership is talking nonsense, them he must consider his position, and seek a new mandate from voters on a different ticket.
On another note what he might not realise is that, Jubilee are listening to grapevine, and would rather put him close, learn him and block his future candidacy for the top seat. He has to be careful. Someone is misleading him!


On Thursday, 31 October 2013, 10:58, Judy Miriga <jbatec@yahoo.com> wrote:
----- Forwarded Message -----

This message is eligible for Automatic Cleanup! (jbatec@yahoo.com) Add cleanup rule | More info
Hehehehehe.......
Funny what Ted Cruzes have in common......Nani mdomo bakuli???
Judy Miriga
Diaspora Spokesperson
Executive Director
Confederation Council Foundation for Africa Inc.,
USA
http://socioeconomicforum50.blogspot.com/
From: Papa Likondi <papalikondi@gmail.com>
To: "progressive-kenyans@googlegroups.com" <progressive-kenyans@googlegroups.com>
Sent: Thursday, October 31, 2013 3:46 AM
Subject: Re: [KOL] Re: [PK] Kidero is being misled by someone

Yes yes yes yes yes yes Kidero please please slap these gnus!


On Thu, Oct 31, 2013 at 11:12 AM, Nyamodi Ochieng Nyamogo <okil@nyamogoadvocates.com> wrote:
Ye All,
If i were Kidero, i'd encourage whoever is said to be
"misleading" me to continue "misleading" me! I've all a long
complained here that Raila is hostage to very degenerate sycophants!!!
Nyamodi Ochieng-Nyamogo.

On 10/31/13, Maurice Oduor <mauricejoduor@gmail.com> wrote:
> Wod Lando,
>
> It's difficult now for me to respond to what you've just said because
> you've now ventured into attacking my person. I don't know how to handle
> judgments about my person. But if you rephrase your submission and keep it
> purely without any judgment upon my person, I will be glad to respond.
>
> I was under the impression that we agreed not to venture into personal
> attacks, yet now I see myself being considered a "retard". Why would you
> want to debate a "retard" ?
>
> Courage
>
>
>
> On Wed, Oct 30, 2013 at 9:40 PM, Wuod Lando <wuodilando13@yahoo.com> wrote:
>
>> **
>>
>>
>> Mig. Mo:
>>
>> I do not know whether your are a retard or a sycophant but am deeply
>> saddened by your incessant support of the supremacy of an unelected
>> person
>> in Mig. Raila given that in a democracy you can only talk on behalf of
>> others if they have given you the mandate to do so through Universal
>> Suffrage ( read general election) as the Kenyan people with a significant
>> majority, ( read simply majority) gave that Mandate to HE Kenyatta on
>> March the 4th, 2013. Whether Kenyans understand the tenets of true
>> democracy is something that is not here or there right now ( read more
>> education is needed).
>>
>> Omiyo for you, residing in one of the oldest parliamentary democracies,
>> it is disappointing to read your opinions regarding Mig. Raila who for
>> all
>> practical purposes IS NOT an elected leader empowered by the electorate
>> to
>> issue any opinion on behalf of anybody. He perhaps should use his
>> influence
>> to have those policies articulated by elected senators, governors and MPs
>> from his party. Omiyo as Mig. Jesse Jackson - he ran for US presidential
>> election and lost to Mig. Durkakis, then former Governor of the
>> Commonwealth of Massachusetts i in the democratic, once said " You can be
>> taken out of the Gehhtos, but Ghettos can never be taken out of You.
>>
>>
>> Wuodi.
>>
>>
>> On Wednesday, October 30, 2013 11:02 AM, Maurice Oduor <
>> mauricejoduor@gmail.com> wrote:
>>
>>
>> Pastor,
>> I'm not sure if it happened or not but I'm 99% sure. This is something
>> I'm
>> prepared to believe. Kidero has a bad temper and is extremely proud.
>>
>> Courage
>>
>>
>> On Wed, Oct 30, 2013 at 11:38 AM, Pastor Absalom Birai
>> <prbirai@gmail.com>wrote:
>>
>> MO
>>
>> How sure are we that this actually happened?
>>
>>
>> On Wed, Oct 30, 2013 at 10:14 AM, Maurice Oduor
>> <mauricejoduor@gmail.com>wrote:
>>
>> Someone is seriously misleading Kidero to think that he has political
>> pull. He has no clue that he can easily be voted out on a vote of
>> no-confidence. I hope he understands some realpolitiks.
>>
>> http://www.kenyan-post.com/2013/10/kidero-storms-out-of-raila-odingas.html
>>
>> KIDERO storms out of RAILA ODINGA's meeting claiming he is talking
>> nonsense….. threatens to beat MUTHAMA and WETANGULA The Kenyan DAILY POST
>> Other
>> Political
>> Governor, Dr Evans Kidero, and former Prime Minister Raila Odinga came
>> out
>> in public on Tuesday morning, after the besieged Nairobi Governor stormed
>> out of a closed door meeting organized by CORD leader Raila Odinga.
>>
>> According to our moles who attended the meeting, Kidero who had turned
>> up for the meeting as early as 9 am disagreed with his party boss after
>> reports emerged that his association with President Uhuru Kenyatta is one
>> of the agendas to be discussed by ODM party members.
>>
>> Kidero, who is known to have a heavily built body and a no nonsense man,
>> was furious and even threatened to beat Machakos Senator, Johnstone
>> Muthama
>> and former Bungoma Senator, Moses Wetangula, who kept on insisting that
>> his
>> association with Uhuru must be one of the many agendas to be discussed by
>> members during a CORD Parliamentary Group Meeting which is ongoing at
>> Orange House.
>>
>> It took the intervention of Raila's bouncers (hired private security)
>> who stopped Kidero from raining blows on Muthama and Wetangula who were
>> shouting at him.
>>
>> Kidero later kept his cool and was seen leaving the Orange House even
>> before the CORD meeting started.
>>
>>
>> *The Kenyan DAILY POST*
>> 46 comments for KIDERO storms out of RAILA ODINGA's meeting
>> claiming he is talking nonsense….. threatens to beat MUTHAMA and
>> WETANGULA
>>
>> 1. Anonymous
>> 29 October 2013 03:06
>>
>> 29 October 2013 03:06
>>
>> [image: alt]
>> udiseme kidero sema ngombe
>> 3. Anonymous
>> 29 October 2013 03:07
>>
>> [image: alt]
>> Shld I believe...shld I not?
>> 4. Anonymous
>> 29 October 2013 03:11
>>
>> [image: alt]
>> Hii ni Jackal news
>> 5. Anonymous
>> 29 October 2013 03:12
>>
>> [image: alt]
>> Good move to storm out of the meeting, if it is true. Very bad move
>> to threaten Muthama and Wetangula, if it is true. Leave the fighting to
>> the
>> likes of Wanjiru Shebesh. Wewe ni was daraja ya juu. Mimi nimesema.
>> 6. Anonymous
>> 29 October 2013 03:15
>>
>> [image: alt]
>> Why dont you set your people free and if they are truly yours they
>> will be with you.
>> 7. Anonymous
>> 29 October 2013 03:16
>>
>> [image: alt]
>> Bravo Mr. Kindero. The Nairobians are the ones who elected you to
>> the post but not Muthama, Wetangula and the like . Tell them off you
>> are
>> not a kid to keep on following a master like a goat. Keep up with your
>> gentleman style. We love you.
>> 29 October 2013 03:17
>>
>> Raila only needs a Gubernatorial slap. It worked for Shebesh tihihi
>> [image: alt]
>> kidero,should thread carefully,muthama nd wetagula are tough men.try
>> u hand at shebesh once again.
>> 29 October 2013 03:20
>>
>> Kidero should not entertain nonsesnse from cord leaders
>>
>>
>> 11. Anonymous
>> 29 October 2013 03:21
>>
>> [image: alt]
>> kidero is a stupid person who thinks that uhuru can make him
>> president ,if he thinks so then he can ask william ruto who now knows
>> uhuru
>> in and out.
>> 12. Anonymous
>> 29 October 2013 03:22
>>
>> [image: alt]
>> IF YOU WANT PROGRESS YOU ARE NOT WELCOME AT CORD?
>> 13. Anonymous
>> 29 October 2013 03:23
>>
>> [image: alt]
>> IF YOU WANT PROGRESS YOU ARE NOT WELCOME AT CORD?
>> 14. Anonymous
>> 29 October 2013 03:23
>>
>> [image: alt]
>> It had to be muthama the blabber! Thts y I was hapy Kalembe never
>> won the by election cause u can imagin the two of them in governmet!
>> Makelele ingetushinda
>> 15. kuria
>> 29 October 2013 03:28
>>
>> 29 October 2013 03:30
>>
>> [image: alt]
>> Kidero hawa Ni wanaume kama wewe si Shebesh, jaribu uone vile
>> utatwangwa...
>> 17. Anonymous
>> 29 October 2013 03:34
>>
>> [image: alt]
>> Kidero ameshinda Churchill kwa kutuchekesha
>> 18. Anonymous
>> 29 October 2013 03:38
>>
>> [image: alt]
>> let kidero be self decisive character. cord has no government only
>> Jubilee has
>> 29 October 2013 03:39
>>
>> not true coz he was in the meeting way after 9.
>> 20. Anonymous
>> 29 October 2013 03:41
>>
>> [image: alt]
>> This story is not adding up. Now I know that you people do not know
>> what you are doing. If Kidero left before the meeting started, it
>> means
>> Raila had not talked. According to you Muthama and Wetangula quarreled
>> Kidero. My question is who talked nonsense between
>> Kidero,Muthama,Wetangula,Raila and you? It seems you have developed
>> the
>> desire to propagate rumours through this site. Am sorry for you. Lie
>> to
>> your fellow small minded Kenyans and not me.
>> 29 October 2013 03:48
>>
>> not true coz he was in the meeting way before 9...this is malicious
>> 22. Anonymous
>> 29 October 2013 03:52
>>
>> [image: alt]
>> ......uwongo......yu call that storming OUT;)
>> 23. Anonymous
>> 29 October 2013 04:01
>>
>> [image: alt]
>> Muthama and wetangula i think ua thinking capacity is beyond zero.u
>> mean u hv nothing to offer rathar than discussing relationship btwn
>> kidero
>> and prezzo.shame on u big looser na wewe muthama jipe shuguli uchimbie
>> watu
>> wako maji
>> THOZ ARR LIEZ ACHEN KUPOTOSHA WANAICHI
>> 25. Anonymous
>> 29 October 2013 04:04
>>
>> [image: alt]
>> Kidero is not a stooge. He's not the type that follows blindly. No
>> wonder he got votes from jubilee.
>> 26. Anonymous
>> 29 October 2013 04:58
>>
>> [image: alt]
>> propaganda ..... no facts at all. shame on u..
>> 27. Anonymous
>> 29 October 2013 05:02
>>
>> [image: alt]
>> Does it mean that Daily post was the only source of information
>> which was present in the meeting ?we want to hear this from other
>> sources'othewise i see this as nonsence.
>> 28. Anonymous
>> 29 October 2013 05:28
>>
>> [image: alt]
>> Kidero is the Nbi govenor and President Uhuru is the president of
>> the republic of Kenya......what IS?
>> 29. Anonymous
>> 29 October 2013 05:59
>>
>> [image: alt]
>> Kidero is a no nonsense man the agenda ulikuwa ati wewe ata kama ni
>> wewe agenda no. one una kaa kwa meeting uki fanya
>> 30. Anonymous
>> 29 October 2013 06:33
>>
>> [image: alt]
>> Wetangula was there doing what? He is not senator, Governor MP MCA
>> nor women Rep!!!
>> 31. Anonymous
>> 29 October 2013 07:30
>>
>> [image: alt]
>> Kidero the only luo alive after Miguna and Tuju the others are
>> dead,si angechapa Muthama kofi hiyo mdomo yake kama bakuli,
>> 32. Anonymous
>> 29 October 2013 07:35
>>
>> [image: alt]
>> Cock and bull story!
>> 33. Anonymous
>> 29 October 2013 07:35
>>
>> [image: alt]
>> Hiyo kofi yako si inge fika tu kwa Muthama angalau ili iwe funzo
>> kwake na kwa wengine wenye tabia ya nyenyenyenyenye.
>> 34. Anonymous
>> 29 October 2013 07:38
>>
>> [image: alt]
>> Good stuff...Raila is way tooo petty...He even showed up at Obama's
>> gate unannounced and uninvited and was chased away...who would like
>> that
>> type for a president?
>> 35. Anonymous
>> 29 October 2013 08:00
>>
>> [image: alt]
>> Water melon kalonzo did the same thing was tired of vitendawili za
>> wazimu mkuu Raila so he bought one way ticket to seikulu now he is a
>> big
>> farmer there of water melons,raila should do same thing buy a net and
>> a
>> bought to migingo to fish
>> 36. Anonymous
>> 29 October 2013 08:04
>>
>> [image: alt]
>> Kwani wewe ni jinga ya wapi? He is a cord memeber. Even raila is
>> just a kihii. Not holding and position
>> 37. Anonymous
>> 29 October 2013 08:04
>>
>> [image: alt]
>> Hatutaki nye nye nye! Cord ikileta nye nye nyee.. kidero... chapa!!
>> 38. Anonymous
>> 29 October 2013 08:09
>>
>> [image: alt]
>> Nasikia alichapa Raila kofi eiish Kidero ni mwanaume
>> 39. Anonymous
>> 29 October 2013 08:31
>>
>> [image: alt]
>> How did he storm out of the meeting if the meeting had not even
>> started? Do this people know what they are writing or just writing for
>> the
>> sake of it.
>> 40. Anonymous
>> 29 October 2013 08:33
>>
>> [image: alt]
>> This is the right guy to take the mantle from RAO. He is a
>> reasonable man. Kwani how do these silly CORD guys expect Kidero to
>> work
>> without Uhuru?
>>
>> Kindero is the Governor of Nairobi the seat of the government lead by
>> Uhuru and it is therefore important that these two work together for
>> the
>> betterment of the lives of Nairobian. If RAO and his clique of
>> election
>> losers read politics in everything they should know that Kenyan cannot
>> eat
>> politics. Si they go to hell if they have a problem with Kidero!!!
>> Kidero
>> for 2017 hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
>> 41. Anonymous
>> 29 October 2013 09:03
>>
>> [image: alt]
>> waaaah ikilletaa nyenye kidero CHAPAAAAA
>> 42. Anonymous
>> 29 October 2013 10:15
>>
>> [image: alt]
>> Kidero would have made my day if he would have slapped Muthama and
>> Wetangula, their behaviors and foul mouths irritate and need someone to
>> put
>> sense into their big heads. I hope next time the bouncers will get
>> muscle
>> clumps and wont help them.
>> 43. Anonymous
>> 29 October 2013 11:01
>>
>> [image: alt]
>> good man be yourself do not be anybodys scyophant never lick railass
>> inanuka
>> 44. Anonymous
>> 29 October 2013 11:04
>>
>> [image: alt]
>> Kidero stands a better chance to president than Odinga. So must
>> Kidero be stopped? Is it a curse or a blessing to be Luo and running
>> for
>> president?
>> 45. Anonymous
>> 29 October 2013 11:38
>>
>> [image: alt]
>> I watched TV news (Citizen & KTN) at 7 pm and 9 pm and saw Kidero
>> and Raila together as they left the said meeting. This website, run by
>> failed gutter journalists, with no media university degrees - only
>> KIMC
>> certificates, daily seeks cheap favours from Jubilee govt and hope
>> they
>> will get noticed & rewarded through the lies they tell. How cheap and
>> pathetic.
>> 46. Anonymous
>> 29 October 2013 13:00
>>
>> [image: alt]
>> Me am praying !
>>
>>
 
 
 
Read More :- "[wanabidii] Re: [Mabadiliko] Re: [KOL] Re: [PK] Kidero is being misled by someone"