Monday 30 September 2013

[wanabidii] Re: [Mabadiliko] Al Shaabab Na Chimbuko La Ugaidi ( III)

Maggid,

Meles Zenawi ni marehemu Waziri Mkuu wa Ethiopia, hakuwahi kuw Rais.

wa Simbeye





From: Maggid Mjengwa <mjengwamaggid@gmail.com>
To: mabadilikotanzania <mabadilikotanzania@googlegroups.com>; wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Tuesday, October 1, 2013 7:38 AM
Subject: [Mabadiliko] Al Shaabab Na Chimbuko La Ugaidi ( III)


Tunapotafakari harakati za kigaidi za kikundi cha Harakaat Al Shaabab Mujaheedin maarufu kama Al Shaabab, hatuna budi pia kuipitia historia.
Kuna taarifa ambazo hazichambuliwi zikawekwa mezani, kuwa nafasi ya Ethiopia katika kuingilia kati na kupambana na Al Shabaab nchini Somalia inatokana pia na ukweli wa kihistoria, kuwa Ethiopia na Somalia kwenye miaka ya 70 wamekuwa kwenye mgogoro wa mipaka  na hususan kwenye jimbo la Ogaden. Ni mgogoro uliopelekea vita pia.
Na ni Ethiopia iliyowahi kuingia Somalia na kupambana na Al Shaabab na hivyo kuvunja taratibu za utawala wa Sharia na uwepo wa Mahakama za Sharia. Ethiopia imekuwa mstari wa mbele katika kuisadia Serikali ya Shirikisho ya Somalia. Ndio, Ethiopia ina maslahi ya moja kwa moja katika Somalia.
Hivyo basi, yumkini adui namba moja wa Al Shabaab ni Ethiopia na si Kenya. Na kwa kuangalia nadharia ya adui wa adui yako ni rafiki yako, tunaona uwepo wa mahusiano ya ajabu. Kwamba kuna taarifa ya uwepo wa mahusiano kati ya Eritrea na Al Shaabab. Maana, kwa miaka mingi sasa, Merek Zenawi, Rais wa Ethiopia, amekuwa adui na Isaias Efeworki, Rais wa Eritrea. Hizi ni nchi jirani, na Marais wawili hawa inasemekana wana undugu pia.
 
Lakini leo tuliangalie kwa karibu tukio la kigaidi lililoushtua ulimwengu  na hata kuigizwa kama filamu ya Hollywood.  
Ni tukio  la utekaji wa ndege  ya abiria ya Ufaransa iliyokuwa na abiria wengi wa Kiyahudi.  Na mmoja wa wahusika wakuu katika tukio hili la kigaidi alikuwa Jenerali Idd Amin Dadah wa Uganda.
Ndio, licha ya kuwa Jenerali Idd Amin kuendesha ugaidi wa dola kwa maana ya State Terrorism, kwenye tukio hili, Jenerali Idd Amin alishiriki rasmi kwenye Ugaidi wa Kimataifa. Maana, tukio lile la utekaji ndege lilianzia Ulaya, likaambaa Mashariki ya Kati na kumalizikia kwenye ardhi ya Uganda. Ni kwenye  uwanja wa ndege wa Entebbe huku Idd Amin mwenyewe akishiriki kuratibu harakati za kigaidi.
 
Maelezo marefu juu ya sakata ya Entebbe yanasimuliwa kwa umahiri
mkubwa na mwandishi  William Stevensson katika kitabu chake cha (90 Minutes At Entebbe), Yaani Dakika 90 katika Entebbe.

Ndege hiyo ilitekwa nyara Juni 27, 1976  mara ilipoanza kuruka
kutoka uwanja wa ndege wa Athens nchini Ugiriki kuelekea Tel Aviv. Miongoni
mwa watekaji nyara,  walikuwemo Wapalestina, lakini raia mmoja wa Ujerumani naye alishiriki utekaji  huo.  Mjerumani huyo alikuwa ni mfuasi wa kikundi cha kigaidi cha Ujerumani kulichojulikana kama  "Baader-Meinhof."
Inasadikiwa, kuwa  Dr. Wadi Hadad, mwanaharakati na Kiongozi wa chama
cha ukombozi wa Wapalestina cha PFLP (Popular front For Liberation of
Palestene) alishiriki kwenye kupanga kazi hii ya kigaidi. Bila shaka,
inaaminiwa pia, kuwa  aliyekuwa gaidi nambari moja wakati huo, Ramirez
Carlos, ambaye pia alijulikana kama  "The Jackal", alikuwa na mkono wake
kwenye kazi hiyo.

Baada ya kutua na kujaza mafuta Tripoli , Libya, ndege hiyo iliendelea hadi Uganda na kutua Entebbe. Wakati huo Idd Amin alishakorofishana na maswahiba wake Waisrael na kutangaza kuunga mkono  harakati za Wapalestina kuikomboa nchi yao. Kuna wakati, Idd Amin alishawahi  kutamka,  kuwa anawaandaa askari wake kwenda kushiriki mapambano ya kuwandoa Wayahudi kwenye milima ya Golan waliyoiteka toka kwa Wapalestina. Na Idd Amin alishaviamrisha vikosi vyake kufanya mazoezi ya kivita kujiandaa na operesheni ya kuikomboa milima ya Golan.

Naam, ndege ilipotua Entebbe, abiria wote walikaribishwa na Idd Amin mwenyewe. Siku mbili baadae, watekaji nyara walianza kutoa madai yao; walidai  mateka wangeachiwa huru kama idadi kubwa ya wafuasi wa vikundi kadhaa vya kigaidi wangeachiwa huru kutoka kwenye magereza ya Ulaya na hata Afrika.

Ni katika tukio hili la utekaji nyara ndege ambapo kwa kiasi fulani mateka walihisi kuwepo kwa tumaini la kukombolewa. Ni  kwa vile maofisa  wengi wa jeshi la Israel wamefanya kazi Uganda ikiwemo kutoa mafunzo ya  kijeshi. Na kama kuna watu duniani waliokuwa wakimjua vema Idd Amin ikiwemo uwezo wa jeshi lake, basi, watu hao ni Waisrael. Maofisa wengi katika jeshi  la Idd Amin walipata mafunzo yao ya kijeshi Israel.
Kabla ya operesheni hiyo iliyopewa jina la Thunderbolt kuanza, Mossad, Shirika la Ujasusi la Israel, liliamua kumtumia Jenerali wake mstaafu aliyeitwa Chaim Bal  Lev.  Bwana  huyu alikuwa ni rafiki mkubwa na wa siku nyingi wa Jenerali Idd Amin. Wawili hawa walifanya mazungumzo ya muda mrefu na ya kirafiki kwa kutumia simu. Waliongea  karibu siku zote kabla ya mateka kuokolewa.
Kwa kumtumia Jenerali huyu  rafiki wa Amin, Waisrael walikuwa wanaiba muda ili kujiandaa zaidi,  na vile vile kujaribu  kumshawishi Amin asiwadhuru mateka hao na pengine kuwaachia huru.

Hata kama majasusi ya Kiyahudi walikuwa na michoro yote ya uwanja wa Entebbe ambao waliuchora wenyewe na kuujenga, lakini, kazi ya vikosi vya Israel kutua Entebbe haikuwa rahisi sana. 
Hawakuwa na hakika ya ukubwa wa vikosi vya Amin uwanjani hapo. Walitegemea zaidi , ufahamu wao wa  uwanja wa ndege wa Entebbe. Maana, ni Waisrael  waliojenga uwanja huo. Kutoka Tel- Aviv hadi Entebbe ni mwendo wa takribani  saa nne kwa ndege.
Uganda na Israel wamekuwa na mahusiano mazuri ya muda mrefu.
Mahusiano hayo yangalipo hadi hii leo. Ni kutokana na sababu za kihistoria. 
Kabla ya Jumuiya ya Kimataifa kupendekeza  makazi ya Wayahudi waliokuwa
wametapakaa dunia nzima yawe  katika Israel ya sasa, nchi ya Wapalestina,
kulikuwepo na wazo la Wayahudi kutafutiwa makazi mapya katika nchi ya
Uganda. Mpaka miaka ya karibuni, nchi pekee ya Kiafrika ambapo raia wa Israel hakuhitaji kuomba viza  ni Uganda. Raia wa Uganda pia hawakuhitaji pia kuomba viza ya kuingia Israel.

Tukirudi kwenye tukio lile la utekaji ndege. Kwa haraka,  Waisrael  waliendesha operesheni ambayo si rahisi kusadikika. Makomandoo wa  Israel waliruka kwa ndege kubwa kutoka Tel-Aviv kuelekea Entebbe. Ndege yao   ilitua saa sita na dakika moja usiku kwenye pembe ya mbali ya Uwanja wa Entebbe. Taa za ndani na nje ya dege lile kubwa zilizimwa wakati ndege ilipoukaribia uwanja wa Entebbe ikiwa na mwungurumo dhaifu. Mwungurumo
usiosikika kwa mbali.

Waisarel  walikuja na ndege mbili, moja ilibaki Nairobi ikiwa na
vifaa vya tiba na vingine muhimu. Iliyotua Entebbe ilibeba gari mbili,
Landrover na Mercedes Benz nyeusi.
Gari hizo zilitumiwa na makomandoo wa Kiyahudi kufika kwenye jengo walilokuwamo mateka. Waliwakuta mateka wote na wateka nyara wakiwa katika ukumbi wa mapunziko kwa abiria.
 Amri ilitolewa kwa lugha ya Ki-hebrenia ikiwataka Wayahudi wote wajilaze chini mara moja.  Wote waliobaki wamesimama au kuinama kwa kusitasita, hawakupata sekunde zaidi za kutafakari. Risasi za makomandoo wale ziliwamiminikia miilini mwao.

Operesheni ya kikomandoo iliyochukua takribani dakika tisini
pale Entebbe iliwaacha  watekaji nyara saba bila uhai. Idadi ya askari wa
Amin takribani ishirini nao waliuawa pale Entebbe. Mateka wote walikombolewa isipokuwa mama wa miaka 75 Dora Bloch aliyekuwa hospitalini Mulago, Kampala.
Inasemekana, kuwa  mateka huyo akaja kuuawa na Idd Amin mwenyewe. Habari hiyo haijathibitishwa .

 Kwa upande wao,  Makomandoo wale wa Kiisrael walimpoteza  Kanali
Yoni Netanyahu. Komandoo yule aliuawa kwa kupigwa risasi ya usoni na askari
mmoja wa Idd Amin. Miaka ishirini baadae, kaka wa Yoni Netanyahu  akaja kuwa Waziri Mkuu wa Israel, jina lake ni Benjamin Netanyahu, na hadi hii leo, Benjamin Netanyahu ni kiongozi katika Israel. Itaendelea....
Maggid.

0754 678 252
 
--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


Read More :- "[wanabidii] Re: [Mabadiliko] Al Shaabab Na Chimbuko La Ugaidi ( III)"

Re: [wanabidii] THE COMMEDY YA DR. ULIMBOKA IMEISHIA HAPA!

Hayo kweli ni maigizo, hivi yule mtesaji mwenye unyama wa kupindukia aliyetajwa na Dr. Ulimboka mwenyewe yuko wapi vile?
Naona polisi hawakupata habari hizo licha ya magazeti, redio na TV kuandika na kutangaza, pengine jeshi zima lilikuwa likizo sasa waanze upelezi na moja. Na pa kuanzia si mbali bali ni kumkamata huyo aliyetajwa na Ulimboka mwenyewe kupitia huyo wengine wote waliohusika watapatikana. Teteeee teeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


2013/10/1 ELISA MUHINGO <elisamuhingo@yahoo.com>
Hivi Masanja alacha kuigiza? hii ingemfaa kutuburudisha

From: Gikaro Ryoba <gikaroryoba@yahoo.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Monday, September 30, 2013 10:05 PM
Subject: [wanabidii] THE COMMEDY YA DR. ULIMBOKA IMEISHIA HAPA!

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imemhukumu kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya sh 1,000, raia wa Kenya, Joshua Mulundi, ambaye alikuwa akikabiliwa na kosa la kutoa taarifa za uongo.
Mulundi alidaiwa kutoa taarifa za uongo kwa ofisa wa polisi katika Kituo cha Polisi Oystebay jijini Dar es Salaam, kwamba yeye na wenzake walikodiwa kwenda kumteka na kumjeruhi Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk. Steven Ulimboka.
Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi, Alocye Katemana, akisema kuwa kesi hiyo ilikuja jana kwa ajili ya upande wa Jamhuri kumsomea maelezo ya awali mshitakiwa huyo.
Wakili Mwandamizi wa Serikali, Tumaini Kweka, alimsomea maelezo ya awali mshitakiwa na baada ya kumaliza, mshitakiwa huyo alikiri kutenda kosa hilo kinyume cha kifungu cha 122 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu ya mwaka 2002.
Kabla ya Hakimu Katemana kutoa adhabu yake aliutaka upande wa Jamhuri uzungumze lolote kama wanalo, ambapo Wakili Kweka alidai kuwa anaiomba mahakama itoe adhabu inayostahili.
Kwamba, kwa mazingira ya kesi hiyo, hali iliyojengeka katika jamii kuhusu sakata la kutekwa na kuteswa kwa Dk. Ulimboka ni tete na kuwa si vema kwa mtu mzima kama huyo kutoa taarifa za uongo polisi.
Aidha, kwa upande wake Mulundi, alieleza kuwa yeye ni raia wa Kenya na kwamba lengo na madhumuni ya kuja Tanzania ni kuja kufanya biashara ya kuuza nguo.
Alidai kuwa Juni 27, mwaka jana akiwa Arusha, alitekwa na mtu asiyemfahamu na kumwamuru afanye kila jambo atakalomtaka, kwamba yeye alikubali kufanya yote aliyoamriwa na mtu huyo ambaye alikuwa na silaha.
"Mheshimiwa hakimu kwa kuwa nilikuwa naogopa vitisho hivyo nilifanya kama alivyokuwa akinielekeza na baadaye mtu huyo aliyekuwa ameniteka akanipeleka hadi Tanga sehemu ambayo sikuwa nimewahi kufika.
"Akanieleza kuwa yeye ni Mkristo na kwamba ananituma kwa Mkristo mwenzie na akanipa taarifa hizo nizipeleke kwa Mkristo mwenzake na taarifa hizo ndizo zilizosomwa hapa mahakamani na mwendesha mashitaka wakati akinisomea maelezo ya awali," alisema.
Alidai kuwa alikwenda hadi katika Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo Kawe, Tanganyika Parkers na kumkuta Mchungaji Joseph Kiliba ambaye yule mtekaji alimwagiza amfikishie taarifa hizo.
Mulundi aliongeza kuwa alimpelekea taarifa zile mchungaji kama alivyoelekezwa lakini baada ya hapo alijikuta anakamatwa na kupelekwa Kituo cha Polisi Oystebay, ambako alirudia taarifa ile na kisha kufunguliwa mashitaka.
Akitoa adhabu yake baada ya kusikiliza maombi ya pande zote mbili, Hakimu Katema alisema kwa kuwa mshitakiwa amekiri kosa kabla hata mashahidi wa Jamhuri hawajaletwa kutoa ushahidi wa kesi hiyo, mahakama yake inamhukumu kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya sh 1,000.
Hata hivyo mwandishi wa habari wa Radio Times, Chipangula Nandule, aliyekuwapo mahakamani hapo alijitolea kumlipia faini hiyo.
Lakini sekunde chache baadaye askari polisi walimkamata Mulundi, wakidai ni raia wa Kenya, hivyo wanamshikilia ili waweze kuandaa taratibu za kumrejesha nchini kwao.
Agosti 6, mwaka huu, Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), alimfutia Mulundi kesi ya kujaribu kumuua na kumteka Dk. Ulimboka.

Source: TANZANIA DAIMA
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] THE COMMEDY YA DR. ULIMBOKA IMEISHIA HAPA!"

[wanabidii] Al Shaabab Na Chimbuko La Ugaidi ( III)


Tunapotafakari harakati za kigaidi za kikundi cha Harakaat Al Shaabab Mujaheedin maarufu kama Al Shaabab, hatuna budi pia kuipitia historia.

Kuna taarifa ambazo hazichambuliwi zikawekwa mezani, kuwa nafasi ya Ethiopia katika kuingilia kati na kupambana na Al Shabaab nchini Somalia inatokana pia na ukweli wa kihistoria, kuwa Ethiopia na Somalia kwenye miaka ya 70 wamekuwa kwenye mgogoro wa mipaka  na hususan kwenye jimbo la Ogaden. Ni mgogoro uliopelekea vita pia.

Na ni Ethiopia iliyowahi kuingia Somalia na kupambana na Al Shaabab na hivyo kuvunja taratibu za utawala wa Sharia na uwepo wa Mahakama za Sharia. Ethiopia imekuwa mstari wa mbele katika kuisadia Serikali ya Shirikisho ya Somalia. Ndio, Ethiopia ina maslahi ya moja kwa moja katika Somalia.

Hivyo basi, yumkini adui namba moja wa Al Shabaab ni Ethiopia na si Kenya. Na kwa kuangalia nadharia ya adui wa adui yako ni rafiki yako, tunaona uwepo wa mahusiano ya ajabu. Kwamba kuna taarifa ya uwepo wa mahusiano kati ya Eritrea na Al Shaabab. Maana, kwa miaka mingi sasa, Merek Zenawi, Rais wa Ethiopia, amekuwa adui na Isaias Efeworki, Rais wa Eritrea. Hizi ni nchi jirani, na Marais wawili hawa inasemekana wana undugu pia.

 

Lakini leo tuliangalie kwa karibu tukio la kigaidi lililoushtua ulimwengu  na hata kuigizwa kama filamu ya Hollywood.  

Ni tukio  la utekaji wa ndege  ya abiria ya Ufaransa iliyokuwa na abiria wengi wa Kiyahudi.  Na mmoja wa wahusika wakuu katika tukio hili la kigaidi alikuwa Jenerali Idd Amin Dadah wa Uganda.

Ndio, licha ya kuwa Jenerali Idd Amin kuendesha ugaidi wa dola kwa maana ya State Terrorism, kwenye tukio hili, Jenerali Idd Amin alishiriki rasmi kwenye Ugaidi wa Kimataifa. Maana, tukio lile la utekaji ndege lilianzia Ulaya, likaambaa Mashariki ya Kati na kumalizikia kwenye ardhi ya Uganda. Ni kwenye  uwanja wa ndege wa Entebbe huku Idd Amin mwenyewe akishiriki kuratibu harakati za kigaidi.
 

Maelezo marefu juu ya sakata ya Entebbe yanasimuliwa kwa umahiri
mkubwa na mwandishi  William Stevensson katika kitabu chake cha (90 Minutes At Entebbe), Yaani Dakika 90 katika Entebbe.

Ndege hiyo ilitekwa nyara Juni 27, 1976  mara ilipoanza kuruka
kutoka uwanja wa ndege wa Athens nchini Ugiriki kuelekea Tel Aviv. Miongoni
mwa watekaji nyara,  walikuwemo Wapalestina, lakini raia mmoja wa Ujerumani naye alishiriki utekaji  huo.  Mjerumani huyo alikuwa ni mfuasi wa kikundi cha kigaidi cha Ujerumani kulichojulikana kama  "Baader-Meinhof."

Inasadikiwa, kuwa  Dr. Wadi Hadad, mwanaharakati na Kiongozi wa chama
cha ukombozi wa Wapalestina cha PFLP (Popular front For Liberation of
Palestene) alishiriki kwenye kupanga kazi hii ya kigaidi. Bila shaka,
inaaminiwa pia, kuwa  aliyekuwa gaidi nambari moja wakati huo, Ramirez
Carlos, ambaye pia alijulikana kama  "The Jackal", alikuwa na mkono wake
kwenye kazi hiyo.

Baada ya kutua na kujaza mafuta Tripoli , Libya, ndege hiyo iliendelea hadi Uganda na kutua Entebbe. Wakati huo Idd Amin alishakorofishana na maswahiba wake Waisrael na kutangaza kuunga mkono  harakati za Wapalestina kuikomboa nchi yao. Kuna wakati, Idd Amin alishawahi  kutamka,  kuwa anawaandaa askari wake kwenda kushiriki mapambano ya kuwandoa Wayahudi kwenye milima ya Golan waliyoiteka toka kwa Wapalestina. Na Idd Amin alishaviamrisha vikosi vyake kufanya mazoezi ya kivita kujiandaa na operesheni ya kuikomboa milima ya Golan.

Naam, ndege ilipotua Entebbe, abiria wote walikaribishwa na Idd Amin mwenyewe. Siku mbili baadae, watekaji nyara walianza kutoa madai yao; walidai  mateka wangeachiwa huru kama idadi kubwa ya wafuasi wa vikundi kadhaa vya kigaidi wangeachiwa huru kutoka kwenye magereza ya Ulaya na hata Afrika.

Ni katika tukio hili la utekaji nyara ndege ambapo kwa kiasi fulani mateka walihisi kuwepo kwa tumaini la kukombolewa. Ni  kwa vile maofisa  wengi wa jeshi la Israel wamefanya kazi Uganda ikiwemo kutoa mafunzo ya  kijeshi. Na kama kuna watu duniani waliokuwa wakimjua vema Idd Amin ikiwemo uwezo wa jeshi lake, basi, watu hao ni Waisrael. Maofisa wengi katika jeshi  la Idd Amin walipata mafunzo yao ya kijeshi Israel.

Kabla ya operesheni hiyo iliyopewa jina la Thunderbolt kuanza, Mossad, Shirika la Ujasusi la Israel, liliamua kumtumia Jenerali wake mstaafu aliyeitwa Chaim Bal  Lev.  Bwana  huyu alikuwa ni rafiki mkubwa na wa siku nyingi wa Jenerali Idd Amin. Wawili hawa walifanya mazungumzo ya muda mrefu na ya kirafiki kwa kutumia simu. Waliongea  karibu siku zote kabla ya mateka kuokolewa.

Kwa kumtumia Jenerali huyu  rafiki wa Amin, Waisrael walikuwa wanaiba muda ili kujiandaa zaidi,  na vile vile kujaribu  kumshawishi Amin asiwadhuru mateka hao na pengine kuwaachia huru.

Hata kama majasusi ya Kiyahudi walikuwa na michoro yote ya uwanja wa Entebbe ambao waliuchora wenyewe na kuujenga, lakini, kazi ya vikosi vya Israel kutua Entebbe haikuwa rahisi sana. 

Hawakuwa na hakika ya ukubwa wa vikosi vya Amin uwanjani hapo. Walitegemea zaidi , ufahamu wao wa  uwanja wa ndege wa Entebbe. Maana, ni Waisrael  waliojenga uwanja huo. Kutoka Tel- Aviv hadi Entebbe ni mwendo wa takribani  saa nne kwa ndege.

Uganda na Israel wamekuwa na mahusiano mazuri ya muda mrefu.
Mahusiano hayo yangalipo hadi hii leo. Ni kutokana na sababu za kihistoria. 
Kabla ya Jumuiya ya Kimataifa kupendekeza  makazi ya Wayahudi waliokuwa
wametapakaa dunia nzima yawe  katika Israel ya sasa, nchi ya Wapalestina,
kulikuwepo na wazo la Wayahudi kutafutiwa makazi mapya katika nchi ya
Uganda. Mpaka miaka ya karibuni, nchi pekee ya Kiafrika ambapo raia wa Israel hakuhitaji kuomba viza  ni Uganda. Raia wa Uganda pia hawakuhitaji pia kuomba viza ya kuingia Israel.

Tukirudi kwenye tukio lile la utekaji ndege. Kwa haraka,  Waisrael  waliendesha operesheni ambayo si rahisi kusadikika. Makomandoo wa  Israel waliruka kwa ndege kubwa kutoka Tel-Aviv kuelekea Entebbe. Ndege yao   ilitua saa sita na dakika moja usiku kwenye pembe ya mbali ya Uwanja wa Entebbe. Taa za ndani na nje ya dege lile kubwa zilizimwa wakati ndege ilipoukaribia uwanja wa Entebbe ikiwa na mwungurumo dhaifu. Mwungurumo
usiosikika kwa mbali.

Waisarel  walikuja na ndege mbili, moja ilibaki Nairobi ikiwa na
vifaa vya tiba na vingine muhimu. Iliyotua Entebbe ilibeba gari mbili,
Landrover na Mercedes Benz nyeusi.

Gari hizo zilitumiwa na makomandoo wa Kiyahudi kufika kwenye jengo walilokuwamo mateka. Waliwakuta mateka wote na wateka nyara wakiwa katika ukumbi wa mapunziko kwa abiria.

 Amri ilitolewa kwa lugha ya Ki-hebrenia ikiwataka Wayahudi wote wajilaze chini mara moja.  Wote waliobaki wamesimama au kuinama kwa kusitasita, hawakupata sekunde zaidi za kutafakari. Risasi za makomandoo wale ziliwamiminikia miilini mwao.

Operesheni ya kikomandoo iliyochukua takribani dakika tisini
pale Entebbe iliwaacha  watekaji nyara saba bila uhai. Idadi ya askari wa
Amin takribani ishirini nao waliuawa pale Entebbe. Mateka wote walikombolewa isipokuwa mama wa miaka 75 Dora Bloch aliyekuwa hospitalini Mulago, Kampala.
Inasemekana, kuwa  mateka huyo akaja kuuawa na Idd Amin mwenyewe. Habari hiyo haijathibitishwa .

 Kwa upande wao,  Makomandoo wale wa Kiisrael walimpoteza  Kanali
Yoni Netanyahu. Komandoo yule aliuawa kwa kupigwa risasi ya usoni na askari
mmoja wa Idd Amin. Miaka ishirini baadae, kaka wa Yoni Netanyahu  akaja kuwa Waziri Mkuu wa Israel, jina lake ni Benjamin Netanyahu, na hadi hii leo, Benjamin Netanyahu ni kiongozi katika Israel. Itaendelea....

Maggid.

0754 678 252

 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "[wanabidii] Al Shaabab Na Chimbuko La Ugaidi ( III)"

Re: [wanabidii] Neno Fupi La Usiku; Shaaban Robert Na Wasadikika...

Mjengwa,
Busara ya Babu yetu Shaaban Robert uliyonukuu inajidhihirisha kwa vitendo sasa. Eti baada ya shambulio la Alshabaab Nairobi, sasa askari wanafanya ukaguzi unaodaiwa kuwa kina katika viwanja vya mpira, tena katika geti lenye washaabiki wengi tu. wengine wakiwemo na wenye magari wanaachwa tu! Kwa mtazamo wangu hii ni hatua muhimu, lakini ni sawa na kutafuta bakora (wala siyo fimbo) kumtishia nyoka asiyekuwepo eneo la tukio kabisa.
 
jmakongo
 
----------------------------------------------------------------
Japhet Maingu Makongo
Director, Ubunifu Associates Ltd
P.O. Box 32971, Dar es Salaam,
TANZANIA
Website: www.ubunifu.co.tz, info@ubunifu.co.tz,
Tel: +255 22 2762027, Mobile:+255 754 571 256

From: Maggid Mjengwa <mjengwamaggid@gmail.com>
To: mabadilikotanzania <mabadilikotanzania@googlegroups.com>; wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Monday, September 30, 2013 10:22 PM
Subject: [wanabidii] Neno Fupi La Usiku; Shaaban Robert Na Wasadikika...



Shaaban Robert anaandika; " Wasadikika wana desturi ya kutafuta fimbo baada ya kuumwa na nyoka. Tumekwisha umwa na nyoka. Ni kwa matendo yetu mabaya ya zamani.

Nyoka mwenyewe amekwishakimbia. Hapatikani kwa kujilipiza kisasi, lakini, sumu yake imebakia katika jeraha tulilolipata. Sasa, shauri lililo jema ni kuzuia sumu hii isienee miilini mwetu ikaleta kifo.

Maovu yana hatari kubwa kukaa kati yetu. Tumedumu nayo kwa muda mrefu. Hayakutuletea faida ila hasara, huzuni na kilio siku zote."- Shaaban Bin Robert.

Maggid.
Iringa.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


Read More :- "Re: [wanabidii] Neno Fupi La Usiku; Shaaban Robert Na Wasadikika..."

Re: [wanabidii] THE COMMEDY YA DR. ULIMBOKA IMEISHIA HAPA!

Sasa imekwisha! Mtuhumiwa kahukumiwa na sheria imefuata mkongo wake (kama siyo kwenda na mkondo wa maji)
 Lakini Watanzania bado tuna haki ya kuambiwa nani alimteka na kumtesa Dr. Ulimboka? Bila shaka vyombo vua usalama havijalala na vinafanyia kazi suala hili ili tusipate commedy nyengine.
Jmakongo
 
----------------------------------------------------------------
Japhet Maingu Makongo
Director, Ubunifu Associates Ltd
P.O. Box 32971, Dar es Salaam,
TANZANIA
Website: www.ubunifu.co.tz, info@ubunifu.co.tz,
Tel: +255 22 2762027, Mobile:+255 754 571 256

From: Gikaro Ryoba <gikaroryoba@yahoo.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Monday, September 30, 2013 10:05 PM
Subject: [wanabidii] THE COMMEDY YA DR. ULIMBOKA IMEISHIA HAPA!

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imemhukumu kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya sh 1,000, raia wa Kenya, Joshua Mulundi, ambaye alikuwa akikabiliwa na kosa la kutoa taarifa za uongo.
Mulundi alidaiwa kutoa taarifa za uongo kwa ofisa wa polisi katika Kituo cha Polisi Oystebay jijini Dar es Salaam, kwamba yeye na wenzake walikodiwa kwenda kumteka na kumjeruhi Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk. Steven Ulimboka.
Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi, Alocye Katemana, akisema kuwa kesi hiyo ilikuja jana kwa ajili ya upande wa Jamhuri kumsomea maelezo ya awali mshitakiwa huyo.
Wakili Mwandamizi wa Serikali, Tumaini Kweka, alimsomea maelezo ya awali mshitakiwa na baada ya kumaliza, mshitakiwa huyo alikiri kutenda kosa hilo kinyume cha kifungu cha 122 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu ya mwaka 2002.
Kabla ya Hakimu Katemana kutoa adhabu yake aliutaka upande wa Jamhuri uzungumze lolote kama wanalo, ambapo Wakili Kweka alidai kuwa anaiomba mahakama itoe adhabu inayostahili.
Kwamba, kwa mazingira ya kesi hiyo, hali iliyojengeka katika jamii kuhusu sakata la kutekwa na kuteswa kwa Dk. Ulimboka ni tete na kuwa si vema kwa mtu mzima kama huyo kutoa taarifa za uongo polisi.
Aidha, kwa upande wake Mulundi, alieleza kuwa yeye ni raia wa Kenya na kwamba lengo na madhumuni ya kuja Tanzania ni kuja kufanya biashara ya kuuza nguo.
Alidai kuwa Juni 27, mwaka jana akiwa Arusha, alitekwa na mtu asiyemfahamu na kumwamuru afanye kila jambo atakalomtaka, kwamba yeye alikubali kufanya yote aliyoamriwa na mtu huyo ambaye alikuwa na silaha.
"Mheshimiwa hakimu kwa kuwa nilikuwa naogopa vitisho hivyo nilifanya kama alivyokuwa akinielekeza na baadaye mtu huyo aliyekuwa ameniteka akanipeleka hadi Tanga sehemu ambayo sikuwa nimewahi kufika.
"Akanieleza kuwa yeye ni Mkristo na kwamba ananituma kwa Mkristo mwenzie na akanipa taarifa hizo nizipeleke kwa Mkristo mwenzake na taarifa hizo ndizo zilizosomwa hapa mahakamani na mwendesha mashitaka wakati akinisomea maelezo ya awali," alisema.
Alidai kuwa alikwenda hadi katika Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo Kawe, Tanganyika Parkers na kumkuta Mchungaji Joseph Kiliba ambaye yule mtekaji alimwagiza amfikishie taarifa hizo.
Mulundi aliongeza kuwa alimpelekea taarifa zile mchungaji kama alivyoelekezwa lakini baada ya hapo alijikuta anakamatwa na kupelekwa Kituo cha Polisi Oystebay, ambako alirudia taarifa ile na kisha kufunguliwa mashitaka.
Akitoa adhabu yake baada ya kusikiliza maombi ya pande zote mbili, Hakimu Katema alisema kwa kuwa mshitakiwa amekiri kosa kabla hata mashahidi wa Jamhuri hawajaletwa kutoa ushahidi wa kesi hiyo, mahakama yake inamhukumu kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya sh 1,000.
Hata hivyo mwandishi wa habari wa Radio Times, Chipangula Nandule, aliyekuwapo mahakamani hapo alijitolea kumlipia faini hiyo.
Lakini sekunde chache baadaye askari polisi walimkamata Mulundi, wakidai ni raia wa Kenya, hivyo wanamshikilia ili waweze kuandaa taratibu za kumrejesha nchini kwao.
Agosti 6, mwaka huu, Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), alimfutia Mulundi kesi ya kujaribu kumuua na kumteka Dk. Ulimboka.

Source: TANZANIA DAIMA
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


Read More :- "Re: [wanabidii] THE COMMEDY YA DR. ULIMBOKA IMEISHIA HAPA!"

Re: [wanabidii] KUFUNGIWA MAGAZETI - WAHAFIDHINA SASA WANAONGOZA

Hii hatua ya serikali kufungia magazeti au vyombo vya habari siyo vya leo. Wanatumia sheria kandamizi huku wakijua madhara yake. Hivi wahusika(magazeti yaliyofungiwa)  hawawezi kwenda mahakamani kulalamikia tendo hili. Hii itasaidia kuwa na ushahidi wa kudai kuondolewa kwa sheria hiyo mbovu?  
 
Makongo
----------------------------------------------------------------
Japhet Maingu Makongo
Director, Ubunifu Associates Ltd
P.O. Box 32971, Dar es Salaam,
TANZANIA
Website: www.ubunifu.co.tz, info@ubunifu.co.tz,
Tel: +255 22 2762027, Mobile:+255 754 571 256

From: ananilea nkya <ananilea_nkya@yahoo.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Monday, September 30, 2013 7:29 PM
Subject: Re: [wanabidii] KUFUNGIWA MAGAZETI - WAHAFIDHINA SASA WANAONGOZA

Jesse Mhariri wangu,
Nakuunga mguu, kichwa na mikono kwa hoja uliyotoa. Niongeze  ufafanuzi kidogo tu,  vyombo vya habari haviwezi kuchangia maendeleo effectively kama  vinaendesha shughuli zake kwa kutumia sera na sharia za miaka 40 iliyopita. Kama nchi, TUNAJIDANGANYA, basi. Na maumivu ni lukuki leo na kesho hadi sisi wananchi  wote tutakapopata ujasiri wa kutosha na kusimama kusema sharia hizi  za KIKOLONI  basi, tunataka uhuru wetu. 
 

From: Jesse Kwayu <jesse.kwayu@guardian.co.tz>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Monday, September 30, 2013 4:19 PM
Subject: RE: [wanabidii] KUFUNGIWA MAGAZETI - WAHAFIDHINA SASA WANAONGOZA

Watu aina ya ezekiel kunyaranyara ni wa kuombea tu labda kuna siku Mungu
atawafungua macho ili waone au labda masikio yatafunguka ili wasikie. Hana
ufahamu na hayo asemayo. Laiti midomo ingelikuwa inalipiwa kodi kwa kila
neno litokalo labda angekuwa makini, au angelikuwa ana subira hata kama ya
mtoto angerudia kusoma alichosema Zitto kwa hakika angelijua kuwa yeye ndiye
anatoka povu tena jepesi mno.
-Kama hajui hayo aseme kama sheria ya Magazeti namba 3 ya mwaka 1976 siyo
kandamizi; aseme kama serikali haijawa mlalamikaji na hakimu kwa wakati
mmoja; aseme kama utawala wa sheria unaruhusu mtu kuhukumu kesi yake
mwenyewe; lakini mwisho ajiulize nchi hii ni mali ya serikali au mali ya
Watanzania? Nani mwenye uamuzi wa kupora haki ya Watanzania? Siyo serikali,
siyo Bunge, siyo mahakama, haki ni haki. Kufungia magazeti tena kiimla kama
ambavyo serikali imekuwa ikifanya miaka yote ni kuendeleza utendaji wa
kiimla.
-Mwisho ezekiel kunyaranyara ujue kuwa hakuna marefu yasiyo na mwisho, ni
bora kujiandaa kwa mwisho mzuri/mwema kuliko mbaya. Walikuwako watu hodari
na shupavu, lakini leo wako wapi. Tenda wema nenda zako; sikia ushauri mzuri
ili kuishi maisha ya amani kesho.
- serikali inayojiweka kwenye mgogoro kila uchao ina walakini, kuna shida
mahali, kuna tatizo la kutafakari. Kuna uduni wa kuelewa mambo na
kuyapambanua kwamba jana asilani haiwezi kuwa leo. Mwaka 1976 siyo leo, hata
mwaka 2005 siyo 2010 ndiyo maana hata kura zinasema hivyo, na hata jana
haiwezi kuwa leo. Sheria mbaya zina asili ya kusaidia tawala mbovu kwa
kitambo tu, lakini mwisho na zenyewe hulizwa na sheria hizo hizo. Haya
yalipata kutokea Zambia, Malawi na hata hapa Tanzania. Ukibisha muulize
Agostino Mrema akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani alitumia polisi na mabomu ya
machozi kuwashughulikia kina Nesamburo kule Moshi kisa wapinzani, lakini
naye baada ya kitambo tu naye akapitia tanuru hilo hilo. Ni wakati tu.
ezekiel kunyaranyara fikiri, fikiri zaidi na fikiri tena.
Jesse

-----Original Message-----
From: wanabidii@googlegroups.com [mailto:wanabidii@googlegroups.com] On
Behalf Of Joseph Ludovick
Sent: Monday, September 30, 2013 5:28 PM
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] KUFUNGIWA MAGAZETI - WAHAFIDHINA SASA WANAONGOZA

jueni kwanza maana ya kunyaranyara: ni kuogopaogopa. sasa endeleeni. mwoga
huyu!

On 9/30/13, mngonge <mngonge@gmail.com> wrote:
> Kunyaranyara
>
> Jifunze kusoma au kusikia habari isiyo na mwelekeo wako, nimesoma hoja za
> zito mara mbili mbili sijaona ni wapi katoa "povu" kama ulivyoita wewe.
> Zitto ana hoja za msingi na zinajadilika sioni ni kwa nini Kunyaranyara
> huzioni kama hoja bali povu. Unapomnyooshea mtu kidole kumbuka vinne
> vinakupoint wewe katika hili umechemka babu. Hivi tatizo liko wapi Zitto
> anaposema sheria iliyotumika kuyafungia magazeti ni mwaka 1976. Swali ni
je
> wewe hiyo sheria umeisoma na kujua siyo kandamizi?
>
> Pengine ungemuuliza Zitto atwambie sheria hiyo inasemaje au ukapekua
> mwenyewe na kutueleza strengths za sheria hiyo kama utagundua haina
> mapungufu. Mambo ya sheria wakati mwingine yanakuwa kinyume na
> tunavyofikiri sisi tusiokuwa na taaluma hiyo. Nakumbuka Kesi ya Zombe
> ambapo wengi tulijua lazima angetiwa hatiani lakini Jaji alisema
> haiwezekani kumtia hatiani mtu anayethaniwa kuwa msaidizi wa muuaji kabla
> ujamtia hatiani muuaji mwenyewe.
>
> Zitto anapendekeza kwamba magazeti yangeshitakiwa badala ya kufungiwa ana
> hoja kwa wenye ujuzi kwenye mambo kama hayo tunaomba muijadili hoja ya
> Zitto kwa mapana yake badala ya kuipuuza. Ni wakati gani habari fulani
> inaitwa ya uchochezi au siyo ya uchochezi? Pengine ni pale
isipolifurahisha
> kundi fulani hata kama habari hiyo ni muhimu kwa tulio wengi kuijua .
> Tujadili kwa mapana kidogo kuhusu jambo hili, tutafika mahali kila gazeti
> litapangiwa liandike vichwa gani vya habari mfano " Serikali kumuwezesha
> kila mtanzania kuishi maisha ya kifalme ifikapo 2015'
>
>
> 2013/9/30 ezekiel kunyaranyara <ekunyaranyara@yahoo.co.uk>
>
>> Zitto
>>
>> Wakati mwingine inaonekana unapoteza kabisa hekima ambayo wakati mwingi
>> ninakuona unayo. Watu wengi wamekuwa wakinikanya kuhusu kukuamini sana
>> nawabishia lakini kwa mbali sasa naaanza kuona kama wanakuwa wako sahihi.
>>
>> Utamtishiaje mtu mzima kwamba sijui eh, oh ... tutataja mshahara wake ...
>> oh sijui itakuwaje... Hivi uko sawa wewe? Au umepagawa kaka, au kaguswa
>> nduguyo???? au ulikuwa na article ambayo ulipanga kuitoa katika magazeti
>> hayo sasa dili limekufa...
>>
>> Usitoe povu, usije ukaonesha kupwaya kwa hoja. Jadili kwa umakini
>> wasomaji
>> tutasoma tutapima. Acha siasa hizi ndizo sheria zinazotuongoza kwa sasa.
>> Onesha the way forward siyo kutishia nyau watu wazima.
>>
>> Umenisikitisha sana.
>>
>> K.E.M.S.
>>
>>  *From:* Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com>
>> *To:* Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
>> *Sent:* Monday, 30 September 2013, 14:59
>> *Subject:* [wanabidii] KUFUNGIWA MAGAZETI - WAHAFIDHINA SASA WANAONGOZA
>>
>>  *Zitto Kabwe, Mb*
>> Kwa mshtuko na masikitiko makubwa kuanzia jana jioni tumepokea taarifa za
>> kufungiwa kwa magazeti mawili ya kila siku hapa nchini ya Mwananchi na
>> Mtanzania. Serikali imechukua uamuzi huo kwa kutumia sheria ya kidikteta
>> ya
>> magazeti ya mwaka 1976 ambayo Tume ya Jaji Francis Nyalali iliiorodhesha
>> kama sheria kandamizi. Sababu zilizotolewa kuhalalisha uamuzi huu ni
>> sababu
>> zisizo na maana na ambazo Serikali ingeweza kufungua mashtaka ya kawaida
>> kabisa mahakamani kushtaki magazeti hayo iwapo haikupendezwa na habari
>> walizochapisha.
>> Moja ya sababu ya kufungiwa kwa gazeti la Mwananchi ni kuchapisha taarifa
>> kuhusu mishahara ya Serikali. Serikali inasema habari hii ni siri.
>> Serikali
>> hii hii ambayo imesaini makubaliano ya kuendesha serikali kwa uwazi (Open
>> Government Initiative) na kumwagiwa sifa na Rais Barack Obama wa Marekani
>> inalifungia gazeti kwa kuandika habari za mishahara ya watumishi wa
>> Serikali. Mishahara kuanzia mshahara wa Rais mpaka wa mtendaji wa Kijiji
>> haipaswi kuwa jambo la siri. Kuonyesha kuwa jambo hili linapaswa kuwa
>> wazi
>> mkutano ujao wa Bunge tutatafuta kila namna kutaja mshahara wa Rais,
>> Makamu
>> wa Rais, Waziri Mkuu na baadhi ya Watendaji wa Mashirika makubwa ya Umma
>> kama njia ya kuwaunga mkono gazeti la Mwananchi kwa habari yao hiyo.
>> Mapato
>> ya Mbunge yanajulikana sasa kuwa ni shilingi milioni 11.2 kwa mwezi kabla
>> ya kuongeza posho za vikao za shilingi laki 200,000 kwa siku na posho ya
>> kujikimu ya shilingi 130,000 kwa siku. Watanzania wana haki ya kujua
>> wanawalipa kiasi gani watumishi wao. Tutaanza na mshahara wa Rais!
>> Gazeti la Mtanzania limefungiwa pamoja na mambo mengine kwa kuandika
>> 'mapinduzi ni lazima'. Inashangaza Serikali ya Chama cha Mapinduzi
>> inaogopa
>> neno mapinduzi. Marehemu Mzee Steven Salum Nandonde, aliyekuwa mbunge wa
>> Jimbo la Tandahimba alipata kusema bungeni kuwa 'lazima nchi ipinduliwe'.
>> Ni matumizi ya lugha tu. Mzee Nandonde yeye alikuwa analalamikia
>> maendeleo
>> duni ya mikoa ya kusini na kutaka Kaskazini iwe Kusini na Kusini iwe
>> Kaskazini. Serikali inafungia gazeti kwa sababu ya kuandika Mapinduzi ni
>> lazima ilhali kila siku Zanzibar wanasema Mapinduzi daima!
>> Gazeti la Mtanzania linahaririwa na Absalom Kibanda, mwandishi wa habari
>> ambaye bado anaponya majeraha ya mwili na kisaikolojia ya kuteswa na watu
>> ambao mpaka leo hawajakamatwa. Badala ya Serikali kuwakamata watesaji wa
>> Kibanda, inamnyima kazi Kibanda ili ateseke kwa njaa kwa kukaa miezi
>> mitatu
>> bila kazi. Pia wanatutesa Watanzania kwa njaa ya kupata habari ambayo ni
>> haki ya msingi ya kikatiba. Hii ndio zawadi Serikali inampa Kibanda baada
>> ya kung'olewa kucha, kunyofolewa jicho, kukatwa vidole na kuteswa kwa
>> namna
>> isiyoelezeka.
>> Matukio ya hivi karibuni na namna Serikali inavyoyachukulia yanaonyesha
>> dhahiri kwamba Rais Kikwete kazidiwa nguvu na kundi la wahafidhina ndani
>> ya
>> chama na Serikali yake. Rais ambaye alianza kwa kuhubiri uvumilivu wa
>> hali
>> ya juu na hata yeye mwenyewe kupata kusema uvumilivu huu wengine wanauona
>> kama udhaifu lakini ameamua kujenga Taifa la kuvumiliana. Rais alipata
>> kulalamika hadharani kwamba kuna wenzake wanataka aongeze ukali. Ni
>> dhahiri
>> kundi hili la wahafidhina sasa ndio linalomwongoza Rais Jakaya Kikwete.
>> Kitu kimoja tu Rais azingatie, kundi hili linaongozwa na maslahi binafsi
>> ya
>> kubakia kwenye utawala wakati yeye anapaswa kuacha 'legacy'. Rais Kikwete
>> asipokuwa makini atakuwa Rais karatasi (lame duck) tu tunapoelekea mwisho
>> wa utawala wake. Maamuzi ya hovyo na ya kidikteta ya kufungia magazeti
>> yanamchora vibaya mbele ya wananchi na jamii ya kimataifa. Wahafidhina
>> kuwa
>> nguvu zaidi ya kiutawala ni makosa ambayo watanzania hawapaswi kuyakubali
>> kamwe.
>> Wananchi sasa waifanye Serikali kujutia uamuzi wake wa kufungia magazeti.
>> Nimeamua mimi binafsi kama mbunge kesho Jumatatu tarehe 30 Septemba, 2013
>> kupeleka taarifa rasmi kwa Katibu wa Bunge ya kupeleka muswada Bungeni wa
>> kuifuta kabisa Sheria kandamizi ya magazeti ya mwaka 1976. Sasa tupambane
>> na kundi dogo la wahafidhina ndani ya Serikali na CCM wasiopenda
>> mabadiliko
>> na iwe fundisho kwa wahafidhina wengine wowote waliopo ndani ya Serikali
>> au
>> nje ya Serikali kwamba Uhuru wa habari sio jambo la kuchezea kama golori.
>> --
>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>>
>>  --
>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


Read More :- "Re: [wanabidii] KUFUNGIWA MAGAZETI - WAHAFIDHINA SASA WANAONGOZA"

Re: [wanabidii] THE COMMEDY YA DR. ULIMBOKA IMEISHIA HAPA!

Hivi Masanja alacha kuigiza? hii ingemfaa kutuburudisha

From: Gikaro Ryoba <gikaroryoba@yahoo.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Monday, September 30, 2013 10:05 PM
Subject: [wanabidii] THE COMMEDY YA DR. ULIMBOKA IMEISHIA HAPA!

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imemhukumu kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya sh 1,000, raia wa Kenya, Joshua Mulundi, ambaye alikuwa akikabiliwa na kosa la kutoa taarifa za uongo.
Mulundi alidaiwa kutoa taarifa za uongo kwa ofisa wa polisi katika Kituo cha Polisi Oystebay jijini Dar es Salaam, kwamba yeye na wenzake walikodiwa kwenda kumteka na kumjeruhi Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk. Steven Ulimboka.
Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi, Alocye Katemana, akisema kuwa kesi hiyo ilikuja jana kwa ajili ya upande wa Jamhuri kumsomea maelezo ya awali mshitakiwa huyo.
Wakili Mwandamizi wa Serikali, Tumaini Kweka, alimsomea maelezo ya awali mshitakiwa na baada ya kumaliza, mshitakiwa huyo alikiri kutenda kosa hilo kinyume cha kifungu cha 122 cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu ya mwaka 2002.
Kabla ya Hakimu Katemana kutoa adhabu yake aliutaka upande wa Jamhuri uzungumze lolote kama wanalo, ambapo Wakili Kweka alidai kuwa anaiomba mahakama itoe adhabu inayostahili.
Kwamba, kwa mazingira ya kesi hiyo, hali iliyojengeka katika jamii kuhusu sakata la kutekwa na kuteswa kwa Dk. Ulimboka ni tete na kuwa si vema kwa mtu mzima kama huyo kutoa taarifa za uongo polisi.
Aidha, kwa upande wake Mulundi, alieleza kuwa yeye ni raia wa Kenya na kwamba lengo na madhumuni ya kuja Tanzania ni kuja kufanya biashara ya kuuza nguo.
Alidai kuwa Juni 27, mwaka jana akiwa Arusha, alitekwa na mtu asiyemfahamu na kumwamuru afanye kila jambo atakalomtaka, kwamba yeye alikubali kufanya yote aliyoamriwa na mtu huyo ambaye alikuwa na silaha.
"Mheshimiwa hakimu kwa kuwa nilikuwa naogopa vitisho hivyo nilifanya kama alivyokuwa akinielekeza na baadaye mtu huyo aliyekuwa ameniteka akanipeleka hadi Tanga sehemu ambayo sikuwa nimewahi kufika.
"Akanieleza kuwa yeye ni Mkristo na kwamba ananituma kwa Mkristo mwenzie na akanipa taarifa hizo nizipeleke kwa Mkristo mwenzake na taarifa hizo ndizo zilizosomwa hapa mahakamani na mwendesha mashitaka wakati akinisomea maelezo ya awali," alisema.
Alidai kuwa alikwenda hadi katika Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo Kawe, Tanganyika Parkers na kumkuta Mchungaji Joseph Kiliba ambaye yule mtekaji alimwagiza amfikishie taarifa hizo.
Mulundi aliongeza kuwa alimpelekea taarifa zile mchungaji kama alivyoelekezwa lakini baada ya hapo alijikuta anakamatwa na kupelekwa Kituo cha Polisi Oystebay, ambako alirudia taarifa ile na kisha kufunguliwa mashitaka.
Akitoa adhabu yake baada ya kusikiliza maombi ya pande zote mbili, Hakimu Katema alisema kwa kuwa mshitakiwa amekiri kosa kabla hata mashahidi wa Jamhuri hawajaletwa kutoa ushahidi wa kesi hiyo, mahakama yake inamhukumu kwenda jela miezi sita au kulipa faini ya sh 1,000.
Hata hivyo mwandishi wa habari wa Radio Times, Chipangula Nandule, aliyekuwapo mahakamani hapo alijitolea kumlipia faini hiyo.
Lakini sekunde chache baadaye askari polisi walimkamata Mulundi, wakidai ni raia wa Kenya, hivyo wanamshikilia ili waweze kuandaa taratibu za kumrejesha nchini kwao.
Agosti 6, mwaka huu, Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), alimfutia Mulundi kesi ya kujaribu kumuua na kumteka Dk. Ulimboka.

Source: TANZANIA DAIMA
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


Read More :- "Re: [wanabidii] THE COMMEDY YA DR. ULIMBOKA IMEISHIA HAPA!"

Re: [wanabidii] KUFUNGIWA MAGAZETI - WAHAFIDHINA SASA WANAONGOZA

Kama hujui kitu ni bora kukaa kimya kuliko kuanika ujinga wako hadharani. Unaujua msemo wa kuchamba kwingi? Acha ujuha wa mchana kweupe. Hiyo serikali iliyokutana au kuwasiliana na Jukwaa la Wahariri ni ipi na ni Jukwaa gani? Kama unatakuitetea serikali wewe sema tu uwe  na ujasiri huo. Kama huna kumbukumbu nitakukumbusha. Mwanahalisi lilipofungiwa siku 90 tuliandamana. Tukalaani. Tulipata kumfungia waziri mkuchika. Kifo cha mwangosi tuliandamana na kulaani vikali polisi. Tuliunda kamati tukachunguza. Suala la makunga na kibanda kesi ilifunguliwa mahakamani. Kimaadili na kisheria kesi ikiwa mahakamani unasubiri. Wewe nakushauri kama  jambo hulijui kaa kimya. Utaheshimika hata kama u mjinga kwani siyo lazima ujue kila kitu kwa kuwa wewe siyo jiko.

On 30 Sep 2013 17:05, "Yona Maro" <oldmoshi@gmail.com> wrote:
Mabadiliko katika tasnia ya habari ni ngumu sana kutokana na undumila kuwiri wa baadhi ya waandishi , wahariri , vyama vya waandishi na umma wa watanzania kwa ujumla .

Kwa mfano serikali ilifungia magazeti haya baada ya kufanya majadiliano au mawasiliano na jukwaa la wahariri ambamo magazeti yao yamefungiwa .

Kuna wahariri kama ndugu makunga na kibanda wana kesi mahakamani inayohusu mambo haya haya ya uchapaji lakini hakuna jukwaa la wahariri wala vyama vya waandishi wa habari vilivyosimama kuhusu suala hili hii ingekuwa kenya kwa mfano mngesikia tofauti kidogo .

Baadhi ya waandishi au wahariri wanatuhumiwa kumaliza wenzao au kujua taarifa za wenzao kutaka kuumizwa 




2013/9/30 ananilea nkya <ananilea_nkya@yahoo.com>
Jesse Mhariri wangu,
Nakuunga mguu, kichwa na mikono kwa hoja uliyotoa. Niongeze  ufafanuzi kidogo tu,  vyombo vya habari haviwezi kuchangia maendeleo effectively kama  vinaendesha shughuli zake kwa kutumia sera na sharia za miaka 40 iliyopita. Kama nchi, TUNAJIDANGANYA, basi. Na maumivu ni lukuki leo na kesho hadi sisi wananchi  wote tutakapopata ujasiri wa kutosha na kusimama kusema sharia hizi  za KIKOLONI  basi, tunataka uhuru wetu. 
 

From: Jesse Kwayu <jesse.kwayu@guardian.co.tz>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Monday, September 30, 2013 4:19 PM
Subject: RE: [wanabidii] KUFUNGIWA MAGAZETI - WAHAFIDHINA SASA WANAONGOZA

Watu aina ya ezekiel kunyaranyara ni wa kuombea tu labda kuna siku Mungu
atawafungua macho ili waone au labda masikio yatafunguka ili wasikie. Hana
ufahamu na hayo asemayo. Laiti midomo ingelikuwa inalipiwa kodi kwa kila
neno litokalo labda angekuwa makini, au angelikuwa ana subira hata kama ya
mtoto angerudia kusoma alichosema Zitto kwa hakika angelijua kuwa yeye ndiye
anatoka povu tena jepesi mno.
-Kama hajui hayo aseme kama sheria ya Magazeti namba 3 ya mwaka 1976 siyo
kandamizi; aseme kama serikali haijawa mlalamikaji na hakimu kwa wakati
mmoja; aseme kama utawala wa sheria unaruhusu mtu kuhukumu kesi yake
mwenyewe; lakini mwisho ajiulize nchi hii ni mali ya serikali au mali ya
Watanzania? Nani mwenye uamuzi wa kupora haki ya Watanzania? Siyo serikali,
siyo Bunge, siyo mahakama, haki ni haki. Kufungia magazeti tena kiimla kama
ambavyo serikali imekuwa ikifanya miaka yote ni kuendeleza utendaji wa
kiimla.
-Mwisho ezekiel kunyaranyara ujue kuwa hakuna marefu yasiyo na mwisho, ni
bora kujiandaa kwa mwisho mzuri/mwema kuliko mbaya. Walikuwako watu hodari
na shupavu, lakini leo wako wapi. Tenda wema nenda zako; sikia ushauri mzuri
ili kuishi maisha ya amani kesho.
- serikali inayojiweka kwenye mgogoro kila uchao ina walakini, kuna shida
mahali, kuna tatizo la kutafakari. Kuna uduni wa kuelewa mambo na
kuyapambanua kwamba jana asilani haiwezi kuwa leo. Mwaka 1976 siyo leo, hata
mwaka 2005 siyo 2010 ndiyo maana hata kura zinasema hivyo, na hata jana
haiwezi kuwa leo. Sheria mbaya zina asili ya kusaidia tawala mbovu kwa
kitambo tu, lakini mwisho na zenyewe hulizwa na sheria hizo hizo. Haya
yalipata kutokea Zambia, Malawi na hata hapa Tanzania. Ukibisha muulize
Agostino Mrema akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani alitumia polisi na mabomu ya
machozi kuwashughulikia kina Nesamburo kule Moshi kisa wapinzani, lakini
naye baada ya kitambo tu naye akapitia tanuru hilo hilo. Ni wakati tu.
ezekiel kunyaranyara fikiri, fikiri zaidi na fikiri tena.
Jesse

-----Original Message-----
From: wanabidii@googlegroups.com [mailto:wanabidii@googlegroups.com] On
Behalf Of Joseph Ludovick
Sent: Monday, September 30, 2013 5:28 PM
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] KUFUNGIWA MAGAZETI - WAHAFIDHINA SASA WANAONGOZA

jueni kwanza maana ya kunyaranyara: ni kuogopaogopa. sasa endeleeni. mwoga
huyu!

On 9/30/13, mngonge <mngonge@gmail.com> wrote:
> Kunyaranyara
>
> Jifunze kusoma au kusikia habari isiyo na mwelekeo wako, nimesoma hoja za
> zito mara mbili mbili sijaona ni wapi katoa "povu" kama ulivyoita wewe.
> Zitto ana hoja za msingi na zinajadilika sioni ni kwa nini Kunyaranyara
> huzioni kama hoja bali povu. Unapomnyooshea mtu kidole kumbuka vinne
> vinakupoint wewe katika hili umechemka babu. Hivi tatizo liko wapi Zitto
> anaposema sheria iliyotumika kuyafungia magazeti ni mwaka 1976. Swali ni
je
> wewe hiyo sheria umeisoma na kujua siyo kandamizi?
>
> Pengine ungemuuliza Zitto atwambie sheria hiyo inasemaje au ukapekua
> mwenyewe na kutueleza strengths za sheria hiyo kama utagundua haina
> mapungufu. Mambo ya sheria wakati mwingine yanakuwa kinyume na
> tunavyofikiri sisi tusiokuwa na taaluma hiyo. Nakumbuka Kesi ya Zombe
> ambapo wengi tulijua lazima angetiwa hatiani lakini Jaji alisema
> haiwezekani kumtia hatiani mtu anayethaniwa kuwa msaidizi wa muuaji kabla
> ujamtia hatiani muuaji mwenyewe.
>
> Zitto anapendekeza kwamba magazeti yangeshitakiwa badala ya kufungiwa ana
> hoja kwa wenye ujuzi kwenye mambo kama hayo tunaomba muijadili hoja ya
> Zitto kwa mapana yake badala ya kuipuuza. Ni wakati gani habari fulani
> inaitwa ya uchochezi au siyo ya uchochezi? Pengine ni pale
isipolifurahisha
> kundi fulani hata kama habari hiyo ni muhimu kwa tulio wengi kuijua .
> Tujadili kwa mapana kidogo kuhusu jambo hili, tutafika mahali kila gazeti
> litapangiwa liandike vichwa gani vya habari mfano " Serikali kumuwezesha
> kila mtanzania kuishi maisha ya kifalme ifikapo 2015'
>
>
> 2013/9/30 ezekiel kunyaranyara <ekunyaranyara@yahoo.co.uk>
>
>> Zitto
>>
>> Wakati mwingine inaonekana unapoteza kabisa hekima ambayo wakati mwingi
>> ninakuona unayo. Watu wengi wamekuwa wakinikanya kuhusu kukuamini sana
>> nawabishia lakini kwa mbali sasa naaanza kuona kama wanakuwa wako sahihi.
>>
>> Utamtishiaje mtu mzima kwamba sijui eh, oh ... tutataja mshahara wake ...
>> oh sijui itakuwaje... Hivi uko sawa wewe? Au umepagawa kaka, au kaguswa
>> nduguyo???? au ulikuwa na article ambayo ulipanga kuitoa katika magazeti
>> hayo sasa dili limekufa...
>>
>> Usitoe povu, usije ukaonesha kupwaya kwa hoja. Jadili kwa umakini
>> wasomaji
>> tutasoma tutapima. Acha siasa hizi ndizo sheria zinazotuongoza kwa sasa.
>> Onesha the way forward siyo kutishia nyau watu wazima.
>>
>> Umenisikitisha sana.
>>
>> K.E.M.S.
>>
>>  *From:* Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com>
>> *To:* Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
>> *Sent:* Monday, 30 September 2013, 14:59
>> *Subject:* [wanabidii] KUFUNGIWA MAGAZETI - WAHAFIDHINA SASA WANAONGOZA
>>
>>  *Zitto Kabwe, Mb*
>> Kwa mshtuko na masikitiko makubwa kuanzia jana jioni tumepokea taarifa za
>> kufungiwa kwa magazeti mawili ya kila siku hapa nchini ya Mwananchi na
>> Mtanzania. Serikali imechukua uamuzi huo kwa kutumia sheria ya kidikteta
>> ya
>> magazeti ya mwaka 1976 ambayo Tume ya Jaji Francis Nyalali iliiorodhesha
>> kama sheria kandamizi. Sababu zilizotolewa kuhalalisha uamuzi huu ni
>> sababu
>> zisizo na maana na ambazo Serikali ingeweza kufungua mashtaka ya kawaida
>> kabisa mahakamani kushtaki magazeti hayo iwapo haikupendezwa na habari
>> walizochapisha.
>> Moja ya sababu ya kufungiwa kwa gazeti la Mwananchi ni kuchapisha taarifa
>> kuhusu mishahara ya Serikali. Serikali inasema habari hii ni siri.
>> Serikali
>> hii hii ambayo imesaini makubaliano ya kuendesha serikali kwa uwazi (Open
>> Government Initiative) na kumwagiwa sifa na Rais Barack Obama wa Marekani
>> inalifungia gazeti kwa kuandika habari za mishahara ya watumishi wa
>> Serikali. Mishahara kuanzia mshahara wa Rais mpaka wa mtendaji wa Kijiji
>> haipaswi kuwa jambo la siri. Kuonyesha kuwa jambo hili linapaswa kuwa
>> wazi
>> mkutano ujao wa Bunge tutatafuta kila namna kutaja mshahara wa Rais,
>> Makamu
>> wa Rais, Waziri Mkuu na baadhi ya Watendaji wa Mashirika makubwa ya Umma
>> kama njia ya kuwaunga mkono gazeti la Mwananchi kwa habari yao hiyo.
>> Mapato
>> ya Mbunge yanajulikana sasa kuwa ni shilingi milioni 11.2 kwa mwezi kabla
>> ya kuongeza posho za vikao za shilingi laki 200,000 kwa siku na posho ya
>> kujikimu ya shilingi 130,000 kwa siku. Watanzania wana haki ya kujua
>> wanawalipa kiasi gani watumishi wao. Tutaanza na mshahara wa Rais!
>> Gazeti la Mtanzania limefungiwa pamoja na mambo mengine kwa kuandika
>> 'mapinduzi ni lazima'. Inashangaza Serikali ya Chama cha Mapinduzi
>> inaogopa
>> neno mapinduzi. Marehemu Mzee Steven Salum Nandonde, aliyekuwa mbunge wa
>> Jimbo la Tandahimba alipata kusema bungeni kuwa 'lazima nchi ipinduliwe'.
>> Ni matumizi ya lugha tu. Mzee Nandonde yeye alikuwa analalamikia
>> maendeleo
>> duni ya mikoa ya kusini na kutaka Kaskazini iwe Kusini na Kusini iwe
>> Kaskazini. Serikali inafungia gazeti kwa sababu ya kuandika Mapinduzi ni
>> lazima ilhali kila siku Zanzibar wanasema Mapinduzi daima!
>> Gazeti la Mtanzania linahaririwa na Absalom Kibanda, mwandishi wa habari
>> ambaye bado anaponya majeraha ya mwili na kisaikolojia ya kuteswa na watu
>> ambao mpaka leo hawajakamatwa. Badala ya Serikali kuwakamata watesaji wa
>> Kibanda, inamnyima kazi Kibanda ili ateseke kwa njaa kwa kukaa miezi
>> mitatu
>> bila kazi. Pia wanatutesa Watanzania kwa njaa ya kupata habari ambayo ni
>> haki ya msingi ya kikatiba. Hii ndio zawadi Serikali inampa Kibanda baada
>> ya kung'olewa kucha, kunyofolewa jicho, kukatwa vidole na kuteswa kwa
>> namna
>> isiyoelezeka.
>> Matukio ya hivi karibuni na namna Serikali inavyoyachukulia yanaonyesha
>> dhahiri kwamba Rais Kikwete kazidiwa nguvu na kundi la wahafidhina ndani
>> ya
>> chama na Serikali yake. Rais ambaye alianza kwa kuhubiri uvumilivu wa
>> hali
>> ya juu na hata yeye mwenyewe kupata kusema uvumilivu huu wengine wanauona
>> kama udhaifu lakini ameamua kujenga Taifa la kuvumiliana. Rais alipata
>> kulalamika hadharani kwamba kuna wenzake wanataka aongeze ukali. Ni
>> dhahiri
>> kundi hili la wahafidhina sasa ndio linalomwongoza Rais Jakaya Kikwete.
>> Kitu kimoja tu Rais azingatie, kundi hili linaongozwa na maslahi binafsi
>> ya
>> kubakia kwenye utawala wakati yeye anapaswa kuacha 'legacy'. Rais Kikwete
>> asipokuwa makini atakuwa Rais karatasi (lame duck) tu tunapoelekea mwisho
>> wa utawala wake. Maamuzi ya hovyo na ya kidikteta ya kufungia magazeti
>> yanamchora vibaya mbele ya wananchi na jamii ya kimataifa. Wahafidhina
>> kuwa
>> nguvu zaidi ya kiutawala ni makosa ambayo watanzania hawapaswi kuyakubali
>> kamwe.
>> Wananchi sasa waifanye Serikali kujutia uamuzi wake wa kufungia magazeti.
>> Nimeamua mimi binafsi kama mbunge kesho Jumatatu tarehe 30 Septemba, 2013
>> kupeleka taarifa rasmi kwa Katibu wa Bunge ya kupeleka muswada Bungeni wa
>> kuifuta kabisa Sheria kandamizi ya magazeti ya mwaka 1976. Sasa tupambane
>> na kundi dogo la wahafidhina ndani ya Serikali na CCM wasiopenda
>> mabadiliko
>> na iwe fundisho kwa wahafidhina wengine wowote waliopo ndani ya Serikali
>> au
>> nje ya Serikali kwamba Uhuru wa habari sio jambo la kuchezea kama golori.
>> --
>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>>
>>  --
>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
Find Jobs in Africa Jobs in Africa
International Job Opportunities International Job Opportunities
Jobs in Kenya Jobs in Kenya

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] KUFUNGIWA MAGAZETI - WAHAFIDHINA SASA WANAONGOZA"