Sunday 31 March 2013

[wanabidii] TANZANIANS AND FEAR TO SYSTEMATIC ANSWERS

Mara nyingi kwenye blog zetu,nimekuwa nikiona wana jamvi wakichangia sana sana kwa mambo ambayo majibu yake hayako wazi.Mfano mambo ya dini ambayo kila mtu anakuwa na jibu lake yamekuwa yakiongoza kwenye post.Na pia mambo ya majungu nikimaanisaha mambo ambayo kiukweli hamna wa kuthibitisha yamekuwa yakipata wachangiaji,na cha kusikitisha mchangiaji anajiita MSOMI.Ila kuna mambo mengine ambayo,japo yana kasoro ila yakipata mtu wa kuyaelezea vema(SYSTEMATIC) basi hakuna wa kuchangia kwa sababu watu wengi hasa ndugu waandishi hawana uelewa wa mambo fulani fulani.Ila we....LETA JUNGU UONE jinsi kila mmoja atakuwa mstari wa mbele kuachangia.Mfano;waziri wa ujenzi Dr.Magufiri anajiamini,na aliisha jua njia sahihi ya kutoa taarifa na pia kuwajibu na kuwaambia watu hasa waandishi wa habari...ni kutumia LOGIC ZA taaluma yake na hapo watu wana kaa kimya na kuendelea kumsifia kwa yale ayasemayo.Japo anafanya kazi vema,je hakuna hata wataalaamu wa kutegua LOGIC ZAKE kweli au hadi afe au atoke wizara moja aingie wizara nyingine?Ndugu zangu.Dr.Magufuri huwa ninampenda sana na kumuamini kwa mambo mengi anayofanya,na hii ni kwa sababu ninaona matokeo ya mambo ya misimamo yake na faida kwa Taifa.Ila kuna baadhi ya watu huwa tunaogopa kuokosoa mambo kwa kushindwa LOGIC SETTNG hasa waandishi na pia kuogopa kuwa responsible kwa wahusika pale tukipata nafasi ya kugundua maovu yao.
Suala la Marehemu Mawala limenifumbua macho na kuona udhaifu wa Manyerere.Manyerere aliogopa LOGIC za Mawala na akakaa kimya hadi siku ya kifo chake.Aliogopa LOGIC ZA LAW hadi TAIFA likaingia kwenye janga hili ambalo kila mwenye dhamana ya nchi,na hasa wale wanaolewa mambo ya kuendeleza uchumi wa nchi yetu.Manyerere alishindwa nini kutueleza haya kabla ya Mawalla kuaga dunia.Naweza kusema,Mawala wengine wapo wengi ambao Manyerere anawafahamu,ila anasubiria wafe ndiyo aonekane yeye ndiye nabiii wa yake yaliyopita na wala si wa yale yajao.

NAULIZA,Hasa kama Manyerere angejibu haya kama yumo humu,au rafiki amtumia ili tupate pa KUMSHKURU KWA HILI.Vinginevyo tufahamu kuwa hakuna anayeshukuriwa kwa UNAFIKI.
1.Je,kama Mawalla angeendelea kuishi kwa staili hii je,Manyerere angesema haya?
2.Je,Manyerere alifahamu hili mapema?Kwanini hakutariifu mamlaka zinazohusika?
3.Je,Manyerere kwa nini atokezee hadi baada ya kifo hiki?

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
Read More :- "[wanabidii] TANZANIANS AND FEAR TO SYSTEMATIC ANSWERS"

Re: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA

Kumbuka mlm Nyerere alisema ' ukiona serikali inafukuzana na wafanyabiashara wadogowadogo ili kudai kodi huku ikiwaacha wafanyabiashara wakubwa hiyo ni serikali legelege. Kama serikali tuliyoiweka ni legelege basi ujue hao wenye fedha ndiyo serikali inayotuendeshea nchi bila kufuata utaratibu wala sheria tunazozijua sisi. Tafakari na uchukue hatua


2013/4/1 alexander chipalazya <chipalazya@yahoo.com>
Madam Kiwasila,
Umeeleza mambo mengi sana hapa chini na daima umekua ukieleza. What is the root cause ya haya mambo haya yote? Kwanini madam leo tusikubaliane kua gvt imeshindwa jukumu la kuongoza hii nchi?? Kumbuka ni serikali ndio imetunda hizo sheria na ina machinery mbalimbali za ku-enforce hizo sheria. Lakini nchi imekua kama haina mwenyewe. Sina hakika kama ulisikia kisa cha Tegeta cha wananchi kubomolewa nyumba na mfanya biashara wa mafuta. 

Mfanyabiashara alikua anajenga petrol station akaona nafasi yake ni ndogo. Alichokifanya alianza kuwalazimisha majirani wamuuzie nyumba iliapanue eneo. Wenye nyumba wakakataa, alitaka kununua nyumba kumi akajipangia bei kua kila moja atalipa 10 mill. Wenye nyumba wakakataa. Walipokataa akakodisha mabaunsa na kwenda kuzivunja zile nyumba kwa nguvu, ilitokea tafulani kubwa. Madam tukio kama hilo  maaana yake nini? Lina ashiria nini? Kwangu naona niishara kua anajua nguvu ya seriakali na udhaifu wa vyombo vya usalama ndio maana hakuona shida kutenda ule unyama. Shida ya nchi hii ni uongozi. 
Alexander


From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Sunday, March 31, 2013 10:33 PM
Subject: Re: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA

Daima husema 'Mtanzania anahitaji kitu fulani kimsaidie kuwapa Mental Revolution ili aweze kubadilika.' Tuna macho ila tu vipofu, tuna masikio ila tu viziwi, tuna viuongo vyote vya mwili lakini tu vilema tumepooza.

Katika jengo lililoanguka aliyekuwa akichakachua ratios naye huenda kafukiwa na innocent others. Mifano ya kuanguka maghorofa nchini na nchi jirani (kenta) ipo tunaona na kosa linajadiliwa lakini bado inaendelea. Tunachakachua uhai wetu kwa kupitisha vibali vya kujenga aina hii ya mbanano inayoonekana leo mjiji dar ya maghorofa kuzuka hovyo ahta squatter areas.
Waliporuhusu wajenge ghorofa 10 tu, hawakuona hao wasimamizi na wakaguzi hata walipopita njia tu kama 10 zinaongezeka na kuendelea kupanda kufika 16? Monitoring yao inakuwaje?

Wanapita njia mawaziri, viongozi wakurugeni wanaona jengo mfano eneo la victoria linajengwa lakini linachukua eneo la road reserve. Wananliona mpaka linakamilika. Njia yao kuu ni hiyo. Nawayaona maghorofa uchwara yanavyozuka mwenge bus stand-wanaangalia. Unaambiwa wanajenga eneo la ofisi ya CCM. Hivyo hao wote wapo plot ya CCM wapangaji wanatoa ushuru. haribu mradi tu unatoa ushuru. Hii ni sera mbaya. Vipofu. Baadae-waje kuwabomolea izuke zahama.

Wahusika na sheria wanaona kabisa kuwa baadhi ya wapangaji wa nyumba za NHC Jangwani, Upanga, Kariakoo, Oysterbay, Posta etc Mjini hapa wamefanya extension katika hizo nyumba za maghorofa na kufungia maduka, migahawa. Kwingine wazeziba kuta wamefunga mapito na kuweka viduka. Jee, sheria inaruhusu mpangaji kubadili design ya nyumba aliyopanga? Wanaona bali tu vipofu

Ukimlaumu kiongozi ni lawama upande mmoja haisaidii kitu kwani anapojenga na kubananisha njia, kuziba mapito; kuongeza vyumba na kubana nafasi zilizowekwa kati ya maghorofa za kucheza watoto wote wakazi si tupo hapo? Mbona hatuandamani kama tunavyotaka kuandamana kwa wanafunzi kufeli mtihani wa form four wakati wakitoka nyumbani ni sisi wazazi tuwanunuliao simu za kuongea nao nao wanakesha ktk facebook darasani, nyumbani TV hadi manane sio kusoma kwa bidii.Walimu wakiwachapa fimbo-tunavamia shule na kutandika viboko wazazi eti wanawaonea watoto. Inafika hata wanafunzi kuvamia nyumba za walimu na kuwabaka na mzazi kutolea mtoto huyo mbakaji dhamana. Maadili hayo?

Kama ni kuzama meli au boti baharini iwe kosa za kiongozi-jaribu kusafiri majini kwa boat au meli uone tulivyo wabishi kuacha kupanda kuwa meli au mtumbwi umeshajaa. hakuna anayetaka kuacha kupanda hawezi kusubiri mtumbwi uende urudi. Boat inalala upande mmoja na watu kukupa maji na kuisaidia kwa miguu. Meli inajaa mpaka hata pa kukaa hakuna hataki wa kusubiri ya baadae. Tunaona hatari hizi bali wabishi kufikia hata kujificha uvungu wa mizigo wakaguzi wasiwaone wakisha kukagua ndio wanatoka. Kufa tunakuona na kusikia lakini tu viziwi. Panda meli, boat uone haya yasemwayo. Hata ndege wakibananisha abiria na watoto wakubwa kupakatwa na wanajua huko juu agani ni hatari kuwa overloaded. Unabambikiziwa mzigo si wako kwenye ticket yako. atoae mzigo nna apokeae mzigo na huyo anayeogopa kusema kuwa anabambikiziwa mzigo si wake wote wakosa.

Danganya toto nchini ni nyingi. tunalia ajira na makampuni ya nje kuchukua kazi za kuweza kufanywa na wananchi. lakini kampuni ya kibongo ikipewa majengo ya shule ya msingi, chuo kujenga-yanabomoka kabla haya ya kukabidhiwa. Barabara ni hivyo hivyo mwisho kampuni kufungiwa. mamilioni kutolewa tena mkopo toka nchi za nje, lami kuwekwa vumbi na barabara mpya kusombwa na mvua. Kisha-lawama eti makampuni ya Kichina, Japan etc kuchukua kazi za wabongo ambao kuchakachua ndio jadi na mental happiness. Awe bilionea muda mfupi kwa kufanya ujenzi chini ya kiwango, mihela akajenge mahoteli na kuwa na magari ya kifahari. Anawapa rushwa wahusika kazi anachakachua. Watamfanya nini na wakithubutu atatoa SIRI nao wataipata? Hivyo kunakuwa hakuna kuchukua hatua maana wamelamba fweza wataadhirika.

Hebu angalia ujenzi wa Mlimani City DSM-kampuni ya NOREMCO ilivyojenga mjengo wa kutokuharibu ardhi kwa kuchimba chini kuondoa udogo bali kujenga ntumba bila kuharibu mazingira kwa kuiweka nyumba kwa kuishonelea kuu ya ardhi. Nyumba za hapo zina nyufa? Mbona madhubuti jengo za supermarket na nyumba za kupangisha kuishi watu.

Mtu unajiuliza-mafuriko yamemtia hasara miaka yote, kapewa kiwanja mabwepande kakiuza; sasa wamepewa mabati na simenti-watauza. Kutokana na tabia hii inayojulikana, kwa nini serikali  isimpe mkandarasi aliyejenga nyumba za NHC za bei ya chini akawajengwa kule mambwepande akaipa kila familia nyumba yake kisha familia ilipe kiasi kilichobaki kidogo kidogo baada ya kutoa hayo mabati na mifuko ya simenti mia kila familia. Maana cement itaolowa mvua, itauzwa pamoja na vifaa vingine watasema-kuganga njaa? Mpe hiyo low cost house sio vifaa? hatuoni akili na tabia za mbongo?

Wakati mwingine issue ni kusimamisha ujenzi mara unapoonekana kuendelea mahala sipo au kuonekana una mashaka, sio kungojea uishe kuja kubomoa au libomoke ila mhusika akomoke kuingia ile gharama. Gharama ya kuuua na kukoza nyumba iliyobomoka ni ya mwenye nyumba au mkandarasi pekee. Na inapokuwa mmoja wa wamiliki washiriki  ni NHC-inakuwa ni aibu ilioje. Hata wewe NHC kukuwa mwangalifu. Ghorofa 10 inakuwa 16 nawe umo?

Tunategemea wenzetu toka nje kutusaidia kuokoa, lakini tunaona maafa yanavyotushinda kuyakamili itokeapo dharura kama kuokoa majini na kufukua waliopata ajali ya kuangukiwa jengo. Lakini tukimaliza kufukua-tunasahau. unapata mental fatigue. Hatuchangishi mamilioni toka akina wema wala Sabodo kuwreza kununua vifaa vya kuokolea. Ukichangisha vya kisiasa utapata. Lakini cha kuokolea-tabu kidogo. Mungu atusaidie na kutufunua macho.

--- On Sun, 31/3/13, Mwahija Juma <mwahija_juma@yahoo.com> wrote:

From: Mwahija Juma <mwahija_juma@yahoo.com>
Subject: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Sunday, 31 March, 2013, 11:27

Akifanya majumuisho katika hotuba ya matumizi ya ofisi yake bungeni kwamwaka 2008/09. Waziri Mkuu alizungumzia jinsi tume ya Lowassa ilivyofanya kazikatika sakata la ghorofa kuanguka jijini Dar es Salaam.

Pinda alilithibitishia Bunge kuwa zaidi ya maghorofa 100jijini Dar es Salaam yalibainika kuwa yalijengwa kinyume cha taratibu za ujenzi.Kwa mujibu wa ripoti iliyoundwa na Waziri Mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa,kati ya maghorofa 505 ambayo waliyakagua, 147 yalikutwa hayana nyaraka zaujenzi.

Lowassa aliunda tume baada ya jengo la Hoteli ya Chang'ombe Village Inn, Keko,Dar es Salaam kuanguka mwaka 2006 na kuua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.Ilidaiwa kwamba ulikuwapo ukiukwaji katika ujenzi wake.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliliambia Bunge kuwa tume hiyo ya Lowassa, ilibainikuwa ukaguzi huo, pia maghorofa 81 yalikutwa yamekiuka masharti ya ujenzi hukumaghorofa mengine 22 wenyewe hawakupatikana na yalikuwa yamejengwa bilakuzingatia sheria za ujenzi pamoja na uzembe wa baadhi ya watendaji wakiwamowahandisi wa manispaa husika.


1.Pinda asemebaada ya kukabidhiwa ripoti hii alimwajibisha nani tangu 2008 hadi sasa?
2.Watanzaniatupo tayari kuletewa danganya toto ya Tume nyingine ikalete majibu yaliyoko kwaPinda mezani?
3.Kwa Uzembehuu, Pinda ameshiriki kwa kuwa hawakuwawajibisha waliojenga kinyume nautaratibu hadi watanzania wengine wakafa. Zamu hii hata akilia anahusika!
4.Tangu tumezianze kuundwa kuhusu maafa ni akina nani walichukuliwa hatua. – Tangu MVBukoba hadi Tume ya matokeo ya Kidato cha Nne.
5.Watanzania Tumechokakuneemesha mifuko ya wajumbe wa Tume, na kufilisi rasilimali zetu. PINDAAJIUZULU.



--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
Read More :- "Re: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA"

Re: [wanabidii] Pasaka

A very good piece of information to all


On Sun, Mar 31, 2013 at 10:25 PM, Peter <aabctz@yahoo.com> wrote:
PASAKA NJEMA
One of the greatest dangers that faces the Christian in his pursuit of a holy life is that of ending up being religious and not spiritual. Religiosity is often mistaken by the undiscerning believer for spirituality. But there is a world of difference between the two. The former is human, the latter is divine. The law could make people religious, but not spiritual. Religiosity is taken up with the external, visible things. Spirituality is primarily a matter of the heart.

God's word warns us that there will be many in the last days who have a form of godliness without its power - in other words, they will be religious, but not spiritual (2 Tim. 3:5). They will go religiously to meetings, pray and read the Bible daily and even attend all-night fasting and prayer meetings, tithe their income, etc. But they will still seek honour from men, live for themselves, love money and be interested in gossiping, etc. Such people are religious, not spiritual. They have a form of godliness without the power. Here are some examples.

If you are more interested in going to meetings than in crucifying the flesh (Gal. 5:24), you are religious, not spiritual.
 If you are more interested in reading your Bible every morning than in controlling your tongue the whole day, you are religious, not spiritual.
If you are more interested in fasting and prayer than in being free from the love of money, you are religious, not spiritual.
If you are more interested in evangelism than in personal sanctification, you are religious, not spiritual.

All the activities of religious people mentioned in the above examples are good. But it is a question of priorities. It is right priorities that makes a man spiritual.

Religious people are interested in the written word alone (`the letter') and end up having the righteousness of the law. Spiritual people however are interested in the Word being manifested in flesh and blood, and thus end up having the righteousness of God, the divine nature.

Religious people justify their actions by quoting the words or actions of some man of God. Spiritual people however, never seek to justify themselves before men.

Religious people are more interested in men's opinions than in God's opinion. Spiritual people care only about God's opinion. Religious people can meditate for years on the words of praise that some elder brother spoke concerning them. Spiritual people, on the other hand, like Jesus, refuse to receive testimony from men (Jn. 5:34). They know that other men do not know the corruption that they see within themselves, and so they realise that the praise of men is worth less than nothing.

Religious people are legalistic and are under the law. They think in terms of the minimum necessary in order to please God. This is why they calculate exactly how much 10% of their income comes to and then offer it reluctantly to God. In the Old Testament, this attitude finally ended up in the Israelites offering blind sheep and sick bulls as sacrifices to the Lord (Mal. 1:8). It is possible to have an identical attitude to the New Testament commandments. A sister can think in terms of the minimum necessary in order to keep the letter of the word that commands her to be subject to her husband; Men and women can think in terms of the minimum necessary in order to be 'spiritual' without altogether giving up everything. "What is the minimum that I have to give up of this world?" is a question that is always in the minds of such people. Such can never be spiritual. They can only be religious.

Sent from my iPad
Rev.Peter Msigwa - MP Iringa - urban Tanzania
Shadow Minster of natural resources Tourism & Environments
Cell+255754360996, home +255262720015, office +255262701958
aabctz@yahoo.com
mbungeiringamjini@gmail.com
mbungeiringamjini.blogspot.com
Po Box 2042 Iringa Tanzania .
Problems can not be solved by the same level of thinking that created them By Albert Einstein

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
Read More :- "Re: [wanabidii] Pasaka"

Re: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA

Madam Kiwasila,
Umeeleza mambo mengi sana hapa chini na daima umekua ukieleza. What is the root cause ya haya mambo haya yote? Kwanini madam leo tusikubaliane kua gvt imeshindwa jukumu la kuongoza hii nchi?? Kumbuka ni serikali ndio imetunda hizo sheria na ina machinery mbalimbali za ku-enforce hizo sheria. Lakini nchi imekua kama haina mwenyewe. Sina hakika kama ulisikia kisa cha Tegeta cha wananchi kubomolewa nyumba na mfanya biashara wa mafuta. 

Mfanyabiashara alikua anajenga petrol station akaona nafasi yake ni ndogo. Alichokifanya alianza kuwalazimisha majirani wamuuzie nyumba iliapanue eneo. Wenye nyumba wakakataa, alitaka kununua nyumba kumi akajipangia bei kua kila moja atalipa 10 mill. Wenye nyumba wakakataa. Walipokataa akakodisha mabaunsa na kwenda kuzivunja zile nyumba kwa nguvu, ilitokea tafulani kubwa. Madam tukio kama hilo  maaana yake nini? Lina ashiria nini? Kwangu naona niishara kua anajua nguvu ya seriakali na udhaifu wa vyombo vya usalama ndio maana hakuona shida kutenda ule unyama. Shida ya nchi hii ni uongozi. 
Alexander


From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Sunday, March 31, 2013 10:33 PM
Subject: Re: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA

Daima husema 'Mtanzania anahitaji kitu fulani kimsaidie kuwapa Mental Revolution ili aweze kubadilika.' Tuna macho ila tu vipofu, tuna masikio ila tu viziwi, tuna viuongo vyote vya mwili lakini tu vilema tumepooza.

Katika jengo lililoanguka aliyekuwa akichakachua ratios naye huenda kafukiwa na innocent others. Mifano ya kuanguka maghorofa nchini na nchi jirani (kenta) ipo tunaona na kosa linajadiliwa lakini bado inaendelea. Tunachakachua uhai wetu kwa kupitisha vibali vya kujenga aina hii ya mbanano inayoonekana leo mjiji dar ya maghorofa kuzuka hovyo ahta squatter areas.
Waliporuhusu wajenge ghorofa 10 tu, hawakuona hao wasimamizi na wakaguzi hata walipopita njia tu kama 10 zinaongezeka na kuendelea kupanda kufika 16? Monitoring yao inakuwaje?

Wanapita njia mawaziri, viongozi wakurugeni wanaona jengo mfano eneo la victoria linajengwa lakini linachukua eneo la road reserve. Wananliona mpaka linakamilika. Njia yao kuu ni hiyo. Nawayaona maghorofa uchwara yanavyozuka mwenge bus stand-wanaangalia. Unaambiwa wanajenga eneo la ofisi ya CCM. Hivyo hao wote wapo plot ya CCM wapangaji wanatoa ushuru. haribu mradi tu unatoa ushuru. Hii ni sera mbaya. Vipofu. Baadae-waje kuwabomolea izuke zahama.

Wahusika na sheria wanaona kabisa kuwa baadhi ya wapangaji wa nyumba za NHC Jangwani, Upanga, Kariakoo, Oysterbay, Posta etc Mjini hapa wamefanya extension katika hizo nyumba za maghorofa na kufungia maduka, migahawa. Kwingine wazeziba kuta wamefunga mapito na kuweka viduka. Jee, sheria inaruhusu mpangaji kubadili design ya nyumba aliyopanga? Wanaona bali tu vipofu

Ukimlaumu kiongozi ni lawama upande mmoja haisaidii kitu kwani anapojenga na kubananisha njia, kuziba mapito; kuongeza vyumba na kubana nafasi zilizowekwa kati ya maghorofa za kucheza watoto wote wakazi si tupo hapo? Mbona hatuandamani kama tunavyotaka kuandamana kwa wanafunzi kufeli mtihani wa form four wakati wakitoka nyumbani ni sisi wazazi tuwanunuliao simu za kuongea nao nao wanakesha ktk facebook darasani, nyumbani TV hadi manane sio kusoma kwa bidii.Walimu wakiwachapa fimbo-tunavamia shule na kutandika viboko wazazi eti wanawaonea watoto. Inafika hata wanafunzi kuvamia nyumba za walimu na kuwabaka na mzazi kutolea mtoto huyo mbakaji dhamana. Maadili hayo?

Kama ni kuzama meli au boti baharini iwe kosa za kiongozi-jaribu kusafiri majini kwa boat au meli uone tulivyo wabishi kuacha kupanda kuwa meli au mtumbwi umeshajaa. hakuna anayetaka kuacha kupanda hawezi kusubiri mtumbwi uende urudi. Boat inalala upande mmoja na watu kukupa maji na kuisaidia kwa miguu. Meli inajaa mpaka hata pa kukaa hakuna hataki wa kusubiri ya baadae. Tunaona hatari hizi bali wabishi kufikia hata kujificha uvungu wa mizigo wakaguzi wasiwaone wakisha kukagua ndio wanatoka. Kufa tunakuona na kusikia lakini tu viziwi. Panda meli, boat uone haya yasemwayo. Hata ndege wakibananisha abiria na watoto wakubwa kupakatwa na wanajua huko juu agani ni hatari kuwa overloaded. Unabambikiziwa mzigo si wako kwenye ticket yako. atoae mzigo nna apokeae mzigo na huyo anayeogopa kusema kuwa anabambikiziwa mzigo si wake wote wakosa.

Danganya toto nchini ni nyingi. tunalia ajira na makampuni ya nje kuchukua kazi za kuweza kufanywa na wananchi. lakini kampuni ya kibongo ikipewa majengo ya shule ya msingi, chuo kujenga-yanabomoka kabla haya ya kukabidhiwa. Barabara ni hivyo hivyo mwisho kampuni kufungiwa. mamilioni kutolewa tena mkopo toka nchi za nje, lami kuwekwa vumbi na barabara mpya kusombwa na mvua. Kisha-lawama eti makampuni ya Kichina, Japan etc kuchukua kazi za wabongo ambao kuchakachua ndio jadi na mental happiness. Awe bilionea muda mfupi kwa kufanya ujenzi chini ya kiwango, mihela akajenge mahoteli na kuwa na magari ya kifahari. Anawapa rushwa wahusika kazi anachakachua. Watamfanya nini na wakithubutu atatoa SIRI nao wataipata? Hivyo kunakuwa hakuna kuchukua hatua maana wamelamba fweza wataadhirika.

Hebu angalia ujenzi wa Mlimani City DSM-kampuni ya NOREMCO ilivyojenga mjengo wa kutokuharibu ardhi kwa kuchimba chini kuondoa udogo bali kujenga ntumba bila kuharibu mazingira kwa kuiweka nyumba kwa kuishonelea kuu ya ardhi. Nyumba za hapo zina nyufa? Mbona madhubuti jengo za supermarket na nyumba za kupangisha kuishi watu.

Mtu unajiuliza-mafuriko yamemtia hasara miaka yote, kapewa kiwanja mabwepande kakiuza; sasa wamepewa mabati na simenti-watauza. Kutokana na tabia hii inayojulikana, kwa nini serikali  isimpe mkandarasi aliyejenga nyumba za NHC za bei ya chini akawajengwa kule mambwepande akaipa kila familia nyumba yake kisha familia ilipe kiasi kilichobaki kidogo kidogo baada ya kutoa hayo mabati na mifuko ya simenti mia kila familia. Maana cement itaolowa mvua, itauzwa pamoja na vifaa vingine watasema-kuganga njaa? Mpe hiyo low cost house sio vifaa? hatuoni akili na tabia za mbongo?

Wakati mwingine issue ni kusimamisha ujenzi mara unapoonekana kuendelea mahala sipo au kuonekana una mashaka, sio kungojea uishe kuja kubomoa au libomoke ila mhusika akomoke kuingia ile gharama. Gharama ya kuuua na kukoza nyumba iliyobomoka ni ya mwenye nyumba au mkandarasi pekee. Na inapokuwa mmoja wa wamiliki washiriki  ni NHC-inakuwa ni aibu ilioje. Hata wewe NHC kukuwa mwangalifu. Ghorofa 10 inakuwa 16 nawe umo?

Tunategemea wenzetu toka nje kutusaidia kuokoa, lakini tunaona maafa yanavyotushinda kuyakamili itokeapo dharura kama kuokoa majini na kufukua waliopata ajali ya kuangukiwa jengo. Lakini tukimaliza kufukua-tunasahau. unapata mental fatigue. Hatuchangishi mamilioni toka akina wema wala Sabodo kuwreza kununua vifaa vya kuokolea. Ukichangisha vya kisiasa utapata. Lakini cha kuokolea-tabu kidogo. Mungu atusaidie na kutufunua macho.

--- On Sun, 31/3/13, Mwahija Juma <mwahija_juma@yahoo.com> wrote:

From: Mwahija Juma <mwahija_juma@yahoo.com>
Subject: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Sunday, 31 March, 2013, 11:27

Akifanya majumuisho katika hotuba ya matumizi ya ofisi yake bungeni kwamwaka 2008/09. Waziri Mkuu alizungumzia jinsi tume ya Lowassa ilivyofanya kazikatika sakata la ghorofa kuanguka jijini Dar es Salaam.

Pinda alilithibitishia Bunge kuwa zaidi ya maghorofa 100jijini Dar es Salaam yalibainika kuwa yalijengwa kinyume cha taratibu za ujenzi.Kwa mujibu wa ripoti iliyoundwa na Waziri Mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa,kati ya maghorofa 505 ambayo waliyakagua, 147 yalikutwa hayana nyaraka zaujenzi.

Lowassa aliunda tume baada ya jengo la Hoteli ya Chang'ombe Village Inn, Keko,Dar es Salaam kuanguka mwaka 2006 na kuua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.Ilidaiwa kwamba ulikuwapo ukiukwaji katika ujenzi wake.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliliambia Bunge kuwa tume hiyo ya Lowassa, ilibainikuwa ukaguzi huo, pia maghorofa 81 yalikutwa yamekiuka masharti ya ujenzi hukumaghorofa mengine 22 wenyewe hawakupatikana na yalikuwa yamejengwa bilakuzingatia sheria za ujenzi pamoja na uzembe wa baadhi ya watendaji wakiwamowahandisi wa manispaa husika.


1.Pinda asemebaada ya kukabidhiwa ripoti hii alimwajibisha nani tangu 2008 hadi sasa?
2.Watanzaniatupo tayari kuletewa danganya toto ya Tume nyingine ikalete majibu yaliyoko kwaPinda mezani?
3.Kwa Uzembehuu, Pinda ameshiriki kwa kuwa hawakuwawajibisha waliojenga kinyume nautaratibu hadi watanzania wengine wakafa. Zamu hii hata akilia anahusika!
4.Tangu tumezianze kuundwa kuhusu maafa ni akina nani walichukuliwa hatua. – Tangu MVBukoba hadi Tume ya matokeo ya Kidato cha Nne.
5.Watanzania Tumechokakuneemesha mifuko ya wajumbe wa Tume, na kufilisi rasilimali zetu. PINDAAJIUZULU.



--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


Read More :- "Re: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA"

[wanabidii] The simplicity of China-Africa relations


 
 
Good people,
 
 
China is expanding and greasing corruption in Africa using corrupt leaders
who agree to steal from taxpayers. Chinese influence in Africa is taking away
wealth and resources from Africa to boost their Economy. When they do not
pay taxes, how is that profiting Africa in return.........How will Africa manage
to get out of their poverty mess and maintenance and replenish the tear and
wear from environmental destruction Chinese commit in Africa if there is no
taxes paid in return.........??? How is their activities profiting Africa ???
 
 
 
Judy Miriga
Diaspora Spokesperson
Executive Director
Confederation Council Foundation for Africa Inc.,
USA
http://socioeconomicforum50.blogspot.com
 
 
 


On Sun, Mar 31, 2013 at 8:08 PM, Mike Ikwalala <ikwalala@gmail.com> wrote:
To me, this is yet another oversimplification of a subtle and complex relationship [with China] aimed at siphoning Africa's wealth without a fuss. Just as we have been unsuspectingly embracing every Western handout wrapped up in a 'development support' packaging, we're in for another shock of a generation. Chinese are not stupid. They know what they are doing. We don't. The African mindset has hardly changed for the last 50 years when it comes to dealing with foreign partnerships. We still get lured to bed so easily by every 'monied' man who approaches us. We don't seem to learn any lessons from the harsh treatments of the last 50 years partnership and alliances.

Yes, we need FDI to flow in so we can keep up with the global economical trend. Yes, we can't ignore China in its upsurge to global dominance. My only worry is, are we doing something different from what we have been doing for the last 5 decades when it comes to closing deals that have national implications? From what I can see, it's business as usual. It's all about political stunt and appearing 'investment friendly'. But in the end, it's not the Chinese who will lose, it's (as always) we!


On Sun, Mar 31, 2013 at 6:55 PM, <abduldello@gmail.com> wrote:
 
A friend in need is not always a friend indeed!
 
 
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network
From: Mobhare Matinyi <matinyi@hotmail.com>
Date: Sun, 31 Mar 2013 15:06:58 +0000
Subject: RE: [Mabadiliko] The simplicity of China-Africa relations

We have the responsibility to defend and protect our country; the Chinese won't.

Subject: Re: [Mabadiliko] The simplicity of China-Africa relations
To: mabadilikotanzania@googlegroups.com; wanabidii@googlegroups.com
From: abduldello@gmail.com
Date: Sun, 31 Mar 2013 06:45:41 +0000

Well saidi Matinyi, but there is more to look at the China - Tanzania relationship. It is probably not just counterfeit and low quality products, it is also about the involvement of Chinese companies in corruption to win big construction bids (especially road construction) and leaving us with jobs half done. We pay for these constructions through big loans that have almost doubled our national debt within just two years. Its our own stupidity yes, but coming from a long time friend is not a big deal. China knows about all this, and nobody knows if these companies get their Government support to do what they do.

Regardless of what we hear and see, we must be very careful not to end up in having a counterfeit relationship with China.

Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network
From: Mobhare Matinyi <matinyi@hotmail.com>
Date: Sun, 31 Mar 2013 05:00:09 +0000
To: Mabadiliko<mabadilikotanzania@googlegroups.com>; Wanabidii googlegroups<wanabidii@googlegroups.com>
Subject: [Mabadiliko] The simplicity of China-Africa relations

The simplicity of China-Africa relations

Mobhare Matinyi, Washington DC. The Citizen, Tanzania. Thursday, 28 March 2013 20:30.

Just ten days after taking office as the leader of the People's Republic of China, President Xi Jinping landed in Tanzania on Sunday to begin his three-nation historic tour of Africa that included South Africa and the Republic of the Congo. He had just concluded his first foreign tour in Russia.

President Xi's visit to Russia was explicable, but his decision to come to Africa before anywhere else stunned and even angered Western capitals and their biased press which always sees the worst side of Africa. He didn't care!

Perhaps what was more surprising was Xi's decision to start his visit in Tanzania, arguably the real friend of China in Africa for five decades now. Fine, a third of Sino-Africa trade is with South Africa, and Congo-Brazzaville supplies crude oil, but why Tanzania?

To quickly recap, Tanzania started relations with China immediately after the independences of Tanganyika and Zanzibar, and continued after the unification in 1964. Tanzania and China signed the Treaty of Friendship in February 1965 when President Julius Nyerere visited the country in the first of his five visits although economic, technical and military relations had already started in 1964.

Several agreements and visits by civilian and military leaders of the two countries followed including three Tanzanian presidents who came after Nyerere, and three Chinese premiers starting with Zhou Enlai in 1965, Zhao Ziyang in 1983, and Li Peng in 1997.

When the then Chinese president, Hu Jintao, visited Tanzania in February 2009, the leader of the world's most populous nation and the emerging superpower noted admirably in his speech that the China-Tanzania relationship had become "a model for both China-Africa and South-South cooperation."

The stories of China and Tanzania go centuries beyond modern history, a reason why Kilwa archaeological excavations recovered many Chinese coins dating to the Song Dynasty which ruled China between 960 and 1279. Yes! That far back!

The Chinese will never forget how Tanzania led other African nations in supporting Beijing's efforts to regain its seat at the United Nations, kicking out the Taiwan-based Republic of China.

Between the two friendly countries there is a lot to justify their closiness, like the Tanzania-Zambia Railway (Tazara), and much more in foreign policy and ideological matters to warrant Xi's decision to pay such an honourable visit to the United Republic of Tanzania. Putting it short and simple, Tanzania and China are friends in need and indeed.

But again, why did he choose to visit Africa after Russia, snubbing the big powers? President Xi wanted to send the message that China is serious about its relations with Africa. Why Africa? Well, historical ties are there, but in addition to that China needs Africa and Africa needs China, and between them there is neither hypocrisy nor hidden agenda.

I like the way Tanzanian President Jakaya Kikwete puts it every time the Western press bothers him. In one incidence in December 2011 he said: "Africa needs markets for its products; Africa needs technology and infrastructure for its development. China is ready to provide all that. What is wrong with that?"

Speaking in Washington DC in 2009 at the United States-Africa Business Summit, President Kikwete told Americans: "Why complain about China? Just come to Africa and invest the way the Chinese are doing."

There is nothing complicated between China and Africa; it is give and take. Africans are aware of the situation that exists currently in which China seems to benefit more, but these things can be settled out with time and without the help of the West. Some of these challenges are counterfeit products, the sudden growth of the Chinese diaspora in African cities, and the poor quality of Chinese workmanship.

But I don't agree with those who lament that China buys raw materials from Africa but brings in finished goods. Come on! Who prevented Africans from doing the opposite?

As we speak today, annual China-Africa trade stands at $200 billion, and if the trend continues Africa will soon surpass the sluggish economies of the US and the European Union. Shockingly, US-Africa trade stands slightly below $100 billion, while the EU is taking forever to conclude an economic partnership agreement with Africa.

If that is the case then, why should President Xi bother about the "powerful" West? Is that difficult to figure out? Again, China has what Africa needs and Africa has what China needs, and that is all we need in our mutual understanding and respect as Xi told the world and Africa on Monday. Nothing is complex!

Probably, it is time for those who trumpet aloud about new Chinese colonialism to Africa to be realistic. Africans want to move forward and they have no time with anyone who wants to impose their will on others. Africans are growing tired of receiving charitable donations and being lectured endlessly; let the world understand!

http://www.thecitizen.co.tz/editorial-analysis/20-analysis-opinions/30043-the-simplicity-of-china-africa-relations

China-Africa Relations Scrutinized in AfDB's New Book

20/09/2011
galerie-china eng1galerie-china eng3galerie-china eng2

The African Development Bank today released a book titled "China and Africa, An Emerging Partnership for Development?" In recent years, China has been the prominent emerging partner for most of Africa and new China-Africa relations have generated heated debates. Is China really the sole winner in its relations with the African continent? This book challenges this idea by analyzing opportunities and challenges for both parties.

According to AfDB Vice-President and Chief Economist, Mthuli Ncube, "China's growing presence reflects this country's growing economic and political power in the world and its appetite for natural resources of some African countries aims to fuel its economic expansion." On the one hand, China needs natural resources; on the other, it plays an important role in providing financing and expertise needed for the continent's development.

Trade between Africa and China is quite substantial. In 2009, trade flows rose to 93 billons dollars, an eight-folds increase in a decade. African exports to China come mainly from the four resource rich countries. Indeed, natural resource and oil exports account for three-quarters of Africa's exports to China and only six countries receive two-thirds of Africa's total imports from China.

Chinese trade and investments are mainly related to extractive industries and infrastructure. More than 35 African countries benefit from funds in this sector. Investments increased seven-folds in six years. Improved infrastructure facilitates African products access to regional and international markets. Opening special economic zones run by Chinese offers additional opportunities to strengthen manufacturing capacities in many African countries.

China's growing role is complementary to those of Africa's long-standing traditional development partners, who are still dominant in terms of official development assistance, trade and investment. In addition, these traditional partners often provide some forms of aid such as budget support, which is very effective. The Bank considers that traditional donors and emerging partners such as China complement each other. The AfDB wishes to leverage Chinese resources and development expertise for the benefit of African economies.

This new book is the culmination of Bank work in the framework of the "China in Africa" project. It contains contributions by some of the leading experts in China-Africa relations, and received financial support from the UK Department for International Development (DFID).

Related News

Documents

 
 
 
 


 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
Read More :- "[wanabidii] The simplicity of China-Africa relations"

[wanabidii] Fw: Real Peace is in Wisdom........Kwe gi Lamo........!!!


 
 
Good friends,
 
 
 
Culturally healthy, valuable and excellent.........salamu kwa Mali ya Mungu.......
 
 
 
Ogwe chalre kata obed ogwe lwanda duto chalre. Docta
ka docta bende osomo thieth, to Docta ka docta ni gi
mare...... chuopo mar sandan opogore to docta ka docta
ni gi mage ......Check it out......
 
 
 
Aseyie.....Wabiro ......!!!
 
 
 
Judy Miriga
Diaspora Spokesperson
Executive Director
Confederation Council Foundation for Africa Inc.,
USA
http://socioeconomicforum50.blogspot.com
 
 
 
 
 
Mwihaki - Tupendane New Kenyan Gospel music 2013 Ugrecords1
 
 
 
 
 
ANITA-MATONYA
 
 
 
 
 
SUPER SHINE MODERN TAARAB WAKIKAMUA NDANI YA DAR LIVE
 
 
 
 
Jaguar- Kigeugeu (Official Ogopa Video ).mp4
 
 
 
 
Taarab: Tupendane
Uploaded on Mar 8, 2009

Taarab/ Swahili music by Jahazi Modern Taarab

 
 
 
 
AVSEQ07 WIVU NI YA NINI
 
 
 
 
 
Benta Nyar Koyugi
This is a very good song but those who want to pretend that they can cross to other cultures will undermine it. We have to promote our culture otherwise we'll loose our own values and get colonized.
 
 
 
 
 
obongi masira by Okinyo Flory
 
 
 
 
 
OLELE
 
 
 
 
Hussein Machozi - Nafasi
 
 
 
 
 
Kenya Blue Stars: Sina Kisomo (Ayoo)
Uploaded on Dec 2, 2011

Yep. The guys from early 1980's essentially played benga in Kiswahili

 
 
 


 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
Read More :- "[wanabidii] Fw: Real Peace is in Wisdom........Kwe gi Lamo........!!!"

Re: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA

Dr Mlingwa.
Hizo boards, na hata ofisi ya waziri mkuu, zina uhuru na mamlaka ya kuamua chochote? Tangu Chang'ombe mwaka 2008 hadi leo majengo mangapi
yameporomoka? Wiki iliyopita bodi ya wakandarasi imesitisha shughuli za contractors wengi tu. Ni mwanzo wa meno kuota katika fizi za toothless bulldog au ni window dresssing? Basi sasa tuone viwanda vya nondo za udongo na cement rebagging vikichukuliwa hatua. La sivyo ni business as usual.

Waktabahu.
Mwichuxulu Munjogope
Sent from Yahoo! Mail on Android



From: George Mlingwa <gmlingwa@yahoo.co.uk>;
To: wanabidii@googlegroups.com <wanabidii@googlegroups.com>;
Subject: Re: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA
Sent: Sun, Mar 31, 2013 4:07:21 PM

Tukio hili linasikitisha na kuhuzunisha. Kuna vyombo vilivyo na dhamana kisheria kuhakikisha kuwa tukio kama hili halitokei. Vyombo hivi - National Construction Council (NCC), Engineers registration Board (ERB), National Board of Architects and Quatity Surveyors (NBAQS), Contractors  Registration Board (ERB) na Manispaa ya Ilala vitueleza kwanza nini kimetokea kabla ya kunyosha vidole kwa wanasiasa. Tusimwonee Waziri Mkuu.
Dr. George Mlingwa
 

From: "hkigwangalla@gmail.com" <hkigwangalla@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Sunday, 31 March 2013, 18:45
Subject: Re: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA

Pole Mwahija lakini Pinda unataka kumuonea tu bure, yeye kwani ni Mhandisi?
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
From: Mwahija Juma <mwahija_juma@yahoo.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sun, 31 Mar 2013 04:27:31 -0700 (PDT)
To: wanabidii@googlegroups.com<wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA

Akifanya majumuisho katika hotuba ya matumizi ya ofisi yake bungeni kwamwaka 2008/09. Waziri Mkuu alizungumzia jinsi tume ya Lowassa ilivyofanya kazikatika sakata la ghorofa kuanguka jijini Dar es Salaam.

Pinda alilithibitishia Bunge kuwa zaidi ya maghorofa 100jijini Dar es Salaam yalibainika kuwa yalijengwa kinyume cha taratibu za ujenzi.Kwa mujibu wa ripoti iliyoundwa na Waziri Mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa,kati ya maghorofa 505 ambayo waliyakagua, 147 yalikutwa hayana nyaraka zaujenzi.

Lowassa aliunda tume baada ya jengo la Hoteli ya Chang'ombe Village Inn, Keko,Dar es Salaam kuanguka mwaka 2006 na kuua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.Ilidaiwa kwamba ulikuwapo ukiukwaji katika ujenzi wake.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliliambia Bunge kuwa tume hiyo ya Lowassa, ilibainikuwa ukaguzi huo, pia maghorofa 81 yalikutwa yamekiuka masharti ya ujenzi hukumaghorofa mengine 22 wenyewe hawakupatikana na yalikuwa yamejengwa bilakuzingatia sheria za ujenzi pamoja na uzembe wa baadhi ya watendaji wakiwamowahandisi wa manispaa husika.


1.Pinda asemebaada ya kukabidhiwa ripoti hii alimwajibisha nani tangu 2008 hadi sasa?
2.Watanzaniatupo tayari kuletewa danganya toto ya Tume nyingine ikalete majibu yaliyoko kwaPinda mezani?
3.Kwa Uzembehuu, Pinda ameshiriki kwa kuwa hawakuwawajibisha waliojenga kinyume nautaratibu hadi watanzania wengine wakafa. Zamu hii hata akilia anahusika!
4.Tangu tumezianze kuundwa kuhusu maafa ni akina nani walichukuliwa hatua. – Tangu MVBukoba hadi Tume ya matokeo ya Kidato cha Nne.
5.Watanzania Tumechokakuneemesha mifuko ya wajumbe wa Tume, na kufilisi rasilimali zetu. PINDAAJIUZULU.



--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
Read More :- "Re: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA"

Re: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA

Dr Mlingwa.
Hizo boards, na hata ofisi ya waziri mkuu, zina uhuru na mamlaka ya kuamua chochote? Tangu Chang'ombe mwaka 2008 hadi leo majengo mangapi
yameporomoka? Wiki iliyopita bodi ya wakandarasi imesitisha shughuli za contractors wengi tu. Ni mwanzo wa meno kuota katika fizi za toothless bulldog au ni window dresssing? Basi sasa tuone viwanda vya nondo za udongo na cement rebagging vikichukuliwa hatua. La sivyo ni business as usual.

Waktabahu.
Mwichuxulu Munjogope
Sent from Yahoo! Mail on Android



From: George Mlingwa <gmlingwa@yahoo.co.uk>;
To: wanabidii@googlegroups.com <wanabidii@googlegroups.com>;
Subject: Re: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA
Sent: Sun, Mar 31, 2013 4:07:21 PM

Tukio hili linasikitisha na kuhuzunisha. Kuna vyombo vilivyo na dhamana kisheria kuhakikisha kuwa tukio kama hili halitokei. Vyombo hivi - National Construction Council (NCC), Engineers registration Board (ERB), National Board of Architects and Quatity Surveyors (NBAQS), Contractors  Registration Board (ERB) na Manispaa ya Ilala vitueleza kwanza nini kimetokea kabla ya kunyosha vidole kwa wanasiasa. Tusimwonee Waziri Mkuu.
Dr. George Mlingwa
 

From: "hkigwangalla@gmail.com" <hkigwangalla@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Sunday, 31 March 2013, 18:45
Subject: Re: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA

Pole Mwahija lakini Pinda unataka kumuonea tu bure, yeye kwani ni Mhandisi?
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
From: Mwahija Juma <mwahija_juma@yahoo.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sun, 31 Mar 2013 04:27:31 -0700 (PDT)
To: wanabidii@googlegroups.com<wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA

Akifanya majumuisho katika hotuba ya matumizi ya ofisi yake bungeni kwamwaka 2008/09. Waziri Mkuu alizungumzia jinsi tume ya Lowassa ilivyofanya kazikatika sakata la ghorofa kuanguka jijini Dar es Salaam.

Pinda alilithibitishia Bunge kuwa zaidi ya maghorofa 100jijini Dar es Salaam yalibainika kuwa yalijengwa kinyume cha taratibu za ujenzi.Kwa mujibu wa ripoti iliyoundwa na Waziri Mkuu aliyejiuzulu Edward Lowassa,kati ya maghorofa 505 ambayo waliyakagua, 147 yalikutwa hayana nyaraka zaujenzi.

Lowassa aliunda tume baada ya jengo la Hoteli ya Chang'ombe Village Inn, Keko,Dar es Salaam kuanguka mwaka 2006 na kuua mtu mmoja na kujeruhi wengine kadhaa.Ilidaiwa kwamba ulikuwapo ukiukwaji katika ujenzi wake.

Waziri Mkuu Mizengo Pinda aliliambia Bunge kuwa tume hiyo ya Lowassa, ilibainikuwa ukaguzi huo, pia maghorofa 81 yalikutwa yamekiuka masharti ya ujenzi hukumaghorofa mengine 22 wenyewe hawakupatikana na yalikuwa yamejengwa bilakuzingatia sheria za ujenzi pamoja na uzembe wa baadhi ya watendaji wakiwamowahandisi wa manispaa husika.


1.Pinda asemebaada ya kukabidhiwa ripoti hii alimwajibisha nani tangu 2008 hadi sasa?
2.Watanzaniatupo tayari kuletewa danganya toto ya Tume nyingine ikalete majibu yaliyoko kwaPinda mezani?
3.Kwa Uzembehuu, Pinda ameshiriki kwa kuwa hawakuwawajibisha waliojenga kinyume nautaratibu hadi watanzania wengine wakafa. Zamu hii hata akilia anahusika!
4.Tangu tumezianze kuundwa kuhusu maafa ni akina nani walichukuliwa hatua. – Tangu MVBukoba hadi Tume ya matokeo ya Kidato cha Nne.
5.Watanzania Tumechokakuneemesha mifuko ya wajumbe wa Tume, na kufilisi rasilimali zetu. PINDAAJIUZULU.



--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
Read More :- "Re: [wanabidii] SAKATA LA GHOROFA, PINDA AJIUZULU HARAKA"