Monday 16 December 2013

Re: [wanabidii] Hongera Rais Jakaya Kikwete kwa hotuba nzuri mazishi ya Mandela

Hii ni Hotuba.
Ilikuwa na sehemu kubwa mbili:
Simulizi ya mambo yaliyopita-uhusiano wa Tanzania na SA TANU/CCM na ANC
Sehemu ya pili ndicho kiini cha hotuba ikionyesha kwa nini tuendelee kuwa na mahusiano mazuri, Kwa nini Sa haiko peke yake katika msiba huu.
Kumbuka na maneno ya mkaribishaji wake ambayo yalionekana baadaye kuwa mkaribishaji alijua Jk ataongea nini. It was very briliant na ningemtaka Jk kuwa wakwanza kuiishi hotuba yake.

From: John George <georgejn2000@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Sunday, December 15, 2013 9:50 PM
Subject: Re: [wanabidii] Hongera Rais Jakaya Kikwete kwa hotuba nzuri mazishi ya Mandela

Kikwetu ametoa simulizi ya kweli katika hotuba yake nzuri leo Afrika kusini. Tuendelee kujifunza namna ya kuleta mabadiliko kama viongozi wetu hawa wa zamani. 

Ni vizuri kujifunza kutambua mema wanayotenda wengine na kupongeza, badala ya kukosoa kila jambo. Bado sijaona umuhimu wa kubeza alichosema JMK kuhusu JKN na Mandela enzi hizo za kupinga ubaguzi wa rangi AK


On Sun, Dec 15, 2013 at 6:36 PM, Fakhi Karume <fkarume@gmail.com> wrote:


On Sun, Dec 15, 2013 at 6:22 PM, Bariki Mwasaga <bmwasaga@gmail.com> wrote:
Kaka Nico hujanisoma mkuu wangu
On Dec 15, 2013 6:06 PM, "Nicomedes Kajungu" <nicomedes76@gmail.com> wrote:
Bariki

 Kwahiyo kusimulia namna Madiba alivyofika Dar, mvua ikanyesha, watu wakaendelea kukomaa kando ya barabara kumlaki shujaa, kuacha buti zake n.k sio simulizi za kweli?

Nafikiri tuishie hapa maana sipendi kuonekana nakuwa mbishi.



_________________________________________________
Nicomedes M. Kajungu
General Secretary
National Union of  Mines and Energy Workers  of Tanzania.
(NUMET)
P.O.Box 7733, Mwanza.
 +255 782 315 688+255 767 48 32 71,      +255 719 451 850
Skype add: nkajungu


On 15 December 2013 17:47, <dekleinson@gmail.com> wrote:
Kaka Bariki,
Nothing less demanded.
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


0 comments:

Post a Comment