Monday 16 December 2013

Re: [wanabidii] Clement Mabina auwawa na wananchi wenye hasira , Mwanza


Ofcourse Comrade Ndaki;
Nimekupata vizuri,tatizo ni kubwa na sio la upande mmoja na inawezekana kabiza tumechoka kuwa tunasubiri haki kwa muda mrefu pasipo matumaini,hivyo tunaamua kufanya shortcuts.
Bila ya Viongozi kuonyesha mfano katika utii wa sheria na utawala bora kamwe hakutakuwepo na amani tunayoitaka,katika ngazi yoyote ya uongozi iwe familia,ukoo,taasisi n.k lazima kiongozi/uongozi uwe mfano katika mabadiliko au utendaji ndipo wengineo wa chini wataweza kufuata, mfano unataka watumishi wote wavae unifomu then wewe CEO huvai unategemea nini au kuwahi kazini then wewe unachelewa utawezaje kuwachukulia hatua wanaokaidi?hapo si zitakuwa fujo tu kama hizi za Zoo
Siasa zisizo na mipaka ya utendaji ndio zinaharibu sana inji hii,watu wanazani akiwa Waziri,Mbunge n.k basi yupo juu ya sheria na anaweza kufanya chochote.Ni uhuni tu na kufilisika fikra

Reuben


On Monday, December 16, 2013 7:17 PM, "hosea.ndaki@gmail.com" <hosea.ndaki@gmail.com> wrote:
Reuben, ni kweli yapo yakujifunza kutoka pande zote, kwanza utoaji haki katika maswala ya ardhi unachelewa mno na haueleweki, magufuli alianzisha mabaraza ya ardhi kwa ngazi ya mbalimbali haya yalisaidia kupatanisha migogoro mingi ya ardhi, lakini sijui yalifia wapi!

Pili, upo ujinga wa kudhani ukiwa na cha moto basi wewe ni mbabe, mtu yuko bar akibugudhiwa anachomoa cha moto, watu wanabishana kwenye vikao wanachomoleana bastola, kimada akikuzingua unatoa silaha!

Tatu, lipo tatizo la nguvu ya umma, waendesha bodaboda ni mfano mbaya, anakuja amelewa kabeba mshikaki na amegonga gari mwenyewe lakini watakuzingira hadi utanunua mpya,

mzee anakuja anauza shamba akijitibu au ahamie kwa binti yake mjini, ukinunua anakuja mtoto mtu yuko gongo anataka utoke shamba la babayake, bila kujali pesa yako ndo iliyomtibu babayake.


----------
Sent from my Nokia phone

------Original message------
From: Reuben Mwandumbya <ipyana75@yahoo.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Sunday, December 15, 2013 10:11:07 PM GMT-0800
Subject: Re: [wanabidii] Clement Mabina auwawa na wananchi wenye hasira , Mwanza

Comrade Ndaki;
Unatoa ushauri kwa upande mmoja tu wa wauwaji wasakwe wachukuliwe hatua,hapa bado hakuna chochote kwa upande wa pili.
Je wakisha sakwa na kuchukuliwa hatua nini kifanyike kwa Viongozi wa aina hii ambao wapo kwa maslahi binafsi?au ndo tuendelee kuogopa ili tuendelee kudhulumiwa?Inji hii ni ya wote sio ya Viongozi pekee,kama ndaki Mh. Diwani angezingatia utawala wa Sheria haya tusingekuwa tunayaongelea hapa sasa.

Reuben.




On Sunday, December 15, 2013 11:12 PM, Magora Hassan <magorah15@gmail.com> wrote:

Hali hii inatusha
>Rgrds
>Magora
>On Dec 15, 2013 6:35 PM, "Fakhi Karume" <fkarume@gmail.com> wrote:
>
>Hii ni picha yake baada ya kufikishwa hospitali 
>>
>>
>>
>>
>>On Sun, Dec 15, 2013 at 6:07 PM, <hosea.ndaki@gmail.com> wrote:
>>
>>Tanzania sio car wala libya wauaji wasakwe wakamatwe na sheria ichukue mkondo wake, tukiruhusu ushenzi huu sasa hivi amani itapotea, sinagogi lililojengwa kwa miaka mitatu tusiruhusu libomolewe kwa siku tatu.
>>>
>>> ----------
>>>Sent from my Nokia phone
>>>
>>>
>>>------Original message------
>>>From: Nzweke Mussa <tugutunm@gmail.com>
>>>To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
>>>Date: Sunday, December 15, 2013 3:26:58 PM GMT+0300
>>>Subject: Re: [wanabidii] Tetesi - Clement Mabina auwawa na wananchi wenye hasira , Mwanza
>>>
>>>Ni kweli ameuawa na wananchi wenye hasira kali kule kisesa- Magu, Mwanza.
>>>Source: Breaking news ITV na Star Tv.
>>>
>>>Nzweke Mussa Tugutu
>>>Area Sales Executive
>>>Nyanza Bottling Co. Ltd
>>>Custom road/Uganda rd
>>>Box 1242
>>>Bukoba, Tanzania.
>>>Phone:+255282222155
>>>Fax:      +255282222155
>>>Cell:     +255754 894535
>>>cell:      +255784 894535
>>>Mail ID:tugutunm@yahoo.com
>>>            tugutunm@gmail.com
>>>twiter: Nzweke Mussa @Tugutu
>>> On Dec 15, 2013 3:09 PM, "Vincent Mhangwa" <vmhangwa@gmail.com> wrote:
>>>
>>>> Tuko pabaya sana inchi hii.
>>>>
>>>>
>>>> On 15 December 2013 14:48, <dekleinson@gmail.com> wrote:
>>>>
>>>>> Nimeuliza mtu wa Mwanza anasema nae "anasikia" ni kweli ila sio KISEKE ni
>>>>> KISESA ambako yeye (Mabina)ndio diwani wa huko!!
>>>>> Mwenye ukweli atujuze zaidi!
>>>>> Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.
>>>>>
>>>>> --
>>>>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>>>>
>>>>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>>>>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>>>>> ukishatuma
>>>>>
>>>>> Disclaimer:
>>>>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>>>>> legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>>>>> must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>>>>> agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>>>> ---
>>>>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>>>>> "Wanabidii" group.
>>>>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>>>>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>>>>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>>>>
>>>>
>>>>  --
>>>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>>>
>>>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>>>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>>>> ukishatuma
>>>>
>>>> Disclaimer:
>>>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
>>>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
>>>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>>>> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>>> ---
>>>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>>>> "Wanabidii" group.
>>>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>>>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>>>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>>>
>>>
>>>--
>>>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>>
>>>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>>>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>>>
>>>Disclaimer:
>>>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>>---
>>>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>>>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>>>For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>>
>>>--
>>>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>>
>>>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>>>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>>>
>>>Disclaimer:
>>>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>>---
>>>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>>>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>>>For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>>
>>
--
>>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> 
>>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>> 
>>Disclaimer:
>>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>---
>>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>>For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
--
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

>Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>---
>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment