Wakfu wa Mo Ibrahim katika mkutano na waandishi wa habari mjini London, umesema kuwa baada ya kutafakari kwa makini, wamemkosa mshindi wa tuzo hiyo mwaka huu wa 2013.
Huu umekuwa ni mwaka wa nne kwa bara la Afrika kukosa kiongozi mstaafu anayestahili kutunukiwa tuzo ya Mo Ibrahim.
Tuzo ya Mo Ibrahim ilizinduliwa miaka saba iliopita. Kiongozi wa kwanza kupewa tuzo hiyo alikuwa ni Joachim Chisano, Rais
Huu umekuwa ni mwaka wa nne kwa bara la Afrika kukosa kiongozi mstaafu anayestahili kutunukiwa tuzo ya Mo Ibrahim.
Tuzo ya Mo Ibrahim ilizinduliwa miaka saba iliopita. Kiongozi wa kwanza kupewa tuzo hiyo alikuwa ni Joachim Chisano, Rais
mstaafu wa Msumbiji. Mwaka 1995, Festus Mogae aliyekuwa Rais wa Botswana 2008 alitunukiwa tuzo hiyo kabla ya kutunukiwa rais Pedro Pires wa Cape Verde mnamo mwaka 2011.
Tuzo ya Mo Ibrahim hutolewa kwa kiongozi aliyeteuliwa katika misingi ya kidemokrasia, ambaye amestaafu kwa kipindi cha miaka mitatu na ambaye uongozi wake uliheshimu sheria na misingi ya utawala bora.
Tuzo hiyo huambatana na:-
Mo Ibrahim ni mfanyabiashara bilionea, raia wa Uingereza mwenye asili ya Sudan.
Tuzo ya Mo Ibrahim hutolewa kwa kiongozi aliyeteuliwa katika misingi ya kidemokrasia, ambaye amestaafu kwa kipindi cha miaka mitatu na ambaye uongozi wake uliheshimu sheria na misingi ya utawala bora.
Tuzo hiyo huambatana na:-
Mo Ibrahim ni mfanyabiashara bilionea, raia wa Uingereza mwenye asili ya Sudan.
Source: http://www.wavuti.com/4/post/2013/10/ni-mwaka-wa-nne-mfululizo-hakuna-kiongozi-afrika-anayestahili-tuzo-ya-mo-ibrahim.html#ixzz2hlTPgwzk
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment