Tuesday 22 October 2013

[wanabidii] BARAZA LA MAWAZIRI LA KWANZA LA SERIKALI YA CCM MWAKA 1977

BARAZA LA MAWAZIRI LA KWANZA LA SERIKALI YA CCM LILILOUNDWA NA RAIS NYERERE MWAKA 1977.

1. Aboud Jumbe ......................(M.B.L.M-Zanzibar) makamu wa Rais
2. Edward M sokoine (monduli)...........waziri mkuu
3. Rashid M. kawawa(liwale)..............waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga Taifa
4. Alhaj Hasnu makame(aliteuliwa-zanzibar)........waziri wa nchi ofisi ya Rais ustawishajiwa makao makuu.
5. Amir H. jAMAl (morogoro).....................waziri wa mawasiliano na uchukuzi
6. Cleopa D Msuya(aliteuliwa)....................waziri wa viwanda.
7. John S. Malecela(dodoma vijijini)...........waziri wa kilimo
8. Alfed c. Tandau(MBINGA).....................Waziri asiye na wizara maalum
9. Hassan Nasoro Moyo( M.B.M-Zanzibar).. waziri wa mambo ya ndani ya nchi
10.Julie c manninga(aliteuliwa)..................waziri wa sheria
11.Alphonce Rulegura(sengerema)............waziri wa biashara
12.Nicholus kuhanga(mbunge wa taifa).....waziri wa elimu ya taifa
13.Dkt leader strling(mbunge wa taifa).....waziri wa afya
14.S.A.Ole saibul(arusha)................waziri wa maliasili na utalii
15.Tabitha siwale(aliteuliwa)..........waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo mijini
16.Crispin Tungaraza..................(mbunge wa taifa)waziri wa kazi na ustawi wa jamii
17.Anour kassum(aliteuliwa).........waziri wamaji, umeme na madini.
18.IsacK A. sepetu................(aliteuliwa) waziri wa habari na utangazaji
19.Edwin Mtei (aliteuliwa)............waziri wa fedha na mipango
20.Benjamin Mkapa(aliteuliwa)......waziri wa mambo ya nchi za nje.
21.Abel k. mwanga(msoma mjini).. waziri wa maendeleo ya watumishi
22.Abdalla s. natepe(M.B.M-zanzibar)waziri wa nchi ofisi ya Rais
23.Ali mzee Ali (M.B.M-Zanzibar)...waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Rais
24.Jacson makweta (njombe)........waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu.
25.Chediel y. mgonja(pare)......waziri wa utamaduni wa taifa navijana
26.Samwel J. Sitta(urambo).....waziri wa ujenzi.
27.Daniel M. machemba(mwanza) ..waziri asiye na wizara maalum

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment