Thursday 3 October 2013

Re: [wanabidii] KILIO CHA AJIRA NCHINI SASA NEXT LEVEL

Mzuri

Kila kazi inahitaji mahitaji yake hata huko ulimwenguni siyo kila kazi
inamfaa mtu ambaye hana uzoefu. ILO wenyewe wakitangaza kazi huwa
tunaona wanachotaka.


2013/10/2 Juma Mzuri <jumamzuri@gmail.com>
>
> TANAPA LEO HII INATANGAZA KAZI, KWANZA WANAHITAJI WATU WENYE UWEZO MKUBWA WA ELIMU (MASTERS), HAIJAISHIA HAPO WANAHITAJI MTU HUYO ANAYEOMBA KAZI AWE NA UJUZI NA UZOEFU WA MIAKA ISIYOPUNGUA SABA (7) AKIWA KAZINI KWENYE FANI HIYO NA PIA AWE ALIKUWA KIONGOZI WA ENEO ALILOTOKA.
>
> HII NI TAASISI KUBWA YA SEREKALI NA ILIPASWA KUWA NDIYO KIMBILIO LA AJIRA KWA VIJANA WA KITANZANIA WALIOTOKA VYUONI.
>
> WAKATI HUO HUO TAKUKURU (PCCB) NAO WAMETANGAZA AJIRA WANAHITAJI VYETI VYA DARASA LA SABA NA HAWAHITAJI PROGRESSIVE REPORTS AU TRANSCRIPT PEKEE, BALI VITU HIVYO VIAMBATANE NA VYETI, HAPO WAMEWAWEKA WAPI WANACHUO MAELF KWA MAELFU WALIO GRADUATE MWAKA HUU.
>
> ANYWAYS, WADAU MNALIONAJE HILI KWA KUTUMIA PERSPECTIVE YA WANAVYUO??
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.




--
Bariki G. Mwasaga,
P.O. Box 3021,
Dar es Salaam, Tanzania
+255 754 812 387

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment