Wednesday 5 June 2013

Re: [wanabidii] Re: [Mabadiliko] Jakaya Kikwete must apologize; Rwandans say

Emmanuel.
Uko sahihi kama nilivyo sahihi. Na ndiyo Mazingira.
Unaweza kupatana na adui yako baada ya kumsamehe.
Kinachotafutwa hapa ni kusameheana.
Kama Kagame ameharakisha kuwasamehe aliowasamehe Sasa ni zamu yao nao kusema wanayomdai Kagame halafu wamsamehe pia.
Tanzania ilikuwa na wakimbizi 1994-1996 kutoka Rwanda. Wengi walikuwa wahutu. Swali moja la kujiuliza Walikimbia nini kama walikuwa wanaua? Bila kuwasikiliza ukamsikiliza Kagame tu utaishia kumuonea huruma na kuwaonea huruma watutsi kumbe na wahutu wanastahili kuonewa huruma maana genocide ilikuwa ya pande mbili. Kama Habyalimana au serikali yake ingedumu baada ya kuuawa tungekuwa tunasikia kuwa watutsi waliua wahutu.
Kikwete ameona kama ilivyokuwa kwa MPLA na UNITA na FRELIMO sawa na unavyoeleza kuwa ililazimika (KIKwete) kishaona kuwa inalazimika hawa kuongea. Tunaweza kumkubalia au kusubiri kila mmoja aseme sasa ni lazima waongee, labda baada ya miaka kadhaa. mafuvu yatakuwa yameongezeka ya pande mbili. Kikwete alilenga kuepusha hilo. Si jambo dogo kuwa sasa sauti moja imesema Kagame aongee na FDLR. Sauti hiyo moja ina tatu au nne nyuma yake. Tusubiri tuone


From: Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] Re: [Mabadiliko] Jakaya Kikwete must apologize; Rwandans say
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tuesday, June 4, 2013, 2:33 PM

Elisa,
Kwa kuongezea tu. MPLA ilizungumza na UNITA baada ya Savimbi kuuawa. Renamo hawakuwa na jinsi baada ya
wafadhili wao, makaburu, kupoteza mamlaka ya uongozi.
em

2013/6/4 Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
Elisa,
Utapatanaje na adui wako bila kumsamehe? Kagame alishatoa msamaha wa masharti kwa interahamwe lakini sijui kama hao FDLR wanataka mapatano. It takes 2 to tango.
em


2013/6/4 ELISA MUHINGO <elisamuhingo@yahoo.com>
Kupatana kunaopendekezwa na Kikwete sio kwa upande mmoja kusamehe upande mwingine. Ni Kila upande kueleza malalamiko yake. Maana yake na Kagame analalamikiwa na walio msituni. Wakae waongee kama Renamo na Fre;limo. MPLA na UNITA etc

--- On Tue, 6/4/13, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

From: Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] Re: [Mabadiliko] Jakaya Kikwete must apologize; Rwandans say
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tuesday, June 4, 2013, 9:20 AM


Dr. Kigwangala,
Asante kwa ufafanuzi. Lakini hata hivyo nadhani Kagame amefanya ya kutosha kuleta upatanishi Rwanda. Alitoa msamaha kwa kutumia gacaca na kuna Wahutu ambao wamerudi nyumbani bila bughudha. Hawa FDLR sijui malengo yao ni yapi. Ni chama cha siasa au ni jeshi la zamani lililotimuliwa Rwanda? Huwezi kuwa na majeshi mawili tofauti katika nchi moja na kuliita hilo suluhisho.
em

2013/6/4 Dr. Hamisi A. Kigwangalla <hkigwangalla@gmail.com>
Muganda,

Kumbe hukunielewa. Sijamdharau Kagame na Rwanda yake kwa udogo wake, bali nimesema watanzania kwenye hili ni lazima tumuunge mkono Rais wetu kwa vyovyote vile...na nimefananisha na ile hadithi ya ugomvi wa mdogo wako, kumaanisha udugu wetu kama watanzania na maslahi yetu kama watoto wa nchi hii, na kwamba hata kama mdogo wangu akichokoza mtu anayemzidi nguvu...amekosea, amepatia jambo la kwanza nitaingilia ugomvi na kupioga adui kwnza kisha nitamuambia dogo asirudie kuchokoza watu wanaomzidi msuli...nikamalizia kwa kusema kuwa Kagame anatuchukia watanzania kwa sababu ya kumnyima ardhi kwenye Africa mashariki na ndiyo maana hataki mgogoro wa waasi uishe mpakani kwake na Congo ili aendelee kuwa na influence na atafute namna ya kutanua presence yake kwenye ukanda huu wa Afrika ya mashariki na kati. Alichokisema Mkuu wetu wa majeshi ni jambo la kiungwana kabisa kuwa Kagame azungumze tu na wale waasi wa FDLR watafute suluhu ya kudumu kuliko kuendeleza vita indefinetely, sasa kwani hili nalo lina ubaya gani?


2013/6/4 Judy Miriga <jbatec@yahoo.com>
 
 
Rafiki Mpendwa,
 
 
Inawezekana Kagame amefanya mengi mazuri kwa nchi yake, lakini
ningependa jibu juu kama ni sawa kwake ku plan na kushirikiana kuuwa
wa Congo na kujasiri kina mama na kuwapa watoto wa Congo shida za
kuhamishwa makwao by force kutumia waasi ili aweze kupora mali za
wacongoman aweze kujimudu.......Kwa kushirika kwake kuingilia mambo
ya nchi ingina na kushirikiana akitumiwa kuvuruga Congo ni kosa kubwa
sana........kuna shahidi ametumika na Bosco na tena anazidi kutumika
na yule aliye chukua nafasi ya Bosco......ngoja kesi ianze ICC Hague uta
sikia mambo.......kwani Bosco si atasema.........na kisha atatuambia ni
nani mzungu wake anamtumikia kwa kuuwa wa Congo ili aweze kuwa
porea mali........dhulma hii kaka.......Ana hatia wacha ajiteteeeee......
 
 
Sababu ya kushirikiana kuiba mali za wakongoman by force to ku benefit
kwa mali za kuporwa kutoka nchi isiyo yake imemfanya amekua mbaya
zaidi.........Hata akiweza kupeleka nchi yake mbinguni, amekosa utu na
sina imani naye.........Itambidi na itakua ni lazima arudishe mali aliyo iba
za wacongoman na kujibu kwanini kaua wa Congo makwao bila sababu...
ndiposa nitaweza kutulia moyo wangu........
 
 
Kama anaweza shirikiana na chukua na kupora mali ya nchi ingine kwa
lazima, hapo ametukosea amani.......Leo ni Congo, kesho ni Kenya kisha
sikuzijazo itakua Tanzania........ A stitch in time saves nine.........
 


Judy Miriga
Diaspora Spokesperson
Executive Director
Confederation Council Foundation for Africa Inc.,
USA
http://socioeconomicforum50.blogspot.com

 
 

--- On Tue, 6/4/13, ezekiel kunyaranyara <ekunyaranyara@yahoo.co.uk> wrote
 
 
 
 
From: ezekiel kunyaranyara <ekunyaranyara@yahoo.co.uk>
Subject: Re: [wanabidii] Jakaya Kikwete must apologize; Rwandans say
To: "wanabidii@googlegroups com" <wanabidii@googlegroups.com>, "emuganda@gmail.com" <emuganda@gmail.com>
Date: Tuesday, June 4, 2013, 6:35 AM


 
EM,
 
Nafikiri huenda hauna takwimu sahihi za kuhalalisha kauli yako kwamba Kagame amefanya mengi kuliko JK. Hebu rudi uone kilichopo hapa na kisha ulinganishe na Rwanda. Mfano mdogo tu ni urefu wa barabara linganishaa zile zilzoko Rwanda. Hebu linganisha na mradi ya maji kwa idadi ya watu wanaopata maji siyo kwa statistics zinzweza kukudanganya. Fikiria tena upya hoja yako hata kama unamtizamo tofauti wa kisiasa na JK kwa hiyo ukaona kuwa hajafanya kitu.
Sent from Yahoo! Mail on Android


From: Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>;
To: <wanabidii@googlegroups.com>;
Subject: Re: [wanabidii] Jakaya Kikwete must apologize; Rwandans say
Sent: Mon, Jun 3, 2013 5:27:36 PM

Dr Kigwangalla,
Mbona jibu ni rahisi? Kama mdogo wangu amechokoza baunsa nitamwacha apate kichapo kwa kiasi fulani. Kama kichapo kikizidi nitaingilia kati kumnusuru. Udogo wa Kagame au Rwanda hauhusiki kwa vyovyote vile, na kwa mtu kama wewe kutaja hivyo inaonyesha how arrogant our leadership is. Hivi kama Rwanda ingekuwa as big as Nigeria msimamo wa Kikwete ungebadilika? Yaani msimamo huo unahusiana na ukubwa wa Rwanda? How pathetic. Rwanda is a sovereign state, no matter how small it is. Najua tu kwamba Kikwete ana allergy na Kagame kwa sababu Kagame amefanya mengi nchini mwake ambayo Kikwete hawezi hata kufikia robo yake.
em

On Mon, Jun 3, 2013 at 12:42 PM, Dr. Hamisi A. Kigwangalla <hkigwangalla@gmail.com> wrote
Emmanuel Muganda,

Bila kuathiri masharti ya katiba ya jamhuri ya muungano wa Tanzania, yanayokupa uhuru wa kusema lolote, naomba nikupinge na nikuulize swali moja tu...ukimkuta mdogo wako kachokoza baunsa na anachezea kichapo utafanyaje?

Kama kuna siku nitachokaa kumuunga mkono Rais wangu ni ile atakaporudi nyuma na kumeza matapishi yake kwenye hili...Kagame ni mtu mdogo sana na hatubabaishi...analeta vita kila sehemu kwa ujanja wake na uchu wa kutawala na kutamani kukuza empire yake kinyemela ili aijenge nchi yake. Kwani ni nani asiyejua hadithi ya namna alivyoingia kwenye power?
Awadanganye wengine, siyo watanzania. Kwenye hili nipo upande wa serikali kwa jua ama kwa mvua.

Regards,
HK.


On Mon, Jun 3, 2013 at 7:27 PM, A S Kivamwo <kivamwo@yahoo.com> wrote:
EM
Wewe unamwona JK kabugi na sie tunakuona wewe ndio unabugi!!



From: Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Monday, June 3, 2013 5:20 PM

Subject: Re: [wanabidii] Jakaya Kikwete must apologize; Rwandans say

Faiza,
I support the opposition but on this I think Kikwete amebugi.
Inaonekana angekuwa ni yeye rais wakati wa Idi Amin angefanya mapatano naye.
Utapatanaje na muuaji? If that is patriotism then to hell with it.
em


On Mon, Jun 3, 2013 at 6:48 AM, Faiza Hassan <antihongo@gmail.com> wrote:
Forget it Tanzania can't apologise instead other Tanzania leaders
including those in opposition should be patriotic and support
President.

On 6/3/13, Charles Banda <chasbanda@gmail.com> wrote:
> Genocide survivors have petitioned the UN Secretary General and U.S
> President over remarks made by Jakaya Kikwete, the President of the
> United Republic of Tanzania at the 21st African Union Summit on May
> 26th, 2013 in Addis Ababa, Ethiopia.
>
> In his remarks, Kikwete is quoted to have called upon the Rwandan
> government to "negotiate" with the Democratic Forces for the
> Liberation of Rwanda (FDLR), an issue that has raised anger among the
> genocide survivors in and outside of Rwanda.
>
> The FDLR rebel group is predominantly composed of members of the
> Interahamwe militia and the Armed Forces of Rwanda, who carried out
> the 1994 genocide against the Tutsi in Rwanda and have continued to
> conduct killings of innocent civilians in the Democratic Republic of
> Congo.
>
> During an enclosed meeting called by the UN Secretary General in Addis
> Ababa, Kikwete is also reported to have argued that since Kinshasa was
> in talks with the M23 rebels, then it was about time Kigali opened
> negotiations with the FDLR rebels. Kikwete also pushed argument to
> Uganda, stating that Uganda should do likewise with its Congo-based
> rebel force, Allied Democratic Forces (ADF).
>
> In a statement, released by Alice Umutoni, Vice Coordinator of the US-
> based organizing committee of the 19th Commemoration of the Genocide
> against Tutsi in Rwanda, the genocide survivors asked Kikwete to
> openly apologize to all survivors of the genocide in Rwanda and
> Rwandans in general, Congolese, Americans and many more people who
> have suffered from the FDLR terrorism.
>
> The Rwandan genocide survivors also argued that Kikwete was fully
> aware of the atrocities committed by the FDLR in Rwanda and DR Congo,
> and other rebels groups in Uganda, though he went ahead to make such
> ridiculous remarks.
>
> The petitioners stated that they were confident that the United States
> of America would not support this kind of political dealings that act
> as a setback to Rwanda's efforts to ensure peace in the DRC and the
> region as a whole.
>
> United States of America's leadership has made a commitment to fight
> the international terrorism, and marked FDLR as a terrorist group, UN
> also placed a five-million-dollar bounty on handing over some Rwandan
> genocide perpetrators, including Sylvestre Mudacumura, the FDLR
> supreme commander who is wanted by the International Criminal Court
> (ICC) on charges of crimes against humanity and war crimes, including
> murder, rape, torture and attacking innocent civilians.
 
 
--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 



--
"Vision is the ability to see the invisible!"
Hamisi A. Kigwangalla, MD, MPH, MBA
P.O.Box 22499,
Dar es salaam.
Tanzania.
Phone No: +255 754 636963
                +255 782 636963
website: www.peercorpstrust.org or www.hamisikigwangalla.com
Email: hamisi.kigwangalla@peercorpstrust.org or info@hamisikigwangalla.com
Skype ID: hkigwangalla
Blog: blog.hamisikigwangalla.com 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment