napendekeza twende polepole. Ni mbaya sana kama ikigundulika sio FFU waliorusha bomu hilo kama ilivyo mbaya sana ikigundulika kuwa ni wao. nafikiri Mbowe aharakishe kudhibitisha hilo na kama wameona vibaya vielelezo aeleze. Hili taifa tunalipeleka wapi? Bado siamini mimi kuwa askari wa FFU amefanya hivyo. Alivaa kiraia au kikazi? Hii haiwezi kutafsiliwa kama ya Mwangozi. Ni Ugaidi wa moja kwa moja na Serikali inapaswa kumshughulikia haraka kuliko inavyomshughulikia RPC wa Iringa wakati huo. Sidhani na sitegemei kama kweli askali amehusika wazi hivyo. jamani! Tuwe waangalifu. --- On Tue, 6/18/13, mngonge <mngonge@gmail.com> wrote:
|
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment