Waliokaribu naye wamuulize ENL atueleze kwa nini alisimamia kuteuliwa na baadaye kuchaguliwa kwa Mh Jakaya Kikwete mwaka 1995 na 2005 kwa njia zilizokuwa pamoja na kuwachafua washindani wengine wa Mh Kikwete kama Dr Salim Ahmed Salim na Mh. Frederick Sumaye. Pia muulize kama anaweza kuwaeleza Watanzania ilikuwaje yeye mtu msafi hasiye na fedha bali ushwaishi wa hoja akajiuzuru Uwaziri Mkuu mwaka 2008 bila kutueleza kwa uwazi na ukweli ni nani hasa aliyetuingiza kwenye hasara ya maisha kwa kuwapa mzigo akina Gire na Richmond yao? Yaani leo hii baada ya kuwabebesha mzigo Watanzania kwa kushiriki kuwasimika watawala hawa wa sasa leo anataka tumuamini na kumpa fursa atawale au yeye au mteule wake mwingine. Ebu atueleze ilikuwaje na sasa tumwelewe vipi hata kama ni kweli eti Mwl. Nyerere alimuonea yeye na kuwa eti wala hana fedha bali ni msafi. Sisi wengine hatuna ubaya naye kabisa na tunadhani anazo akili nyingi sana ila bado tunajiuliza maswali mengi kuhusu hao aliotupangia watutawale kwa miaka yote hii yangu 2005
...anawakana au anatawakubali na anataka kuendeleza pale watakapoachia eh? Hata tukingolewa kucha na macho tutasema kweli na kuuliza maswali magumu daima!!!
Mwl. Lwaitama
Date: Fri, 7 Jun 2013 05:46:38 -0700
From: elisamuhingo@yahoo.com
Subject: Re: [wanabidii] LOWASSA: NINA WATU SI FEDHA
To: wanabidii@googlegroups.com
I was just responding to EM's approval that EL has no maney but people. If this is true then nyerere was wrong in 1995
--- On Fri, 6/7/13, Godfrey Ngupula <ngupula@yahoo.co.uk> wrote: From: Godfrey Ngupula <ngupula@yahoo.co.uk> Subject: Re: [wanabidii] LOWASSA: NINA WATU SI FEDHA To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com> Date: Friday, June 7, 2013, 5:32 AM
Nyerere was good but not perfect..
From: ELISA MUHINGO <elisamuhingo@yahoo.com> To: wanabidii@googlegroups.com Sent: Friday, 7 June 2013, 15:23 Subject: Re: [wanabidii] LOWASSA: NINA WATU SI FEDHA Then Nyerere was wrong
--- On Fri, 6/7/13, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote: From: Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> Subject: Re: [wanabidii] LOWASSA: NINA WATU SI FEDHA To: wanabidii@googlegroups.com Date: Friday, June 7, 2013, 4:14 AM
Yeah, right! em On Fri, Jun 7, 2013 at 6:48 AM, richard bahati <ribahati@gmail.com> wrote: -- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
-- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
| -- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out. -- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
|
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment