Saturday 18 May 2013

[wanabidii] This is indeed good news to you all!

Jamani,
Hii sio kampeni bali ni ukweli niliougundua hivi majuzi kupitia mashemeji zangu kutoka ZNZ na ninataka Watanzania wote wanaoishi nje wafaidike. 
Watanzania mnaoishi nje, baada ya kuleta pesa nyumbani kutumia kampuni za kupeleka pesa za nje, there is now another provider in town with the most affordable fees. Huyu provider ni The People's Bank of Zanzibar Limited.
Process yenyewe ya kuleta pesa nyumbani ni fupi sana. Unakuenda kwenye website ya PBZ ambayo ni <www.pbzltd.com> na hapo utaiona item hii - 'SEND MONEY'. Ukii-click hii item itakupeleka kwa wakala wa PBZ ambae ni kampuni moja kutoka UK ya remittances. 
Fees za PBZ za kuleta pesa nyumbani zipo chini sana ukilinganisha na fees mnazolipa hivi sasa kwa hizo multi-national remittance companies. In fact, fees za PBZ ni less than 1/4 of what you are paying right now. Asieamini alinganishe fees mwenyewe kabla hajaleta pesa hapa nyumbani kutoka huko majuu.
Majuzi nilipowapigia simu PBZ Ltd kuwaulizia zaidi juu ya hii huduma yao, nilielezwa kuwa japokuwa hivi sasa mtu wako atapokea hapa nyumbani TShs tu, lakini katika mwezi huu huu wa May huduma nyengine zitaanza ambazo zitamuezesha mtu wako Tanzania kupokea katika any major foreign currencies. Pia, mtaweza kuleta pesa moja kwa moja kwenye simu (mobile money) au katika account ya benki yoyote ile hapa nyumbani. Kupitia PBZ Ltd, sisi tuliopo Tanzania tutaweza kupeleka pesa nje kupitia hii online service yao bila ya kuenda benki kupanga foleni. Kama mwanao anasoma Uganda, Kenya, India, etc basi next time hunahaja ya kuenda kusimama foleni kwa masaa 3 ili kupeleka Dollar 100!

//Nkumba.

N.B.
Nimefahamu kwamba hii huduma ipo nchi zote isipokuwa USA. Nadhani labda kwasababu Zanzibar bado haina councillor office huko Washington!

0 comments:

Post a Comment