Friday 17 May 2013

Re: [wanabidii] UJERUMANI INAHUSIKA NA MGOGORO WA GESI MTWARA

Hivi, ninyi CCM mtaendelea kutafuta mchawi mpaka lini? Mmeshindwa kuipakazia Chadema sasa mnakuja na singo ya Ujerumani.
Hivi mnadhani Watanzania ni mazuba kiasi hicho? Watu wamechoshwa kunyonywa na ubinafsi wa serikali ya CCM.
em

2013/5/17 Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com>
Ndugu zangu

Kwa taarifa ambazo sio rasmi na ambazo zinaendelea kufanyiwa kazi
usiku na mchana sasa hivi kidole cha uhusika wa vurugu kadhaa
zinazohusiana na gesi mkoa wa mtwara na lindi kinanyoosha  kwa taifa
la ujerumani na maslahi yake kwa gesi na mafuta katika maeneo ya
mwambao na karibu na huko .

Ombi langu ni kuwataka watanzania wenzangu kutokuingia kwenye mitego
hii .

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment