Tuesday 7 May 2013

Re: [wanabidii] Mh Zitto sijakuelewa

Na mabaraza hayo ni kama yapi BM? Kwa baadhi ya dini ili ionekane kuwa haki imetendeka inabidi labda kuongea na kila mtu mmojammoja?
 
 


2013/5/7 Boniface Magessa <magessabm@gmail.com>
BAKWATA ni chombo kilichoundwa na serikali,sio waislamu!,alimaanisha
kuwa serikali isiongee na serikali tu,iongee na mabaraza halali ya
dini hiyo!

On 5/6/13, paul chilewa <poulchilewa@hotmail.com> wrote:
> Nimekusikiliza ukichangia budget ya mambo ya ndani, mwanzoni nilikuelewa
> uliposisitiza umuhimu wa viongozi hasa wa kisiasa kutoa matamko yanayo
> wagawa wananchi hasa kuwagawa kidini,ulichonichanganya ni pale ulipo sema
> serikali inakosea kuongea na BAKWATA kwani sio chombo kinachokubalika na
> waislamu wote,inawezekana ni kweli kutokana na utafiti wako lakini pengine
> unguzitaja taasisi nyingine zilizo omba kuongea na serikali sikakataliwa na
> ni kwa masuala yapi kwani kama sijakosea nadhani ni serikali hiyohiyo
> iliyoongea na waislamu ambao sio BAKWATA na kuwapa chuo cha TANESCO kama
> sija kosea na kuwa chuo cha kiislamu Tanzania.Mimi nadhani ungetoa mfano wa
> tasisi hizo badala ya kuitaja BAKWATA kutokubalika na kuacha kutaja taasisi
> nyingine zilizonyimwa haki hiyo ya kuongea na serikali.Vilevile unaposema
> serikali isijihusishe na masuala ya kidini hukufafanua najua muda  wa dakika
> tano hautoshi lakini nivizuri ukawaeleza watanzania kujihusisha kivipi ili
> tupate tafsiri sahihi.Mimi binafsi serkali kusaidia taasisi ya kidini kama
> ya kiislamu kupata eneo la kutoa huduma za kijamii kama elimu(Chuo cha
> kiislamu ni sahihi) lakini kwa uendeshaji dini pengine inaweza isiwe
> sahihi.Nahisi badala ya kusaidia kutatua tatizo wewe ndio unamwaga petroli
> Mh tueleze hata muamsho na vikundi vingine vya kigaidi navyo vipewe nafasi
> mimi binafsi nadhani sio sahihi,Mwisho tuambie grievancies unazotaka
> serikali kushughulikia nizipi au ni zile tunazosikia kila siku kwenye
> mihadhara?
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.





--
Wasalaam,
 
Denis Matanda,
Mine Planning Supt,
Tanzania.
 
" Low aim, not failure, is a crime"

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment