Mollel, jitahidi kuwa na imani. Kama kila kinachofanyika tunaona hakuna jitihada, kuna uwezekano mkubwa hata hao ambao wanajituma wakavunjika moyo.
From: lesian mollel <aramakurias@yahoo.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Tuesday, May 7, 2013 6:57 PM
Subject: Re: [wanabidii] BREAKING NEWS - MLIPUKO MKUBWA UNAOSADIKIWA KUWA NI BOMU UMELIPUKA KANISA KATOLIKI ARUSHA
hao walipuaji walidakwa ni waukweli? wale wa boston walikua wa ukweli kwani wenzetu wana vifaa vya cctv kote, sisi hata hao walidakwa huenda si wenyewe , wanashukiwa...wale wa bostom aliekamatwa ndiye kuna haja ya miji mikbwa kama dar, mwz , m beya nba arusha kua na vyombo kama cctv kiuslama zaidi esp ktk kipindi hiki cha lipua lipua za ajabu ajabu...
--- On Tue, 5/7/13, john mushi <mushijohn@yahoo.com> wrote:
From: john mushi <mushijohn@yahoo.com> Subject: Re: [wanabidii] BREAKING NEWS - MLIPUKO MKUBWA UNAOSADIKIWA KUWA NI BOMU UMELIPUKA KANISA KATOLIKI ARUSHA To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com> Date: Tuesday, May 7, 2013, 9:28 AM
Hawa wanaovizia na kurusha mabomu kwenye mikusanyiko ya kidini ni waoga (cowards).hawajui kama wanamdhihaki Mungu?waangalie sana mwisho wao utakuwa kama yule jamaa yao aliyeishia kuzikwa baharini.matendo yao yatawaangukia vizazi vyao yatawatafuna mpaka punje ya mwisho.Wakristo wote tupige magoti tumuachie Mungu jukumu la kunyoosha mkono wake juu yao. Mungu pekee ndiye mwenye uwezo wa kusamehe na kuadhibu.Mungu Linda jamii inayodhulumiwa na wenye hila.
AMINA. From: Emmanuel Sulle <esulle17@gmail.com> To: wanabidii@googlegroups.com; mabadilikotanzania@googlegroups.com Sent: Sunday, May 5, 2013 12:51 PM Subject: Re: [wanabidii] BREAKING NEWS - MLIPUKO MKUBWA UNAOSADIKIWA KUWA NI BOMU UMELIPUKA KANISA KATOLIKI ARUSHA Joseph unamainisha Nchimbi ipi isitawalike? -- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out. -- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
|
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment