Hili jambo ni baya sana jamani..... MWENYEZI MUNGU atunusuru..... Sent from Yahoo! Mail on Android |
From: Emmanuel Sulle <esulle17@gmail.com>;
To: <wanabidii@googlegroups.com>;
Subject: Re: [wanabidii] BREAKING NEWS - MLIPUKO MKUBWA UNAOSADIKIWA KUWA NI BOMU UMELIPUKA KANISA KATOLIKI ARUSHA
Sent: Sun, May 5, 2013 9:40:10 AM
Hii ni habari mbaya sana kwa nchi yetu. Tuombe uvumilivu, na umoja katika kipindi hichi kigumu na kuwaombea majeruhi - ndugu zetu. Ni bora vyombo vya ulinzi na usalama vikafanya uchunguzi wa haraka. Uchunguzi huru, ulio wazi na kuwashughulikia waliosababisha hili janga la kutengenezwa. Katika hili, ingekuwa bora vyombo vya dola vikaweka, siasa na udini pembeni ili kuinusuru nchi yetu. Tanzania daima iwe mbele. Lakini kama haya mambo yataendelea kuchunguzwa kwa siri, na matokeo yake yakaendelea kuwa ya kibabaishaji, basi jamii itaendelea kukumbwa na mashaka na usalama wa nchi utaendelea kuwa hatarini. Mungu ibariki Tanzania 2013/5/5 Bart Mkinga <bmkinga@yahoo.com>
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out. |
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment