Sunday 26 May 2013

Re: [Mabadiliko] Re: [wanabidii] RE: Dr Kingwangallah hii imekaaje?

Msemaji wa kigwa, kwani yeye kakanusha?

On 5/25/13, Dr Peter D Kafumu <kafumu@yahoo.com> wrote:
> Wanambadiliko,
>
> Nimekerwa na mjadala huu, unaotokana na uongo wa dhahiri kutoka Jamii Forum
> na naandika maneno haya kwa nguvu ya Roho wa Mungu ili msema uongo na
> aumbuke mbele ya Mungu.
>
> Inasikitisha na kukarahisha kuona uongo unaotungwa Jamii Forum ili kuchafua
> watu. Unaweza kuwadanganya watu kwa muda, lakini kifo kitakuumbua. Dhahiri
> Maneno yanayominishwa kusemwa na Dr Kigwangallah si yake, wala hakuyasema
> mkutanoni. Tuliokuwepo mkutanoni Dr Kigwa hakusema chochote kuhusu Membe
> bali alisema habari ya viongozi wa seriklai wa Mtwara (kamati ya Ulinzi na
> Usalama, mkoa na wilaya waondolewe kwa kushindwa kutekeleza wajibu wao wa
> kulinda amani ya eneo hilo. Mapendekezo hayo yaliungwa mkono na wabunge
> wengi.
>
> Bernard Membe yeye hakuongelewa kabisabali Hawa Ghasia na Murji mbunge wa
> Mtwara mjini, waliotuhumiwa nawabunge wengi kuwa ndiyo chanzo cha mgogoro
> huo. Ukiosma habari hiyo Jamii Forum inaonekana imeandikwa na mtu kwa
> kuficha identity akilenga kumchafua Membe na Kigwangala, na nadhani  ni
> agent wa kundi jingine la urais. Nchi hii uongo umekuwa silaha ya kwenda
> mbele. Bahati mbaya sana uongo ni silaha mfilisi ya shetani ambayo mwishoni
> huumbuka.
>
> Hii ni janga kwa taifa, propaganda za kuchafuana na kutukanana zinachefua na
> kukarahisha, lakini uongo wa JF utajitenga siky moja. Mungu atende kazi
> yake.
>
> Tumwombe Mungu Shetani yule lusifeli wa kale ashindwe, na nchi yetu ivuke
> salama 2015
>
> Mungu awabariki wote
>
> Ngw'izukulushilinde
>
> --- On Fri, 5/24/13, paul lawala <pasamila292000@gmail.com> wrote:
>
>
> From: paul lawala <pasamila292000@gmail.com>
> Subject: Re: [wanabidii] RE: Dr Kingwangallah hii imekaaje?
> To: wanabidii@googlegroups.com
> Date: Friday, May 24, 2013, 4:34 PM
>
>
>
>
> Ndugu Kitila
> Kumbe upo humu?ndiyo naona post yako kwa mara ya kwanza,karibu sana
>
>
>
> 2013/5/24 Kitila Mkumbo <kitilam00@gmail.com>
>
>
> Hii ilinipita, ilikuwa wapi vile? kama ndio mijadala yenyewe, then kuna
> ukanjanja mwingi sana!
>
>
>
>
>
> Dr Kitila Alexander Kanyama MKUMBO
> Senior Lecturer in Psychology and Education
> School of Education
> University of Dar es Salaam
> Tanzania
>
>
> Currently:
> Dean, Faculty of Education, Dar es Salaam University College of Education
> (DUCE) of the   University of Dar es Salaam
>
>
>
>
> 2013/5/24 Mathew Bukhi <bukhimathew@gmail.com>
>
> Chifu,
>
> Ungechukua tu hatua za kisheria. Haya masuala ya matamko yameshazoeleka
> sana.
> Kama ni uongo, chukua hatua za kisheria, ili tabia hii ikome mara moja.
>
>
>
> On 24/05/2013, hkigwangalla@gmail.com <hkigwangalla@gmail.com> wrote:
>> Hayo yote ni ya uongo, nimeshauriwa na wanasheria wangu nitoe tamko lenye
>> maelezo sahihi wakati wakitafuta namna ya kuchukua hatua za kisheria!
>> Hivyo
>> bado natafakari ushauri wa hatua sahihi za kuchukua.
>> Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
>>
>> -----Original Message-----
>> From: "ELISA MUHINGO" <elisamuhingo@yahoo.com>
>> Sender: wanabidii@googlegroups.com
>> Date: Fri, 24 May 2013 04:19:27
>> To: <chipalazya@yahoo.com>; <wanabidii@googlegroups.com>
>> Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
>> Subject: Re: [wanabidii] RE: Dr Kingwangallah hii imekaaje?
>>
>> Alexander huu mjadala ulikwa wapi Bungeni? Naogopa kufikiri tumefikia
>> hapo.
>> Dalili za kuwa kuna uchochezi zilikuwa wazi. Jingine lililokuwa wazi
>> sikuhisi ushiriki wa siasa za vyama vya siasa. Nilihisi ni 'vita baridi'
>> kati ya China na nchi za magharibi. Pamoja na mjadala huu wazo langu
>> lazima
>> lifanyiwe kazi kwanza. Lakini sura ya maneno ya Hawa naweza kuleta wazo
>> la
>> ajabu. Kuwa maadui wa Membe wanaweza kulipanga na likatosha kumchafulia.
>> Hii
>> ikiwa na chembe ya ukweli dawa itakuwa kukiondoa CCM kwanza
>> kikajikarabati
>> na kuondoa kirusi cha makundi.
>>
>> ----------
>> Sent from my Nokia Phone
>>
>> ------Original message------
>> From: alexander chipalazya <chipalazya@yahoo.com>
>> To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
>> Date: Thursday, May 23, 2013 5:20:05 PM GMT-0700
>> Subject: [wanabidii] RE: Dr Kingwangallah hii imekaaje?
>>
>>
>>
>> Dr. Hii habari imekaaje? imejadiliwa sana Jamii Forum unaweza kutusaidia
>> kutupa maelezo.
>>
>> REF: Wabunge wa CCM
>> wamemrarua waziri wa mambo ya nje Bernard membe kuwa ni kinara wa Fujo na
>> vurugu
>> zinazoendelea mtwara, wa Kwanza
>> kuchangia alikuwa ni mbunge wa newala ,alisema membe ni mtu hatari na ni
>> kirusi
>> Ndani ya chama kwani anamtumia mbunge mtwara mjini murji na misikiti
>> kumchafua
>> waziri wa serekali za mitaa Hawa Ghasia, Baada ya munde alifuata Hawa
>> Ghasia
>> ambaye naye alimshtutumu Membe kuwa anamfitini kwa kumtumia murji ,na
>> murji
>> kupiga misikiti anaendesha mkakati kupitia misikiti ,''vurugu za mwezi
>> January
>> nyumba yangu pamoja na ya Mhe Anna Abdala zilichomwa moto Mhe mwenyekiti
>> Jana
>> tena wamechoma nyumba yangu na ofisi za chama moto nimefanya utafiti
>> nimegundua
>> ni waziri mwanzagu ndie anaenifitini kwa wananchi wa mtwara hii ni hatari
>> sana
>> kwa mustakabali wa chama na Taifa kwa Ujumla'
>>
>> Waziri Ghasia alienda mbali zaidi kwa Kusema Kama investment
>> membe anazo za kutosha mtwara lakini hazichomwi wala hazirushiwi mawe,hii
>> inasikitisha ,Wakati Huo Huo mbunge wa nzega Dk kigwangallah
>> ameitaka serekali imuondoe mkuu wa mkoa wa mtwara Simbakali kwakuwa Hana
>> mahusiano mazuri na mashekhe na ili mkoa Huo utulie aondolewe mkotoliki
>> apelekwe
>> muislamu.
>>
>> Alexander
>>
>> --
>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>> to
>> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>>
>>
>> --
>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>> to
>> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>>
>> --
>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>> to
>> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>>
>>
>
>
> --
> Mathew Bukhi
> Geography Department
> University of Dodoma
> P.O Box 395
> +255 688 724063
> Skype account: mathew.mabele.bukhi
> Twitter account: Mathew Bukhi @atuyu
>
>
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>
>
>
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>
> --
> Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
> Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda;
> mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
> Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
>
> TEMBELEA Facebook yetu:
> http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
>
> For more options, visit this group at:
> http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
>
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Mabadiliko Forums" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment