Sunday 21 April 2013

[wanabidii] Ujumbe Wa Kibanda Kumhusu Mjengwa....

Absalom Kibanda <absakibanda@gmail.com>

19 Apr (2 days ago)

https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif


https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif

https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif

to mabadilikotanz., mabadilikotanz.

https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif

-        Maggid

-         

-        Ingawa miye pia naendelea na matibabu, fikisha salamu zangu za pole kwa mzee wetu Kanali Edmund Mjengwa. Ninamtakia uponaji wa haraka. 

-         

-        Absalom

 

Absalom Kibanda <absakibanda@gmail.com>

20 Apr (1 day ago)

https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif


https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif

https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif

to mabadilikotanz., mabadilikotanz.

https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif

Wana mabadiliko

 

Ahsanteni kwa sala zenu, zaidi ahsanteni kwa kuweka mbele utaifa katika masuala mengi ya msingi na kwa kujali kuhoji misingi anuai ya utawala bora.

 

Ndugu zangu, Kanali Mjengwa kwangu ni mzazi. Nimeguswa na kuugua kwake nikihofia kwamba huenda ameshtushwa na tatizo la mwanae Maggid ambaye kifamilia tuna ujamaa. Baba yangu mdogo ambaye ndiye kipenzi cha baba yangu mzazi Marehemu Mzee Norman Absalom Kibanda Kapyela ameoa dada wa tumbo moja kwa kuzaliwa na Maggid Mjengwa.

 

Kwa sababu hiyo basi matukio yote haya yanapotokea, kushambuliwa na kujeruhiwa kwangu, kutiwa msukosuko kwa Maggid akiguswa na tukio langu kwa sababu ya ukaribu wake na Ludo na hili la kuugua kwa Kanali Mjengwa yanavuruga na kugusa ndugu na jamaa wengi nikiwapo miye mwenyewe.

 

Ni kipindi kigumu sana hiki kwangu na kwetu. 


Sent from my iPad

 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment