Kiwasila naunga mkono hoja yako,na yote uliyosema ni kweli kabisa 100%.
KEEP IT UP waone kuwa Udharirishaji unaanzwa na wao,wengine wanapigilia mstari tu pale mtu anapojidharirisha.
On Sunday, April 21, 2013 9:35:01 AM UTC-5, Buberwa Jackob wrote:
-- On Sunday, April 21, 2013 9:35:01 AM UTC-5, Buberwa Jackob wrote:
WANAWAKE WAUNGANA KUSUSIA BIDHAA NA MAONYESHO YA MWANAMUZIKI DIAMONDKwa Kumdhalilisha Bi.Wema Sepetu kwa kumrekodi katika simu na kusambaza mazungumzo nyeti !Kitendo cha Mwanamuziki wa kizazi kipya Nasibu Abdul Juma maarufu kama Diamond,cha kurekodi mazungumzo yake na star wa Bongo Move Bi.Wema Sepetu,na kuyatuma mazungumzo yao ya mapenzi katika mitandao ni kitendo cha "Udhalilishaji wa Mwanamke" . kwa kuwa wanamuziki na wasanii wote wanatakiwa wawe ni mfamo na kioo cha jamii katika kielekeza jamii kuishikwa kufuata na kuheshimu mahadili ,lakini mwanamuziki Diamond ameonekana kuwa ni kiongozi wa "Udhalilishaji wa Mwanamke" kufuatia kitendo chake chakurekodi na kusambaza mazungumzo yao ya simu ya kimapaenzi kati yake naBi.Wema Sepetu na mpenzi wake wa sasa Bi.Penny,kitendo hiki ni cha "kuwadhalilisha wanawake wa kitanzania" Tunaowaomba akinamamana kinadada na wanawake wote kwa ujumla kususia kununua video,vcd,cdpia kugomea kuhudhuria onyesho lolote lile litakalofanya na mwamuzikiNasibu Abdul Juma aka Diamond hadi pale atakapo waomba radhi wanawake wotewa kitanzania popote pale walipo.Wanawake wote wanatakiwa kugomea maonyesho ya mwanamuziki huyo nana kutonunua bidhaa za mwanamuziki huyo Diamond ili kukomesha kabisa tabia hizi chafu za "Udhalilishaji wa Mwanamke"
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment