Thursday 4 April 2013

RE: [wanabidii] Uwanja wa watu 40,000: Yanga hongereni

Tunashukuru sana mkuu kwa kutuonyesha hisia zako

 

From: wanabidii@googlegroups.com [mailto:wanabidii@googlegroups.com] On Behalf Of Mobhare Matinyi
Sent: Friday, April 05, 2013 4:25 AM
To: Mabadiliko; Wanabidii googlegroups
Subject: [wanabidii] Uwanja wa watu 40,000: Yanga hongereni

 

Habari zinasema kwamba Yanga wanaingia mkataba na ile kampuni iliyotujengea Uwanja wa Taifa na patashushwa uwanja wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 40,000.
 
Hongereni sana Yanga! Mpira hamuuwezi, lakini walau mtakuwa na uwanja wa kupigwa mabao na Simba. Hongereni sana. Mtaipa Tanzania heshima nyingine.
 
Dar sasa litakuwa ni jiji la viwanja vya mpira kwani ukiondoa ule wa Taifa na wa Karume, pia uwanja wa Uhuru unajengwa upya na utakuwa na paa na uwezo wa kuchukua washangiliaji 20,000 (kama ilivyo sasa). Bado kale kauwanja ka Azam ka watu 7,000 tu na kwa hiyo na Simba walishanunua eneo la kujenga wa kwao.
 
Kila kitu Dar es Salaam!
 
http://lukemusicfactory.blogspot.com/2013/04/upembuzi-yakinifu-kaunda-stadium.html#more

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment