Abdalla Khamis,
REF hoja ya 1:Tukubali au tukatae CHADEMA hatukubaliki maeneo yenye waislamu wengi kama mikoa ya Pwani naTabora kwa sababu ya dhana hii ya udini. Iwapo Zitto Z Kabwe atasimama basi lazima hata wale waliokuwa hawataki kutuchagua kwa sababu ya udini basi kura zao tutakua nazo.
Abdala Khamis inaonyesha wewe ni mdini sana. Kwanini unataka kuwalazimisha watanzania wachague Rais kwa kutumia kete ya UDINI??. Hujaona tu hatari ya kuingiza dini kwenye siasa?? Kumbuka CCM wamefanya hivyo kwenye ilani zao kwa kuwaahidi waislam mahakama ya kadhi jambo ambalo ndio limechangia mtafaruko wa udini. Pamoja na hii kazia ya udini ni ajabu unataka pia CHADEMA watumie hiyo kete.
Abdala Rais tunaemtaka anatakiwa asiwe mdini wala asifikiri kua dini fulani ndio ime-play kumwingiza madarakani. Kwa maneno mengine hatutaki Rais ambae anafungamana na dini yoyote-urais wa ubia. Inapokuja kwenye kutoa mamuzi ni ngumu sana abdala.
Je! Abdala unaamini kua Tanzania tukianza kuchaguana kwa udini mwislamu atakuja kupata Urais kwenye nchi hii?? Au kwa maneno mengine unafikiri kua Waislamu ni wengi kuliko wakristo TZ kama watu wengine wanvyotaka kuwaaminisha watu??
REF: Zitto hana kashfa yoyote ile ndani ya chama na nje ya chama. Zitto amejiweka safi katika kashfa hizi ukiondoa propaganda chache zisizo na macho.
Abdalla una uhakika na hili?? Zitto wenzake wanamtuhumu kua alikisaliti chama kwenye uchaguzi wa 2010 kwa kumpigia kampeni mgombea wa Rais? Hii huoni ni kashifa kubwa?? Magazeti yamesema alikua na mawasiliano na watu wa usalama wa taifa ambao CHADEMA wanasema wanahujumiwa nao. Unasemaje juu ya hilo??.
Kimsingi Zitto kama mtanzania yoyote anahaki ya kugombea na kuchukua madaraka yoyote nchini kama sheria itamruhusu na chama chake kikamukubalia. Ila usianze kumchafua zitto kwa kete ya kua atapata Urais kwa kua ni mwislamu. Sizani hata Zitto atakubali kua aingoze hii nchi kwa kua ni mwislamu.
Abdalla usiupandikize umma udini hasa kwenye suala mhimu kama Urais.
Alexander
From: ELISA MUHINGO <elisamuhingo@yahoo.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Tuesday, April 9, 2013 4:26 PM
Subject: Re: [wanabidii] URAIS 2015 - ZITTO KABWE NDIO CHAGUO SAHIHI KWA CHADEMA
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
REF hoja ya 1:Tukubali au tukatae CHADEMA hatukubaliki maeneo yenye waislamu wengi kama mikoa ya Pwani naTabora kwa sababu ya dhana hii ya udini. Iwapo Zitto Z Kabwe atasimama basi lazima hata wale waliokuwa hawataki kutuchagua kwa sababu ya udini basi kura zao tutakua nazo.
Abdala Khamis inaonyesha wewe ni mdini sana. Kwanini unataka kuwalazimisha watanzania wachague Rais kwa kutumia kete ya UDINI??. Hujaona tu hatari ya kuingiza dini kwenye siasa?? Kumbuka CCM wamefanya hivyo kwenye ilani zao kwa kuwaahidi waislam mahakama ya kadhi jambo ambalo ndio limechangia mtafaruko wa udini. Pamoja na hii kazia ya udini ni ajabu unataka pia CHADEMA watumie hiyo kete.
Abdala Rais tunaemtaka anatakiwa asiwe mdini wala asifikiri kua dini fulani ndio ime-play kumwingiza madarakani. Kwa maneno mengine hatutaki Rais ambae anafungamana na dini yoyote-urais wa ubia. Inapokuja kwenye kutoa mamuzi ni ngumu sana abdala.
Je! Abdala unaamini kua Tanzania tukianza kuchaguana kwa udini mwislamu atakuja kupata Urais kwenye nchi hii?? Au kwa maneno mengine unafikiri kua Waislamu ni wengi kuliko wakristo TZ kama watu wengine wanvyotaka kuwaaminisha watu??
REF: Zitto hana kashfa yoyote ile ndani ya chama na nje ya chama. Zitto amejiweka safi katika kashfa hizi ukiondoa propaganda chache zisizo na macho.
Abdalla una uhakika na hili?? Zitto wenzake wanamtuhumu kua alikisaliti chama kwenye uchaguzi wa 2010 kwa kumpigia kampeni mgombea wa Rais? Hii huoni ni kashifa kubwa?? Magazeti yamesema alikua na mawasiliano na watu wa usalama wa taifa ambao CHADEMA wanasema wanahujumiwa nao. Unasemaje juu ya hilo??.
Kimsingi Zitto kama mtanzania yoyote anahaki ya kugombea na kuchukua madaraka yoyote nchini kama sheria itamruhusu na chama chake kikamukubalia. Ila usianze kumchafua zitto kwa kete ya kua atapata Urais kwa kua ni mwislamu. Sizani hata Zitto atakubali kua aingoze hii nchi kwa kua ni mwislamu.
Abdalla usiupandikize umma udini hasa kwenye suala mhimu kama Urais.
Alexander
From: ELISA MUHINGO <elisamuhingo@yahoo.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Tuesday, April 9, 2013 4:26 PM
Subject: Re: [wanabidii] URAIS 2015 - ZITTO KABWE NDIO CHAGUO SAHIHI KWA CHADEMA
Ama kwa kukusudia ama bila kukusudia bila shaka kwa kuishi mbali na mawazo ya watu point yako namba moja imemmaliza badala ya kumjenda. Umekosea sana Abdalah --- On Tue, 4/9/13, Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com> wrote:
|
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment