Hivi viongozi wa nchi za kiafrica wananini jamani?
Kisa kama hicho kinaendelea Tana River naTana Delta Districts, Kenya. Huko serikali ya Kenya imewapa waarabu wa Qatar ardhi ya wana vijiji ili walime kwa ajili ya kuexport chakula nchini kwao kwa makubaliano kua kenya itajengewa bandari. Zoezi hilo lilifanyika bila kuwashirikisha wanavijiji. Mbaya zaidi Wanavijiji hawajaambiwa wao watafaidika vipi kutokana na ardhi yao kupotelea mikononi mwa 'mwaraabu muekezaji'. Je! katika hali ya kawaida unatehgemea nini hapo mbeleni?? je hicho kilimo kitapata support kutoka kwa community. Ardhi ikichukuliwa kwa dhuruma hata uwekezaji juu yake hauwezi kua salama. Rukwa magazeti yalireport kua Shamba la mahindi la Efatha Ministry lenye ekari 25 zilifyekwa usiku na watu wasiojulikana. Kuna wanavijiji wengi wanalalalmika kua ardhi yao ilichukuliwa bila utaratibu; yamkini ilikua revenge.
Tukumbuke kua pia hao hao waarabu hapa kwetu wamechukua wanyama wetu hai tena na ndege ya kijeshi. Mpa sasa hivi hatuoni chamaana kinaendelea. Nilitegemea GVT ya Tanzania itaiamuru serikali ya Qatar kuwarejesha wanyama wetu, na wasipokubali funga ubalozi wao. Lakini wapi! Hivi wanapo apa kua wata ilinda nchi na katiba yetu huwa wanamaanisha kweli?.
Hizi NGOs zinasema kua mwaraabu mfalme Brigadia Mohamad Al-Ali amepewa haki ya kufanya uwindaji katika ardhi ya vijiji bila wao kushirikiswa. Hivi tuseme tumesahau kua waarabu na wazungu ndio kwa karne na karne walituuza utumwa na kutuua?? Hata baada ya uhuru the so called 'mwekezaji' anaonekana bora kuliko mzawa. Masikini Tanzania nakulilia nani atakukomboa!
Alexander
From: lucas haule <kisacha2003@yahoo.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Thursday, April 4, 2013 1:13 PM
Subject: Re: [wanabidii] TAMKO LA NGOS KUHUSU MGOGORO WA ARDHI WA LOLIONDO
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Kisa kama hicho kinaendelea Tana River naTana Delta Districts, Kenya. Huko serikali ya Kenya imewapa waarabu wa Qatar ardhi ya wana vijiji ili walime kwa ajili ya kuexport chakula nchini kwao kwa makubaliano kua kenya itajengewa bandari. Zoezi hilo lilifanyika bila kuwashirikisha wanavijiji. Mbaya zaidi Wanavijiji hawajaambiwa wao watafaidika vipi kutokana na ardhi yao kupotelea mikononi mwa 'mwaraabu muekezaji'. Je! katika hali ya kawaida unatehgemea nini hapo mbeleni?? je hicho kilimo kitapata support kutoka kwa community. Ardhi ikichukuliwa kwa dhuruma hata uwekezaji juu yake hauwezi kua salama. Rukwa magazeti yalireport kua Shamba la mahindi la Efatha Ministry lenye ekari 25 zilifyekwa usiku na watu wasiojulikana. Kuna wanavijiji wengi wanalalalmika kua ardhi yao ilichukuliwa bila utaratibu; yamkini ilikua revenge.
Tukumbuke kua pia hao hao waarabu hapa kwetu wamechukua wanyama wetu hai tena na ndege ya kijeshi. Mpa sasa hivi hatuoni chamaana kinaendelea. Nilitegemea GVT ya Tanzania itaiamuru serikali ya Qatar kuwarejesha wanyama wetu, na wasipokubali funga ubalozi wao. Lakini wapi! Hivi wanapo apa kua wata ilinda nchi na katiba yetu huwa wanamaanisha kweli?.
Hizi NGOs zinasema kua mwaraabu mfalme Brigadia Mohamad Al-Ali amepewa haki ya kufanya uwindaji katika ardhi ya vijiji bila wao kushirikiswa. Hivi tuseme tumesahau kua waarabu na wazungu ndio kwa karne na karne walituuza utumwa na kutuua?? Hata baada ya uhuru the so called 'mwekezaji' anaonekana bora kuliko mzawa. Masikini Tanzania nakulilia nani atakukomboa!
Alexander
From: lucas haule <kisacha2003@yahoo.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Thursday, April 4, 2013 1:13 PM
Subject: Re: [wanabidii] TAMKO LA NGOS KUHUSU MGOGORO WA ARDHI WA LOLIONDO
Viongozi wa serikali yetu ukiwaangalia ni kama midubwana imevaa ngozi ya binadamu. Kila nikisoma habari za viongozi wa nchi hii, kuwa vibaraka wa wageni, moyo wangu unauma sana. Yaani yamekuwa kama makasha yatembeayo. Siku zinakuja.......... --- On Thu, 4/4/13, Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com> wrote:
|
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment