Kaka Erick na wengineo,mimi naona hii hoja isiwe kwa hiyo sekondari iwe kwa shule zetu zotetulizosoma kwamba kuna kipindi cha kuchangia hizo shule tulizosoma au kujitolea, sasa hilo alifanye nani?walimu wakuu au bodies za shule au nani mfano waliosoma hiyo shule na huenda ina wakubwa wengi wafanyabiashara wakubwa walionacho na waliosoma hapo ni maelfu,hata wakitoa mia mia wanaweza kufanya kitu watanzania tuwe wazalendo kwani hilo nalo linachangia sana kuporomoka kwa elimu kwani walimu wanakuwa hawayapendi mazingira yao kwani hayaendi na wakati mwalimu anahitaji huduma muhimu mazingira mazuri walimu wanahitaji kuwa wa kisasa wa sayansi na techinologia,nafikiri lifanyike kongamano la tukumbuke tulikotoka kielimu au kongamano lolote kubwa watu wajitolee,tutakutana wazee kwa wazee na tutafanya mabo makubwa kwa ajili ya elimu. Nasikitika sana kwa kuporomoka kwa elimu ya sasa nchini kwangu japo sipo huko naumia sana kama mtanzania --- On Wed, 3/4/13, Eric Mkuti <mmakua@gmail.com> wrote:
|
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment