Sunday 14 April 2013

Re: [wanabidii] Re: [Mabadiliko] Mwigulu kila mahali ..........

Kwa mtazamo wangu, CCM hawaishii kutuharibia nchi pekee, wanaharibu
mpaka kizazi cha vijana tulio nao. Wanatutengenezea taifa la kesho
lisilo na msaada wowote hapo baadae. Ni chama kinachoongozwa kwa akili
za kipumbavu sana as long as wewe ni maarufu kuukandia upinzani au
kutukana.
Nafananisha na jamii ya wajaluo huko Kenya ambao wamepiga kitabu sana
ila kuongozwa na wazee wao katika maamuzi kunawaangusha na kuwafanya
waonekane watu wa ajabu sana.

--
*"Anyone who conducts an argument by appealing to authority is not using
his intelligence; he is just using his memory." Leonardo daa Vinci
*

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment