Friday 19 April 2013

Re: [wanabidii] RE: [Mabadiliko] Haya matusi sasa too much, Kesho tutasikia ngumi zimepigwa

Kiwasila,
Nakuhakikishia kila mbunge akiambiwa atengeneze plan yake ya maendeleo na aitekeleze wengi hawataoneka. Pamoja na pendekezo hilo zuri kabisa nami napendekeza mishahara ipunguzwe. Walipwe kama watu wengine; na hapo tutapata wabunge wa kweli wenye nia ya kutetea wananchi na sio tumboni street (kama unavyo eleza daima hapa jukwani).

Pia itasaidia watu kubakia kwenye taaluma zao na wao waishauri nchi kwenye field husika. Hatutaona ma Dr. na Ma professor wakikimbilia ubunge. Inashangaza sana sasa hivi mtu akipandishwa cheo mfano akapewa ukuu wa wilaya, mkoa au uwaziri watu wanampongeza, maana kwao kapata ulaji na sio kumenyeka kwa ajili ya jamii husika.

Pia kuna haja kukawa na kigezo maalumu cha elimu kwa mbunge. Tukumbuke kua kuisimamia serikali na kutunga sheria sio kazi nyepesi inahitaji uelewa wa mambo mengi amabayo tunaamini mtu aliesoma anakua nao ukilinganisha na mtu ambae hakubahatika kupata hiyo nafasi. Hii itasaidi kupunguza wabunge wanao ingia bungeni kisa wanajua kupiga domo kaya.

Hapa majuzi tumemsikia Madam Makinda alipokua akichangia kwenye Katiba mpya kua tuwe na mabunge mawil; la SENETI na la kawaida. Sababu aliyotoa ni kua wabubge wengi hawana uelewa mkubwa juu ya mambo mengi. Hivyo kushindwa kuchambua mambo vizuri kwa faida ya nchi.  Mimi napendekeza ni bora kua na bunge moja ila lenye nguvu, watu wachache lakini makini. Kuliko kua na lundo la wabunge wasiojua hata ni kwa nini wapo bungeni. Ndio maana tunaishia kuona taarabu na wengine wakiwa wana sinzia.
Alexander




From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Friday, April 19, 2013 5:03 PM
Subject: Re: [wanabidii] RE: [Mabadiliko] Haya matusi sasa too much, Kesho tutasikia ngumi zimepigwa

Ipo siku wananchi watavamia bunge kuwachapa. Kuwatoa kwa kutumia polisi itakuwa kazi ndogo.

Inavyoonekana, kuna wakati viti vingi vitupu hawapo. Waweke sheria kwamba atakayekuja kusaidi asubuhi hayupo kutwa nzima bila sababu za kukubalika na kupata ruhsa asilipwe posho. Inaweza kuwa-wengine wanafika kupata posho kisha wanakwenda na hamsini zao. Si wanajua posho itaingia jioni atapata pesa?

Mimi huomba daima-kila mpunge awe na plan yake ya shughuli za maendelo ktk jimbo lake. Si wanapewa hela za jimbo? akiwa na plan yake ya maendeleo ya jimbo lake, lazima ahusishe miradi iliyopangwa kwa kupitia strategy ya serikali ya O&OD akiunganisha na vertical programs za serikali kiwizara na hizo zake alizoibua na wananchi wake ambazo hazipati hela ya serikali za O&OD aidha anatumia raslimali zilizopo ktk eneo au anatafuta mwenyewe sources zake na hizo za jimbo kwa miradi iliyokubalika. Awe na action plan na plan of operation. Hivyo, kila mmoja atakaguliwa na Kamati maalum ya bunge  ambayo itathibitisha utendaji wake. Waziri husika akitoa bajeti yake na taarifa zake ataitaja miradi anzilishi ya mbunge. Kipindi kiwepo maalum cha bunge ambapo kila mbunge atatoa taarifa ya maendeleo ktk jimbo lake, alichofanya kwa ushirika na idara mbalimbali na alichoibua mwenyewe na watu wake na kufanikisha. Hii itaondoa kumuona mbunge anatafuta ufahari kupitia vyombo vya habari. atajibu hoja na wananchi wanaweza wakaandika magazetini kutoa maoni kama ana danganya. Maana mradi unaweza kuwa donor funded akadai ni wake kauanzisha na kuugharimia. Hata hao akina Sabodo wakimpa hela watampa kukamilisha miradi ya maendeleo sio hela za kulipia safari za uhamasishaji maandamano au kujenga chama bali kujenga maendeleo vijijini kichama, kujenga daraja, madarasa, barabara. Hao watoa hela watoe hela za maendeleo sio kisiasa maandamao.

Kingine ni haya malumbano ya ardhi Loliondo Serengeti ambapo sasa kila chama kinashabikia kila mmoja aonekane mtetezi. Hivi ni wananchi wangapi walitolewa maeneo yao sasa wanashida ya ardhi. Wenzetu wafugaji wanazagaa nchi nzima na huko watu wanalishiwa mashamba na kuchapwa na hawana mtetezi? Wao wanalima mpaka ndani ya hifadhi ya wanyama pori kwa vile kwa sasa wamebadilika hawachungi mifugo tu. Hifadhi ngapi ziko kwa wakulima ambao wapo nje sio ndani na mafao hawapati? Kinanuka leo malumbano kaenda wa CCM huko kesho kaenda wa Chadema au wa kabila lake-kitanuka cha moto risasi na mikuki soon. Kinachotakiwa ni kutumia picha za video pia kuonyesha mipaka na uchakachuaji ardhi/uharibifu kwenye maeneo hifadhi wanyama, maji. Maneno tu ktk TV au radio wasiotembea vijijini hawapati picha ya ugaribifu mazingira kupitia kukata miti kuchoma mkaa; kuvamia maeneo ya hifadhi na kulima; ulimbikizaji mifugo na uharibifu mazingira ya mifugo na wanyama pori. Piga picha uonyeshe gold mining ilivyo na utata kwa wachimbaji wadodo wadogo na makampuni. Picha picha onyesha wananchi vijijini walivyojenga mabondeni maeneo ya mto na zima au kujenga fukwe za bahari na Tsunami sasa ni tatizo.

Budi sasa kuonyesha maeneo hatarishi kutumia Media kufundisha na kuelekeza watu kwani climate change na mafuriko kwa sasa yanatokea-nchi nzima watu wanaathirika-fedha ipo wapi ya kutoa huduma kwa wote. Hata mbunge akitoa hela kusaidia-daima itajirudia. Asaidie kazi ya kuwashauri wasikae mabondeni asipige kelele tu Bungeni watu wake hawahami maeneo hatarishi.

TV onyesha pia hatari ya viwanda kuwa makazi ya watu kwa kuweka video hizo kipindi maalum ktk TV mfano cha malumbano ya hoja. Unyesha mpango ulivyokuwa na uvamizi na ujenzi wa sasa. Jadili hatari iwapo kiwanda kitaungua moto na gas mbaya kutoka kama Bopol na sasa Texas. Si wataungua na hatuna zima moto efficient mpaka tusaidiwe na private companies. Na wala hatuna helikopta ya zima moto. Shughuli za Mbunge ziwe kutetea uhifadhi ardhi, usalama wa raia mipango miji na vijiji vizingatiwe SIO kutaka ufahari kutetea bila kuzingatia umuhimu wa usalama wa watu, viumbe na ecosystem yao. Binadamu tumebadilika ktk nidhamu, mbunge awe wa kutukummbusha wajibu hata wa kujitegemea kwa raslimali tulizonazo kwa kujituma lakini matumizi endelevu. Leo mbunge anayebwatabwata nikienda kijiji kwake (sio jimbo ni kubwa) nitakuwa watu wangapi wanachoo, mazingira safi na wanalima mashamba yao au kufuga sustainably? Huweza ndio zile kelele za debe tupu haliachi kutika. Utakuta hawana vyoo, kinyesi cha mifugo au watu hovyo mpaka vyanzo vya maji au mlangoni yeye anapita na gari. Miti ipo, nyasi au makuti ya kusaidia kujenga choo cha bei nafuu lakini hakuna hamasa na hawajengi. Tupo kuchafua na kuharibu mazingira tunayotegemea kwa survival. Labda wapewe TOR za kazi zao na training katika majukumu yao na mbinu za mawasiliano. Kwani wapo wasomi na wengine ambao si wasomi ila wana nia nzuri ya kusaidia ila hawajui mbinu za bottom-up na integrated approaches (Bottom-up+Top Bottom) na mbinu za mawasiliano na nadharia nyuma yake ya mawasiliano na jinsi ya kubadili tabia na mienendo bila Kubwata. Inasikitisha. Tujadili ya maendeleo kama haya sio kutaka JINA. Hata uwapeleke JKT warudi na vipara wanarudi wanaanza malumbano kama jana na kutoana nje. Jee, mafunzo ya uraia na utanzania hayakufaa au hayakufanyika huko?




--- On Fri, 19/4/13, alexander chipalazya <chipalazya@yahoo.com> wrote:

From: alexander chipalazya <chipalazya@yahoo.com>
Subject: Re: [wanabidii] RE: [Mabadiliko] Haya matusi sasa too much, Kesho tutasikia ngumi zimepigwa
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, 19 April, 2013, 11:20

Kiwaila
Tunakoenda bunge litapoteza uhalali. Maana wanaionyesha jamii kua wamesahau kazi iliyowapeleka bungeni (kuisimamia serikali na kutunga sheria). Ninapata mashaka kama mtu asie kua na adabu hata ya kuona aibu ya kutukana kama anaweza kutengeneza sheria yenye maana.
Alexander



From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Friday, April 19, 2013 1:06 PM
Subject: Re: [wanabidii] RE: [Mabadiliko] Haya matusi sasa too much, Kesho tutasikia ngumi zimepigwa


Ukishaona mtu anatumia matusi kama agenda ya kuweka mkazo wa suala alisemalo ujue amekwisha kufirisika kiaadili na kimatendo. Sasa anatafufa kujitangaza jina kupitia matusi. Ukiwasikia baadhi yao daima ni kuomba mwongozo, mwongozo mradi tu kuvuruga majadiliano yasiende. Bado wale ambao hawatumii psycholoji anapozungumza. Kama mheshimiwa aliyechaguliwa-daima anapoongea anapiga kelele na kuongea kwa jazba, mdomo wazi mpana. Kila picha ya gazetini nayo-mdomo wazi huo!! Hivi huwezi kuongea na wakubwa wenzako tena bunguni mpaka upige kelele za jazba, kugonga meza, kunyoosha mikono na vidole mtu mzima wewe? Unaweza ukaongea points kwa busara bila kuzoza na kupiga meza au kuongea hadi sauti kukukauka!! Kuongea kwa busara ukutaka mtu akuelewe sio lazima ubwate? umepitia malezi gani? Misifa tu inatafutwa hapo.

Mbunge muadilifu anayewapenda watu wake-atatumia usomi wake na wa wenzake, kuandika maandiko mazuri akatafuta hela za wahisani kupitia hatua husika akasaidia maendeleo kwake ktk jimbo na kijiji chake kiwe cha mfano. Shindana kwa vitendo sio kukesha maktaba kusoma sheria na aina ya miongozo ili upinge to risala na bajeti ya mwenzako uivuruge. Nia ni kuvuruga tu. jua leo unapomshinikiza mwenzako kesho wewe ukishinda utoa huduma kama ulivyoahidi na kumpinga mwenzako.

Kama ukitetea sasa ardhi ya Loliondo yote na Serengeti wapewe wafugaji-usije ukageuka utakapochukua madaraka utakapokuja kuona degradation na uhamiaji haramu umejaa na wanyama wamekwisha au wamehamia kwenye maji na makazi salama. Ni hivyo basi utetee waluguru, wasagala, wavidenda, wapogoro wapwe bonde lao la Kilombero linalotambukikana Kimataifa kama  bonde uevu la kulindwa (Ramsar Site) na ardhi yote ambayo inalimwa miwa hapo zamani wakilima mtunga sasa hawana ardhi taifa linazalisha sukari. Hata hivyo wamebanwa na National park mbili (mikumi, Udungwa) na misitu ya hifadhi maji hakuna anaye watetea. Tunaona malumbano ambayo wengine hawatetewi bali baadhi. Malumbano ya matusi wasioangalia livelihoods za watu bali nafasi za hao wachache kutaka kuonekana si sasa kuna TV watamuona live!! Dawa ni hao wanaoonyesha utovu wa maadili kuwapiga chini. kupiga chini wanaoshabikia vurugu za maandamano na kuharibu mali za watu na washabikiao Udini. Hili litakuwa fundisho.

Tumelalama wengine miaka kuwa-tenganisha cheo cha Minister na shughuli nyingine.Mbunge awe mbunge to sio RC, au Minister au DC. Kuwe na kiwango cha kwenda shule. Tuseme Mbunge masters degree, Minister PhD, Diwani form VI, Mtendaji kata angalau form VI kama sio form 4 aliyefaulu na kupitia kozi za extension work au management. Mbunge na Diwanin wasomi watajua mengi ya community mobilization for Development.hawatoingia katika Cheap pilitics wilayani ktk full Council meetings na Bungeni. watajihusisha na kufanyakazi za`maendeleo na extension teams zao na akiwa bungeni atatendea miradi inayojulikana aliyohusika kuifanikisha pia. hatokaa na kutafuta cheap CBOs/NGOs na mashirika ya nje kutafuta kuleta vurugu nchini au kukaa bungeni na vikao vingine vya wachaguliwa kuanzisha vurugu na vikundi vya upinzani badala ya vya maendeleo kutetea miradi yake isirudi nyuma.

Mungu awafumbue macho vipofu ambao wana macho bali hatuoni. Huyo mwenye kuambiwa ana 'mbwa' basi azifunge kamba zisiumize watu-ambao ni wananchi wapiga KURA ambao ndio wapigao KURA ili wengine Wale kisha waweze kubwata hovyo isivyotegemewa na kinyume cha maadili
.


--- On Thu, 18/4/13, denis Matanda <denis.matanda@gmail.com> wrote:

From: denis Matanda <denis.matanda@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] RE: [Mabadiliko] Haya matusi sasa too much, Kesho tutasikia ngumi zimepigwa
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Thursday, 18 April, 2013, 14:35

K.E.M.S

Yaani unasema kwa kuwa CHADEMA wanataka kuchukua nchi 2015 basi ndio
lugha ya aina ya Mh Serukamba iko justified kweli kaka? Nimetumia
mfano wa Serukamba kwa kuwa yeye ameenda kwenye extreme. Tungeona
uzito wa ile kauli yake kama ingezungumzwa kwa kiswahili......

Kuna watu wameshaanza kusema kuwa siku hizi kabla ya vipindi vya bunge
kuanza inabidi itolewe ile kwenye "Parental Guidance" kuwa vipindi
hivyo vya bunge ni PG 18

Sitaki mwanangu ajifunze matusi katika umri mdogo alionao!!!!

On 4/18/13, ezekiel kunyaranyara <ekunyaranyara@yahoo.co.uk> wrote:
> Selemani, nimekusoma.
>
> Lakini nina swali kwako kwa nini matusi haya yasiwe ni matokeo ya watu
> wanataka kutawala 2015 kwa nguvu za damu za wengine ? kama wanavyofanya
> wakijifanya kutosikia kila wanaloambiwa? Ni mtizamo wangu tu binafsi.
> Wanaojiona kuwa wana akili nyingi ni upande wa pili na siyo CCM au mnasahau
> mnayoyasema hapa jukwaani? Akili zote mnazo nyie, elimu yote mnayo nyie,
> mnajua yote, hamtaki kuambiwa lolote, na hivi bado hamjatawala je mkipewa
> nafasi ya kutawala kuna atakayewakosoa kaka?
>
> K.E.M.S.
>
> From: isack mchungu <isackmn1965@gmail.com>
> To: wanabidii@googlegroups.com
> Cc: mabadiliko Tanzania <mabadilikotanzania@googlegroups.com>
> Sent: Thursday, 18 April 2013, 4:33
> Subject: Re: [wanabidii] RE: [Mabadiliko] Haya matusi sasa too much, Kesho
> tutasikia ngumi zimepigwa
>
>
>
> Mi nashauri tuwachunguze vizuri labda kuna tatizo sisi hatujaligundua, nina
> wasiwasi inawezekana misokoto ya bangi imehamia Dodoma wanalipuliza before
> entering the mjengo, yaani kuna wabunge mle ndani haiwezekani bwana kuna
> namna! mimi siamini, labda mimi niwaulize wadau kwa mfano sasa hivi
> ukipelekwa mswada wa sheria kupitishwa na bunge hivi hiyo sheria itakuwa
> halali? maana siona kama wale ndo watunga sheria wetu!
>
>    Tatizo linachangiwa na kiti cha spika, kinapwayaa mfano jana mambo
> yalianza kama mzaha nikawa namwangalia naibu spika anachukua hatua ya
> kukemea au la, nikamuona nae yuko upande wa vurugu yeye ndo anachochoe
> mzaha, kweli Ndugai hatoshi,yaani vituko.
>
>
>
>
> 2013/4/18 Selemani Rehani <srehani@hotmail.com>
>
> Matusi hayo ni matokea ya ulevi wa kukaa madarakani kwa muda mrefu sana.
> Sasa wamefikia hatua wamejawa na kiburi mno, hawajali, hawaogopi na wanajua
> kuwa hawatafanywa kitu. Hakuna wa kuwaadabisha. Hakuna wa kuwawajibissha.
> Wamefikia hatua wanajiona kuwa wao wana akili nyingi sana kuliko mtu yoyote.
> Wanayoyasema wao ni sahihi na wengine ni wajinga na wanayosema si sahihi. Ni
> hatua ya juu ya kiburi na dharau. Hawawezi kujirekebisha. Njia pekee ya
> kuwafanya wajirekebisha ni 2015 wawe chama kikuu cha upinzani. Kwa wanaojua
> watakumbuka chama cha Conservative cha Wingereza wakati wa marehemu Margret
> Thatcher, nao walifika huko mpaka wakaitwa a nasty party. Kuna namna moja tu
> ya kuisaidia CCM ijirekebishe nayo ni kukifanya kiwe chama cha Upinzani.
> Nina hakika baada ya hapo kitakuwa chama kizuri.
>>
>>Selemani
>>
>>
>>> Date: Thu, 18 Apr 2013 10:50:41 +0000
>>> Subject: Re: Re: [Mabadiliko] Haya matusi sasa too much, Kesho tutasikia
>>> ngumi zimepigwa
>>> From: nichoulula@gmail.com
>>> To: va_ntetema5@yahoo.co.uk; mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>>
>>> We weh weh thubutu kumfungia uone, tutakuita ukumbi wa chimwaga tena uje
>>> na kadi yetu ya sisi mh tukunyang'anye huko huko. (mkubwa haambiwi
>>> kajamba.)
>>>
>>>
>>> N.ulula
>>>
>>> ----------
>>> Sent from my Nokia Phone
>>>
>>> ------Original message------
>>> From: <va_ntetema5@yahoo.co.uk>
>>> To: <mabadilikotanzania@googlegroups.com>
>>> Date: Thursday, April 18, 2013 10:42:19 AM GMT+0000
>>> Subject: Re: [Mabadiliko] Haya matusi sasa too much, Kesho tutasikia
>>> ngumi zimepigwa
>>>
>>> Tuandike barua kupinga matusi bungeni na hasa tusi hilo na tulitafsiri
>>> kwenye barua yetu na tumshinikize Spika kumwajibisha mtukanaji. Msamaha
>>> wake hautoshi. Sijawahi kuona wala kusikia kauli chafu za aina hiyo
>>> katika mabunge mengine duniani hata wanaporushiana makonde katika uhai
>>> wangu. Huyu Mbunge bingwa wa kutukana kwa Kiingereza matusi ya nguoni
>>> asirudi tena bungeni hadi uchaguzi ujao na afunguliwe mashtaka ya jinai.
>>> Kutukana hadharani ni kosa la jinai. Wanasheria mtutafutie sheria namba
>>> gani!
>>> Sent from my BlackBerry® smartphone from Zain Tanzania
>>>
>>> -----Original Message-----
>>> From: hamisi kilimba <matyois@yahoo.co.uk>
>>> Sender: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>> Date: Wed, 17 Apr 2013 18:58:12
>>> To:
>>> mabadilikotanzania@googlegroups.com<mabadilikotanzania@googlegroups.com>
>>> Reply-To: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>> Subject: Re: [Mabadiliko] Haya matusi sasa too much, Kesho tutasikia
>>> ngumi zimepigwa
>>>
>>> Hivi pale hamna kamusi ya kiingera na tafsiri nyake kiswhili.
>>> Shule hizi banaa..... wanajifanya hawakusikia FUCK YOU au maana yake
>>> hawajui
>>>
>>> From: Lukelo F.Mkami <mwipopo@gmail.com>
>>> To: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>> Sent: Wednesday, 17 April 2013, 20:40
>>> Subject: Re: [Mabadiliko] Haya matusi sasa too much, Kesho tutasikia
>>> ngumi zimepigwa
>>>
>>> maana ya kiswahili watu wanaomba muongozo ila ya kiingereza watu
>>> wanajiachia tu si umesikia FUCK U  then naibu spika akawaambia wabunge
>>> watulie ikiwa na maana tusi lilikuwa halijasikika vizuri
>>>
>>> 2013/4/17 <rweyah@gmail.com>
>>> @ Mkami, kama hivyo na matusi ya kiarabu na kisomali yaruhusiwe tu
>>> bungeni.
>>> >Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.
>>> >From: "Lukelo F.Mkami" <mwipopo@gmail.com>
>>> >Sender: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>> >Date: Wed, 17 Apr 2013 20:19:40 +0300
>>> >To: <mabadilikotanzania@googlegroups.com>
>>> >ReplyTo: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>> >Subject: Re: [Mabadiliko] Haya matusi sasa too much, Kesho tutasikia
>>> > ngumi zimepigwa
>>> >
>>> >
>>> >Matusi ya kiingereza ni ruksa
>>> >
>>> >2013/4/17 Jimmy Luhende <jimmy.luhende@gmail.com>
>>> >Rage amesema kwa mara ya kwanza kaona nguvu ya waziri mkuu, yaani tangu
>>> > uteuzi wake hadi leo, hahahahahahaaaaa. Hii ni compliment kweli..?
>>> > Kabla ya kuanza hoja zake za "msingi" amesema kile kineno "bashraf" ama
>>> > ? naomba anaejua maana yake aiweke hewani, kuna mtu aliwahi kunidokeza
>>> > kuwa kina husiana na taarabu...
>>> >>2013/4/17 Theopista Jacob <theopistamasenge@gmail.com>
>>> >>Sasa hapa ndio unaona wazi kiti kiMepwaya. Jana makinda kasema mtu
>>> >> akitukana atatolewa na askari katukana serukamba tena tusi nene
>>> >> hakutolewa, sasa huyu kaomba miongozo katukana ? Tujiulize!!!UDHAIFU
>>> >>>Dr.Theopista MasengePaediatrician
>>> >>>Baylor College of Medicine
>>> >>>From: "Lukelo F.Mkami" <mwipopo@gmail.com>
>>> >>>Sender: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>> >>>Date: Wed, 17 Apr 2013 19:35:39 +0300
>>> >>>To: <mabadilikotanzania@googlegroups.com>
>>> >>>ReplyTo: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>> >>>Subject: Re: [Mabadiliko] Haya matusi sasa too much, Kesho tutasikia
>>> >>> ngumi zimepigwa
>>> >>>
>>> >>>
>>> >>>Huyu sasa  inabidi arudi akainusuru timu yake ya simba isishuke daraja
>>> >>> hakuna cha maana anachoongea  sasa anaongea  mwehu nchemba anaropoka
>>> >>> aisee sijawahi kuona
>>> >>>
>>> >>>On Wed, Apr 17, 2013 at 7:31 PM, Theopista Jacob
>>> >>> <theopistamasenge@gmail.com> wrote:
>>> >>>Ahaaaaa! Kamaliza kuponda sasa anadai jimboni kwake kuna matatizo
>>> >>> kibao, ooooooh takukuru ina matatizo akati alishasema srkal yake
>>> >>> inafanya kila kitu 100 kwa mia.
>>> >>>>
>>> >>>>
>>> >>>>Dr.Theopista MasengePaediatrician
>>> >>>>Baylor College of Medicine
>>> >>>>From: albanie marcossy <marcossy@yahoo.com>
>>> >>>>Sender: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>> >>>>Date: Wed, 17 Apr 2013 09:28:38 -0700 (PDT)
>>> >>>>To:
>>> >>>> mabadilikotanzania@googlegroups.com<mabadilikotanzania@googlegroups.com>
>>> >>>>ReplyTo: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>> >>>>Subject: Re: [Mabadiliko] Haya matusi sasa too much, Kesho tutasikia
>>> >>>> ngumi zimepigwa
>>> >>>>
>>> >>>>
>>> >>>>Zamu ya Sharobaro mwenye mADENI ya mahaRAGE (ADEN RAGE): anasema
>>> >>>> "Mmebugimeeeennnn!!!!
>>> >>>>
>>> >>>>
>>> >>>>
>>> >>>>
>>> >>>>From: joseph lyimo <gogobichi@yahoo.com>
>>> >>>>To: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>> >>>>Sent: Wednesday, April 17, 2013 7:03 PM
>>> >>>>Subject: Re: [Mabadiliko] Haya matusi sasa too much, Kesho tutasikia
>>> >>>> ngumi zimepigwa
>>> >>>>
>>> >>>>Bunge hili mara Serukamba anasema Fu**k you
>>> >>>>
>>> >>>>--- On Wed, 4/17/13, Patty <magubira@gmail.com> wrote:
>>> >>>>
>>> >>>>
>>> >>>>>From: Patty <magubira@gmail.com>
>>> >>>>>Subject: Re: [Mabadiliko] Haya matusi sasa too much, Kesho tutasikia
>>> >>>>> ngumi zimepigwa
>>> >>>>>To: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>> >>>>>Date: Wednesday, April 17, 2013, 7:46 AM
>>> >>>>>
>>> >>>>>
>>> >>>>>Kwa hiyo matusi mjengoni ruksa ili mradi tu baadaye uombe msamaha!
>>> >>>>>On 17 April 2013 17:41, paul lawala <pasamila292000@gmail.com>
>>> >>>>> wrote:
>>> >>>>>Ishu ni kwamba atakuwa alishauriwa kufanya hivyo badala ya
>>> >>>>> kuchukuliwa hatua kadiri ya kanuni za bunge
>>> >>>>>>2013/4/17 Theopista Jacob <theopistamasenge@gmail.com>
>>> >>>>>>Saa hizi kaomba samahani
>>> >>>>>>>Dr.Theopista Masenge
>>> >>>>>>>Paediatrician
>>> >>>>>>>Baylor College of Medicine
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>-----Original Message-----
>>> >>>>>>>From: "Lukelo F.Mkami" <mwipopo@gmail.com>
>>> >>>>>>>Sender: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>> >>>>>>>Date: Wed, 17 Apr 2013 16:33:23
>>> >>>>>>>To: <mabadilikotanzania@googlegroups.com>
>>> >>>>>>>Reply-To: mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>> >>>>>>>Subject: [Mabadiliko] Haya matusi sasa too much, Kesho tutasikia
>>> >>>>>>> ngumi zimepigwa
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>http://www.hulkshare.com/jdfnml6cqr5s
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>--
>>> >>>>>>>*Lukelo Felix  Mkami Mwipopo
>>> >>>>>>>Web Master,Graphics Designer,DBMS,Network Technician,Computer
>>> >>>>>>> Programmer
>>> >>>>>>>+255 655 227507,+255 766 974242
>>> >>>>>>>www.dudumizi.com
>>> >>>>>>>*
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>--
>>> >>>>>>>Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la
>>> >>>>>>> 'Mabadiliko'.
>>> >>>>>>>Kuchangia mada tuma kwenye Email hii:
>>> >>>>>>> mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>Kujiondoa Tuma Email kwenda;
>>> >>>>>>> mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
>>> >>>>>>>Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>TEMBELEA Facebook yetu:
>>> >>>>>>> http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>For more options, visit this group at:
>>> >>>>>>>http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>---
>>> >>>>>>>You received this message because you are subscribed to the Google
>>> >>>>>>> Groups "Mabadiliko Forums" group.
>>> >>>>>>>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it,
>>> >>>>>>> send an email to
>>> >>>>>>> mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
>>> >>>>>>>For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>--
>>> >>>>>>>Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la
>>> >>>>>>> 'Mabadiliko'.
>>> >>>>>>>Kuchangia mada tuma kwenye Email hii:
>>> >>>>>>> mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>Kujiondoa Tuma Email kwenda;
>>> >>>>>>> mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
>>> >>>>>>>Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>TEMBELEA Facebook yetu:
>>> >>>>>>> http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>For more options, visit this group at:
>>> >>>>>>>http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>---
>>> >>>>>>>You received this message because you are subscribed to the Google
>>> >>>>>>> Groups "Mabadiliko Forums" group.
>>> >>>>>>>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it,
>>> >>>>>>> send an email to
>>> >>>>>>> mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
>>> >>>>>>>For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>
>>> >>>>>>>-- Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la
>>> >>>>>>> 'Mabadiliko'.Kuchangia mada tuma kwenye Email hii:
>>> >>>>>>> mabadilikotanzania@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda;
>>> >>>>>>> mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.comUtapokea Email ya
>>> >>>>>>> kudhibitisha kujiondoa kwako.  TEMBELEA Facebook
>>> >>>>>>> yetu:http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl For more
>>> >>>>>>> options, visit this group
>>> >>>>>>> at:http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en ---
>>> >>>>>>> You received this message because you are subscribed to the
>>> >>>>>>> Google Groups "Mabadiliko Forums" group.To unsubscribe from this
>>> >>>>>>> group and stop receiving emails from it, send an email to
>>> >>>>>>> mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.For more options,
>>> >>>>>>> visit https://groups.google.com/groups/opt_out.  -- Sincerely
>>> >>>>>>> Patty,Cell: +255 713 474 155        +255 767 474
>>> >>>>>>> 155E-mail:magubira@gmail.com,          pmagubira@aol.com--
>>> >>>>>>> Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la
>>> 'Mabadiliko'.Kuchangia mada tuma kwenye Email hii:
>>> mabadilikotanzania@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda;
>>> mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.comUtapokea Email ya
>>> kudhibitisha kujiondoa kwako.  TEMBELEA Facebook
>>> yetu:http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl For more options,
>>> visit this group
>>> at:http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en --- You
>>> received this message because you are subscribed to the Google Groups
>>> "Mabadiliko Forums" group.To unsubscribe from this group and stop
>>> receiving emails from it, send an email to
>>> mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.com.For more
>>> options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.   -- Unapokea
>>> Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.Kuchangia mada
>>> tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com Kujiondoa Tuma
>>> Email kwenda;
>>> mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.comUtapokea Email
>>> ya
>>> kudhibitisha kujiondoa kwako.  TEMBELEA Facebook
>>> yetu:http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl For more options,
>>> visit this group
>>> at:http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en --- You
>>> received this message because you are subscribed to the Google Groups
>>> "Mabadiliko Forums" group.To unsubscribe from this group and stop
>>> receiving emails from it, send an email to
>>> mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.com.For more
>>> options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>> >>>>-- Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la
>>> >>>> 'Mabadiliko'.Kuchangia mada tuma kwenye Email hii:
>>> >>>> mabadilikotanzania@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda;
>>> >>>> mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.comUtapokea
>>> >>>> Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.  TEMBELEA Facebook
>>> >>>> yetu:http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl For more
>>> >>>> options, visit this group
>>> >>>> at:http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en ---
>>> >>>> You received this message because you are subscribed to the Google
>>> >>>> Groups "Mabadiliko Forums" group.To unsubscribe from this group and
>>> >>>> stop receiving emails from it, send an email to
>>> >>>> mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.com.For more
>>> >>>> options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.  --
>>> >>>> Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la
>>> >>>> 'Mabadiliko'.Kuchangia mada tuma kwenye Email hii:
>>> >>>> mabadilikotanzania@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda;
>>> mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.comUtapokea Email ya
>>> kudhibitisha kujiondoa kwako.  TEMBELEA Facebook
>>> yetu:http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl For more options,
>>> visit this group
>>> at:http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en --- You
>>> received this message because you are subscribed to the Google Groups
>>> "Mabadiliko Forums" group.To unsubscribe from this group and stop
>>> receiving emails from it, send an email to
>>> mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.com.For more
>>> options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.  -- *Lukelo
>>> Felix  Mkami MwipopoWeb Master,Graphics Designer,DBMS,Network
>>> Technician,Computer Programmer+255 655 227507,+255 766
>>> 974242http://www.dudumizi.com/*-- Unapokea Email hizi kwa sababu
>>> umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.Kuchangia mada tuma kwenye Email hii:
>>> mabadilikotanzania@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda;
>>> mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.comUtapokea Email ya
>>> kudhibitisha kujiondoa kwako.  TEMBELEA Facebook
>>> yetu:http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl For more options,
>>> visit this group
>>> at:http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en --- You
>>> received this message because you are subscribed to the Google Groups
>>> "Mabadiliko Forums" group.To unsubscribe from this group and stop
>>> receiving emails from it, send an email to
>>> mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.com.For more
>>> options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>> >>>-- Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la
>>> >>> 'Mabadiliko'.Kuchangia mada tuma kwenye Email hii:
>>> >>> mabadilikotanzania@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda;
>>> >>> mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.comUtapokea
>>> >>> Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.  TEMBELEA Facebook
>>> >>> yetu:http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl For more
>>> >>> options, visit this group
>>> >>> at:http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en ---
>>> >>> You received this message because you are subscribed to the Google
>>> >>> Groups "Mabadiliko Forums" group.To unsubscribe from this group and
>>> >>> stop receiving emails from it, send an email to
>>> >>> mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.com.For more
>>> >>> options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.  --
>>> >>
>>> >>___________________________________________
>>> >>Executive Director
>>> >>Actions For Democracy and Local Governance (ADLG)
>>> >>P.O.Box 1631
>>> >>Mwanza
>>> >>Tanzania
>>> >>Cell: +255 754 388 882
>>> >>-- Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la
>>> >> 'Mabadiliko'.Kuchangia mada tuma kwenye Email hii:
>>> >> mabadilikotanzania@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda;
>>> >> mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.comUtapokea Email
>>> >> ya kudhibitisha kujiondoa kwako.  TEMBELEA Facebook
>>> >> yetu:http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl For more options,
>>> >> visit this group
>>> >> at:http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en ---
>>> >> You received this message because you are subscribed to the Google
>>> >> Groups "Mabadiliko Forums" group.To unsubscribe from this group and
>>> >> stop receiving emails from it, send an email to
>>> >> mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.com.For more
>>> >> options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.  --
>>> >*Lukelo Felix Mkami Mwipopo(Online Journalism Facilitator,Web Master,
>>> >Graphics Designer,DBMS,Network Technician,Computer Programmer)+255 655
>>> > 227507,+255 766 974242
>>> >lmkami@dudumizi.com
>>> >
>>> >http://www.dudumizi.com/*-- Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na
>>> > Jukwaa la 'Mabadiliko'.Kuchangia mada tuma kwenye Email hii:
>>> > mabadilikotanzania@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda;
>>> > mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.comUtapokea Email
>>> > ya kudhibitisha kujiondoa kwako.  TEMBELEA Facebook
>>> > yetu:http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl For more options,
>>> > visit this group
>>> > at:http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en ---
>>> > You received this message because you are subscribed to the Google
>>> > Groups "Mabadiliko Forums" group.To unsubscribe from this group and
>>> > stop receiving emails from it, send an email to
>>> > mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.com.For more
>>> > options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>> >-- Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la
>>> > 'Mabadiliko'.Kuchangia mada tuma kwenye Email hii:
>>> > mabadilikotanzania@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda;
>>> > mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.comUtapokea Email
>>> > ya kudhibitisha kujiondoa kwako.  TEMBELEA Facebook
>>> > yetu:http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl For more options,
>>> > visit this group
>>> > at:http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en ---
>>> > You received this message because you are subscribed to the Google
>>> > Groups "Mabadiliko Forums" group.To unsubscribe from this group and
>>> > stop receiving emails from it, send an email to
>>> > mailto:mabadilikotanzania%2Bunsubscribe@googlegroups.com.For more
>>> > options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.  --
>>> *Lukelo Felix Mkami Mwipopo
>>> (Online Journalism Facilitator,Web Master,
>>> Graphics Designer,DBMS,Network Technician,Computer Programmer)
>>> +255 655 227507,+255 766 974242
>>> lmkami@dudumizi.com
>>>
>>> http://www.dudumizi.com/*-- Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na
>>> Jukwaa la 'Mabadiliko'.Kuchangia mada tuma kwenye Email hii:
>>> mabadilikotanzania@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda;
>>> mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.comUtapokea Email ya
>>> kudhibitisha kujiondoa kwako.  TEMBELEA Facebook
>>> yetu:http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl For more options,
>>> visit this group
>>> at:http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en --- You
>>> received this message because you are subscribed to the Google Groups
>>> "Mabadiliko Forums" group.To unsubscribe from this group and stop
>>> receiving emails from it, send an email to
>>> mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.For more options, visit
>>> https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>>
>>> --
>>> Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
>>> Kuchangia mada tuma kwenye Email hii:
>>> mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>>
>>> Kujiondoa Tuma Email kwenda;
>>> mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
>>> Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
>>>
>>> TEMBELEA Facebook yetu:
>>> http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
>>>
>>> For more options, visit this group at:
>>> http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
>>>
>>> ---
>>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>>> "Mabadiliko Forums" group.
>>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>>> email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
>>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>>
>>>
>>>
>>> --
>>> Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
>>> Kuchangia mada tuma kwenye Email hii:
>>> mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>>
>>> Kujiondoa Tuma Email kwenda;
>>> mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
>>> Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
>>>
>>> TEMBELEA Facebook yetu:
>>> http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
>>>
>>> For more options, visit this group at:
>>> http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
>>>
>>> ---
>>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>>> "Mabadiliko Forums" group.
>>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>>> email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
>>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>>
>>>
>>>
>>> --
>>> Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
>>> Kuchangia mada tuma kwenye Email hii:
>>> mabadilikotanzania@googlegroups.com
>>>
>>> Kujiondoa Tuma Email kwenda;
>>> mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
>>> Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
>>>
>>> TEMBELEA Facebook yetu:
>>> http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
>>>
>>> For more options, visit this group at:
>>> http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
>>>
>>> ---
>>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>>> "Mabadiliko Forums" group.
>>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>>> email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
>>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>>
>>>
>>--
>>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>>Disclaimer:
>>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>---
>>You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>>For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>>
>>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>


--
Wasalaam,

Denis Matanda,
Mine Planning Supt,
Tanzania.

*" Low aim, not failure, is a crime"*

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


0 comments:

Post a Comment