Eng. Matanda, Samahani ndugu yangu sikuweza kuingia hapa ukumbini tena kwa jana kutokana na matatizo ya kufukuzana na maisha ya mtaani kwetu wewe unajua. Kuhusu hoja ya matusi inayotokea huko Bungeni iko hivi. Inasemekana mkakati mmojawapo wa CDM kujisafisha kutokana na kazia ya ugaidi iliyokifunika chama hicho ilikuwa ni kuhakikisha kuwa kila msemaji maarufu wa CCM akisimama Bungeni basi avurugwe mawazo yake kwa kuombewa miongozo mingi kisha apoteze mwelekeo na asipoangalia awe na jazba na kutukana kisha wananchi waambie kuwa mnaona wztu wenu. Mkakati huu CCM waliugundua, sasa namna ya kuunasua ilikuwa bado haijajulikana, kwa bahati mbaya wakajikuta wananaswa na jazba na kutoa maneno hayao yaliyotokea. Unaona hiyo sasa kwangu mimi hii yote naiona kuwa ni mikakati ya kipuuzi tu. Japokuwa kwa CDM wanadhani inawzinua lakini kwangu naona inawapiga chini kwelikweli. Mimi na akili yangu hii siwezi hata siku moja kumwamini mtu ambaye siku zote yeye anadhani anaonewa na yuko sahihi tu, hayupo mtu kama huyo dunia hii. Kwa hiyo hapa kwa mtizamo wangu ni tatizo la mkakati wa CDM ndio umeleta matatizo Bungeni, CCM tatizo lao ni kushindwa kugundua haraka jinsi ya kutegua mtego huo na kujikuta wanatukana kama ilivyotokea. KEMS Sent from Yahoo! Mail on Android |
From: isack mchungu <isackmn1965@gmail.com>;
To: <wanabidii@googlegroups.com>;
Subject: Re: [wanabidii] RE: [Mabadiliko] Haya matusi sasa too much, Kesho tutasikia ngumi zimepigwa
Sent: Fri, Apr 19, 2013 7:16:37 AM
Wapendwa mimi jana nimelala nalitafakali suala la matusi bungeni kuna kitu nimebaki najiuliza nisipate jibu ni hivi; wako wabunge stella manyanya, mwigulu nchemba, lusinde,,shelukamba na sasa juma mkamia, wabunge hawa wakisimama kuchangia hotuba yoyote ile lazima upande wa pili ulipuke na lazima kutokee vurugu, tofauti na wanapochangia wabunge wengine wengi wa CCM, nimesema hivyo kwa sababu kama sio busara za spika jana tena vurugu zingitokea baada tu ya Mwigulu kupewa nafasi kuchangia john mnyika akaomba mwongozo spika akamruhusu kuzungumza lakini baada ya mnyika kumaliza mwigulu alimpiga kijenbe mnyika kwamba anapoongea watoto wa kiume wanyamaze! spika akamwambia afute kauli yake naye akaifuta, KUNA NINI mbona wabunge wengi wa CCM wakichangia hali hutulia wakisimama hawa niliowataja hali huishia kuwa tete na waomba miongozo huzidi! Hawa kina mwigulu naweza sema labda umri wao bado vijana kutukana kwao si shida wanashindwa kujicontrol sasa huyu mwanamama Stela manyanya? tena enginia ana tatizo gani?2013/4/18 denis Matanda <denis.matanda@gmail.com> K.E.M.S Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out. |
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment