Wednesday 24 April 2013

Re: [wanabidii] Nilimwona Mbongo anakuja na...

mh, sijui mwenzetu hili kalichukuliaje? Labda angetueleza kwanza hiyo meseji yote ameielewaje? Nadhani baada ya maelezo yake tunaweza ku- take side kama tumedhalilishwa au la!!!!!!!!

 
Gloria A Mazoko,
Education and Publicity Manager,
Tanzania Federation of Cooperatives Ltd, 9th Floor, Ushirika Building Lumumba Street ,
P. O. Box 2567 Dar es Salaam - Tanzania. Tel: +255 222 2184 084, Fax: +255 222 2184 081,
Mob: +255 754 699 770,
Email: mazokogloria@yahoo.com, ushirika@ushirika.co.tz
web: www.ushirika.coop.

From: denis Matanda <denis.matanda@gmail.com>
To: wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Wednesday, April 24, 2013 2:17 PM
Subject: Re: [wanabidii] Nilimwona Mbongo anakuja na...

Kwani hiyo imeonyesha tatizo gani sasa la huyo Mtanzania?


2013/4/24 fadhil fadhil <fadhil.fadhil96@gmail.com>
 kuna kitu kingine nimekinote hapa kuwa watanzania tunajidharau sana,
na hili ndilo tatizo letu tumefikia hatua mpaka tunajitolea mifano
isiyokuwa na kichwa wala miguu.
Sio kweli kama watanzania wote tupo kama mfano wa ndugu yangu
alioutoa, bado kuna watu makini na wazalendo wanaipenda nchi yao wapo
tayari kuitumia katika hali ya ukweli na uaminifu, na wangine
wanaendelea kuitumikia kwa hali zote
Tatizo letu kwa sasa kila mtu kuwa kufanya kazi ya siasa, nawasihi
kama raia hatuna nchi nyingine zaidi ya Tanzania hii tuliyonayo.Jamani
tujiheshimu na kujithamini utu wetu, wengi wetu tumekuwa tukilamika na
mambo mengine ya kizushi ambayo mwisho siku hayalisaidii taifa.
Binafsi naipenda nchi yangu hata kama itakuja mifano ya kudhalilisha
kiasi gani, Kiukweli hatufanani na mifano hiyo inayotolewa



On 4/24/13, Boniface Magessa <magessabm@gmail.com> wrote:
> daa hii kali!
>
> On 4/24/13, isack mchungu <isackmn1965@gmail.com> wrote:
>> Kaka sina mbavu mie!!!
>>
>>
>> 2013/4/24 Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com>
>>
>>> Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa huko Uchina. Wakaambiwa
>>> adhabu ni ama kifo cha moja kwa moja au adhabu nyingine ambayo
>>> atakayeifaulu atakuwa huru, na atakayeshindwa atauawa.
>>>
>>> Basi wao wakaomba wapewe hiyo adhabu nyingine wajaribu bahati yao.
>>>
>>> Wakapelekwa msituni wakaambiwa  kila mmoja aende kwa njia yake halafu
>>> arudi na matunda kumi ya kufanana.
>>>
>>> Wakaingia msituni kila mtu kashika njia yake.
>>>
>>> Mganda akarudi wa kwanza na machungwa kumi. Akaambiwa adhabu ni kulimeza
>>> moja moja likiwa zima bila kufumba macho, bila kulia, wala kucheka, wala
>>> kujitikisa, mpaka yote kumi yaishe. Akameza la kwanza. Safi. Kumeza la
>>> pili, akashindwa kuvumilia akafumba macho. Akapigwa risasi, akafa.
>>>
>>> Mkenya akaja. Ana vitunda vidogo vidogo kama pipi, vilaini. Akasomewa
>>> masharti. Akaanza kumeza bila kufumba macho wala kulia, wala nini...
>>> alipofika cha tisa akashindwa kuvumilia, akaangua kicheko! Akapigwa
>>> risasi,
>>> akafa.
>>>
>>> Wakiwa kuzimu, Mganda akamwuliza Mkenya, "Vipi, mbona ulishindwa
>>> kuvumilia
>>> wakati kilibaki kitunda kimoja tu?"
>>>
>>> Mkenya akamjibu: "Mkuu, nilishindwa kuzuia kicheko maana nilimwona
>>> Mbongo
>>> anakuja na matikiti maji!"
>>>
>>> Source: http://www.wavuti.com/#ixzz2RMjsJgsZ
>>>
>>> --
>>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>>
>>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>>> ukishatuma
>>>
>>> Disclaimer:
>>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>>> legal
>>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>>> be
>>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>>> agree
>>> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>> ---
>>> You received this message because you are subscribed to the Google
>>> Groups
>>> "Wanabidii" group.
>>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
>>> an
>>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>>
>>>
>>>
>>
>> --
>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>> to
>> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>>
>>
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.





--
Wasalaam,
 
Denis Matanda,
Mine Planning Supt,
Tanzania.
 
" Low aim, not failure, is a crime"
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


0 comments:

Post a Comment