Sunday 21 April 2013

Re: [wanabidii] MSHUKIWA WA MABOMU BOSTON MAREKANI AKAMATWA, KAKA YAKE AUAWA

Wao, wenzetu, wanatafuta wahalifu kwa kuionesha HAKI, sisi kwetu wanatafuta wahalifu kwa kuzidi kuipinda HAKI, kwa hakika kwetu wahalifu wa KIBANDA, wanakimbizwa wasijulikane kwa umma. wenyewe wanawajua vizuri tu, hawataki wajulikane, hawataki wapelekwe kwenye sheria iwabane.

Sasa jiulize WHY hawataki sheria iwabane wahalifu wa KIbanda?

Jibu ni rahisi kwamba ni kwasababu wao waliotenda na hao wanaojitia kuwatafuta, lao ni moja.

Jabir+

--- On Sat, 4/20/13, Emmanuel Sulle <esulle17@gmail.com> wrote:

From: Emmanuel Sulle <esulle17@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] MSHUKIWA WA MABOMU BOSTON MAREKANI AKAMATWA, KAKA YAKE AUAWA
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Saturday, April 20, 2013, 3:06 AM

Kwanini sisi AFRICA kila siku tunasema tusijilinganishe na wenzetu lakini yakifika masuala mengine tunasema binadamu wote ni sawa? Kwahiyo tukubali kuwa sisi akili zetu duni, mbinu zetu duni na basi kila kitu hoi. Me binafsi sikubaliani moja kwa moja na usemi huu maana kama ni akili tunazo ila tu tumezoea kujifanya wazembe na kukosa uongozi madhubuti!




On Sat, Apr 20, 2013 at 12:54 PM, salum mkango <salumkango@yahoo.com> wrote:
sio uwajibikaji mdogo ni kwamba wanalindana kwani unafikiri hawamjui basi????
 

From: Emmanuel Sulle <esulle17@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Saturday, April 20, 2013 11:13 AM
Subject: Re: [wanabidii] MSHUKIWA WA MABOMU BOSTON MAREKANI AKAMATWA, KAKA YAKE AUAWA

Kwetu usanii mwingi sana. Uwajibikaji almost zero kama siyo negative!


On Sat, Apr 20, 2013 at 10:12 AM, <nevilletz@gmail.com> wrote:
Waliomtesa Kibanda bado wanatafutwa na timu ya makachero 10 iliyoundwa na polisi, leo ni zaidi ya siku 40 tangu Kibanda alipofanyiwa unyama!
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
From: richard bahati <ribahati@gmail.com>
Date: Sat, 20 Apr 2013 00:54:39 -0700
Subject: [wanabidii] MSHUKIWA WA MABOMU BOSTON MAREKANI AKAMATWA, KAKA YAKE AUAWA

Dzhokhar Tsarnaev hatimaye ametiwa nguvuni na vyombo vya usalama vya marekani baada ya wakazi wa Boston kuwa katika wakati mgumu wakati wa kumtafuta mtuhumiwa huyo.

Residents who have been holed up in their homes, media and law enforcement officials who have been engaged in a day-long manhunt for the at-large suspect in the Boston Marathon bombing let out a cheers after it was confirmed that Dzhokhar Tsarnaev had been apprehended.

Video, picha na maelezo ya kina zaidi tazama hapa:

http://goldentz.blogspot.com/2013/04/mshukiwa-wa-mabomu-boston-maekani.html
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment