Kama nimesoma yaliyotangulia Lema alikwenda pale kutuliza gasia kwa kutumia umaarufu na kukubalika kwake. Kama hili ni kosa Basi Mbunge wa Mbeya Sungu akamatwe pia maana wakati wa maandamani ya machinga baada ya Polisi na Mkuu wa Mkoa kuzidiwa walimuomba yeye akatuliza gasia na suluhisho lilipatikana. Ndicho inasemekana Lema amefanya. Kumuita mhuni kwa kufanya hivyo ni uhuni uliopindukia
--- On Fri, 4/26/13, Gaudencia Ngetti <gaudencia.ngetti@yahoo.com> wrote:
From: Gaudencia Ngetti <gaudencia.ngetti@yahoo.com> Subject: Re: [wanabidii] Mbunge Lema mikononi mwa polisi.usiku huu To: wanabidii@googlegroups.com Date: Friday, April 26, 2013, 4:07 AM
Lema anajitetea kuwa kama mbunge alisikia kuna mtu kauliwa hivyo ni lazima afike hapo. Hivyo alifika chuoni hapa kujua kulikoni mwanafunzi auliwe kwa kuchomwa kisu. Lakini akiwa njiani ni mita chache tu kijana alikuwa ameuliwa na watu wasiojulikana na kesi ilikuwa polisi lakini huko hakuenda. Kama hoja ni kufika katika kila tukio la kihalifu linalotokea Arusha Mjini Lema ataenda katika matukio mangapi? Lakini pia Jeshi la Polisi litafanya kazi gani kama haya si matusi kwa jeshi hilo? Na je, Lema ana gereza la kuwafunga wahalifu? Tuache ushabiki Lema ni muhuni wa kawaida kabisa asiyetakiwa kutupotezea muda hapa badala ya kujadili masuala ya kitaifa kama siku ya Muungano. Hapa hakuna suala la CCM wala Chadema au CUF, maana hata Chadema makao makuu wanamshangaa! Lema hatafuti umaarufu asilani maana kama ni umaarufu jijini Arusha tayari anajulikana kila kona sawa na Wema Sepetu jijini Dar es salaam. Anachotafuta Lema hata yeye binafsi hajui. Wanaouliza amekamatwa kwa kosa gani wajiulize ni kwa nini alitimua mbio kwenda kujificha vichakani hadi jana akarudi nyumbani kwake usiku akinyatanyata na kuomba mkewe amfungulie kwa siri? Anajua alichokifanya, ni uchochezi na uvunjifu wa amani ambayo adhabu yake inajulikana wazi.
--- On Fri, 4/26/13, ezekiel kunyaranyara <ekunyaranyara@yahoo.co.uk> wrote:
From: ezekiel kunyaranyara <ekunyaranyara@yahoo.co.uk> Subject: Re: [wanabidii] Mbunge Lema mikononi mwa polisi.usiku huu To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com> Date: Friday, April 26, 2013, 10:11 AM
Mimi nafikiri tunapaswa pia kuacha propaganda za uchonganishi na kutishiana zama hizi.
K.E.M.S.
From: alahabgh <alahabgh@hotmail.com> To: wanabidii@googlegroups.com Sent: Friday, 26 April 2013, 1:49 Subject: Re: [wanabidii] Mbunge Lema mikononi mwa polisi.usiku huu
Acheni jazba pls, Leo ni sikukuu ya muungano.
Sent from Samsung Mobile on O2 Josephat Isango <joseisango@yahoo.com> wrote: Kigwangala, umechoka kucheua matusi bungeni unataka kuyaleta kwenye mtandao wetu huku? Jiheshimu. Watu wanakwambia mbunge kakamatwa, wewe unasema uzushi. Ulitaka waseme nini wakati anajulikana amekamatwa. Huyu atateswa au kusumbuliwa kwa misingi ya Vyama, Wewe ulituhumiwa kutishiana Bastola na Bashe na wote hamjawahi kuchukuliwa hatua. Na hiyo ndio serikali ya Chama ambacho wewe ni Mbunge. Nimeangalia link you tube Lema alivyoongea na wanafunzi, na Mkuu wa Mkoa alivyowadharau. Na Polisi kupiga mabomu wanafunz. ..............
--- On Thu, 4/25/13, hkigwangalla@gmail.com <hkigwangalla@gmail.com> wrote: From: hkigwangalla@gmail.com <hkigwangalla@gmail.com> Subject: Re: [wanabidii] Mbunge Lema mikononi mwa polisi.usiku huu To: wanabidii@googlegroups.com Date: Thursday, April 25, 2013, 11:06 PM
Habari nusu nusu za kizushi tu! Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania From: Selemani Swalehe <semkiwas@gmail.com> Sender: wanabidii@googlegroups.com Date: Fri, 26 Apr 2013 08:34:13 +0300 To: <wanabidii@googlegroups.com> ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com Subject: Re: [wanabidii] Mbunge Lema mikononi mwa polisi.usiku huu Anatuhumiwa kwa kosa gani? Swaleh,
On Fri, Apr 26, 2013 at 3:33 AM, mussa juma <mussasiwa@gmail.com> wrote: baada ya polisi kuzingira nyumba yake eneo la njiro kwa masaa kadhaa hatimayeMbunge wa jimbo la Arusha mjini, Godbless Lema ameamua kujisalimisha polisi na sasa yupo njiani kwenda polisi
-- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
-- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out. -- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
| -- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out. -- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out. -- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
| -- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
|
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment