Wednesday 24 April 2013

Re: [wanabidii] Ezekiel Maige : Kwa nini nimekataa bajeti ya Kilimo

MIMI NAPITA TU MSIniNUKUU VIBAYA, kwanza nimesikia sisi ni wa pili kutoka mwisho East Africa kwa umasikini! nathani tupo hapo, je nini kinatufanya tuwe masikini kiasi hiki wakati sisi ndo tuna rasilimali lukuki kuliko nchi zote East Africa? tunarudi kulekule kwa Mh Msigwa, AKILI NDOGO INATAWALA VICHWA VIKUBWA!
 
  Kila mwaka tunalia njaa eti tunaenda kuomba msaada wa mahindi kutoka Japan, ka NCHI kadogooo! mwenyezi mungu kaipa nchi hii kila aina ya kilichobora, tatizo, narudi kwa Mh SUGU, baraza la mawaziri pumbavu!
    
tuna mabonde mazuri mazuri kiasi kwamba tukiyawekea kipaumbele na kuyatumia vizuri hatutakaa tuagize mahindi toka japani hata siku moja, lakini tatizo letu moja VIONGOZI WETU WAKO AFTER ULAJI badala ya kupeleka fedha kwenye kilimo wanatenga mijihela kwa ajili ya mazishi ya viongozi hivi tumeisha piga lamli kujua viongozi watakufa? je wasipokufa?

    Wametenga mabilioni eti huko ofisi ya Rais kuna kitengo cha kufuatilia miradi, kwa nini kila wizara isifuatilie miradi iliochini ya wizara


2013/4/24 mngonge <mngonge@gmail.com>
Awe anahudhuria au haudhurii RCC au vikao vya wilaya haizuii kuona kwamba hakuna mafanikio yoyote yanayoonekana katika kilimo chetu. Ipo haja ya kulitazama vizuri swala hili kwa makini na kufanya mapinduzi katika kilimo. Watanzania walio wengi tunasema ni wakulima na hivyo tukiendelea kuleta mchezo katika kilimo Tanzania itabaki na maendeleo kwenye majukwaa ya siasa tu. Tutabaki na misemo yetu ya dhihaka kwa umma kama vile "Maisha bora kwa kila mtanzania
"


2013/4/23 Nyabenda Juma <jngama@yahoo.co.uk>
Mkataa bajeti anayo hoja, lakini ananinisikitisha anaposema kuwa maeneo yenye mvua  ndiyo yaliyopewa irrigation schemes, kwake hakuna. Inashangaza coz uwepo au kuanzishwa kwa irrigation schemes sasa kunafanywa na kanda kwa kushirirkiana na mikoa/wilaya. sijui kama yeye anahudhuria RCC au viakao vya wilaya.... ninamashaka na uwajibikaji wake kwa wananchi

--- On Tue, 23/4/13, Juma Mzuri <jumamzuri@gmail.com> wrote:

From: Juma Mzuri <jumamzuri@gmail.com>
Subject: [wanabidii] Ezekiel Maige : Kwa nini nimekataa bajeti ya Kilimo
To: "Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tuesday, 23 April, 2013, 16:03


Wapendwa marafiki, yawezekana wenginenhamjafuatilia mjadala Bungeni leo na hivyo mnaweza kusikia kupitia vyombo vya habari na hivyo kupata edited version of my comments. Nawafahamisha kuwa nimekataa bajeti kwa kuwa Bajeti haijatatua wala kuonyesha mwelekeo wa kutatua matatizo ya wananchi wangu ambayo ni NJAA ENDELEVU kutokana na ukame wa mara kwa mara na UMASKINI unaozidi kuongezeka kutokana na BEI DUNI YA MAZAO YA KILIMO NA MIFUGO NA TIJA NDOGO KATIKA KILIMO. Nilitegemea Bajeti iwe na Skimu zaUMWAGILIAJI kama jibu la mvua haba na pia PRICE STABILIZATION FUND kwa bei ya Pamba. Aidha nilitegemea kungekuwa na mkakati wa kuanzisha viwanda vya nguo ili kuwa na soko la ndani kwa pamba yetu! Sjinyanga, ambayo kila siku kuna njaa hakuna skimu ya umwagiliaji na maeneo yenye mvua kama Kigoma, Rukwa, Katavi, Kilimanjaro, Mbeya nk yenye mvua ndiyo yamewekewa skimu za umwafiliaji. Hili haliwezekani. NIMEKATAA.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment