Monday 18 March 2013

[wanabidii] TATIZO LA ZITTO ZUBERI KABWE NI NINI ?

Ndugu zangu

Katika siku za karibuni tumeona vitisho , kashfa , dharau na aina
nyingine za dhihaka dhidi ya mwanasiasa kijana mhe zitto kabwe na hata
wakati mwingine unasoma kwenye mitandao ya kijamii safari zake binafsi
au mikutano binafsi ikichapishwa kwa maana ambayo sio sahihi .

Mpaka sasa hivi sijawahi kuelewa tatizo la Zitto Kabwe ni nini mpaka
anaandamwa ndani ya chama chake kwa siri siri na hata kwa uwazo tu
toka kwa baadhi ya viongozi na wanachama ambao ungetegemea wawe ndio
kichocheo ya maelewano ndani ya chama na nje .

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment