Saturday 16 March 2013

[wanabidii] NISAIDIENI; Tanzania 'inasimama' wapi katika uhusiano na Korea Kusini na Korea Kaskazini?

Nimefuatilia historia ya nchi hii na kuona jinsi (awali) Tanzania ilivyokuwa mshirika wa karibu sana na Korea Kaskazini (kutokana na mfumo wa kikomunisti wa vyama tawala katika nchi hizo). Hata sasa ushirikiano huo bado upo. Lakini pia wapo Korea Kusini tunaoshirikiana nao katika masuala ya uchumi na maendeleo, wakitoa ama kusaidia huduma tofauti za kijamii zikiwemo afya, elimu na kilimo.

Lakini hivi sasa, Korea Kaskazini iliyo mshirika hasa wa kisiasa wa Tanzania, anatajwa kwa uvunjifu wa haki za binadamu kiasi cha kuwekewa vikwazo vya kiuchumi na Umoja wa Mataifa. Lakini ni Korea Kaskazini inayoendeleza mradi wake wa nyuklia unaodaiwa kutishia amani ya dunia.

Kwa hali hiyo, hivi Tanzania hivi sasa tunasimama upande gani kati ya mataifa hayo?

Ninawasilisha

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment